#LEOTENA LIVE Kijana Anakutana na MAMA yake Mzazi | KITAMBO kirefu Rasmi Apatikana | LEO TENA
Жүктеу.....
Пікірлер: 140
@fatmabukuku53843 жыл бұрын
Cloud mimi ndio maana nawapenda sana mnafanya kazi kubwa sana ya kusaidia jamii.
@moricemorice753 жыл бұрын
Mimi nimelelewa na wazazi wote ila hili nimetoa macho Dr pole Sana kijana mwenzangu cloud #Mungu awe nanyi katika kazi yenu
@suleimanabdillah74903 жыл бұрын
CLOUDS Jumba la wabunifu,mnanikosha sana, NA HONGERENI SANA
@godfreyjames85823 жыл бұрын
NYIE CLOUDS Fm Mungu anawaona atawalipa tu,, atawaongezea mlipotoa kwa ajili ya watu Eeeh Mwenyezi Mungu nisaidie nami nimpate baba yangu mzazi natamani ajue kuwa nampenda hata kama hatujaonana miaka 29 mpaka leo
@sabihaibrahim143
2 жыл бұрын
Hee pole sana
@lucyjeremia1381
Жыл бұрын
Pole Sana
@victoriamazula5592
Ай бұрын
Mntangazo yalikuwa too much
@alhabsi64302 жыл бұрын
Mungu akuwekee wajomba zako wakupende uwapende
@mariamthomas3902 Жыл бұрын
Yaan alipoanza kujitambulisha mjomba me uso wote umejawa machozi hata sijielewi barikiwa mjomba 😭😭😭😭
@asteriashios1852 Жыл бұрын
pole sana kija mungu akutetee mjomba ni mama hivyo hongera sana mjomba kwa kumtafuta mtoto
@jamilasalimvilog67523 жыл бұрын
Yani imeniuma kweli pole sana mdogo wangu
@sumayasumaya6455 Жыл бұрын
Mjomba is very smart man, na kina temba wako Barabara mungu waongoze na mtoto wenu anatia huruma sana..kukosa mapenzi ya mama yake.pole kwa sote hata mie
@wardamunguakuzidishew9399 Жыл бұрын
Yani ihii radio mungu awabariki sana tena sana maana mnasaidia sana sio kama radio nyingine kazi umbea tu utasikia za ndani apo anatetwa mtu
@jaycee90673 жыл бұрын
Leo Tena best radio program in Tanzania. 🙌🏿
@mozasaid38692 жыл бұрын
Hongereni Clouds Media kwa kazi mnayoifanya ya kukutanisha familia zilizopteana,
@gracewambura85393 жыл бұрын
Clouds mwenyezi Mungu hazidi kuwabariki sanaaa ktk kipindi icho Cha kuwatafuta waliopoteana 🙏
@muddysasma30373 жыл бұрын
Dah clouds hongereni SANA. Mjomba ni mama
@yassintaibrahim242 жыл бұрын
Pole Saana Mwanangu M/MUNGU Awajalie Mshikamano Upendo Na Amani Wewe Na Wajomba Zako Na Ndugu Na Jamaa Zako Wote
@moricemorice753 жыл бұрын
Dahuu love you Yan unaongea na masikitiko mpka nimetoa machoz dr
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Hongera mjomba kwani duniya ilipo fikiya ni wachache wenye roho kama yakwako hongera da. Geya na timu mzima
@OmanOman-bx5du9 ай бұрын
Wa mma wengine awanaga uchingu wa m tto mm pia mma yangu alinicha nikiwa na umli mdogoo waka tengan na bba yangu nikalelewa na bbi. Tokaspo mma alikua anaishi mkoani. Lindi mm nikiwa dar tokaaapo mma akunitafuta. Ilammi ndonilimtafuta. Ata mmi sinadana upendo na mma. Bba ndo. Namuerewa saana. 😢
@eggysulle7988
Ай бұрын
😢
@salumbakari
Ай бұрын
😊😊😊😊
@agyjackkalwela63772 жыл бұрын
Pole kwa kupokea taarifa ya kifo cha mama yako najua imekuumiza
@mwanamwantumazizi18692 жыл бұрын
