MZUNGU ALINIGEUKA TUKIWA NJIANI KWENDA KUMTAMBULISHA KWA WAZAZI NA KUNIFUKUZA
Mary ameeleza safari yake ya kutimiza ndoto yake ya kupata Mzungu, alitoka mwanza kwenda Arusha kutafuta Mzungu. Alikutaka na wazungu wa honyo lakini mwisho akakutanana na ambae bi mume wake na sasa anaishi Belgium.
Alinyanyasika na kudharaulika sana na kuitwa maijina mengi mabaya kutoka kwa familia lakini aliwaacha mdomo wazi baada ya kufunga ndoa.
Thank you Mary for allowing this to be online
www.oda.international
Пікірлер: 199
Tiktok: mickymary
@gfydfdf8869
Ай бұрын
A office dating assistance
@lylm4147
Ай бұрын
Oh! OK; and what makes you " offucial" are you elected or appointed by a body or some authority to provide assistance?
@negwamwaipopo6467
Ай бұрын
Hi
@KADOGOFOUNDATION
Ай бұрын
Hello madam Im from kenya Pia Mini niko Germany nataka siku moja nitoe Safari yangu nilipo Anzahl mpaka kufika ulaya
Ushauri wangu wasichana msitamani maisha ya Mary muache tamaa Mary anacheka tu lakini amepitia magumu sana hayo sio maisha
Asante sana Shena. Mimi nina miaka 52 nimekuwa nikikufuatilia sana story zako nami Mungu kunijalia nimepata Mume mtarajiwa . Asante sana.
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
Hongera sana sana Glory to God Karibu sana kwa kipindi 🥰🥰🙏
@ashaidei5680
Ай бұрын
Glory to God❤❤asichoweza Mungu hakipoo💪🏼👏👏👏🙏🙏na ikawe yenye kheri Amen
@Aisha-qd2rg
Ай бұрын
Umepata kupitia mtandao upi mamy tujuze
@zulekhamjungu7217
Ай бұрын
Hongera sana Mungu akutangulie
Shera Mungu akubariki Asante kwa kwa kuanzisha shuhuda hizi sinazo husu maisha,sinatufundisha sana,dada msukuma umenikumbusha mengi nilipitia magumu yanaendana nayakwako kidogo japo yanatofautiana, Mungu nimwema sana ametuvusha kwa mengi.
Wewe ulipenda upate mzungu mbali hukuomba Mungu akupe mwanaume mzuri sasa maji kayavulia nguo yaoge tu. From Kenya 🇰🇪
Shena wangu nakupenda sana kipenzi,hongera kwa kazi nzuri😊
Shena hongera kwa kazi yako nzuri
Hayo maisha sio salama kabisa huo ni udangaji na wazungu kudanga kisa kuolewa na mzumgu
Duniani Mapitoo jamaniii lakini Mungu ndie kimbiliooo
Pole ssna kwa mapito uliopitia ila marafiki sio watù wema maana ukiwasaidia matokeo yake wakakusaliti Mungu akutunze daima
Mm naomba mungu nipate tu mume wa maisha yangu anisomeshe kingereza maana simua na wakunisomesha nimeishia la saba
Nimependa love story yako, hongera sana 💐🌺
@beatricechite3142
Ай бұрын
For her it's in her family line cause all her aunties are married by white people so it's a patter,so for her it wad something of sure bet.Tutasema ni mathabau ya ukoo.
Waooo mwanetu mtoto wa kihaya hongera sana mwenyezi mungu awatangulie
Pole sana kwa mapito Mary na Hongera mno kwa mafanikio ya Ndoto zako. "Baada ya dhiki faraja'.
Aisee hongera sana dada yetu
Ubarikiwe sana mrembo ❤❤❤
Ahsante kwa maelezo ya upendo
Interview nzurii,asante Mary. Hongera pia,uko kwenye honeymoon period Enjoy❤
Hongera sana mwanangu ulipambana Mungu aku simamie ndoa yako idumu milele na mafanikio pia
Wow wa kwanza kucoment
Mungu Awabariki wewe na Family yako.
Hongera
Wewe msichana shunjaaaaa oyyyy nakupenda msichana mzuri sana KBS 🥰👍👏🔥
hahaahha mary bana huyu dada nmesoma nae chuo kimoja ata sishangai 😂😂😂😂
Anafanana kama mama Tibaijuka.
