Mwanamke anayezamia kupandikiza matumbawe baharini

Otuwa Omar anasema kuwa 'mimi ndiye mwanamke pekee Zanzibar ninayezamia kupandikiza matumbawe baharini'
Kutokana na athari za mabadiliko ya tabia nchi ambazo zimechangia uharibifu wa maeneo ya mazalia ya samaki, yaani matumbawe, aliamua kujiunga na mpango wa kurejesha matumbawe katika Kisiwa cha Mnemba huko Zanzibar
Mwandishi wa BBC @lasteck2024 alifika katika Kisiwa cha Mnemba na kuandaa taarifa hii
@eagansalla_gifted_sounds
#bbcswahili #tanzania #zanzibar
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Пікірлер: 5

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7znАй бұрын

    Mashallah mm ni mwanamme ila una nipita

  • @alitano6769
    @alitano6769Ай бұрын

    Strong woman❤

  • @arifsaid8080
    @arifsaid8080Ай бұрын

    MashaaAllah.....Nyumbani Zanzibar...the most beautiful Island of Africa

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444Ай бұрын

    Dada sawa kabisa. Hakuna kazi mbaya. Ni kanzi nzuri kabisa Una save Mazingira ya bahari.

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694Ай бұрын

    Mashallah

Келесі