MUSUKUMA Afunguka Kuhusu 'SUKUMA GANG' - "KIGOGO ANAJULIKANA, MAGUFULI ALIKUA NA MISIMAMO"

MUSUKUMA Afunguka Kuhusu 'SUKUMA GANG' - "KIGOGO ANAJULIKANA, MAGUFULI ALIKUA NA MISIMAMO"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#MsumariWaMoto #CharlesZungu #WasafiTV

Пікірлер: 357

  • @maximilianrodgers2751
    @maximilianrodgers27512 жыл бұрын

    Best segment in Wasafi media

  • @ndamezerevocatus1078

    @ndamezerevocatus1078

    2 жыл бұрын

    Msukuma unapendeza ukifanya kila unacho kijua vzr,! Nakushauri usiwe unachomekea maneno ya kiswaenglish! Coz unakua umeshatupa madini then unaharibu kwa kiswaenglish chako

  • @saidimsonjele5672

    @saidimsonjele5672

    2 жыл бұрын

    0

  • @nestor384
    @nestor3842 жыл бұрын

    Very brilliant Musukuma Akili kama yako ndiyo ilikuwa ndani ya Dr. JPM, Hustlers for excellence no matter what! Nimependa maelezo yako pia katika SUKUMA GANG upuuzi wa WAHUNI kutengeneza neno lenye character killing kwa watu wa kanda ya ziwa. Akili kubwa sana.

  • @bartholomewkunzugala5946
    @bartholomewkunzugala59462 жыл бұрын

    Namkubali Msukuma kuhusu Elimu. Wasomi wetu zaidi ya 95asilimia wanajivunia sana vyeti na hawana tija kwa taifa.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 жыл бұрын

    Dr. Musukuma.. Hongera kwa historia yenye kutia Moyo kwa watafutaji... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @bahatiunami3526
    @bahatiunami35262 жыл бұрын

    Yani katika wabunge wote walioko bungeni ..mm namuelewa uyu tu kaka

  • @majaliwaeliaskondeboy9117
    @majaliwaeliaskondeboy91172 жыл бұрын

    Wakorogwe tunakufaham kaka yetu🙏🙏🙏🙏

  • @zariadunia6328
    @zariadunia63282 жыл бұрын

    Interesting kwa kweli mungu akulinde inafundisha mengi inspirational

  • @ibel4lf
    @ibel4lf2 жыл бұрын

    Wamekupa maswali ya mitego na umeyapangua vizuri sana big up Sana

  • @olivambala3086
    @olivambala30862 жыл бұрын

    Safi musukuma uko poa kama polepole big up

  • @jisamjoseph4558
    @jisamjoseph45582 жыл бұрын

    Dr Msukuma you deserve that title PHD Mungu akubariki

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani72442 жыл бұрын

    Watanzania kwanini tusimpongeze mheshimiwa tusiwe na roho mbaya. This guy is so intelligent.

  • @rehemamsekeni8972
    @rehemamsekeni89722 жыл бұрын

    Umenisisimua sana na historia yako na una hekima sana kaka mungu akubariki sana na akupe uhai mrefu uje kuwa raisi wa Tanzania

  • @paulinacherement2534

    @paulinacherement2534

    2 жыл бұрын

    AMIIIN na kweli akigombea anapita vila kupingwa AMIIIN na uwe hivyo magufuri anaweza kurudi Tanzania.

  • @kedmonmaquiz
    @kedmonmaquiz2 жыл бұрын

    Bonge moja la interview... Bravo Msukuma

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement25342 жыл бұрын

    Mashallah ALLAH barik musukuma hakika wewe ni mfuasi wa magufuri.