@upendogreutert199
Ай бұрын
🤭 wewe nawe 😂
@annasolomon9855
Ай бұрын
Ni kweli😊
@Oliva_Meela
Ай бұрын
Na yeye ana damu ya kihaya
@user-gm4qi3nn9n
Ай бұрын
Ndiyo
@liannsambu7264
Ай бұрын
😂
Nice story
Dada shena ni mtulivu na msikivu pia😊Mungu akutunze
Rafiki sio watu wazuri bora uwe peke yako hatupendeleani mema kwa kweli
@rutahalima1400
Ай бұрын
Haqika, mufaransa husema “ mieux être seul que mal accompagné “
@Mazoea
20 күн бұрын
Mimi nimeamua kutokua na marafiki.maraki wanawivu sana..
Ila wabongo washenzi sana.na wanawivu na wanapenda sana
Yaaani sisi watu weusi sisi hatupendaniiii 🙈🙈
Asante kwa elimu yako,kupima iwe kanuni
Jamaani msukuma kabisa mpaka anavyo ongea 😂 wakukaya
@anethcharles5443
Ай бұрын
😂😂😂confidence hana masikin ila amepitia changamoto nying yan 😢haya maisha ad utoboe jua umepitia meng sana
@maria_mutondioriginal5
Ай бұрын
Na muhaya pia
@BERLINHENRY-tc8em
7 күн бұрын
Ila wasukuma na Sisi 😂😂na Mimi nijnitoe story yangu mpaka kupata ndoa na mzungu😅😅
Mpaka haya kazi njema
Hongera dada nimependa unawapa mda wa kujielezea story zao.....😊
Pole na hongera dada
Merry ananifurahisha kuwapa na ukoo wote 😅😅😅
Story nzuri
Huwa najiuliz mnavyokutana na wazungu ghafla mnalala nao hata hamwogopi maradhi?au ndio pata potea?
Nakupenda Marry wangu 🎉🎉🎉🎉
Pole sana msichana 🫢 nihatari kbs dunia Kwisha KBS ndodunia hiyo mzunguko ila mngu anaweza yote 🥰
Hongera dada.
❤wewe unatisha KBS waliku pendaga saan 🥰😊👍
Lovely story
Hapo kwa club na waterfalls, afu mtu anasema alikuwa hadangi😢😢
Hongera kwa Hilo dada,,xaxa tufanyie connection ya kazi huko
Anaeleza vizuri
Shoga yangu Mary hatimaye.... this interview was so good 😊
@user-rg7fx7jp1w
Ай бұрын
Yes dear😂🎉❤
😂Mery anachekesha. Lakini Mashaallah kapambana hasa ❤
@liannsambu7264
Ай бұрын
Hakika anachekesha
Nampa ongera sna kwa kutimiza ndoto yake
Hayo maisha ya shida nila Zima tupambane nakia njaribu huku kuwa kitu ninacho endelea kupotrza wavinjana wa easichana mnayatizo KBS 👏😊
Ana aibu mashaalllah 😂🤣
Sawa sawa Mary. They say..... "When God opens the door... Shut your mouth"!
Hallo Shena hongera sana kwa kipindi chako nielekeze jinsi ya kudownload Tinda
Hatimae nimemuona ndugu yangu wasukuma oyeeeeeee
Jaman ninempenda merry anaongea vizuri
Kazi nzuri Mungu amekuleta kusaidia wengine kuwa na mzungu sio mafanikio ya kila kitu
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
Shukran Kweli kabisa
Dada napenda sana kipindi chako wow ni mimi Simba Abdul Amsterdam Holland
Wanawake pasua kichwa
Wazungu,naukai,hata vile unakaa,you are beautiful when they are using you
🤝🙏🏻
❤❤❤
Mm huwa nawapenda wazungu jaman
Mashuka ya guest ndomana yamefubaa kumbe mnayapondaponda😂😂😂
@geez5076
Ай бұрын
😂😂😂😂
@sophiakassim6784
Ай бұрын
😅😅😅
Pole jee huku waita wote. Inamana huku njuwa mapema wazingu sio wema ni ukweli KBS ushauri mzuri sana USi muaminie mtu awaye yote KBS 😊🥰
😍😍🥰
Mwenyezi mungu akutangulie
Si tuko nap ila hawa eleweki KBS 👏 hiyo niu shauri mkubwa kwetu njamani 👏
Kwahiyo. Mzungu ni mmebergium
Jama Mary kumbe Mama yako ni Mhaya! Duh! Nimefurahi mno! Na mimi natoka BK.
