MZUNGU ALINIGEUKA TUKIWA NJIANI KWENDA KUMTAMBULISHA KWA WAZAZI NA KUNIFUKUZA

Mary ameeleza safari yake ya kutimiza ndoto yake ya kupata Mzungu, alitoka mwanza kwenda Arusha kutafuta Mzungu. Alikutaka na wazungu wa honyo lakini mwisho akakutanana na ambae bi mume wake na sasa anaishi Belgium.
Alinyanyasika na kudharaulika sana na kuitwa maijina mengi mabaya kutoka kwa familia lakini aliwaacha mdomo wazi baada ya kufunga ndoa.
Thank you Mary for allowing this to be online
www.oda.international

Пікірлер: 199

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistanceАй бұрын

    Tiktok: mickymary

  • @gfydfdf8869

    @gfydfdf8869

    Ай бұрын

    A office dating assistance

  • @lylm4147

    @lylm4147

    Ай бұрын

    Oh! OK; and what makes you " offucial" are you elected or appointed by a body or some authority to provide assistance?

  • @negwamwaipopo6467

    @negwamwaipopo6467

    Ай бұрын

    Hi

  • @KADOGOFOUNDATION

    @KADOGOFOUNDATION

    Ай бұрын

    Hello madam Im from kenya Pia Mini niko Germany nataka siku moja nitoe Safari yangu nilipo Anzahl mpaka kufika ulaya

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471Ай бұрын

    Ushauri wangu wasichana msitamani maisha ya Mary muache tamaa Mary anacheka tu lakini amepitia magumu sana hayo sio maisha

  • @neophitalukiringi8260
    @neophitalukiringi8260Ай бұрын

    Asante sana Shena. Mimi nina miaka 52 nimekuwa nikikufuatilia sana story zako nami Mungu kunijalia nimepata Mume mtarajiwa . Asante sana.

  • @OfficialDatingAssistance

    @OfficialDatingAssistance

    Ай бұрын

    Hongera sana sana Glory to God Karibu sana kwa kipindi 🥰🥰🙏

  • @ashaidei5680

    @ashaidei5680

    Ай бұрын

    Glory to God❤❤asichoweza Mungu hakipoo💪🏼👏👏👏🙏🙏na ikawe yenye kheri Amen

  • @Aisha-qd2rg

    @Aisha-qd2rg

    Ай бұрын

    Umepata kupitia mtandao upi mamy tujuze

  • @zulekhamjungu7217

    @zulekhamjungu7217

    Ай бұрын

    Hongera sana Mungu akutangulie

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869Ай бұрын

    Shera Mungu akubariki Asante kwa kwa kuanzisha shuhuda hizi sinazo husu maisha,sinatufundisha sana,dada msukuma umenikumbusha mengi nilipitia magumu yanaendana nayakwako kidogo japo yanatofautiana, Mungu nimwema sana ametuvusha kwa mengi.

  • @malaikajabali-oj2fh
    @malaikajabali-oj2fh28 күн бұрын

    Wewe ulipenda upate mzungu mbali hukuomba Mungu akupe mwanaume mzuri sasa maji kayavulia nguo yaoge tu. From Kenya 🇰🇪

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920Ай бұрын

    Shena wangu nakupenda sana kipenzi,hongera kwa kazi nzuri😊

  • @rutahalima1400
    @rutahalima1400Ай бұрын

    Shena hongera kwa kazi yako nzuri

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9mdАй бұрын

    Hayo maisha sio salama kabisa huo ni udangaji na wazungu kudanga kisa kuolewa na mzumgu

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199Ай бұрын

    Duniani Mapitoo jamaniii lakini Mungu ndie kimbiliooo

  • @haryanyawu640
    @haryanyawu640Ай бұрын

    Pole ssna kwa mapito uliopitia ila marafiki sio watù wema maana ukiwasaidia matokeo yake wakakusaliti Mungu akutunze daima

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt22 сағат бұрын

    Mm naomba mungu nipate tu mume wa maisha yangu anisomeshe kingereza maana simua na wakunisomesha nimeishia la saba

  • @vero57
    @vero57Ай бұрын

    Nimependa love story yako, hongera sana 💐🌺

  • @beatricechite3142

    @beatricechite3142

    Ай бұрын

    For her it's in her family line cause all her aunties are married by white people so it's a patter,so for her it wad something of sure bet.Tutasema ni mathabau ya ukoo.

