The Story Book: MOBUTU ‘Dikteta Aliyewafilisi Wakongo’
Ойын-сауық
Alikuwa Rais Wa Kongo Kuanzia mwaka 1965 mpaka 1971 na baadaye Zaire kuanzia 1971 hadi 1997.
Alizaliwa Kongo 1930 Akafa Morocco 1997
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 667
i didnt know that this dude can also sing! ....some people are just favoured by God!
Hakuna kitu kizuri kusikiliza hadithi unayoijua ikisimuliwa kwa umahiri mkubwa mpaka unajukuta unatamani kuiskiza tena tena💪🏽🙏🏼🇹🇿
@Ndiyooo
2 жыл бұрын
Nimuongo uyoo hajuwe hasta kusema seseko mpumbavu ana danganya watuuu uyoo
@nyembomajidi3027
2 жыл бұрын
ndio kaka nashukuru watanzania kuichambua historia ya congo mobutu alishindwa kuijenga congo alikuwa na oportunite ya kujenga zile inchi lakini basi
@salim02tv24
2 жыл бұрын
@@Ndiyooo simuliaa ww utuambie ukwell
@dullahmmebela5624
2 жыл бұрын
@@Ndiyooo Acha roho mbaya wewe!!!
@kiningashukran5177
2 жыл бұрын
@@Ndiyooo sema stori yako
watching from Nairobi ..i have never missed any of Jamal's post ..this guy has talent combined with PhD on how he gives these stories .. kuna watu wamebarikiwa na talanta
@livinusbyarugaba1824
2 жыл бұрын
Huyu jamaa hatari,🇹🇿👍
@kevinmwangi4423
2 жыл бұрын
Am a Kenyan too and I love this mans job
@faizamohamed6993
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@frankmutembei7513
2 жыл бұрын
Kenyans following this 🖐️
@Kejamaster1
2 жыл бұрын
@@frankmutembei7513 tuko wengi... love his voice
Hii story imenikumbusha nyimbo ya mwanafa ft nyosh El ssadat 🔥🔥🔥 nakuchuliaga Kama mobotu seseko .......
@stevekasawala2315
2 жыл бұрын
Nyimbo nzuri Sana ile aseee ndani Kuna sauti ya mwanadada Maua
*😁 The story book ya leo ni 🔥 Burudani juu ya Burudani.!!! 💎 Umeuwa sana mwanangu 💥🔐*
@user-pj8ed9kn6g
2 жыл бұрын
Hatar sana 🤣🤣🤣
Daaaaaah Africa tumenyonywa sana na chanzo ni uzaifu wetu wenyewe
Sijwahi kucomnent sehem yoyote il leo kaka nimeshindwa kujizuia kaka unajua sana duuh🙌
@mumbereolivier5409
2 жыл бұрын
Uko vizuri kaka lakini nyimbo yako kkkkkk😃😄 lakini unaimba vizuri maneno ya ndani njo haieleweki
Hujamaaa nimsomi mzuri sana duh kam vitabu vyadini wavisoma nakuvitendea haki unavyo fanya kaziyako basi pepo niyako bro hee moja umenikosha wallahi
Vizazi vijazo vitasimulia maisha ya VIONGOZI wetu wa TANZANIA pia.
@MrSmile_Family
2 ай бұрын
Only Magu
😭😭😭aliumiza sana watu wa Congo huyu mtu.Alijipenda sana hakuwa na utu kabisa🙌
@user-qq6mv6vh3e
Жыл бұрын
Kweli kaka angu
@hashimsamsonmambovp5065
7 ай бұрын
True
Hilo ndio tatizo la viongozi wetu wa kiafrika mtu amekulia kwenye maisha magumu badala kuleta maendeleo katika nchi zao, lakn mwisho wa siku ni kujiangalia wenyewe na matumbo yao ili kujinufaisha kwa malengo yao ili hali wananchi wanalia kwenye nyanja mbalimbali ukosefu wa huduma bora za kijamii n.k hii inaleta sana ukakasi ndio maana maendeleo katika nchi zetu za kiafrika yamechelewa sana.
@adkajisi4536
Жыл бұрын
Gadaffi tu ndo aliweza
@titusjr.9463
9 ай бұрын
Kuna hili wazo kwamba unapowafanyia watu vizuri hazwa afrika, unapata pingamizi
Ni wakati wa Wakongo waji-organize na kuchukua nchi yao kutoka kwa watu wa nje. Congo imebarikiwa ilhali wananchi wake ni wakimbizi duniani kote.
