'Niliacha muziki nikaingia kwasababu ya dawa za kulevya'

Wakati Dunia ikiadhimisha siku ya kupambana na dawa za kulevya Juni 26, Umoja wa mataifa unasema zaidi ya asilimia 70 ya waliopata tiba ni vijana chini ya umri wa miaka 35.
Jacob Yona, maarufu kama Jaco B ambaye aliwahi kuwa masanii wa kundi maarufu la wasanii jiji Arusha Tanzania la WATENGWA.
Alianguka kwenye uraibu wa dawa za kulevya kwa miaka 12 na kusababisha kupoteza mwelekeo na kuachana na muziki kisha kujiingiza kwenye uhalifu ukiwemo wizi kabla ya kupata usaidizi mwaka 2017.
Sasa ana endesha nyumba ya kuwahudumia waathirika wa dawa za kulevya yaani sober house.
#bbcswahili #tanzania #dawazakulevya
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Пікірлер

    Келесі