LIVE: MTOTO Amtafuta mama mzazi | Mjomba amueleza ukweli juu ya kifo cha mama yake..!

Ойын-сауық

#LEOTENA
LIVE Kijana Anakutana na MAMA yake Mzazi | KITAMBO kirefu Rasmi Apatikana | LEO TENA

Пікірлер: 140

  • @fatmabukuku5384
    @fatmabukuku53843 жыл бұрын

    Cloud mimi ndio maana nawapenda sana mnafanya kazi kubwa sana ya kusaidia jamii.

  • @moricemorice75
    @moricemorice753 жыл бұрын

    Mimi nimelelewa na wazazi wote ila hili nimetoa macho Dr pole Sana kijana mwenzangu cloud #Mungu awe nanyi katika kazi yenu

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah74903 жыл бұрын

    CLOUDS Jumba la wabunifu,mnanikosha sana, NA HONGERENI SANA

  • @godfreyjames8582
    @godfreyjames85823 жыл бұрын

    NYIE CLOUDS Fm Mungu anawaona atawalipa tu,, atawaongezea mlipotoa kwa ajili ya watu Eeeh Mwenyezi Mungu nisaidie nami nimpate baba yangu mzazi natamani ajue kuwa nampenda hata kama hatujaonana miaka 29 mpaka leo

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    2 жыл бұрын

    Hee pole sana

  • @lucyjeremia1381

    @lucyjeremia1381

    Жыл бұрын

    Pole Sana

  • @victoriamazula5592

    @victoriamazula5592

    Ай бұрын

    Mntangazo yalikuwa too much

  • @alhabsi6430
    @alhabsi64302 жыл бұрын

    Mungu akuwekee wajomba zako wakupende uwapende

  • @mariamthomas3902
    @mariamthomas3902 Жыл бұрын

    Yaan alipoanza kujitambulisha mjomba me uso wote umejawa machozi hata sijielewi barikiwa mjomba 😭😭😭😭

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Жыл бұрын

    pole sana kija mungu akutetee mjomba ni mama hivyo hongera sana mjomba kwa kumtafuta mtoto

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog67523 жыл бұрын

    Yani imeniuma kweli pole sana mdogo wangu

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 Жыл бұрын

    Mjomba is very smart man, na kina temba wako Barabara mungu waongoze na mtoto wenu anatia huruma sana..kukosa mapenzi ya mama yake.pole kwa sote hata mie

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 Жыл бұрын

    Yani ihii radio mungu awabariki sana tena sana maana mnasaidia sana sio kama radio nyingine kazi umbea tu utasikia za ndani apo anatetwa mtu

  • @jaycee9067
    @jaycee90673 жыл бұрын

    Leo Tena best radio program in Tanzania. 🙌🏿

  • @mozasaid3869
    @mozasaid38692 жыл бұрын

    Hongereni Clouds Media kwa kazi mnayoifanya ya kukutanisha familia zilizopteana,

  • @gracewambura8539
    @gracewambura85393 жыл бұрын

    Clouds mwenyezi Mungu hazidi kuwabariki sanaaa ktk kipindi icho Cha kuwatafuta waliopoteana 🙏

  • @muddysasma3037
    @muddysasma30373 жыл бұрын

    Dah clouds hongereni SANA. Mjomba ni mama

  • @yassintaibrahim24
    @yassintaibrahim242 жыл бұрын

    Pole Saana Mwanangu M/MUNGU Awajalie Mshikamano Upendo Na Amani Wewe Na Wajomba Zako Na Ndugu Na Jamaa Zako Wote

  • @moricemorice75
    @moricemorice753 жыл бұрын

    Dahuu love you Yan unaongea na masikitiko mpka nimetoa machoz dr

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi22872 жыл бұрын

    Hongera mjomba kwani duniya ilipo fikiya ni wachache wenye roho kama yakwako hongera da. Geya na timu mzima