Jamani munafanya kazi nzuri sana naombeni nMimi minisaidie nimepoteana na familia yangu tunazaliwa tumbo moja tumepoteana kwa muda mrefusana
@user-mc6um1it1r Жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwa kazi nzur san❤
@sebonikegobi62442 жыл бұрын
Wakina mama tusiwaache watoto wetu tukubali hata kufa nao
@yassintaibrahim24
2 жыл бұрын
Kwa Kweli Dear
@user-ky6tv6lk5x
Ай бұрын
Yes my
@yasminoluoch169
Ай бұрын
Kuna mda inabidi 😢😢 mm nimejifunza kuto jurge sana
@monadinadi5295 Жыл бұрын
😭😭Dah tushikane na familya zetu hkn km Mam. Mama ndio kiungo cha familya
@diyaosman62683 жыл бұрын
Hongera clouds fm mungu awabariki sanaaa
@stellahmsigwa64932 жыл бұрын
Hongera sana mjomba angu
@ednaJF1028 Жыл бұрын
it's very sad jamani . Yani hamu yote yakuonana na mama ndo imeishia hapo my heart is so broken haki💔💔
@rosehaule6765
Ай бұрын
😢😢
@munirahassan5013Ай бұрын
Mjomba ukiona anakutafuta na mama hayupo. Jua ana upendo sana, wachaga oyeeeeee
@MADAMMACKTV2 жыл бұрын
Duu inauma naimenigusa hatamm mwanangu yipo arusha baba yake atakinimuone nakudaii mm simpendii mwanangu inauma sana nanaumia sana polekijana baba zenu shida
@roseamos99302 жыл бұрын
Mjomba yupo vizuri sana 😍
@roseamos9930
2 жыл бұрын
😍😍
@beatricetenywa43673 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu jaman,kijana anaonekana amekomaa kwaakil hata hajalia ila huyo baba yake jaman mmh. Hongeren clouds.
@irenekilawe9476
2 жыл бұрын
Mimi nimepotelewa na mjomba angu toka mwaka 1998 paka Sasa atujui aliko
@UpendoLukas-s1u14 күн бұрын
Jamani nisaidieni nimpate babangu.
@yasminoluoch1692 жыл бұрын
Hii story imeniliza💔
@juneydeatakujadaimondomar55492 жыл бұрын
Masha Alla mjomba
@stellahmsigwa64932 жыл бұрын
Mungu amlehem mjomba wangu
@khadijatonge36363 жыл бұрын
😢
@souvenirweber71693 жыл бұрын
😭😭😭 inauma mno
@singleparent74832 жыл бұрын
Dah jamani tusiwatenge wtt na mzee mmoja shida ndo kama hii
@nurubrown31543 жыл бұрын
so pain😢
@tanzaniatouristsattraction16223 жыл бұрын
Pole sana
@omaryshabani3389
Жыл бұрын
nini sasa nanyie mnatukatisha sitore
@sharmelasaif472 жыл бұрын
Mungu mwema kwakweli dah
@trifoniambilo24002 жыл бұрын
Najikuta nalia
@adidjakhalfani26613 жыл бұрын
😥😥
@user-kb7co8xk4oАй бұрын
Pole sana aise inauma
@rukiashunda93643 жыл бұрын
😥😥😥
@realramjen32703 жыл бұрын
Mjomba ni mama
@tricemollel67392 жыл бұрын
Jamani leo tena mpo juu saanaa! Ila watu ni wengi wanatafutana ila mngefanya kwa muda mrefu naona muda ni mfupi sana please 🙏
@lucylucy36782 жыл бұрын
Mjomba amekamilika kisawasawa,ndo maan nawapenda wajomba zang hatr .
@happykisarika1337
2 жыл бұрын
Wako vizur
@lucylucy3678
2 жыл бұрын
@@happykisarika1337 san my
@siwonikewilliam9146 Жыл бұрын
Pole sn
@maryamtanzania97432 жыл бұрын
Dahaa miezi 3 hata kama nina shida kiasi gani siwezi muacha mwanangu
@kiri58073 жыл бұрын
wanaume na nyie mutumie uzazi wa mpango hivyo hivyo.