  • @elinakizza8453
    @elinakizza84532 жыл бұрын

    BEST INTERVIEW EVER

  • @alexkameo6399

    @alexkameo6399

    2 жыл бұрын

    Safi sana Msingi wa utajiri wake ni uaminifu👌

  • @stanslauselias9002
    @stanslauselias90022 жыл бұрын

    Namukubali sana huyo mwamba

  • @jenifagideon3380
    @jenifagideon33802 жыл бұрын

    Hongera sana msukuma kwa kuwa mzalendo wa taslimali ya nchi yako

  • @justineombela1727
    @justineombela17272 жыл бұрын

    ninaitamani sana iyo kaz waliomsingizia msukuma alipokua korogwe. imefika mahali mpaka sehem yangu ya biashara nataka niipatie jina ilo😊😊

  • @japharykikoti3391
    @japharykikoti33912 жыл бұрын

    One of the best n best Interview..Msukuma is Kiongozi wa kweli.

  • @mamamanka1310

    @mamamanka1310

    2 жыл бұрын

    Naomba Nani nielekez chuo sense mwanangu nitashukuru

  • @alphonceshirima4186
    @alphonceshirima41862 жыл бұрын

    Huyu Jamaa ana akili kama sio maarifa...... Good segment. Hongereni sana.

  • @hamzalewinsky5043
    @hamzalewinsky50432 жыл бұрын

    Kasheku 🔥🙌🏾🙌🏾

  • @maximilianrodgers2751
    @maximilianrodgers27512 жыл бұрын

    Best segment in Wasafi media

  • @saidomary3370
    @saidomary33702 жыл бұрын

    msukuma unaongea ukwery kk mungu akuongoze kk simama kwenye haki

  • @joselinemwaki9665

    @joselinemwaki9665

    2 жыл бұрын

    Akili nyingi sana msukuma, mumuandalie mdahalo 😀

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi93132 жыл бұрын

    Sisi wa korogwe tunakufahamu sana, korogwe jimbo unapewa. Welcome back

  • @gasparyephraimmwakatuma9542
    @gasparyephraimmwakatuma95422 жыл бұрын

    Uko vizuri Dr Msukuma nakubaliana na wewe kwamba wanatumia ukabila kutia hofu ili wapate nafasi za karibu na nafasi ya urais, wamepotosha maana kwa sababu ya matumbo yao.

  • @mohamedlacha6515
    @mohamedlacha65152 жыл бұрын

    Hongera Msukuma. Unastahili kwa kuwa umeshika nafasi nyingi. Na unajiamini. Endelea na kuchapa kazi

  • @King_186
    @King_1862 жыл бұрын

    Msukuma amenyooka sana, ni mzalendo na anapigania sana maslahi ya watu wa chini,tuko wengi tunaokusapoti

  • @tanzaniapatrioticorganizat9413

    @tanzaniapatrioticorganizat9413

    2 жыл бұрын

    🇹🇿✅

  • @TichaRafiki
    @TichaRafiki2 жыл бұрын

    Anataka battle na Professor 🤣 amenikosha sana.

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho59472 жыл бұрын

    Wanaumia kwa sababu walikuwa bookworms. Miaka yote hawakuweza kushughulikia CSR ya Geita hata CSR policy ya taifa hamna!

  • @evaristmgaya9200
    @evaristmgaya92002 жыл бұрын

    Msukuma uko vizur nilikua nakuchukuliapoa uko vzr baba bigup

  • @salehemusa539
    @salehemusa5392 жыл бұрын

    Namshauri muheshimiwa msukuma aandike kitabu juu ya maisha yake yanaifundisha jamii kibiashara

  • @anordkingstar5793
    @anordkingstar57932 жыл бұрын

    Uko vizur san kiongoz,,, hapo kwenye sukuma gang,,, hata mimi kuna jitu et liliniita et wew utakua sukuma gang,,, wakati sielew chochote mimi,,, majinga tu hayo,, hukuna sukuma gang wala nini

  • @tizomelele4424
    @tizomelele44242 жыл бұрын

    Napenda hoja zake ziko strong na anajiamini pia yuko simple sana kweli wenye hela hawan mbwembwe

  • @kbingwa8860
    @kbingwa88602 жыл бұрын

    Kaka you're very smart man, you deserve to be a professor

  • @duweetherapytalk4656
    @duweetherapytalk46562 жыл бұрын

    WASAFI TV INAFANYA INTERVIEW SAFI SANA 🙏

  • @barakakusa7606
    @barakakusa76062 жыл бұрын

    Huyu jamaa namfuatiliaga yeye tu pale bungeni.