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du9 ай бұрын

    Wa mma wengine awanaga uchingu wa m tto mm pia mma yangu alinicha nikiwa na umli mdogoo waka tengan na bba yangu nikalelewa na bbi. Tokaspo mma alikua anaishi mkoani. Lindi mm nikiwa dar tokaaapo mma akunitafuta. Ilammi ndonilimtafuta. Ata mmi sinadana upendo na mma. Bba ndo. Namuerewa saana. 😢

  • @eggysulle7988

    @eggysulle7988

    Ай бұрын

    😢

  • @salumbakari

    @salumbakari

    Ай бұрын

    😊😊😊😊

  • @agyjackkalwela6377
    @agyjackkalwela63772 жыл бұрын

    Pole kwa kupokea taarifa ya kifo cha mama yako najua imekuumiza

  • @mwanamwantumazizi1869
    @mwanamwantumazizi18692 жыл бұрын

    Jamani munafanya kazi nzuri sana naombeni nMimi minisaidie nimepoteana na familia yangu tunazaliwa tumbo moja tumepoteana kwa muda mrefusana

  • @user-mc6um1it1r
    @user-mc6um1it1r Жыл бұрын

    Mungu awabariki sana kwa kazi nzur san❤

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi62442 жыл бұрын

    Wakina mama tusiwaache watoto wetu tukubali hata kufa nao

  • @yassintaibrahim24

    @yassintaibrahim24

    2 жыл бұрын

    Kwa Kweli Dear

  • @user-ky6tv6lk5x

    @user-ky6tv6lk5x

    Ай бұрын

    Yes my

  • @yasminoluoch169

    @yasminoluoch169

    Ай бұрын

    Kuna mda inabidi 😢😢 mm nimejifunza kuto jurge sana

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 Жыл бұрын

    😭😭Dah tushikane na familya zetu hkn km Mam. Mama ndio kiungo cha familya

  • @diyaosman6268
    @diyaosman62683 жыл бұрын

    Hongera clouds fm mungu awabariki sanaaa

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa64932 жыл бұрын

    Hongera sana mjomba angu

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Жыл бұрын

    it's very sad jamani . Yani hamu yote yakuonana na mama ndo imeishia hapo my heart is so broken haki💔💔

  • @rosehaule6765

    @rosehaule6765

    Ай бұрын

    😢😢

  • @munirahassan5013
    @munirahassan5013Ай бұрын

    Mjomba ukiona anakutafuta na mama hayupo. Jua ana upendo sana, wachaga oyeeeeee

  • @MADAMMACKTV
    @MADAMMACKTV2 жыл бұрын

    Duu inauma naimenigusa hatamm mwanangu yipo arusha baba yake atakinimuone nakudaii mm simpendii mwanangu inauma sana nanaumia sana polekijana baba zenu shida

  • @roseamos9930
    @roseamos99302 жыл бұрын

    Mjomba yupo vizuri sana 😍

  • @roseamos9930

    @roseamos9930

    2 жыл бұрын

    😍😍

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa43673 жыл бұрын

    Mungu ni mwaminifu jaman,kijana anaonekana amekomaa kwaakil hata hajalia ila huyo baba yake jaman mmh. Hongeren clouds.

  • @irenekilawe9476

    @irenekilawe9476

    2 жыл бұрын

    Mimi nimepotelewa na mjomba angu toka mwaka 1998 paka Sasa atujui aliko

  • @UpendoLukas-s1u
    @UpendoLukas-s1u14 күн бұрын

    Jamani nisaidieni nimpate babangu.