@preciousprince9159 Жыл бұрын
Naomba namba za cloud maana nina uncle wangu hamjui baba yake
@marthageorge50432 жыл бұрын
😢😢🥰🥰🥰
@teklalumalanja17522 жыл бұрын
Tunaomba namba zenu studio
@mercynadia31402 жыл бұрын
Hii story umeniuma sana mpaka nimelia,yaani unamtafuta mama unakuta ameshafariki jamaniii
@estherbakari9534
2 жыл бұрын
Pole Sana
@MaryJohn-hh2ku
Жыл бұрын
Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini
@MaryJohn-hh2ku
Жыл бұрын
Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini
@merinajuma69483 жыл бұрын
😭😭😭😭😭sjui kwann nalia jmn
@user-br3sc8bm4t
2 жыл бұрын
Kiubinadam unaguswa na ttzo la mwenzio unajatibu kuvaa kiatu chake kinabana lzm chozi likutoke
@priscaalphonce1662
2 жыл бұрын
Dah Kama mimi nimelia Kama nimefiwa. sijui kwa kuwa mama yangu alifariki af nnavyotamani ningekua nae , continue rest in peace mama yangu. Upewe pumziko jema.
@alfredinafelix836 Жыл бұрын
Basi tu ni utukutu wetu wanadamu kukiyuka tamaduni na mipango ya kuishi iliyowekwa na wazee wetu walio tutangulia kuishi…kila mipango yao waliipanga kwa maana flani na ilikuwa na maana…unapopata mpenzi au mchumba msiishi kinyemela hadi kuzaa pasipo kufaamiana ktk familia ndicho kilichomkuta huyu mtoto…wazazi wake walijifanya wanajua
@nishaabdula50152 жыл бұрын
Ila. Wanawake jmn muda mwingine tuache ushetani ivi unamuacha mtt miaezi mitatu ili iweje hs alafu ktt km akujui na kusaidi utasema mbayq
@user-br3sc8bm4t
2 жыл бұрын
Muombe mungu sana kama uko kwenye ndoa au mahusiano na ukapitia wakati mgumu ukiwa na mtoto mdogo ,wale wenzangu na mie huwezi kushangaa hili kikubwa dua yasijirudie
@nishaabdula5015
2 жыл бұрын
@@user-br3sc8bm4t aise akuna kipindi chochote ambacho uweze pt ujasir unaacha mtt wako kwann uko unapo kimbilia usiki mbie na mwanao
@estermahenge5972
Жыл бұрын
Inaumiza kweli jamani bora ukimbie nae tu maana kumuacha Mtoto na usingizi unakua upati kbs😭😭
@Goldenbutterfly-hk1hp
Ай бұрын
Acha ujinga ww atakama umepata shida vp usiache mtoto wako@@user-br3sc8bm4t
@preciousprince9159 Жыл бұрын
Naombeni na mimi namba ya clouds
@ayshasaid1547Ай бұрын
Matangazo mengiiii du😢
@user-kb7co8xk4oАй бұрын
I see
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Kuzaa zaa ovyo ni shida jamanii hatari maskini na bara mikoa mikubwa tofauti na Zanzibar
@lydiahbhoke2284 Жыл бұрын
Nitaishi na watoto wangu jamani sitaki ushauri Waje kunitafuta
Mjomba hongera kwa kumfatilia mwanao na wote mlolifatilia hili jambo
@isamony58 Жыл бұрын
mnabowa matangazo marefuuu
@lucyigwathuigwathu80382 жыл бұрын
Mutoto. Ni. Mama.
@zulfashafeeq84372 жыл бұрын
Tunaombeni namba zunu
@stellahmsigwa6493
2 жыл бұрын
Kabisa kwa kwel
@quentinsylvia38772 жыл бұрын
Huyo baba alienda nae arusini Kwa kaka yake pengine alikua mchepuko ndiyo maana kijana hajamtambua
@omaryshabani3389
Жыл бұрын
mnaaribu matangazo
@stellahmsigwa64932 жыл бұрын
Wachaga hawaachagi watoto
@husnasalim96142 жыл бұрын
Masiki alafu anafanana namjomba yake
@barakamelkzedecknkini45143 жыл бұрын
Mimi Kama mdau, nashauri Kama itawezekana jaribuni kufuatilia upatikanaji wa huduma ya DNA. kipengele Cha DNA test kwa case Kama hizi Ni muhimu. Inawezekana ni ghari Sana sijui inagharimu kiasi gani, au utaratibu wa kisheria unasemaje, Ila litazameni. Kama Maury Show.