@heritier5119
2 жыл бұрын
Shida waafrika hatupendani
Nawakubali Sana wasafi munatufanya tujuwe mengi Kama tuko wengi tunayo ikubali wasafi gonga like tujuwe the story book ni 💯💯💯💯💯💯💯💯
We Tanzanian we are proud to have you ........ We are proud that you were brought to life...... Big up bro💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@alexmwalongo531
2 жыл бұрын
Unasema unaona fahari kuwa na mtu fulani kwenye taifa yako angali wewe unaikimbia tamaduni yako na kutumia lugha za watu tumia kituchako kuonesha jinsi unavyojivunia vitu vilivyopo kwako
@wazirhussein3751
Жыл бұрын
East Africa at large
It's late sema kuimba unajua professor 🔥
Bro mbali na story book uko na talent ya kuimba pia fanya mpngo hapo WCB utupe kitu na ww 🔥🔥❤
@jutta-tv2468
Жыл бұрын
Ni kwel ila asifanye hivo mana asije akawa kama yule kinyozi wa diamond kaimba nyimbo moja akajiona anajua akaacha majukumu yke ya kumnyoa bos wake nae akataka awe muimbaji akatoka wasaf sasa hayupo tena kwenye game
@trillionairejupiter5968
2 ай бұрын
😂
@Easymoneyman44
2 ай бұрын
@@jutta-tv2468😂😂True
The story book imekua fire na nusu ata mimi ni msanii lkn kwa. Uwezo wa professor jamal amenizid ktk uimbaj brother una uwezo mkubwa sana salute kwako💪
Haijawahi tokea dictator aliyewatesa na kuwanyanyasa waafrika kama mobutu.hongera professa jamal kwa hii story book🔥🇰🇪🙌
Hoooo nakubali San mpaka wimbo ivita imana ya fere gola kweny álbum ya kipuisa pimpa yake werrason
Haya ndio kama yanayo endelea Tanzania 😭😭😭😭
Está de parabéns Professor Jamal pela profundidade da história de Mubuto.. um dos líderes controverso da epopeia do Congo.
@mongatzmonga237
2 жыл бұрын
Noma sana
@orestemanenomaneno7726
2 жыл бұрын
Professor Jamal pril merece prêmio 🇲🇿🥰🥰
@brownd8656
2 жыл бұрын
🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@impixelmusictz3044
Жыл бұрын
Bien
@IbraMeshake
11 ай бұрын
@@orestemanenomaneno7726😂😂❤ am
Nakubali uwezo wako bro Yani nakukubali saana from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 congo
You really do your best professor, your number 1 fan from Kenya
MashaAllah you can even sing? What a talent guy Mungu azidi kukubarikiii
@msangodiesel3132
2 жыл бұрын
Uzao wake saizi wanajisikiaje kwa tabia za Babu yao wanaishi hapo congo
Ukiona komenti hii like nirud kumuangalia professa🤟🤟
We Congolese love the story book. Big up Jamal. Love from congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 how did you are singing rumba very good in lingala?🤣🤣🤣
Professor 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🙌🙌🙌🙌🙌
Bro this one’s 🔥😍😁😁👌🏾 And I liked that Rumba music in Background. Merci pour cette vidéo 🇨🇩🥰🇹🇿
@cooldave9862
2 жыл бұрын
Yeah find it on youtube its called Imana Na Vita by ferre golla
@impixelmusictz3044
Жыл бұрын
Merci beaucoup
Napenda Historia sana lakini umenifanya niipende zaidi 🤩 let me go and pursue my dream course. Masters in international relations. 🙌 ❤ love from Kenya 🇰🇪 ❤
Maeneo ya Marekani Kasikazini nawapata mbashara mpaka maeneo ya Kisii Kenya 🇰🇪 Nimengojea the Story book being addicted sana Santi Prof.