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch1692 жыл бұрын

    Hii story imeniliza💔

  • @juneydeatakujadaimondomar5549
    @juneydeatakujadaimondomar55492 жыл бұрын

    Masha Alla mjomba

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa64932 жыл бұрын

    Mungu amlehem mjomba wangu

  • @khadijatonge3636
    @khadijatonge36363 жыл бұрын

    😢

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber71693 жыл бұрын

    😭😭😭 inauma mno

  • @singleparent7483
    @singleparent74832 жыл бұрын

    Dah jamani tusiwatenge wtt na mzee mmoja shida ndo kama hii

  • @nurubrown3154
    @nurubrown31543 жыл бұрын

    so pain😢

  • @tanzaniatouristsattraction1622
    @tanzaniatouristsattraction16223 жыл бұрын

    Pole sana

  • @omaryshabani3389

    @omaryshabani3389

    Жыл бұрын

    nini sasa nanyie mnatukatisha sitore

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif472 жыл бұрын

    Mungu mwema kwakweli dah

  • @trifoniambilo2400
    @trifoniambilo24002 жыл бұрын

    Najikuta nalia

  • @adidjakhalfani2661
    @adidjakhalfani26613 жыл бұрын

    😥😥

  • @user-kb7co8xk4o
    @user-kb7co8xk4oАй бұрын

    Pole sana aise inauma

  • @rukiashunda9364
    @rukiashunda93643 жыл бұрын

    😥😥😥

  • @realramjen3270
    @realramjen32703 жыл бұрын

    Mjomba ni mama

  • @tricemollel6739
    @tricemollel67392 жыл бұрын

    Jamani leo tena mpo juu saanaa! Ila watu ni wengi wanatafutana ila mngefanya kwa muda mrefu naona muda ni mfupi sana please 🙏

  • @lucylucy3678
    @lucylucy36782 жыл бұрын

    Mjomba amekamilika kisawasawa,ndo maan nawapenda wajomba zang hatr .

  • @happykisarika1337

    @happykisarika1337

    2 жыл бұрын

    Wako vizur

  • @lucylucy3678

    @lucylucy3678

    2 жыл бұрын

    @@happykisarika1337 san my

  • @siwonikewilliam9146
    @siwonikewilliam9146 Жыл бұрын

    Pole sn

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania97432 жыл бұрын

    Dahaa miezi 3 hata kama nina shida kiasi gani siwezi muacha mwanangu

  • @kiri5807
    @kiri58073 жыл бұрын

    wanaume na nyie mutumie uzazi wa mpango hivyo hivyo.

  • @preciousprince9159
    @preciousprince9159 Жыл бұрын

    Naomba namba za cloud maana nina uncle wangu hamjui baba yake

  • @marthageorge5043
    @marthageorge50432 жыл бұрын

    😢😢🥰🥰🥰

  • @teklalumalanja1752
    @teklalumalanja17522 жыл бұрын

    Tunaomba namba zenu studio

  • @mercynadia3140
    @mercynadia31402 жыл бұрын

    Hii story umeniuma sana mpaka nimelia,yaani unamtafuta mama unakuta ameshafariki jamaniii

  • @estherbakari9534

    @estherbakari9534

    2 жыл бұрын

    Pole Sana

  • @MaryJohn-hh2ku

    @MaryJohn-hh2ku

    Жыл бұрын

    Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini

  • @MaryJohn-hh2ku

    @MaryJohn-hh2ku

    Жыл бұрын

    Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini

  • @merinajuma6948
    @merinajuma69483 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭sjui kwann nalia jmn

  • @user-br3sc8bm4t

    @user-br3sc8bm4t

    2 жыл бұрын

    Kiubinadam unaguswa na ttzo la mwenzio unajatibu kuvaa kiatu chake kinabana lzm chozi likutoke

  • @priscaalphonce1662

    @priscaalphonce1662

    2 жыл бұрын

    Dah Kama mimi nimelia Kama nimefiwa. sijui kwa kuwa mama yangu alifariki af nnavyotamani ningekua nae , continue rest in peace mama yangu. Upewe pumziko jema.

