'Mitandaoni wanatazama urembo badala ya kazi yangu'

Diana Chando (27) alipata umaarufu mtandaoni kipindi cha uchaguzi mkuu wa urais nchini Zimbabwe baada ya picha yake kusambaa mitandaoni.
Anasema ‘Uchaguzi niliosimamia Zimbabwe, ulinitingisha sana.’ Je ilikuwaje?
Tazama
#bbcswahili #waridiwabbc #tanzania
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Пікірлер: 2

  • @t_chak
    @t_chakАй бұрын

    Fix the audio pls

  • @Artiukh
    @ArtiukhАй бұрын

    salama kutoka ukraine 🇺🇦 !

Келесі