Changamoto ya vituo vya gesi katika vyombo vya moto

Nchini Tanzania matumizi ya gesi asili kwenye vyombo vya moto yanaendelea kushika kasi ambapo watumiaji wa vyombo vidogo kama vile bajaji kwa ajili ya biashara nao wameanza kutumia gesi asilia kwa kasi wengi wakivutiwa na unafuu wa bei hivyo kupunguza gharama za uendeshaji kwa zaidi ya asilimia 50.
Mwandishi wa BBC @eagansalla_gifted_sounds metuandalia taarifa hii
#bvbcswahili #tanzania #gesiasilia
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Пікірлер: 2

  • @kisekumukwakimfumu
    @kisekumukwakimfumuАй бұрын

    Some na ku heshma kongo kisasa kwasa babu wali watu ya mapendo ata olive lembe na mime yake kanambe wali badilishaka mambo wengi na makosa makubwa sasa ni saa ya ukubomboji

  • @kisekumukwakimfumu
    @kisekumukwakimfumuАй бұрын

    Olive lembe ni moja ya champione ya mabaya karibu ya kongo kisasa kwasa babu ya ba crimes walifaniaka na vita na uchumi na elimo alitumiya djina lake kama moja wa kongolese lakini tabiya yake akuna sasa alikuwa moja ya marafiki ya ba commedienne ya theatre kwasa babu ya publicite yake peke olive lembe jwa kongo ni sio numbani ya mama yako ou ya baba yako peko kongo ni nchi ya kila kongo mtu kongo ya mapendo ina anza sasa tena na mungu zaru