@alicedavido1330
3 жыл бұрын
Kwamba huamini au
@enockm6101
3 жыл бұрын
@@alicedavido1330 Mimi nimemwelewa sana @Baraka Nkini, ni sahihi kabisa maana inawezekana habari zinafanana ila watu ni tofauti. Kijana akajikuta kaingia kwenye familia ambayo siyo yake. Maana hapo ni vithibitsho vya midomo vimetumika na hamna hata sheria iliyotumika. Hebu fikiria hivi:- ikaja familia nyingine yenye story kama hii; Au mama mmoja kaibuka na kusema mimi sijafa na ndiye mama yako mzazi? mtamwamini yupi? ILa kazi waliyofanya siyo ndogo, kijana kama alikuwa anapoteza mwelekeo na kukata tamaa kashapata baadhi ya majibu aliyokuwa akijiuliza. Heko clouds
@jaycee9067
3 жыл бұрын
Umewaza mbali. Nafikiri ni vizuri ingefanyika hivyo.
@ashurakiswamba7085
2 жыл бұрын
Hiyo DNA anapimwa na mjomba km kitu CHAKO na mtu kajieleza vya kutosha. Mbona inatosha mtu anapata history na a Namjuwa ndugu yake
@ashurakiswamba7085
2 жыл бұрын
Huyo kijana wakat amefika moshi alihangaika na akapelekwa baadhi ya nyumba. Na ikadhindikana lakini alivyokuja clouds. Amejieleza vya kutosha na mpk mjomba aliposkia na mjomba ameambiambiwa tuu na amejiaminisha na kufunga safar usiku huo huo ndio ujue damu nzito kuliko maji. Sasa tulidi hy kupima DNA anapimwa na nanii kwa mfano baba anae mama kafa au mjomba? Tufahamisheni wajinga tupate elimu
@rahelngulwa96322 жыл бұрын
L
@portinagodson38363 жыл бұрын
MASIKINI KIJANA HAAMINI MPKA AONE KABURI LA MAMA YAKE JAMANI WAMAMA TUSIACHE WATOTO HATA IWEJE NIMEUMIA SANA😭😭😭
@ednaJF1028
Жыл бұрын
Yani nimeumia sana haki dah!
@badrahassan75132 жыл бұрын
Namtafuta baba yangu ni f.f.u alikua anafanya kaz pale kituo kimoja kabla ya kufika gereza la ukonga ukitokea mjini anaitwa Charles 😭😭😭😭
@@florakihwele9183 naogopa wachaga cjui naanzaje wacha nikae tu
@shamsamuhammad3677
2 жыл бұрын
mutafute to usiogope labda yupo mm mwenyew nitamusak my dady wangu sijawaikumuon nikimuliza mama ananifokea siku nitatinga studio we acha
@ashuuuaisha9122
Жыл бұрын
@@shamsamuhammad3677 nikupatie mfano mdogo tu .mimi nilipewa mimba bwana akasema kaitowe sitaki mtoto wa haramu na nina family yng. Wakati mwanzo hakusema haya. Mimi nikarudi kijijini nikazaa mtoto na aliponiambia nitowe mimba no yk nilifuta na tulikutana America. Mimi nikiwa mgeni si mwenyeji wa kule na niliporudi mpaka leo hii mtoto ananiona mimi napambana kwa ajili yake. Mfano sasa uwe wewe uniulize babayo hapo nitqkujibu nini? Maaana huwa nikimtizama mtoto ambaye alisema nimtowe waraah huwa simtamani kumuona na mpaka leo hii sijui kama yuhai au laah .ninachokijua mimi ni kutafuta maisha ili hata nikifa huyu mtoto nimuache kwenye kiota asiwe wa kuzunguka kwa ndugu
@nantaembanusurupia5674
2 ай бұрын
Mjomba ni mama😢
@majukigagaboy79313 жыл бұрын
Kwaupande Fulani mwamba anajitoa lakin Mama mjinga wa namna hyo siwezi kumtafta Mama wa mjinga alieniacha na miezi mitatu
@kiri5807
3 жыл бұрын
nazi haishindani na jiwe .