  • @edna9166
    @edna91662 жыл бұрын

    Msukuma yuko smart sana ukimsikiza anastahili kupewa udokta wa heshima akupewa kimakosa

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira65932 жыл бұрын

    Ni kweli wasomi wanakalili sana mambo ya nchi waliondika vitabu ambavyo vinaangalia uchumi wao na sio wetu.

  • @evancemshandete8871
    @evancemshandete88712 жыл бұрын

    Safi saana

  • @majeshijaphet918
    @majeshijaphet9182 жыл бұрын

    Nakukubali sana king 👑 msukuma

  • @ellyg7570
    @ellyg75702 жыл бұрын

    ‘Kama unaumia njoo uniue uchukue’☺️☺️☺️

  • @azariamaksibuxay6160
    @azariamaksibuxay61602 жыл бұрын

    Poa Mkuu uko vizuri wadarasa la saba tunakukubali Mungu akutangulie amina

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh7862 жыл бұрын

    Kama kuna watu wanataka wajuwe uliyofanya kwa jamii waje GEITA.

  • @shamilakalinga437

    @shamilakalinga437

    2 жыл бұрын

    Na wewe upo geita

  • @josephatmathiasgalagalabuh786

    @josephatmathiasgalagalabuh786

    2 жыл бұрын

    @@shamilakalinga437 upo wapi

  • @shamilakalinga437

    @shamilakalinga437

    2 жыл бұрын

    @@josephatmathiasgalagalabuh786 Oman ila kwetu ni geita bukoli huko

  • @zacharialameck1980

    @zacharialameck1980

    2 жыл бұрын

    Jaman Geita ytu inaendelea kwa speed ya rocket.

  • @shamilakalinga437

    @shamilakalinga437

    2 жыл бұрын

    @@zacharialameck1980 hata mimi nimeona

  • @blessbaysa5561
    @blessbaysa55612 жыл бұрын

    Msukuma nakukubali sana ww unafaa kua hata presdent

  • @allymwandoro312
    @allymwandoro3122 жыл бұрын

    Mungu atujaalie inshallah nimeipenda hii

  • @gracegrace6200
    @gracegrace62002 жыл бұрын

    Kulikuwa hakuna secondary school za kutosha. Watoto wa wakubwa ndiyo walikuwa wakishinda mitihani bila ya kuwa na akili bali kwa kujulikana. Kwa sasa ndiyo maana tuna viongozi wengi ni wajinga. Hawakushinda mitihani kwa akiri bali kwa kusukumwa kama mabehewa.

  • @mashirimathias6006

    @mashirimathias6006

    2 жыл бұрын

    Madam sio wajinga tu Bali viongozi wengi ni vilaza hawana lolote tofauti na kutumikia matumbo yao

  • @mashirimathias6006

    @mashirimathias6006

    2 жыл бұрын

    Angalia elimu yetu yenyewe ni ya ajabu mpaka tosha elimu hii ndio inayochangia umaskini mkubwa taifani kwetu tz.

  • @paulinacherement2534

    @paulinacherement2534

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @abuelolongavida7261
    @abuelolongavida72612 жыл бұрын

    Hiki ni kidhibiti tosha ya kuwa akili na elimu huweza kuwa vitu viwili tofauti, wabongo tungeweza kutumia heshima aliyopewa Msukuma kwa njia chanya ila badala yake wengi wajinga walianza kumbeza na kuibeza PHD yake kwa upeo wao mdogo walionao.... 'Honorary Causa' PHD inaheshimika sana, hasa kwa wasomi wa kweli.... Prof Kabudi aliwahi sema hili bungeni nimemnukuu!

