'Mitandaoni wanatazama urembo badala ya kazi yangu'
Diana Chando (27) alipata umaarufu mtandaoni kipindi cha uchaguzi mkuu wa urais nchini Zimbabwe baada ya picha yake kusambaa mitandaoni.
Anasema ‘Uchaguzi niliosimamia Zimbabwe, ulinitingisha sana.’ Je ilikuwaje?
Tazama
#bbcswahili #waridiwabbc #tanzania
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
Пікірлер: 2
Fix the audio pls
salama kutoka ukraine 🇺🇦 !