We Congolese are very happy with the story but the way you were pronouncing some words in that song, it sometimes didn't make sense but overall we are satisfied 😂
@jilalamaligisa4854
2 жыл бұрын
I see😂😂😂 I speak Lingala and I find no meaning in some words he is pronouncing
@brunoh_bx
2 жыл бұрын
But he tried the best😃😃
@yusrahamza3208
Жыл бұрын
He isn't his native language, but he tried well 👏👏 congrats bro🥰
@jumamofu9573
Жыл бұрын
Mabutu duh Alikuwa hatari sasa hayo majumba na mahotel yamebaki km magofu
@ramadhanjumanne8882
Жыл бұрын
Atleast he gave a try!
Niliyaona haya kwenye nchi ya kusadikika miaka kadhaa iliyopita 😢😢
from Kenya🇰🇪🇰🇪 tunakupenda Sana bro..Kila siku nikiangalia story book yako natamani kufanya kazi ya uchambuzi wa hadithi tofauti tofauti za ulimwengu..@ Jamal April the genius
@AlexMbuvi-nk5iy
11 ай бұрын
Io ndio iko Kenya saaii
Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa za Banga,Rais boya wa muda wote wa Zaire.
@francisndama4400
2 жыл бұрын
😆😆😆
@TislamMarijani
2 ай бұрын
Hilo jina khaaaaaaa! Hatari sana 🙌😅
You will never die poor bro ✌️✌️
The music though am a big fan of this guy... professor.big love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Watching from Kenya 🇰🇪. Nice work Jamal.... Napenda kazi yako zaidi, vile wajituma pia. Have never missed your show.
@salvatorymheziwa1053
Жыл бұрын
Nimependa wimbo unaoiba
Nakukubali sana kaka uko so creative
Proffessor I like your song ,you fit everywhere.
Adui wa Africa mwafrika mwenyewe inasikitisha adi leo utawala kama wa Mabuntu unaendelea na wananchi wanawaunga mkono mfano Tanganyika na Zanzibar Ccm
Love your story prof Jamal ......much love for🇰🇪🇰🇪
@mvanokhalidi8766
Жыл бұрын
Kigereza chanini mzee
I salute you 👏. From kenya 🇰🇪 enjoying your story book
Am a kenyan but...respect for this G✌️✌️🤝🤝💪👊👊Big up
Jamal April , ndugu rafiki wa kuiga aliyeifa na ni wa kupigwa mfano sana , mola ashinde akutie nguvu kaka, endelea kutuelimisha , kutukumbusha na kuburudisha . 👌
Background music by Ferre Gola (Vita imana)🎶🎸. Prof Jamal ni zaid ya PhD holder kwenye story book!
@erickmyava7976
2 жыл бұрын
Nimesoma comments kumtafuta jina la nyimbo thank you
Asante sana kwa simulizi nzuri allah akuzidishie umaarufu wako
254🇰🇪 tushaikubali the storybook.. thumbs up Professor Jamal
🔥🔥🔥🔥🔥my second Goat After abel Mutua(mkurungezi) in story telling
Tunaokubali Uwezo Wa Juu Kabisa Wa Kiwango Cha PHD Wa Professor Jamal April Katika THE STORY BOOK Kutoka Kwa Nguli Wa Taifa La CONGO 🇨🇩 MOBUTU SESE SEKO KUKU NGWENDU WAZABANGA Tujuane Kwa Likes Hapa....,🤙🏻
@salehmohamedvuai826
Жыл бұрын
Lllllllll
Wewe n mwamba zaidi natamani ata kwa wiki iwe Mara mbili nakukubali sana
VITA IMANA mziki pendwa wangu❤
är jag verkligen nöjd med den här historien. tack så mycket Jamal 🙏🏿😊
Wee jamaa ni genius 💪🇹🇿 salute
Unafanya kazi nzuri na kubwa sana Prof. Jamal April, Mungu akubariki uzidi kutupa simulizi za Africa na Dunia katika nyanja zote.
Another level of the story book
Daah yaani wew nikichwa baba nimekukubali maana ata mimi kwetu congo lakini nilikuwa naitaji kujuwa maistoria za nyumbani nakweli umenizogezea nazo mungu akubariki sana❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Sisi watu wa CONGO 🇨🇩🥱🥱 ni wapumbavu sana tena hatuna Akili na umoja ili inchi zetu zisonge mbele, yote ilipwa apa Dunia. Uki uwa nawe pia uta uwawa.
Nakukubali kwa history Ndugu yangu. Mwenyezi Mungu akuongezee ufaamu na kumbukumbu bara.