  • @saidomary3370
    @saidomary33702 жыл бұрын

    sema kwery kk tatizo tanzania fitina sana wabongo roho mbaya hakuna rorote wivu tuuuu kk

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020242 жыл бұрын

    Waswahili husema kwenye miti hakuna wajenzi. Sisi watanzania tuna shida ya wivu na hatupendi maendeleo ya wenzetu. Tunapendana kupigiana misumari kwenye mambo ya maendeleo.

  • @fallii2867
    @fallii28672 жыл бұрын

    Asanteee leo ndio unaitwa msumari wa moto

  • @fazeelshomary2704
    @fazeelshomary27042 жыл бұрын

    Musukuma jau sana😆😆😆 anamwambia Zungu usitumie vumbi la kongo ana dawa zake atampa 😆😆😆😆

  • @bengang3265

    @bengang3265

    2 жыл бұрын

    noma sana..dawa zipo kweli

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed71182 жыл бұрын

    Uprofesa ndio inamfaa. Tumwiteni profesa. Profesa Msukuma

  • @simonmwandu2214
    @simonmwandu22142 жыл бұрын

    Msukuma upo sahihi kbsa yani degrii na PhD za kibongo uje nayo ulaya hawaitambui kbsa yani unaanza moja

  • @oliverpius2948
    @oliverpius29482 жыл бұрын

    Mungu azid kukutia nguvu msukuma

  • @hendrycomonsiwenga1128
    @hendrycomonsiwenga11282 жыл бұрын

    Dah! Mhe. Umetaja Korogwe Tanga uko ndiyo Nyumbani kabisa, Miami ni kweli kabisa hiyo ndiyo ilikuwa Guest House maalufu sna wakati huo n.k

  • @Our_Patriotism
    @Our_Patriotism2 жыл бұрын

    Mimi nimefurahi, Hongera Sana, material education is nothing but sensible with performance and not rehearsals.

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey70522 жыл бұрын

    Msukuma akili nyiiingiiiii sanaaaa

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja22822 жыл бұрын

    Naikubali pia hii Media wako vzr kwa mahojiano

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement25342 жыл бұрын

    Mungu wangu wa huruma akutunze na 2025 chukua urais mzee.mungu akuongoze hakika wew ni magufuri no 2.

  • @maximilianrodgers2751
    @maximilianrodgers27512 жыл бұрын

    Yoooh i like Charles Willam questions👊🏾🙌

  • @mussajuma1736
    @mussajuma17362 жыл бұрын

    Safi msukuma upo vinzuri wazungu walete mihela iwasaidie watu hapa.kina lisu wapo huko hata siku moja hatuoni wakileta pesa za kusaidia wanyonge ila ni mineno to.

  • @estermpagama9664
    @estermpagama96642 жыл бұрын

    Mi nampenda Dr Msukuma upo vizuri wanaona wivu wanafiki walitaka wapate wao piga kazi wazidi kuumia mtani waelewe kipaji

  • @anosiata8242
    @anosiata82422 жыл бұрын

    Umesema ukweli kanda ya kazikazini . Wamesoma ezi hizo.

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle66352 жыл бұрын

    Huo ni ukweli. Ndoto za watoto wengi zimedhitiwa na huo uteuzi, rushwa kwenye elimu ilikithiri kuanzia 79 na kuondelea. Matokeo yake mengine tunayaona leo kwa taifa.