  • @alfredinafelix836
    @alfredinafelix836 Жыл бұрын

    Basi tu ni utukutu wetu wanadamu kukiyuka tamaduni na mipango ya kuishi iliyowekwa na wazee wetu walio tutangulia kuishi…kila mipango yao waliipanga kwa maana flani na ilikuwa na maana…unapopata mpenzi au mchumba msiishi kinyemela hadi kuzaa pasipo kufaamiana ktk familia ndicho kilichomkuta huyu mtoto…wazazi wake walijifanya wanajua

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula50152 жыл бұрын

    Ila. Wanawake jmn muda mwingine tuache ushetani ivi unamuacha mtt miaezi mitatu ili iweje hs alafu ktt km akujui na kusaidi utasema mbayq

  • @user-br3sc8bm4t

    @user-br3sc8bm4t

    2 жыл бұрын

    Muombe mungu sana kama uko kwenye ndoa au mahusiano na ukapitia wakati mgumu ukiwa na mtoto mdogo ,wale wenzangu na mie huwezi kushangaa hili kikubwa dua yasijirudie

  • @nishaabdula5015

    @nishaabdula5015

    2 жыл бұрын

    @@user-br3sc8bm4t aise akuna kipindi chochote ambacho uweze pt ujasir unaacha mtt wako kwann uko unapo kimbilia usiki mbie na mwanao

  • @estermahenge5972

    @estermahenge5972

    Жыл бұрын

    Inaumiza kweli jamani bora ukimbie nae tu maana kumuacha Mtoto na usingizi unakua upati kbs😭😭

  • @Goldenbutterfly-hk1hp

    @Goldenbutterfly-hk1hp

    Ай бұрын

    Acha ujinga ww atakama umepata shida vp usiache mtoto wako​@@user-br3sc8bm4t

  • @preciousprince9159
    @preciousprince9159 Жыл бұрын

    Naombeni na mimi namba ya clouds

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547Ай бұрын

    Matangazo mengiiii du😢

  • @user-kb7co8xk4o
    @user-kb7co8xk4oАй бұрын

    I see

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim1432 жыл бұрын

    Kuzaa zaa ovyo ni shida jamanii hatari maskini na bara mikoa mikubwa tofauti na Zanzibar

  • @lydiahbhoke2284
    @lydiahbhoke2284 Жыл бұрын

    Nitaishi na watoto wangu jamani sitaki ushauri Waje kunitafuta

  • @juneydeatakujadaimondomar5549
    @juneydeatakujadaimondomar55492 жыл бұрын

    Mjomba mtu mzuri sana

  • @ukhtyrehemaabdy2830

    @ukhtyrehemaabdy2830

    Ай бұрын

    Wachaga nawapenda sanaaaaa wanapendana mnoooo yaan atalelewa vizuri sanaaa

  • @devothakawogo3460
    @devothakawogo3460 Жыл бұрын

    Jamani nisaidieni namba yenu tafadhari

  • @JacklinDavid
    @JacklinDavidАй бұрын

    Dah hii imeniuma 💔💔

  • @marygregory7566
    @marygregory75662 жыл бұрын

    Daa😭😭😭😭

  • @samissa1755
    @samissa17553 жыл бұрын

    Hatari san

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Жыл бұрын

    Pôle sana ndugu yangu hiki kipindi kidumumilele

  • @mspwjjjso6261
    @mspwjjjso6261 Жыл бұрын

    Daah

  • @farhatomar78
    @farhatomar782 жыл бұрын

    Mjomba hongera kwa kumfatilia mwanao na wote mlolifatilia hili jambo

  • @isamony58
    @isamony58 Жыл бұрын

    mnabowa matangazo marefuuu

  • @lucyigwathuigwathu8038
    @lucyigwathuigwathu80382 жыл бұрын

    Mutoto. Ni. Mama.

