MUSUKUMA Afunguka Kuhusu 'SUKUMA GANG' - "KIGOGO ANAJULIKANA, MAGUFULI ALIKUA NA MISIMAMO"
MUSUKUMA Afunguka Kuhusu 'SUKUMA GANG' - "KIGOGO ANAJULIKANA, MAGUFULI ALIKUA NA MISIMAMO"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#MsumariWaMoto #CharlesZungu #WasafiTV
Пікірлер: 357
Best segment in Wasafi media
@ndamezerevocatus1078
2 жыл бұрын
Msukuma unapendeza ukifanya kila unacho kijua vzr,! Nakushauri usiwe unachomekea maneno ya kiswaenglish! Coz unakua umeshatupa madini then unaharibu kwa kiswaenglish chako
@saidimsonjele5672
2 жыл бұрын
0
Very brilliant Musukuma Akili kama yako ndiyo ilikuwa ndani ya Dr. JPM, Hustlers for excellence no matter what! Nimependa maelezo yako pia katika SUKUMA GANG upuuzi wa WAHUNI kutengeneza neno lenye character killing kwa watu wa kanda ya ziwa. Akili kubwa sana.
Namkubali Msukuma kuhusu Elimu. Wasomi wetu zaidi ya 95asilimia wanajivunia sana vyeti na hawana tija kwa taifa.
Dr. Musukuma.. Hongera kwa historia yenye kutia Moyo kwa watafutaji... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Yani katika wabunge wote walioko bungeni ..mm namuelewa uyu tu kaka
Wakorogwe tunakufaham kaka yetu🙏🙏🙏🙏
Interesting kwa kweli mungu akulinde inafundisha mengi inspirational
Wamekupa maswali ya mitego na umeyapangua vizuri sana big up Sana
Safi musukuma uko poa kama polepole big up
Dr Msukuma you deserve that title PHD Mungu akubariki
Watanzania kwanini tusimpongeze mheshimiwa tusiwe na roho mbaya. This guy is so intelligent.
Umenisisimua sana na historia yako na una hekima sana kaka mungu akubariki sana na akupe uhai mrefu uje kuwa raisi wa Tanzania
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
AMIIIN na kweli akigombea anapita vila kupingwa AMIIIN na uwe hivyo magufuri anaweza kurudi Tanzania.
Bonge moja la interview... Bravo Msukuma
Mashallah ALLAH barik musukuma hakika wewe ni mfuasi wa magufuri.
BEST INTERVIEW EVER
@alexkameo6399
2 жыл бұрын
Safi sana Msingi wa utajiri wake ni uaminifu👌
Namukubali sana huyo mwamba
Hongera sana msukuma kwa kuwa mzalendo wa taslimali ya nchi yako
ninaitamani sana iyo kaz waliomsingizia msukuma alipokua korogwe. imefika mahali mpaka sehem yangu ya biashara nataka niipatie jina ilo😊😊
One of the best n best Interview..Msukuma is Kiongozi wa kweli.
@mamamanka1310
2 жыл бұрын
Naomba Nani nielekez chuo sense mwanangu nitashukuru
Huyu Jamaa ana akili kama sio maarifa...... Good segment. Hongereni sana.
Kasheku 🔥🙌🏾🙌🏾
Best segment in Wasafi media
msukuma unaongea ukwery kk mungu akuongoze kk simama kwenye haki
@joselinemwaki9665
2 жыл бұрын
Akili nyingi sana msukuma, mumuandalie mdahalo 😀
Sisi wa korogwe tunakufahamu sana, korogwe jimbo unapewa. Welcome back
Uko vizuri Dr Msukuma nakubaliana na wewe kwamba wanatumia ukabila kutia hofu ili wapate nafasi za karibu na nafasi ya urais, wamepotosha maana kwa sababu ya matumbo yao.
Hongera Msukuma. Unastahili kwa kuwa umeshika nafasi nyingi. Na unajiamini. Endelea na kuchapa kazi
Msukuma amenyooka sana, ni mzalendo na anapigania sana maslahi ya watu wa chini,tuko wengi tunaokusapoti
@tanzaniapatrioticorganizat9413
2 жыл бұрын
🇹🇿✅
Anataka battle na Professor 🤣 amenikosha sana.
Wanaumia kwa sababu walikuwa bookworms. Miaka yote hawakuweza kushughulikia CSR ya Geita hata CSR policy ya taifa hamna!
Msukuma uko vizur nilikua nakuchukuliapoa uko vzr baba bigup
Namshauri muheshimiwa msukuma aandike kitabu juu ya maisha yake yanaifundisha jamii kibiashara
Uko vizur san kiongoz,,, hapo kwenye sukuma gang,,, hata mimi kuna jitu et liliniita et wew utakua sukuma gang,,, wakati sielew chochote mimi,,, majinga tu hayo,, hukuna sukuma gang wala nini
Napenda hoja zake ziko strong na anajiamini pia yuko simple sana kweli wenye hela hawan mbwembwe
Kaka you're very smart man, you deserve to be a professor
WASAFI TV INAFANYA INTERVIEW SAFI SANA 🙏
Huyu jamaa namfuatiliaga yeye tu pale bungeni.