Ni history kubwa dada 😂😂😂🤣🤣
Dada shena nakupenda huna papara unamuacha mtu anajimaliza mwenyewe wengine wanaingiliaga katikati
❤😮🎉
Je Tinder alilipia....shena hilo swali unasahau kuuliza
Wahaya ndivyo tulivyo hata mm kwenye posa walikula had leo hawasahau kwetu hakuna shughuli ndogo
Hongera binti wetu karibu europe bienvenue Na mi niko france huwa na kuja Belgique nikija natakutafuta Je te souhaite beaucoup de bonheur dans ton foyer Félicitation Coralie
@ByonaBirungi
Ай бұрын
Kweli binti yetu umepitia mapito hongera saana
Kwa nia nzuri. Nashauri anaotafuta, waume wawe wanapima afya kabla ya kukubali kujamiiana. Maana tangu nimesikiliza watu tofauti tofauti hapa sijawahi kusikia mtu anasimulia tukafanya vipimo kwanza vya magojwa hasa ukimwi. Kama huwa wanapima ni vizuri. Shena unafanya vizuri kuelimisha watu. Na unajua kumsikiliza mtu anajieleza mwenyewe. Humkatishi mazungumzo yake hivyo stori inanyooka vizuri. Na unajua kuuliza maswali vizuri.
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
Ushauri mzuri sana.. Shukran 🙏
@betricemainoya4176
Ай бұрын
Kabisa wengine hawajui ku intaview wanakatisha mtu maneno intaview inakuwa gumzo tupu
@liannsambu7264
Ай бұрын
Hakika
@liannsambu7264
Ай бұрын
Sema pia da shena Kuna watu ANAKUWA free sana na Kuna baadhi ANAKUWA SI comfortable sana but bado da shena anafanya vizuri
@nicekweba9920
Ай бұрын
Yaani kwakweli mimi huwa nasema mara zote hapa,shena ni msikivu na mtulivu sana,anajua kumskiliza mtu na anauliza maswali vizur sana,yaani mskilizaji unaelewa kwa uzur kabisa aisee tumpe maua yake🫠
Wakukaya mayoooooool😅❤
Nimekupenda sana bi mery unaongea ukweli nimependa icho kitu,ukweli ukweli ❤
Inatakiwa ujiendeleze kimasomo dada angu usibweteke
Hata mm natamani mzungu jamani lakini hii process duuh!!naogopa matapel wa ngono
Mwanamke kujitongoza kwa mwanaume SI Tania yetu kwa Mtanzania
Sielewi kwanini wadada wanapenda sana kushea mambo yao na marafiki. Jifunzeni jamani.
🤣🤣🤣🤣🤣 alikuwa anapenda watoto jmn lkn dah ila ndoto ya mtu haifi
We dada mchangamfu sana
Nimependa utambulisho wake huyu dada, "Kwa jina......"
Wanaume wakati mwingine tunapitia maisha magumu kwa sababu ua wanawake
Fanyeni video kwaufupi zinachosha kusikiliza
@carolinekara7603
Ай бұрын
Ukichoka ondoka.....
Mimi naitwa Erick wa Arusha Fanya mpango tupate connection ya kazi
Can someone tell me 8n what way is the sister an " official" dating assistant. Has she bern appointed by a body or authority that is responsible for dating/relationships; or an appointed agency of such (if there is such). And please can someone tell me what is "ordery love story"?. What is ordery?
@OfficialDatingAssistance
Ай бұрын
ODA Real Love Story ODA - Official Dating Assistance
Wakokaya olemhola😊
Kwani waswahili wenzenu hakuna nini kuhangaika mpaka mnajiabisha mitandaoni
Meri nitafutie Mimi mwanaume wakizungu Mimi na penda kuja niwazae watoto wa kizungu wazuri vigezo kufunga ndowa kutolewa kishika uchumba na mahali pia utakuwa mfafanuzi wangu wa kingereza nahivo unaonekana unaroho nzuri ni fanyie hivo meri
😂😂😂😂 baba aliogopa ataongeaje nae
😅😅 mashuka kuponda
Hivyo ulikuwa nachuuza mwili wako hapo ulikuwa matata saana unashauria wenzako wasi chana Nini?sasa ❤🎉
Ila marry jamani mbona nini nini nini nyingi sana😂
@iantussa9064
Ай бұрын
😂
@nicekweba9920
Ай бұрын
Anafurahisha marry wetu
@tanzcanmediatv4473
Ай бұрын
Ndio ongea yake wewe chukua madini yake
@nicekweba9920
Ай бұрын
Mimi sijasema kwa ubaya mpendwa,nimefurahi tu,nimependa anavoongea,kufurahi ni kawaida 😊,sorry kama umekwazika
Sababu ya kutafuta mzungu ni nini haswa?
Muache mzungu akupende mwenyewe.mnachukuliwa halfu mnaenda kuteswa
@felismbithe4761
29 күн бұрын
Kabisaaa mnateswa vibaya.
Ndege ila rushwa
Masela njooni hapa msikilize ujinga za wanawake hapa