  • @zulfashafeeq8437
    @zulfashafeeq84372 жыл бұрын

    Tunaombeni namba zunu

  • @stellahmsigwa6493

    @stellahmsigwa6493

    2 жыл бұрын

    Kabisa kwa kwel

  • @quentinsylvia3877
    @quentinsylvia38772 жыл бұрын

    Huyo baba alienda nae arusini Kwa kaka yake pengine alikua mchepuko ndiyo maana kijana hajamtambua

  • @omaryshabani3389

    @omaryshabani3389

    Жыл бұрын

    mnaaribu matangazo

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa64932 жыл бұрын

    Wachaga hawaachagi watoto

  • @husnasalim9614
    @husnasalim96142 жыл бұрын

    Masiki alafu anafanana namjomba yake

  • @barakamelkzedecknkini4514
    @barakamelkzedecknkini45143 жыл бұрын

    Mimi Kama mdau, nashauri Kama itawezekana jaribuni kufuatilia upatikanaji wa huduma ya DNA. kipengele Cha DNA test kwa case Kama hizi Ni muhimu. Inawezekana ni ghari Sana sijui inagharimu kiasi gani, au utaratibu wa kisheria unasemaje, Ila litazameni. Kama Maury Show.

  • @alicedavido1330

    @alicedavido1330

    3 жыл бұрын

    Kwamba huamini au

  • @enockm6101

    @enockm6101

    3 жыл бұрын

    @@alicedavido1330 Mimi nimemwelewa sana @Baraka Nkini, ni sahihi kabisa maana inawezekana habari zinafanana ila watu ni tofauti. Kijana akajikuta kaingia kwenye familia ambayo siyo yake. Maana hapo ni vithibitsho vya midomo vimetumika na hamna hata sheria iliyotumika. Hebu fikiria hivi:- ikaja familia nyingine yenye story kama hii; Au mama mmoja kaibuka na kusema mimi sijafa na ndiye mama yako mzazi? mtamwamini yupi? ILa kazi waliyofanya siyo ndogo, kijana kama alikuwa anapoteza mwelekeo na kukata tamaa kashapata baadhi ya majibu aliyokuwa akijiuliza. Heko clouds

  • @jaycee9067

    @jaycee9067

    3 жыл бұрын

    Umewaza mbali. Nafikiri ni vizuri ingefanyika hivyo.

  • @ashurakiswamba7085

    @ashurakiswamba7085

    2 жыл бұрын

    Hiyo DNA anapimwa na mjomba km kitu CHAKO na mtu kajieleza vya kutosha. Mbona inatosha mtu anapata history na a Namjuwa ndugu yake

  • @ashurakiswamba7085

    @ashurakiswamba7085

    2 жыл бұрын

    Huyo kijana wakat amefika moshi alihangaika na akapelekwa baadhi ya nyumba. Na ikadhindikana lakini alivyokuja clouds. Amejieleza vya kutosha na mpk mjomba aliposkia na mjomba ameambiambiwa tuu na amejiaminisha na kufunga safar usiku huo huo ndio ujue damu nzito kuliko maji. Sasa tulidi hy kupima DNA anapimwa na nanii kwa mfano baba anae mama kafa au mjomba? Tufahamisheni wajinga tupate elimu

  • @rahelngulwa9632
    @rahelngulwa96322 жыл бұрын

    L

  • @portinagodson3836
    @portinagodson38363 жыл бұрын

    MASIKINI KIJANA HAAMINI MPKA AONE KABURI LA MAMA YAKE JAMANI WAMAMA TUSIACHE WATOTO HATA IWEJE NIMEUMIA SANA😭😭😭

  • @ednaJF1028

    @ednaJF1028

    Жыл бұрын

    Yani nimeumia sana haki dah!

  • @badrahassan7513
    @badrahassan75132 жыл бұрын

    Namtafuta baba yangu ni f.f.u alikua anafanya kaz pale kituo kimoja kabla ya kufika gereza la ukonga ukitokea mjini anaitwa Charles 😭😭😭😭

  • @faidhakaoneka883

    @faidhakaoneka883

    2 жыл бұрын

    Badra Hassan mzima wewe je waishi wapi?