You killed it bro more creativity congratulations wasafi
@mvanokhalidi8766
Жыл бұрын
Kingereza chanini we mzee
You are the king of documentaries
Subhanaallah yaarabi tunusuru na mali za wizi mwenyezi mungu atusitiri tutosheke na tulichokuwa nacho, 🙏🙏
Duh! Huyu jamaa nampenda Sana❤️ I'm in love with his voice 🥰
Professor Jamal,kwakweli unanifurahisha sana kwa hio nduli ya Vita Imana ya Ferre Golla yani nasukiliza hadi natokwa na mate kinywani,natena huwa unanifurahisha katika vipindi vyako vya the story book,Mungu azidi kukupa nguvu na kuongeza elimu mara dufu kwako amin,ni Fiston,nikiwa Pietermaritzburg/south Africa,from Congo,Uvira
His voice 👌❤️
🎉🎉 congratulations kwa hiyo song baba Asante imagine nime fata hiyo story at the same moment Kuna hiyo music professionnel vitæ imana ina piga huko na kweli ume imba Poa kama ferre Gola
Jamani Yani hadi wivu Wengine duniani tumekuja kuweka mb tu kwenye simu zetu basiiiiiiiiiii
Waouh napenda sana The story book unazo tusimilia ambazo tulikua hatuzijui unajua kuimba lingala vizuri
Nimependa wimbo brother umemuza sana ndani yahii the story book
Professor professor wewe ni noma ❤❤❤
Hii Dunia Wamepita Watu Wa Ovyo Sana
Noma sana Jamaaaaaaaal April
Mkuu nakutambua❣️
Wakwanza kuview🤗
Umenifurahisha kwa wimbo wako wa lingala😂🇨🇩🇨🇩💪
Ona Sasa zambi zilivyomtafuna, alizani Mwenyezi Mungu alikuwa haoni uchafu wake
Bora ya wakoloni walituletea maendeleo kuliko hawa wezi waliotufilisi
@user-tq2rk8jw3s
21 күн бұрын
Hakika yaan
From my heart hii story haichosh kuisikiliza
Kipaji by nature respect bro from mbeya (eng mheziwa)
Mimi kama mkongomani Nina uzuni kubwa kwa hali ya inji yangu kwa sasa n'a maoni yangu ni kwamba mobutu angelitawala milele kama congo yetu sio kama sasa naomba Mungu amulinde mahali pema peponi Shujaa Mobutu
jamal uko juu juu kama dolla broo
Ilakuna mbunge leo tarehe 24/6/22 alisema wacongo hatunahakili achahinyeshe tujuwe panapovuja Rwanda ipo est afrika mbunge anahishi est afrika
The tune makes me watch again and again. Very sweet
Kumbe jamari hatakuimba unajua ❤💪🙏🔥🔥🔥
Great one 👊🏾 tulete ya Gadaffi King of Africa
Ufalsafa wa jamal April uko juu sana, napenda kuskiza historia akisimulia
The start Very smart nimependa kawimbo
Mkongo mwenzetu
🇨🇩🇹🇿 nazifuraia sana Stori hii
Jamal apo umechambua kweli kweli. Stori safi zaidi
Oh thank you brother Jamal ! The intro song for me !!!!💙💛❤️ 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@spinxoentertainment6168
Жыл бұрын
Kindly give me the title of the song
@rosethomaslugendo-mf8ec
Жыл бұрын
Yani hii dunia mobutu akazikwa na watu wasiozidi sita na trilioni zote alizobeba . Huyu Mungu hakika ana mathematics
Hadi Leo MOBUTU SESEKO hajazikwa Mwili wake unalindwa jijini RABBAT (Maroc )
Nakufatilia Sana mzee hakika wew ni mtu pekee unayestahili kuwa HISTORIAN
Congratulations my brother you did it
Wachaga wote like hapa #congo
Jamal huko vizur history ni nzur mabutu alikuwa noma
Yani najifunza mengi kwako hingera Sana mungu 🙏 Akupe maisha marefu
I like it bro💪💪💪 you are talented in singing
Hapo kwenye kubadilisha majina ya miji nampa big up
Jamani mungu ailaze roho ya marehemu Patrick Lumumba, maana alikua mtu wa maana sanaa
You have yourself a follower....love from Nairobi