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4ztАй бұрын

    Waooo mwanetu mtoto wa kihaya hongera sana mwenyezi mungu awatangulie

  • @mimiinvestments8406
    @mimiinvestments8406Ай бұрын

    Pole sana kwa mapito Mary na Hongera mno kwa mafanikio ya Ndoto zako. "Baada ya dhiki faraja'.

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835Ай бұрын

    Aisee hongera sana dada yetu

  • @dayana5513story
    @dayana5513storyАй бұрын

    Ubarikiwe sana mrembo ❤❤❤

  • @atuamohamed9664
    @atuamohamed9664Ай бұрын

    Ahsante kwa maelezo ya upendo

  • @neemaseiler1122
    @neemaseiler1122Ай бұрын

    Interview nzurii,asante Mary. Hongera pia,uko kwenye honeymoon period Enjoy❤

  • @user-uv2zg4uc5o
    @user-uv2zg4uc5o27 күн бұрын

    Hongera sana mwanangu ulipambana Mungu aku simamie ndoa yako idumu milele na mafanikio pia

  • @johnmaulilo9564
    @johnmaulilo9564Ай бұрын

    Wow wa kwanza kucoment

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv21 күн бұрын

    Mungu Awabariki wewe na Family yako.

  • @talentshow2024
    @talentshow2024Ай бұрын

    Hongera

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki558514 күн бұрын

    Wewe msichana shunjaaaaa oyyyy nakupenda msichana mzuri sana KBS 🥰👍👏🔥

  • @suzanjack9158
    @suzanjack9158Сағат бұрын

    hahaahha mary bana huyu dada nmesoma nae chuo kimoja ata sishangai 😂😂😂😂

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686Ай бұрын

    Anafanana kama mama Tibaijuka.

  • @upendogreutert199

    @upendogreutert199

    Ай бұрын

    🤭 wewe nawe 😂

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    Ай бұрын

    Ni kweli😊

  • @Oliva_Meela

    @Oliva_Meela

    Ай бұрын

    Na yeye ana damu ya kihaya

  • @user-gm4qi3nn9n

    @user-gm4qi3nn9n

    Ай бұрын

    Ndiyo

  • @liannsambu7264

    @liannsambu7264

    Ай бұрын

    😂

  • @negwamwaipopo6467
    @negwamwaipopo6467Ай бұрын

    Nice story

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920Ай бұрын

    Dada shena ni mtulivu na msikivu pia😊Mungu akutunze

  • @queenofireland898
    @queenofireland898Ай бұрын

    Rafiki sio watu wazuri bora uwe peke yako hatupendeleani mema kwa kweli

  • @rutahalima1400

    @rutahalima1400

    Ай бұрын

    Haqika, mufaransa husema “ mieux être seul que mal accompagné “

  • @Mazoea

    @Mazoea

    20 күн бұрын

    Mimi nimeamua kutokua na marafiki.maraki wanawivu sana..

  • @Mazoea
    @Mazoea20 күн бұрын

    Ila wabongo washenzi sana.na wanawivu na wanapenda sana

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199Ай бұрын

    Yaaani sisi watu weusi sisi hatupendaniiii 🙈🙈

  • @emmanueliirungu2339
    @emmanueliirungu233926 күн бұрын

    Asante kwa elimu yako,kupima iwe kanuni

  • @leahkatinde859
    @leahkatinde859Ай бұрын

    Jamaani msukuma kabisa mpaka anavyo ongea 😂 wakukaya

  • @anethcharles5443

    @anethcharles5443

    Ай бұрын

    😂😂😂confidence hana masikin ila amepitia changamoto nying yan 😢haya maisha ad utoboe jua umepitia meng sana

  • @maria_mutondioriginal5

    @maria_mutondioriginal5

    Ай бұрын

    Na muhaya pia

  • @BERLINHENRY-tc8em

    @BERLINHENRY-tc8em

    7 күн бұрын

    Ila wasukuma na Sisi 😂😂na Mimi nijnitoe story yangu mpaka kupata ndoa na mzungu😅😅

  • @gracendumbaro5196
    @gracendumbaro5196Ай бұрын

    Mpaka haya kazi njema

  • @gillianwilliam5688
    @gillianwilliam5688Ай бұрын

    Hongera dada nimependa unawapa mda wa kujielezea story zao.....😊

  • @saidizuber8831
    @saidizuber8831Ай бұрын

    Pole na hongera dada

  • @cleopatrahenry7541
    @cleopatrahenry7541Ай бұрын

    Merry ananifurahisha kuwapa na ukoo wote 😅😅😅

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4ztАй бұрын

    Story nzuri

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174Ай бұрын

    Huwa najiuliz mnavyokutana na wazungu ghafla mnalala nao hata hamwogopi maradhi?au ndio pata potea?