  • @innocentkizito5664

    @innocentkizito5664

    2 жыл бұрын

    Watu lazima wawe wafatiliaji siyoubishi usio nafaida akili siyo makaratasi ongela aikoni

  • @rainerydenis8812
    @rainerydenis88122 жыл бұрын

    Msukuma Mimi nakukubali, kwasababu Tanzania Elimu yetu ya darasani hata Prof. Inakua haina uhusiano na halisia wa kimaisha.Yaani unaweza kuona msomi aliyeongoza kwa ufauru darasani Kama la Saba,kidato Cha nne,Cha sita na chuo kikuu kimaisha baadae na kutumia Elimu yake kuleta mawazo ya kimafanikio na yeye kua na maisha Bora ni wa mwisho .wakati aliye feli darasani ndio anaplan nzuri na anamaisha mfano mfanyabiashara,anamawazo ya kimaendeleo.wakati wasomi wanalewa na vyeti vyao wanasubiri kukaa ofsini . Huo ndo ukweli. Msukuma nakuku bali sana. Kusoma sana hainamaana unamawazo mazuri ya kimaendeleo ila unauwezo tu wa kupata cheti na haina maana unamaisha mazuri.

  • @JIWEtv6484

    @JIWEtv6484

    2 жыл бұрын

    Kunatofauti kati ya elimu na akili so dr.musukuma ana akili, akili ndio Inafanya kazi kuliko elimu

  • @trafficnanyumbu4079

    @trafficnanyumbu4079

    2 жыл бұрын

    @@JIWEtv6484 f

  • @qasammawa5310
    @qasammawa53102 жыл бұрын

    Mwenyekit,mstsfu uko vizur sana

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom5092 жыл бұрын

    Napenda kumsikiliza msukuma he's a very smart man

  • @Chekakidogo2

    @Chekakidogo2

    2 жыл бұрын

    True

  • @nururaymond5
    @nururaymond52 жыл бұрын

    Msukuma nakupenda Kiongozi wangu Bora Kati ya waliyobora

  • @yordanyona1234
    @yordanyona12342 жыл бұрын

    Muhongo hakufikii ana beat sana lakini uwezo wake anamalizia vitabuni

  • @simonseyongwe
    @simonseyongwe2 жыл бұрын

    Dr Msukuma anaupiga mwingi sana ni zaid y wasomi wengi knowledge yake ni zaid ya PHD

  • @robertmwangomale
    @robertmwangomale2 жыл бұрын

    Tujifunze kwa watu kama Hawa good tunapenda watu wanao jitambua

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84552 жыл бұрын

    Huyu jamaa mkweli sn mimi si msukuma but nafanyakaz kanda hii wasukuma wanatabia ya kuamini sn wakubwa wao wakielimishwa hua wanaelewa ingawa kunakuaga na kaz sn kuwaelimisha

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai8012 жыл бұрын

    All the best bro, unanipaga ujasiri nikikusikilza bro.

  • @zabronsimfukwe
    @zabronsimfukwe2 жыл бұрын

    Duuh! Hahahaahah anavyowasifia hao Watu. Hahaha mzee hawajamaa wanaakili Sana.

  • @williampeter834
    @williampeter8342 жыл бұрын

    Moja ya kiongozi bora Tanzania.

  • @evodiamusa2398
    @evodiamusa23982 жыл бұрын

    u deserve more than phd Msukuma

  • @peterbuju5216
    @peterbuju52162 жыл бұрын

    Safi sanaaa msukuma

  • @jlusjr9229
    @jlusjr92292 жыл бұрын

    Cjapoteza muda na MB zangu kumsikiliza Dr msukuma

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja22822 жыл бұрын

    Nakukubali mno Dk.

