'Mnashuhudia ninavyotukanwa'
'Kelele nyingi zinapigwa wakiona hujibu wanasema sasa tumtukane atajibu au hajibu, Sijibu! nageuka chura masikio sisikii kabisa nachotaka mageuzi ya kiuchumi'
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezungumza hayo wakati akipokea gawio na michango kutoka mashirika na taasisi za umma Ikulu jijini Dar es Salaam.
#bbcswahili #tanzania #raissamiasuluhuhassan
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
Пікірлер: 11
Kiukweli mimi sintokukubali . Maana ufisadi na rushwa zimejikita na uko kimya mama Chura
Piga kazi Madame President
Mbn ajira za walim hamtoi barua wakaonba?
Mnamalengo mwaka huu msiajiri walimu na madaktari?
Mageuzi ya namna gani? Kumnufaisha aliyeko juu (boom stage) na kumnyanyasa mtanzania wa kipato Cha kati na chini.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Bora chura
@TheOtherMwalimu
Ай бұрын
Kabisa. Bora raisi atakuwa mmoja wa Hawa chura nje ya dirisha. Huyu mama anauza nchi na kuharibu uchumi mwenyewe
😒😒😒
🐸🐸🐸🐸 Basi Wazee wa jangwani wamefurahii.... 😂😂😂
Maisha magumu kitaa