@houseofbeatytv9682
2 жыл бұрын
Usiseme ivo wew mshukuru tu mungu kama wazazi wako uponao
@ashurakiswamba7085
2 жыл бұрын
Anataka kumjuwa mama na ndugu zake wengine amefanya vizur
@lucymollel8212
2 жыл бұрын
Je kama huyo sio mjomba maana hii dunia ni tambala bovu wakapimwe DNA tu
@ashurakiswamba7085
2 жыл бұрын
@@lucymollel8212 wewe ndio unaona sio. Jomba subiria wewe yakikufika au kizaz CHAKO mtaenda kupima ujiridhishe maana nyie watu wa mtandaoni unapenda kuzungumza sasa watajuwa wenyewe sisi hayatuhusu km sio ama ndio
@khadijahali48373 жыл бұрын
Pole sana
@queenchalamila322
2 жыл бұрын
Jamani mungu awabarikisana nyie watu hata mm napenda kumjuwa baba angu aliniacha nikiwa na nyonya naitwa Nora ruwanda na baba yangu anaitwa hebethi ruwanda nampenda japo simunyui mnitafuti jamani
@omaryshabani3389
Жыл бұрын
mnabowa Sana tunamukumbuka mpaka marehemu ruge mtahaba
Пікірлер: 140
Cloud mimi ndio maana nawapenda sana mnafanya kazi kubwa sana ya kusaidia jamii.
Mimi nimelelewa na wazazi wote ila hili nimetoa macho Dr pole Sana kijana mwenzangu cloud #Mungu awe nanyi katika kazi yenu
CLOUDS Jumba la wabunifu,mnanikosha sana, NA HONGERENI SANA
NYIE CLOUDS Fm Mungu anawaona atawalipa tu,, atawaongezea mlipotoa kwa ajili ya watu Eeeh Mwenyezi Mungu nisaidie nami nimpate baba yangu mzazi natamani ajue kuwa nampenda hata kama hatujaonana miaka 29 mpaka leo
@sabihaibrahim143
2 жыл бұрын
Hee pole sana
@lucyjeremia1381
Жыл бұрын
Pole Sana
@victoriamazula5592
Ай бұрын
Mntangazo yalikuwa too much
Mungu akuwekee wajomba zako wakupende uwapende
Yaan alipoanza kujitambulisha mjomba me uso wote umejawa machozi hata sijielewi barikiwa mjomba 😭😭😭😭
pole sana kija mungu akutetee mjomba ni mama hivyo hongera sana mjomba kwa kumtafuta mtoto
Yani imeniuma kweli pole sana mdogo wangu
Mjomba is very smart man, na kina temba wako Barabara mungu waongoze na mtoto wenu anatia huruma sana..kukosa mapenzi ya mama yake.pole kwa sote hata mie
Yani ihii radio mungu awabariki sana tena sana maana mnasaidia sana sio kama radio nyingine kazi umbea tu utasikia za ndani apo anatetwa mtu
Leo Tena best radio program in Tanzania. 🙌🏿
Hongereni Clouds Media kwa kazi mnayoifanya ya kukutanisha familia zilizopteana,
Clouds mwenyezi Mungu hazidi kuwabariki sanaaa ktk kipindi icho Cha kuwatafuta waliopoteana 🙏
Dah clouds hongereni SANA. Mjomba ni mama
Pole Saana Mwanangu M/MUNGU Awajalie Mshikamano Upendo Na Amani Wewe Na Wajomba Zako Na Ndugu Na Jamaa Zako Wote
Dahuu love you Yan unaongea na masikitiko mpka nimetoa machoz dr
Hongera mjomba kwani duniya ilipo fikiya ni wachache wenye roho kama yakwako hongera da. Geya na timu mzima
Wa mma wengine awanaga uchingu wa m tto mm pia mma yangu alinicha nikiwa na umli mdogoo waka tengan na bba yangu nikalelewa na bbi. Tokaspo mma alikua anaishi mkoani. Lindi mm nikiwa dar tokaaapo mma akunitafuta. Ilammi ndonilimtafuta. Ata mmi sinadana upendo na mma. Bba ndo. Namuerewa saana. 😢