Msukuma yuko smart sana ukimsikiza anastahili kupewa udokta wa heshima akupewa kimakosa
Ni kweli wasomi wanakalili sana mambo ya nchi waliondika vitabu ambavyo vinaangalia uchumi wao na sio wetu.
Safi saana
Nakukubali sana king 👑 msukuma
‘Kama unaumia njoo uniue uchukue’☺️☺️☺️
Poa Mkuu uko vizuri wadarasa la saba tunakukubali Mungu akutangulie amina
Kama kuna watu wanataka wajuwe uliyofanya kwa jamii waje GEITA.
@shamilakalinga437
2 жыл бұрын
Na wewe upo geita
@josephatmathiasgalagalabuh786
2 жыл бұрын
@@shamilakalinga437 upo wapi
@shamilakalinga437
2 жыл бұрын
@@josephatmathiasgalagalabuh786 Oman ila kwetu ni geita bukoli huko
@zacharialameck1980
2 жыл бұрын
Jaman Geita ytu inaendelea kwa speed ya rocket.
@shamilakalinga437
2 жыл бұрын
@@zacharialameck1980 hata mimi nimeona
Msukuma nakukubali sana ww unafaa kua hata presdent
Mungu atujaalie inshallah nimeipenda hii
Kulikuwa hakuna secondary school za kutosha. Watoto wa wakubwa ndiyo walikuwa wakishinda mitihani bila ya kuwa na akili bali kwa kujulikana. Kwa sasa ndiyo maana tuna viongozi wengi ni wajinga. Hawakushinda mitihani kwa akiri bali kwa kusukumwa kama mabehewa.
@mashirimathias6006
2 жыл бұрын
Madam sio wajinga tu Bali viongozi wengi ni vilaza hawana lolote tofauti na kutumikia matumbo yao
@mashirimathias6006
2 жыл бұрын
Angalia elimu yetu yenyewe ni ya ajabu mpaka tosha elimu hii ndio inayochangia umaskini mkubwa taifani kwetu tz.
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
Hiki ni kidhibiti tosha ya kuwa akili na elimu huweza kuwa vitu viwili tofauti, wabongo tungeweza kutumia heshima aliyopewa Msukuma kwa njia chanya ila badala yake wengi wajinga walianza kumbeza na kuibeza PHD yake kwa upeo wao mdogo walionao.... 'Honorary Causa' PHD inaheshimika sana, hasa kwa wasomi wa kweli.... Prof Kabudi aliwahi sema hili bungeni nimemnukuu!
sema kwery kk tatizo tanzania fitina sana wabongo roho mbaya hakuna rorote wivu tuuuu kk
Waswahili husema kwenye miti hakuna wajenzi. Sisi watanzania tuna shida ya wivu na hatupendi maendeleo ya wenzetu. Tunapendana kupigiana misumari kwenye mambo ya maendeleo.
Asanteee leo ndio unaitwa msumari wa moto
Musukuma jau sana😆😆😆 anamwambia Zungu usitumie vumbi la kongo ana dawa zake atampa 😆😆😆😆
@bengang3265
2 жыл бұрын
noma sana..dawa zipo kweli
Uprofesa ndio inamfaa. Tumwiteni profesa. Profesa Msukuma
Msukuma upo sahihi kbsa yani degrii na PhD za kibongo uje nayo ulaya hawaitambui kbsa yani unaanza moja
Mungu azid kukutia nguvu msukuma
Dah! Mhe. Umetaja Korogwe Tanga uko ndiyo Nyumbani kabisa, Miami ni kweli kabisa hiyo ndiyo ilikuwa Guest House maalufu sna wakati huo n.k
Mimi nimefurahi, Hongera Sana, material education is nothing but sensible with performance and not rehearsals.
Msukuma akili nyiiingiiiii sanaaaa
Naikubali pia hii Media wako vzr kwa mahojiano
Mungu wangu wa huruma akutunze na 2025 chukua urais mzee.mungu akuongoze hakika wew ni magufuri no 2.
Yoooh i like Charles Willam questions👊🏾🙌
Safi msukuma upo vinzuri wazungu walete mihela iwasaidie watu hapa.kina lisu wapo huko hata siku moja hatuoni wakileta pesa za kusaidia wanyonge ila ni mineno to.
Mi nampenda Dr Msukuma upo vizuri wanaona wivu wanafiki walitaka wapate wao piga kazi wazidi kuumia mtani waelewe kipaji
Umesema ukweli kanda ya kazikazini . Wamesoma ezi hizo.
Huo ni ukweli. Ndoto za watoto wengi zimedhitiwa na huo uteuzi, rushwa kwenye elimu ilikithiri kuanzia 79 na kuondelea. Matokeo yake mengine tunayaona leo kwa taifa.
