Uchaguzi wa Uingereza: Kitu gani Waafrika wanapaswa kujua?

Tarehe 4 Julai, raia wa Uingereza watapiga kura katika uchaguzi mkuu.
-
Kukabiliana na suala la uhamiaji, ni moja ya orodha ya mambo ya kufanya kwa waziri mkuu ajaye.
-
Hili ni jambo ambalo litaathiri sana Afrika na watu wa Afrika.
-
Lakini je ni kitu gani kingine unapaswa kukiangalia katika uchaguzi wa Uingereza?
#bbcswahili #uingereza #uongozi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Пікірлер: 1

  • @abdulmajaliwa6376
    @abdulmajaliwa637619 күн бұрын

    Wanajalibu kuwavuta waafrica, tumesanuka

Келесі