  • @blandinamrusha-pj2ro
    @blandinamrusha-pj2ro20 күн бұрын

    Nakupenda Marry wangu 🎉🎉🎉🎉

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki558514 күн бұрын

    Pole sana msichana 🫢 nihatari kbs dunia Kwisha KBS ndodunia hiyo mzunguko ila mngu anaweza yote 🥰

  • @felismbithe4761
    @felismbithe476129 күн бұрын

    Hongera dada.

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki558514 күн бұрын

    ❤wewe unatisha KBS waliku pendaga saan 🥰😊👍

  • @tumainisamwel2925
    @tumainisamwel29258 күн бұрын

    Lovely story

  • @gra8098
    @gra809816 сағат бұрын

    Hapo kwa club na waterfalls, afu mtu anasema alikuwa hadangi😢😢

  • @user-fb4gg1me7f
    @user-fb4gg1me7f27 күн бұрын

    Hongera kwa Hilo dada,,xaxa tufanyie connection ya kazi huko

  • @simplycaren375
    @simplycaren375Ай бұрын

    Anaeleza vizuri

  • @fortunenova6242
    @fortunenova6242Ай бұрын

    Shoga yangu Mary hatimaye.... this interview was so good 😊

  • @user-rg7fx7jp1w

    @user-rg7fx7jp1w

    Ай бұрын

    Yes dear😂🎉❤

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773Ай бұрын

    😂Mery anachekesha. Lakini Mashaallah kapambana hasa ❤

  • @liannsambu7264

    @liannsambu7264

    Ай бұрын

    Hakika anachekesha

  • @verynicemoshi9959
    @verynicemoshi9959Ай бұрын

    Nampa ongera sna kwa kutimiza ndoto yake

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki558514 күн бұрын

    Hayo maisha ya shida nila Zima tupambane nakia njaribu huku kuwa kitu ninacho endelea kupotrza wavinjana wa easichana mnayatizo KBS 👏😊

  • @ruuh_august
    @ruuh_augustАй бұрын

    Ana aibu mashaalllah 😂🤣

  • @mimiinvestments8406
    @mimiinvestments8406Ай бұрын

    Sawa sawa Mary. They say..... "When God opens the door... Shut your mouth"!

  • @sarahbuberwa7219
    @sarahbuberwa7219Ай бұрын

    Hallo Shena hongera sana kwa kipindi chako nielekeze jinsi ya kudownload Tinda

  • @nurumustapha2448
    @nurumustapha2448Ай бұрын

    Hatimae nimemuona ndugu yangu wasukuma oyeeeeeee

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu
    @MeckitilidaTushabe-or9huАй бұрын

    Jaman ninempenda merry anaongea vizuri

  • @monicakessy49
    @monicakessy49Ай бұрын

    Kazi nzuri Mungu amekuleta kusaidia wengine kuwa na mzungu sio mafanikio ya kila kitu

  • @OfficialDatingAssistance

    @OfficialDatingAssistance

    Ай бұрын

    Shukran Kweli kabisa

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145Ай бұрын

    Dada napenda sana kipindi chako wow ni mimi Simba Abdul Amsterdam Holland

  • @zidatv1122
    @zidatv1122Ай бұрын

    Wanawake pasua kichwa

  • @user-uo4oc1pb9k
    @user-uo4oc1pb9k28 күн бұрын

    Wazungu,naukai,hata vile unakaa,you are beautiful when they are using you

  • @trueone_tz
    @trueone_tzАй бұрын

    🤝🙏🏻

  • @samirasalim4203
    @samirasalim4203Ай бұрын

    ❤❤❤

  • @gracemasawe7646
    @gracemasawe7646Ай бұрын

    Mm huwa nawapenda wazungu jaman

  • @nancyg8664
    @nancyg8664Ай бұрын

    Mashuka ya guest ndomana yamefubaa kumbe mnayapondaponda😂😂😂

  • @geez5076

    @geez5076

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @sophiakassim6784

    @sophiakassim6784

    Ай бұрын

    😅😅😅

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki558514 күн бұрын

    Pole jee huku waita wote. Inamana huku njuwa mapema wazingu sio wema ni ukweli KBS ushauri mzuri sana USi muaminie mtu awaye yote KBS 😊🥰