@eggysulle7988
Ай бұрын
😢
@salumbakari
Ай бұрын
😊😊😊😊
Pole kwa kupokea taarifa ya kifo cha mama yako najua imekuumiza
Jamani munafanya kazi nzuri sana naombeni nMimi minisaidie nimepoteana na familia yangu tunazaliwa tumbo moja tumepoteana kwa muda mrefusana
Mungu awabariki sana kwa kazi nzur san❤
Wakina mama tusiwaache watoto wetu tukubali hata kufa nao
@yassintaibrahim24
2 жыл бұрын
Kwa Kweli Dear
@user-ky6tv6lk5x
Ай бұрын
Yes my
@yasminoluoch169
Ай бұрын
Kuna mda inabidi 😢😢 mm nimejifunza kuto jurge sana
😭😭Dah tushikane na familya zetu hkn km Mam. Mama ndio kiungo cha familya
Hongera clouds fm mungu awabariki sanaaa
Hongera sana mjomba angu
it's very sad jamani . Yani hamu yote yakuonana na mama ndo imeishia hapo my heart is so broken haki💔💔
@rosehaule6765
Ай бұрын
😢😢
Mjomba ukiona anakutafuta na mama hayupo. Jua ana upendo sana, wachaga oyeeeeee
Duu inauma naimenigusa hatamm mwanangu yipo arusha baba yake atakinimuone nakudaii mm simpendii mwanangu inauma sana nanaumia sana polekijana baba zenu shida
Mjomba yupo vizuri sana 😍
@roseamos9930
2 жыл бұрын
😍😍
Mungu ni mwaminifu jaman,kijana anaonekana amekomaa kwaakil hata hajalia ila huyo baba yake jaman mmh. Hongeren clouds.
@irenekilawe9476
2 жыл бұрын
Mimi nimepotelewa na mjomba angu toka mwaka 1998 paka Sasa atujui aliko
Jamani nisaidieni nimpate babangu.
Hii story imeniliza💔
Masha Alla mjomba
Mungu amlehem mjomba wangu
😢
😭😭😭 inauma mno
Dah jamani tusiwatenge wtt na mzee mmoja shida ndo kama hii
so pain😢
Pole sana
@omaryshabani3389
Жыл бұрын
nini sasa nanyie mnatukatisha sitore
Mungu mwema kwakweli dah
Najikuta nalia
😥😥
Pole sana aise inauma
😥😥😥
Mjomba ni mama
Jamani leo tena mpo juu saanaa! Ila watu ni wengi wanatafutana ila mngefanya kwa muda mrefu naona muda ni mfupi sana please 🙏
Mjomba amekamilika kisawasawa,ndo maan nawapenda wajomba zang hatr .
@happykisarika1337
2 жыл бұрын
Wako vizur
@lucylucy3678
2 жыл бұрын
@@happykisarika1337 san my
Pole sn
Dahaa miezi 3 hata kama nina shida kiasi gani siwezi muacha mwanangu
wanaume na nyie mutumie uzazi wa mpango hivyo hivyo.
Naomba namba za cloud maana nina uncle wangu hamjui baba yake
😢😢🥰🥰🥰
Tunaomba namba zenu studio
Hii story umeniuma sana mpaka nimelia,yaani unamtafuta mama unakuta ameshafariki jamaniii
@estherbakari9534
2 жыл бұрын
Pole Sana
@MaryJohn-hh2ku
Жыл бұрын
Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini
@MaryJohn-hh2ku
Жыл бұрын
Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini
😭😭😭😭😭sjui kwann nalia jmn
@user-br3sc8bm4t
2 жыл бұрын
Kiubinadam unaguswa na ttzo la mwenzio unajatibu kuvaa kiatu chake kinabana lzm chozi likutoke
@priscaalphonce1662
2 жыл бұрын
Dah Kama mimi nimelia Kama nimefiwa. sijui kwa kuwa mama yangu alifariki af nnavyotamani ningekua nae , continue rest in peace mama yangu. Upewe pumziko jema.
