Mwanaanga wa kwanza wa kike Afrika kwenda anga za juu

2022, Sara Sabry, Mmisri, alikua mwanamke wa kwanza Mwafrika (na mwanamke wa kwanza Mwarabu) kwenda anga za juu.
Alipokuwa mdogo, mwanaanga huyo mwenye umri wa miaka 31 na mhandisi alikuwa akifikiri wazo la kwenda angani ni ndoto.
Anasimulia BBC jinsi alivyokiuka vizuizi na uwezekano wa wanawake kufika alipofika.
#bbcswahili #misri #angazajuu
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Пікірлер: 1

  • @azizayassin3623
    @azizayassin362316 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂 Hollywood movies 🎬 🎞 🎥 akuna mtu aliweza kwenda hko tumeshaona vidio za NASA after and before waongo wakubwa