January Makamba: Namkumbuka Jakaya Kikwete Sana, Mange Kimambi atakuwa na Majibu Sahihi.

Ойын-сауық

All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 30

  • @magallahramadhani7879
    @magallahramadhani78794 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni bonge la kiongozi tatizo alikutana na watangazaji vilaza sana

  • @loatalothi8784
    @loatalothi87846 жыл бұрын

    Heshima yako Muheshimiwa Jan.upo vizuri nimeipenda hekima yako kisiasa.Mungu akuzidishe.

  • @jahshijaafari150
    @jahshijaafari1505 жыл бұрын

    Yes January I think you will be the best leader of our country usikate tamaa unaposhambuliwa na mahasimu wako

  • @eng.thomasbobo6674
    @eng.thomasbobo66746 жыл бұрын

    Thank you Temidayo for a good question

  • @alexwallace7151
    @alexwallace71517 жыл бұрын

    mheshimiwa January nimekuelewa sn aisee

  • @zahararajaburajabu2763
    @zahararajaburajabu27636 жыл бұрын

    Baba makamba nakuona umbuje

  • @hunterrashid5251
    @hunterrashid52515 жыл бұрын

    Baada ya kuuliza ni kwanini tukitoa vitu zanzibar kuleta bara tunavilipia kodi anauliza mambo ya mavazi angeruhusu text au sim wasikilizaji waulize maswali

  • @awadhikanyawana4808
    @awadhikanyawana48085 жыл бұрын

    Bro una utulivu wa hali ya juu sana unastahili kuwa kiongozi

  • @benedictkiteji5089
    @benedictkiteji50895 жыл бұрын

    Kiongoziborasana ww makamba

  • @muhibuissa1163
    @muhibuissa11637 жыл бұрын

    Kweli uyu mtangazaji amechemsha sana mana maswali anayo muuliza mhe ayasisimui na hayaeleweki nafikili hajajipanga

  • @maomkuhuranye470

    @maomkuhuranye470

    7 жыл бұрын

    Ndo utaratibu wao bana msiwe mnapenda kuuliza maswali yasiyo na misingi

  • @benny4345
    @benny43457 жыл бұрын

    Dah huyu mtangazaji sasa, mbona anachanganya madesa! Mara mazingira, mara mavazi, mara chakula! Taabu kweli kweli!

  • @vallencmtui7606
    @vallencmtui76067 жыл бұрын

    Ukishindwa kumuuliza mtu maswali ya msingi kutokana na nafasi ya mtu alonayo unakuwa umewakosesha watu haki yao yakujua.Mtangazaji hukujipanga vzr na ulikuwa unazungumza sentensi ndefu inayopoteza mwelekeo wa swali.

  • @emmanuelmacha1222
    @emmanuelmacha12227 жыл бұрын

    Barua ya sheha huwa inahitajika kama mtu anayesafiri kutoka Zanzibar kuja bara anasafirisha vitu na anasema sio kwaajili ya biashara bali ni vitu alivyokuwa akitumia kule anarejesha bara. Barua hiyo ya kutoka kwa sheha ni kwaajili ya kuthibitisha kwamba anamfahamu mkazi huyo na pia kuthibitisha kwamba vile vitu vilikuwa ni vya matumizi ya nyumbani na si kwaajili ya biashara.

  • @fadhiliramadhani434
    @fadhiliramadhani4345 жыл бұрын

    Watangazaji Hamna swaga kabisa ulizeni maswali yamsingi bac

  • @willymbwambo3478
    @willymbwambo34786 жыл бұрын

    Kila jambo halikosi kelele liwe baya au zuri

  • @hajisasha850
    @hajisasha8506 жыл бұрын

    uwezo wake na wizara aliyopewa zamana kuhisimamia ni ndogo cn alistahili apewe wizara amabyo ni kubwa au inayotazamwa zaid yuko vizur katik kutumia Elimu aliyonayo

  • @fettylisheshassan1390
    @fettylisheshassan13907 жыл бұрын

    dah mtangazaji zero Ana uliza maswali bila kiji jibu kichwani

  • @makongorojulius4965
    @makongorojulius49655 жыл бұрын

    Jilinde na ujitunze kwa neema za ALLAH 2025 ni wewe tu hamna namna

  • @shuwehaharunaomariikwena233
    @shuwehaharunaomariikwena2337 жыл бұрын

    huyu babu sijawahi kumuona nywele

  • @ommarymzee1161
    @ommarymzee11617 жыл бұрын

    mwaka 2025 my president

  • @balozimchomvu7779
    @balozimchomvu77796 жыл бұрын

    Unajielewa makamba. Continue maintaining low profile brother.

  • @jasmineshechambo3401

    @jasmineshechambo3401

    5 жыл бұрын

    Watanga ndio zetu🤣

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam99607 жыл бұрын

    Watu walikuwa Miungu watu miaka ile.Wanaingiza magari ovyo ovyo na kuhonga wanawake na kuyaendesha hata miaka bila hata kuweka plate tag.

  • @ommarymzee1161

    @ommarymzee1161

    7 жыл бұрын

    katarina william kwel

  • @mohammedmaalim6454
    @mohammedmaalim64545 жыл бұрын

    Huyu mtangazaji ametumwa nini aache ujinga basi

  • @ibnuhajartvonline2448

    @ibnuhajartvonline2448

    5 жыл бұрын

    Duuuuu

  • @fettylisheshassan1390
    @fettylisheshassan13907 жыл бұрын

    mtangazaji kafeli hata nenda kijijini utaona kuhusu mavazi, muheshimu kakujibu hata ajatumia akili nyingi, shem of mtangazaji

  • @khalfankassu5784

    @khalfankassu5784

    7 жыл бұрын

    fettylishes hassan hey

  • @fadhiliramadhani434
    @fadhiliramadhani4345 жыл бұрын

    Watangazaji Hamna swaga kabisa ulizeni maswali yamsingi bac

Келесі