Basi tu ni utukutu wetu wanadamu kukiyuka tamaduni na mipango ya kuishi iliyowekwa na wazee wetu walio tutangulia kuishi…kila mipango yao waliipanga kwa maana flani na ilikuwa na maana…unapopata mpenzi au mchumba msiishi kinyemela hadi kuzaa pasipo kufaamiana ktk familia ndicho kilichomkuta huyu mtoto…wazazi wake walijifanya wanajua
Ila. Wanawake jmn muda mwingine tuache ushetani ivi unamuacha mtt miaezi mitatu ili iweje hs alafu ktt km akujui na kusaidi utasema mbayq
@user-br3sc8bm4t
2 жыл бұрын
Muombe mungu sana kama uko kwenye ndoa au mahusiano na ukapitia wakati mgumu ukiwa na mtoto mdogo ,wale wenzangu na mie huwezi kushangaa hili kikubwa dua yasijirudie
@nishaabdula5015
2 жыл бұрын
@@user-br3sc8bm4t aise akuna kipindi chochote ambacho uweze pt ujasir unaacha mtt wako kwann uko unapo kimbilia usiki mbie na mwanao
@estermahenge5972
Жыл бұрын
Inaumiza kweli jamani bora ukimbie nae tu maana kumuacha Mtoto na usingizi unakua upati kbs😭😭
@Goldenbutterfly-hk1hp
Ай бұрын
Acha ujinga ww atakama umepata shida vp usiache mtoto wako@@user-br3sc8bm4t
Naombeni na mimi namba ya clouds
Matangazo mengiiii du😢
I see
Kuzaa zaa ovyo ni shida jamanii hatari maskini na bara mikoa mikubwa tofauti na Zanzibar
Nitaishi na watoto wangu jamani sitaki ushauri Waje kunitafuta
Mjomba mtu mzuri sana
@ukhtyrehemaabdy2830
Ай бұрын
Wachaga nawapenda sanaaaaa wanapendana mnoooo yaan atalelewa vizuri sanaaa
Jamani nisaidieni namba yenu tafadhari
Dah hii imeniuma 💔💔
Daa😭😭😭😭
Hatari san
Pôle sana ndugu yangu hiki kipindi kidumumilele
Daah
Mjomba hongera kwa kumfatilia mwanao na wote mlolifatilia hili jambo
mnabowa matangazo marefuuu
Mutoto. Ni. Mama.
Tunaombeni namba zunu
@stellahmsigwa6493
2 жыл бұрын
Kabisa kwa kwel
Huyo baba alienda nae arusini Kwa kaka yake pengine alikua mchepuko ndiyo maana kijana hajamtambua
@omaryshabani3389
Жыл бұрын
mnaaribu matangazo
Wachaga hawaachagi watoto
Masiki alafu anafanana namjomba yake
Mimi Kama mdau, nashauri Kama itawezekana jaribuni kufuatilia upatikanaji wa huduma ya DNA. kipengele Cha DNA test kwa case Kama hizi Ni muhimu. Inawezekana ni ghari Sana sijui inagharimu kiasi gani, au utaratibu wa kisheria unasemaje, Ila litazameni. Kama Maury Show.
@alicedavido1330
3 жыл бұрын
Kwamba huamini au
@enockm6101
3 жыл бұрын
@@alicedavido1330 Mimi nimemwelewa sana @Baraka Nkini, ni sahihi kabisa maana inawezekana habari zinafanana ila watu ni tofauti. Kijana akajikuta kaingia kwenye familia ambayo siyo yake. Maana hapo ni vithibitsho vya midomo vimetumika na hamna hata sheria iliyotumika. Hebu fikiria hivi:- ikaja familia nyingine yenye story kama hii; Au mama mmoja kaibuka na kusema mimi sijafa na ndiye mama yako mzazi? mtamwamini yupi? ILa kazi waliyofanya siyo ndogo, kijana kama alikuwa anapoteza mwelekeo na kukata tamaa kashapata baadhi ya majibu aliyokuwa akijiuliza. Heko clouds
@jaycee9067
3 жыл бұрын
Umewaza mbali. Nafikiri ni vizuri ingefanyika hivyo.