  • @SalimhchialaAtilio-qj5cs
    @SalimhchialaAtilio-qj5cs16 күн бұрын

    😍😍🥰

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4ztАй бұрын

    Mwenyezi mungu akutangulie

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki558514 күн бұрын

    Si tuko nap ila hawa eleweki KBS 👏 hiyo niu shauri mkubwa kwetu njamani 👏

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118Ай бұрын

    Kwahiyo. Mzungu ni mmebergium

  • @mimiinvestments8406
    @mimiinvestments8406Ай бұрын

    Jama Mary kumbe Mama yako ni Mhaya! Duh! Nimefurahi mno! Na mimi natoka BK.

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki558514 күн бұрын

    Ni history kubwa dada 😂😂😂🤣🤣

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu20 күн бұрын

    Dada shena nakupenda huna papara unamuacha mtu anajimaliza mwenyewe wengine wanaingiliaga katikati

  • @annabodsch3566
    @annabodsch3566Ай бұрын

    ❤😮🎉

  • @DoreenMwanga-dg7xp
    @DoreenMwanga-dg7xpАй бұрын

    Je Tinder alilipia....shena hilo swali unasahau kuuliza

  • @banguha
    @banguhaАй бұрын

    Wahaya ndivyo tulivyo hata mm kwenye posa walikula had leo hawasahau kwetu hakuna shughuli ndogo

  • @rutahalima1400
    @rutahalima1400Ай бұрын

    Hongera binti wetu karibu europe bienvenue Na mi niko france huwa na kuja Belgique nikija natakutafuta Je te souhaite beaucoup de bonheur dans ton foyer Félicitation Coralie

  • @ByonaBirungi

    @ByonaBirungi

    Ай бұрын

    Kweli binti yetu umepitia mapito hongera saana

  • @user-tu8eg8ri3b
    @user-tu8eg8ri3bАй бұрын

    Kwa nia nzuri. Nashauri anaotafuta, waume wawe wanapima afya kabla ya kukubali kujamiiana. Maana tangu nimesikiliza watu tofauti tofauti hapa sijawahi kusikia mtu anasimulia tukafanya vipimo kwanza vya magojwa hasa ukimwi. Kama huwa wanapima ni vizuri. Shena unafanya vizuri kuelimisha watu. Na unajua kumsikiliza mtu anajieleza mwenyewe. Humkatishi mazungumzo yake hivyo stori inanyooka vizuri. Na unajua kuuliza maswali vizuri.

  • @OfficialDatingAssistance

    @OfficialDatingAssistance

    Ай бұрын

    Ushauri mzuri sana.. Shukran 🙏

  • @betricemainoya4176

    @betricemainoya4176

    Ай бұрын

    Kabisa wengine hawajui ku intaview wanakatisha mtu maneno intaview inakuwa gumzo tupu

  • @liannsambu7264

    @liannsambu7264

    Ай бұрын

    Hakika

  • @liannsambu7264

    @liannsambu7264

    Ай бұрын

    Sema pia da shena Kuna watu ANAKUWA free sana na Kuna baadhi ANAKUWA SI comfortable sana but bado da shena anafanya vizuri

  • @nicekweba9920

    @nicekweba9920

    Ай бұрын

    Yaani kwakweli mimi huwa nasema mara zote hapa,shena ni msikivu na mtulivu sana,anajua kumskiliza mtu na anauliza maswali vizur sana,yaani mskilizaji unaelewa kwa uzur kabisa aisee tumpe maua yake🫠

  • @user-hu5qi4nl1i
    @user-hu5qi4nl1iАй бұрын

    Wakukaya mayoooooool😅❤

  • @kithajungu1389
    @kithajungu1389Ай бұрын

    Nimekupenda sana bi mery unaongea ukweli nimependa icho kitu,ukweli ukweli ❤

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866Ай бұрын

    Inatakiwa ujiendeleze kimasomo dada angu usibweteke

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174Ай бұрын

    Hata mm natamani mzungu jamani lakini hii process duuh!!naogopa matapel wa ngono

  • @asinamohamed4016
    @asinamohamed4016Ай бұрын

    Mwanamke kujitongoza kwa mwanaume SI Tania yetu kwa Mtanzania

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489Ай бұрын

    Sielewi kwanini wadada wanapenda sana kushea mambo yao na marafiki. Jifunzeni jamani.

