'Mwanume mpaka kufika hatua ya kupata tiba ni hajajipeleka mwenyewe'

Mwezi June kila mwaka dunia hutumiwa katika uelimishaji wa masuala ya afya ya akili kwa wanaume.
Hii ni kutokana na tafiti mbalimbali za kiafya kubaini kwamba kuna utofauti wa mazingira na kuhimili matokeo ya changamoto ya afya ya akili kati ya mwanaume na mwanamke.
Mwandishi wa BBC @mubalileonard amezungumza na @michaelbaruti na mwanasaikolojia tiba @nadiaahmedtz kuhusu changamoto za afya ya akili kwa wanaume.
#bbcswahili #wanaume #tanzania
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Пікірлер: 2

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania19 күн бұрын

    Kabla hata sijamaliza kuangalia nimegundua hapa nilipo ninatembea na ukichaa wangu aisee😂 Nitatafuta mtaalamu kama Nadia kwakweli!

  • @YusufuNahimana
    @YusufuNahimana21 күн бұрын

    Nikonafatiliya napatafaida