"Sijawahi kutoa wimbo mkubwa kama huu "

Dayoo @dayoo_tz au Mangii ni mwanamuziki wa Bongo Fleva kutoka nchini Tanzania. Nyimbo zake nyingi zimekuwa zikipata umaarufu kupitia mitandao ya kijamii huku zikiangaliwa na watu Afrika Mashariki.
Miongoni mwa nyimbo zake ni pamoja na 'Huu mwaka' iliyompa umaarufu mkubwa Afrika Mashariki
Dayo amezungumza na mwandishi wa BBC Regina Mziwanda
#bbcswahili #huumwaka #Maisha
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Пікірлер

    Келесі