@innocentkizito5664
2 жыл бұрын
Watu lazima wawe wafatiliaji siyoubishi usio nafaida akili siyo makaratasi ongela aikoni
Msukuma Mimi nakukubali, kwasababu Tanzania Elimu yetu ya darasani hata Prof. Inakua haina uhusiano na halisia wa kimaisha.Yaani unaweza kuona msomi aliyeongoza kwa ufauru darasani Kama la Saba,kidato Cha nne,Cha sita na chuo kikuu kimaisha baadae na kutumia Elimu yake kuleta mawazo ya kimafanikio na yeye kua na maisha Bora ni wa mwisho .wakati aliye feli darasani ndio anaplan nzuri na anamaisha mfano mfanyabiashara,anamawazo ya kimaendeleo.wakati wasomi wanalewa na vyeti vyao wanasubiri kukaa ofsini . Huo ndo ukweli. Msukuma nakuku bali sana. Kusoma sana hainamaana unamawazo mazuri ya kimaendeleo ila unauwezo tu wa kupata cheti na haina maana unamaisha mazuri.
@JIWEtv6484
2 жыл бұрын
Kunatofauti kati ya elimu na akili so dr.musukuma ana akili, akili ndio Inafanya kazi kuliko elimu
@trafficnanyumbu4079
2 жыл бұрын
@@JIWEtv6484 f
Mwenyekit,mstsfu uko vizur sana
Napenda kumsikiliza msukuma he's a very smart man
@Chekakidogo2
2 жыл бұрын
True
Msukuma nakupenda Kiongozi wangu Bora Kati ya waliyobora
Muhongo hakufikii ana beat sana lakini uwezo wake anamalizia vitabuni
Dr Msukuma anaupiga mwingi sana ni zaid y wasomi wengi knowledge yake ni zaid ya PHD
Tujifunze kwa watu kama Hawa good tunapenda watu wanao jitambua
Huyu jamaa mkweli sn mimi si msukuma but nafanyakaz kanda hii wasukuma wanatabia ya kuamini sn wakubwa wao wakielimishwa hua wanaelewa ingawa kunakuaga na kaz sn kuwaelimisha
All the best bro, unanipaga ujasiri nikikusikilza bro.
Duuh! Hahahaahah anavyowasifia hao Watu. Hahaha mzee hawajamaa wanaakili Sana.
Moja ya kiongozi bora Tanzania.
u deserve more than phd Msukuma
Safi sanaaa msukuma
Cjapoteza muda na MB zangu kumsikiliza Dr msukuma
Nakukubali mno Dk.
Barikiwaa mh.msukumaaa. uko vzriii Sanaa
Nampendaaa Msukuma Jamani Anajiamini
Msukuma huna mfano was kufananishwa MUNGU azidi kukuinua
Nakupenda broo msukuma sana wewe hata ukiwa rais unafaa ungesoma mpaka wanavyo fikiri wao na ungekua gumzo dunian
Asante sana
Msukuma yuko vizuri, akili yake ni zaidi ya phd nakubaliana naye
King Msukuma PhD holder 🔥🔥
bless you msukuma
Kweli kabisa wasomi wanatufelisha sana
Too inspired
18.02.2022
ANDIKA KITABU NDUGU WAKUSOMA TUSOME MM NITAKUWA WA KWANZA KUNUNUA
👏👏 hongera Sana Joseph kasheku msukuma unajua kujibu maswali vizuri Sana umepangua maswali yenye mitego mingi hasa juu ya chanjo ya Uviko19 😄😄 hakika wewe ni MASTA kusema ukweli msomi alietumia vizuri Elimu yake na usomi wake kwa kisasi kikubwa kutatua matatizo ya wananchi ni Hayati Magufuli. Hakika unasema ukweli wasomi wengi wamekariri COPY AND PASTE
Nakukubari sana kaka
Nakukubali Sana mwenyekiti msukuma.
Huyu jamaa ni very critical Kwa wasomi. Twende mbele turudi nyuma. Ni kweli vyeti vinathibitisha kiwango cha elimu. Lakini Kwa hapan Tz tuna wasomi wengi Sana tena maprofesa na madocta lakini wanapositive impact gani katika jamii. Elimu iwe na impact katika jamii. Kuna baadhi ya wasomi wanatumia elimu yao vizuri nabwanasimama katika kweli na haki lakini watu wengi wanajidaia usomi wao katika vyeti Tu.
Ni maan hata kwenye chanjo ni copy and paste kiongoz,,, kuchanja bado san sijawah fikilia hicho kitu,,, hata iweje
Hapo musukuma ulikosea kwa lkumwambia Ndungai ajiudhulu kwa kutowa mawazo yake. Watanzania wengi hawana hofu ya fedha zinazokopwa, bali wana hofu fedha zinavyotumika. Hata kwenye jimbo la musukuma kuna watu wamemwagiwa fedha na kuziweka mifukoni mwawo badala ya kuhitimisha miradi. Kukopa sio shida, lakini fedha zilizokopwa zinatumikaje. Mama mwenyewe kagunduwa Fedha anazomwaga zinatafunwa. Wewe mwenyewe. Musukuma umejionea mwenyewe hata jimbo lako fedha zimetafunwa. .
Msukuma kichwa sana wazungu wanahitaji watu wa namna hii
Safi sana congrats brother
Ukilewa pombe hata uongee kiingereza kibaya Bado utasifiwa,. Take action