'Ndani ya saa sita za kuwasiliana, mwanangu alijiua'

Mvulana mmoja alijiua saa sita tu baada ya 'walaghai' kutishia kuchapisha picha zake za utupu kwenye mitandao.
-
Jordan DeMay alifariki mwaka 2022 baada ya ndugu wawili Samuel na Samson Ogoshi, kutoka Nigeria kumdanganya atume picha hizo wakijifanya kuwa ni msichana wa rika lake na baadaye kutishia kumchafua kwa kutuma picha hizo za uchi kwenye mtandao.
-
Wanaume hao wawili sasa wanasubiri kuhukumiwa huku pia Wanigeria wengine wawili wamekamatwa baada ya mvulana wa Australia kujiua mwezi Aprili.
-
-
-
#bbcswahili #nigeria #uhalifumtandaoni #uhalifu

Пікірлер: 1

  • @ZakariyeMaxamed-vj5ot
    @ZakariyeMaxamed-vj5otАй бұрын

    Tuna honpa mu cheleweshe mutandhiko za kiswahili za bbc sawabu sisi na wa afrika watu eetu wengi yao awaja soma vizuri asanteni sana kuwa ku amusha kiswahili

Келесі