@ashurakiswamba7085
2 жыл бұрын
Hiyo DNA anapimwa na mjomba km kitu CHAKO na mtu kajieleza vya kutosha. Mbona inatosha mtu anapata history na a Namjuwa ndugu yake
@ashurakiswamba7085
2 жыл бұрын
Huyo kijana wakat amefika moshi alihangaika na akapelekwa baadhi ya nyumba. Na ikadhindikana lakini alivyokuja clouds. Amejieleza vya kutosha na mpk mjomba aliposkia na mjomba ameambiambiwa tuu na amejiaminisha na kufunga safar usiku huo huo ndio ujue damu nzito kuliko maji. Sasa tulidi hy kupima DNA anapimwa na nanii kwa mfano baba anae mama kafa au mjomba? Tufahamisheni wajinga tupate elimu
L
MASIKINI KIJANA HAAMINI MPKA AONE KABURI LA MAMA YAKE JAMANI WAMAMA TUSIACHE WATOTO HATA IWEJE NIMEUMIA SANA😭😭😭
@ednaJF1028
Жыл бұрын
Yani nimeumia sana haki dah!
Namtafuta baba yangu ni f.f.u alikua anafanya kaz pale kituo kimoja kabla ya kufika gereza la ukonga ukitokea mjini anaitwa Charles 😭😭😭😭
@faidhakaoneka883
2 жыл бұрын
Badra Hassan mzima wewe je waishi wapi?
@faidhakaoneka883
2 жыл бұрын
Njoo in box aixeee
@badrahassan7513
2 жыл бұрын
Naishi mlandizi kwa sasa
@estermahenge5972
Жыл бұрын
Wafate kina Gea chapu unampata
natamani kumtafuta babangu lkn naogopa cje akawa amekufa
@florakihwele9183
2 жыл бұрын
Mtafute tu ili ujue
@jenabmakobeh3694
2 жыл бұрын
@@florakihwele9183 naogopa wachaga cjui naanzaje wacha nikae tu
@shamsamuhammad3677
2 жыл бұрын
mutafute to usiogope labda yupo mm mwenyew nitamusak my dady wangu sijawaikumuon nikimuliza mama ananifokea siku nitatinga studio we acha
@ashuuuaisha9122
Жыл бұрын
@@shamsamuhammad3677 nikupatie mfano mdogo tu .mimi nilipewa mimba bwana akasema kaitowe sitaki mtoto wa haramu na nina family yng. Wakati mwanzo hakusema haya. Mimi nikarudi kijijini nikazaa mtoto na aliponiambia nitowe mimba no yk nilifuta na tulikutana America. Mimi nikiwa mgeni si mwenyeji wa kule na niliporudi mpaka leo hii mtoto ananiona mimi napambana kwa ajili yake. Mfano sasa uwe wewe uniulize babayo hapo nitqkujibu nini? Maaana huwa nikimtizama mtoto ambaye alisema nimtowe waraah huwa simtamani kumuona na mpaka leo hii sijui kama yuhai au laah .ninachokijua mimi ni kutafuta maisha ili hata nikifa huyu mtoto nimuache kwenye kiota asiwe wa kuzunguka kwa ndugu
@nantaembanusurupia5674
2 ай бұрын
Mjomba ni mama😢
Kwaupande Fulani mwamba anajitoa lakin Mama mjinga wa namna hyo siwezi kumtafta Mama wa mjinga alieniacha na miezi mitatu
@kiri5807
3 жыл бұрын
nazi haishindani na jiwe .
@houseofbeatytv9682
2 жыл бұрын
Usiseme ivo wew mshukuru tu mungu kama wazazi wako uponao
@ashurakiswamba7085
2 жыл бұрын
Anataka kumjuwa mama na ndugu zake wengine amefanya vizur
@lucymollel8212
2 жыл бұрын
Je kama huyo sio mjomba maana hii dunia ni tambala bovu wakapimwe DNA tu
@ashurakiswamba7085
2 жыл бұрын
@@lucymollel8212 wewe ndio unaona sio. Jomba subiria wewe yakikufika au kizaz CHAKO mtaenda kupima ujiridhishe maana nyie watu wa mtandaoni unapenda kuzungumza sasa watajuwa wenyewe sisi hayatuhusu km sio ama ndio
Pole sana
@queenchalamila322
2 жыл бұрын
Jamani mungu awabarikisana nyie watu hata mm napenda kumjuwa baba angu aliniacha nikiwa na nyonya naitwa Nora ruwanda na baba yangu anaitwa hebethi ruwanda nampenda japo simunyui mnitafuti jamani
@omaryshabani3389
Жыл бұрын
mnabowa Sana tunamukumbuka mpaka marehemu ruge mtahaba
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@omaryshabani3389 wanaboa nn