  • @joycelaura4611
    @joycelaura461123 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 alikuwa anapenda watoto jmn lkn dah ila ndoto ya mtu haifi

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d19 күн бұрын

    We dada mchangamfu sana

  • @issajumaali4009
    @issajumaali4009Ай бұрын

    Nimependa utambulisho wake huyu dada, "Kwa jina......"

  • @zidatv1122
    @zidatv1122Ай бұрын

    Wanaume wakati mwingine tunapitia maisha magumu kwa sababu ua wanawake

  • @user-fe9jc5di9f
    @user-fe9jc5di9fАй бұрын

    Fanyeni video kwaufupi zinachosha kusikiliza

  • @carolinekara7603

    @carolinekara7603

    Ай бұрын

    Ukichoka ondoka.....

  • @user-fb4gg1me7f
    @user-fb4gg1me7f27 күн бұрын

    Mimi naitwa Erick wa Arusha Fanya mpango tupate connection ya kazi

  • @lylm4147
    @lylm4147Ай бұрын

    Can someone tell me 8n what way is the sister an " official" dating assistant. Has she bern appointed by a body or authority that is responsible for dating/relationships; or an appointed agency of such (if there is such). And please can someone tell me what is "ordery love story"?. What is ordery?

  • @OfficialDatingAssistance

    @OfficialDatingAssistance

    Ай бұрын

    ODA Real Love Story ODA - Official Dating Assistance

  • @annamussa185
    @annamussa185Ай бұрын

    Wakokaya olemhola😊

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438Ай бұрын

    Kwani waswahili wenzenu hakuna nini kuhangaika mpaka mnajiabisha mitandaoni

  • @dianamvuzwa-eh9ov
    @dianamvuzwa-eh9ovАй бұрын

    Meri nitafutie Mimi mwanaume wakizungu Mimi na penda kuja niwazae watoto wa kizungu wazuri vigezo kufunga ndowa kutolewa kishika uchumba na mahali pia utakuwa mfafanuzi wangu wa kingereza nahivo unaonekana unaroho nzuri ni fanyie hivo meri

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471Ай бұрын

    😂😂😂😂 baba aliogopa ataongeaje nae

  • @user-bx3fh1ze6i
    @user-bx3fh1ze6iАй бұрын

    😅😅 mashuka kuponda

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki558514 күн бұрын

    Hivyo ulikuwa nachuuza mwili wako hapo ulikuwa matata saana unashauria wenzako wasi chana Nini?sasa ❤🎉

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920Ай бұрын

    Ila marry jamani mbona nini nini nini nyingi sana😂

  • @iantussa9064

    @iantussa9064

    Ай бұрын

    😂

  • @nicekweba9920

    @nicekweba9920

    Ай бұрын

    Anafurahisha marry wetu

  • @tanzcanmediatv4473

    @tanzcanmediatv4473

    Ай бұрын

    Ndio ongea yake wewe chukua madini yake

  • @nicekweba9920

    @nicekweba9920

    Ай бұрын

    Mimi sijasema kwa ubaya mpendwa,nimefurahi tu,nimependa anavoongea,kufurahi ni kawaida 😊,sorry kama umekwazika

  • @naturelle1097
    @naturelle1097Ай бұрын

    Sababu ya kutafuta mzungu ni nini haswa?

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247Ай бұрын

    Muache mzungu akupende mwenyewe.mnachukuliwa halfu mnaenda kuteswa

  • @felismbithe4761

    @felismbithe4761

    29 күн бұрын

    Kabisaaa mnateswa vibaya.

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki558514 күн бұрын

    Ndege ila rushwa

  • @DM_15
    @DM_15Ай бұрын

    Masela njooni hapa msikilize ujinga za wanawake hapa

Келесі