BBC Africa Eye : Vita iliyosahaulika Sudan
Kwa zaidi ya mwaka mmoja, vita vilivyosahaulika vimekuwa vikiendelea nchini Sudan. Maelfu ya raia wamepoteza maisha na mamilioni zaidi wamelazimika kukimbia makazi yao.
Hospitali na maeneo ya ibada yamebomolewa kwa mabomu, huku makaburi ya muda yakichimbuliwa ili kuwazika wale waliokumbwa na mapigano.
Mwandishi wa BBC Feras Kilani, ambaye alikamatwa na vikosi vya serikali kabla ya mzozo huu, anarudi kushuhudia uharibifu na uhalifu wa kivita unaoweza kufanyika katika vita ambavyo dunia imesahau.
Пікірлер: 8
BBC shukurani sana kwa kutupatia hizi taarifa 🇹🇿🤝🙏
Hata sisi kwetu DRC tunasibiwa na madhila hata zaidi ya hayo... Poleni sana ndugu zetu wa sudani
Waafrika weusi ndo wanaoteseka Sudan
Siasa itamaliza dunia😭😭😭
Katia vita mbaya zaid ni ile ya wenyewe kwa wenyewe hilo ni tatz kubwa
Nchi zapigwa vita za kislamu
@smallscaleminingsupplies9670
Ай бұрын
Sudan anapigana nani na nani, wapigane wenyewe usingizie wengine
Acha wazichape tu, Karma imewarudia, joka walilolifuga kuangamiza Waafrika Darfur limewageuka