  • @faidhakaoneka883

    @faidhakaoneka883

    2 жыл бұрын

    Njoo in box aixeee

  • @badrahassan7513

    @badrahassan7513

    2 жыл бұрын

    Naishi mlandizi kwa sasa

  • @estermahenge5972

    @estermahenge5972

    Жыл бұрын

    Wafate kina Gea chapu unampata

  • @jenabmakobeh3694
    @jenabmakobeh36942 жыл бұрын

    natamani kumtafuta babangu lkn naogopa cje akawa amekufa

  • @florakihwele9183

    @florakihwele9183

    2 жыл бұрын

    Mtafute tu ili ujue

  • @jenabmakobeh3694

    @jenabmakobeh3694

    2 жыл бұрын

    @@florakihwele9183 naogopa wachaga cjui naanzaje wacha nikae tu

  • @shamsamuhammad3677

    @shamsamuhammad3677

    2 жыл бұрын

    mutafute to usiogope labda yupo mm mwenyew nitamusak my dady wangu sijawaikumuon nikimuliza mama ananifokea siku nitatinga studio we acha

  • @ashuuuaisha9122

    @ashuuuaisha9122

    Жыл бұрын

    ​@@shamsamuhammad3677 nikupatie mfano mdogo tu .mimi nilipewa mimba bwana akasema kaitowe sitaki mtoto wa haramu na nina family yng. Wakati mwanzo hakusema haya. Mimi nikarudi kijijini nikazaa mtoto na aliponiambia nitowe mimba no yk nilifuta na tulikutana America. Mimi nikiwa mgeni si mwenyeji wa kule na niliporudi mpaka leo hii mtoto ananiona mimi napambana kwa ajili yake. Mfano sasa uwe wewe uniulize babayo hapo nitqkujibu nini? Maaana huwa nikimtizama mtoto ambaye alisema nimtowe waraah huwa simtamani kumuona na mpaka leo hii sijui kama yuhai au laah .ninachokijua mimi ni kutafuta maisha ili hata nikifa huyu mtoto nimuache kwenye kiota asiwe wa kuzunguka kwa ndugu

  • @nantaembanusurupia5674

    @nantaembanusurupia5674

    2 ай бұрын

    Mjomba ni mama😢

  • @majukigagaboy7931
    @majukigagaboy79313 жыл бұрын

    Kwaupande Fulani mwamba anajitoa lakin Mama mjinga wa namna hyo siwezi kumtafta Mama wa mjinga alieniacha na miezi mitatu

  • @kiri5807

    @kiri5807

    3 жыл бұрын

    nazi haishindani na jiwe .

  • @houseofbeatytv9682

    @houseofbeatytv9682

    2 жыл бұрын

    Usiseme ivo wew mshukuru tu mungu kama wazazi wako uponao

  • @ashurakiswamba7085

    @ashurakiswamba7085

    2 жыл бұрын

    Anataka kumjuwa mama na ndugu zake wengine amefanya vizur

  • @lucymollel8212

    @lucymollel8212

    2 жыл бұрын

    Je kama huyo sio mjomba maana hii dunia ni tambala bovu wakapimwe DNA tu

  • @ashurakiswamba7085

    @ashurakiswamba7085

    2 жыл бұрын

    @@lucymollel8212 wewe ndio unaona sio. Jomba subiria wewe yakikufika au kizaz CHAKO mtaenda kupima ujiridhishe maana nyie watu wa mtandaoni unapenda kuzungumza sasa watajuwa wenyewe sisi hayatuhusu km sio ama ndio

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48373 жыл бұрын

    Pole sana

  • @queenchalamila322

    @queenchalamila322

    2 жыл бұрын

    Jamani mungu awabarikisana nyie watu hata mm napenda kumjuwa baba angu aliniacha nikiwa na nyonya naitwa Nora ruwanda na baba yangu anaitwa hebethi ruwanda nampenda japo simunyui mnitafuti jamani

  • @omaryshabani3389

    @omaryshabani3389

    Жыл бұрын

    mnabowa Sana tunamukumbuka mpaka marehemu ruge mtahaba

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    Жыл бұрын

    @@omaryshabani3389 wanaboa nn

Келесі