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi24482 жыл бұрын

    Barikiwaa mh.msukumaaa. uko vzriii Sanaa

  • @gracejonathan86
    @gracejonathan867 ай бұрын

    Nampendaaa Msukuma Jamani Anajiamini

  • @rollyboymallya6344
    @rollyboymallya63442 жыл бұрын

    Msukuma huna mfano was kufananishwa MUNGU azidi kukuinua

  • @erishajohn3237
    @erishajohn32372 жыл бұрын

    Nakupenda broo msukuma sana wewe hata ukiwa rais unafaa ungesoma mpaka wanavyo fikiri wao na ungekua gumzo dunian

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko25462 жыл бұрын

    Asante sana

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba65022 жыл бұрын

    Msukuma yuko vizuri, akili yake ni zaidi ya phd nakubaliana naye

  • @patrickmsuguri
    @patrickmsuguri2 жыл бұрын

    King Msukuma PhD holder 🔥🔥

  • @francisrobert9652
    @francisrobert96522 жыл бұрын

    bless you msukuma

  • @blessbaysa5561
    @blessbaysa55612 жыл бұрын

    Kweli kabisa wasomi wanatufelisha sana

  • @seifseleman1254
    @seifseleman12542 жыл бұрын

    Too inspired

  • @edwinm.masong1729
    @edwinm.masong17292 жыл бұрын

    18.02.2022

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko28502 жыл бұрын

    ANDIKA KITABU NDUGU WAKUSOMA TUSOME MM NITAKUWA WA KWANZA KUNUNUA

  • @paschalcharles3617
    @paschalcharles36172 жыл бұрын

    👏👏 hongera Sana Joseph kasheku msukuma unajua kujibu maswali vizuri Sana umepangua maswali yenye mitego mingi hasa juu ya chanjo ya Uviko19 😄😄 hakika wewe ni MASTA kusema ukweli msomi alietumia vizuri Elimu yake na usomi wake kwa kisasi kikubwa kutatua matatizo ya wananchi ni Hayati Magufuli. Hakika unasema ukweli wasomi wengi wamekariri COPY AND PASTE

  • @kamtawakomba8601
    @kamtawakomba86012 жыл бұрын

    Nakukubari sana kaka

  • @JosephSongolo-lb9fr
    @JosephSongolo-lb9fr11 ай бұрын

    Nakukubali Sana mwenyekiti msukuma.

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwa2 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni very critical Kwa wasomi. Twende mbele turudi nyuma. Ni kweli vyeti vinathibitisha kiwango cha elimu. Lakini Kwa hapan Tz tuna wasomi wengi Sana tena maprofesa na madocta lakini wanapositive impact gani katika jamii. Elimu iwe na impact katika jamii. Kuna baadhi ya wasomi wanatumia elimu yao vizuri nabwanasimama katika kweli na haki lakini watu wengi wanajidaia usomi wao katika vyeti Tu.

  • @anordkingstar5793
    @anordkingstar57932 жыл бұрын

    Ni maan hata kwenye chanjo ni copy and paste kiongoz,,, kuchanja bado san sijawah fikilia hicho kitu,,, hata iweje

  • @gracegrace6200
    @gracegrace62002 жыл бұрын

    Hapo musukuma ulikosea kwa lkumwambia Ndungai ajiudhulu kwa kutowa mawazo yake. Watanzania wengi hawana hofu ya fedha zinazokopwa, bali wana hofu fedha zinavyotumika. Hata kwenye jimbo la musukuma kuna watu wamemwagiwa fedha na kuziweka mifukoni mwawo badala ya kuhitimisha miradi. Kukopa sio shida, lakini fedha zilizokopwa zinatumikaje. Mama mwenyewe kagunduwa Fedha anazomwaga zinatafunwa. Wewe mwenyewe. Musukuma umejionea mwenyewe hata jimbo lako fedha zimetafunwa. .

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu50257 ай бұрын

    Msukuma kichwa sana wazungu wanahitaji watu wa namna hii

  • @philipmchele5254
    @philipmchele52542 жыл бұрын

    Safi sana congrats brother

  • @officialdemand6358
    @officialdemand63582 жыл бұрын

    Ukilewa pombe hata uongee kiingereza kibaya Bado utasifiwa,. Take action

Келесі