'Nililala na kuamka nikaamua naacha kuimba'
Mwimbaji nguli wa nyimbo za Taarabu kutoka Tanzania, Mzee Yusuf maarufu kama 'Mfalme wa Taarabu' amezungumza na mtangazaji wa BBC Regina Mziwanda na küelezea masuala mbalimbali kuhusu muziki wa taarabu nchini humo tangu aliporejea tena jukwaani takribani miaka minne iliyopita
#bbcswahili #burudani #taarab
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
Пікірлер: 2
Nakuaminia sana Mzee yusuphu 🙏🙏🙏👍👍👍
Hassan shemndolwa mzee aachwe yeye na mungu wake