The Story Book: Mapinduzi ya Vituko CONGO chini ya KAPTENI CHRISTIAN MALANGA (Swahili Documentary)

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 500

  • @laskojoseph7466
    @laskojoseph7466Ай бұрын

    Kama wewe ni mpenzi wa the story boob gonga like & comment

  • @VictoireSimon22
    @VictoireSimon22Ай бұрын

    nchi yangu tangu enzi za ukoloni hadi mpaka sasa ni damu tu inamwagika eh mungu sisi wakongomani tumekukoseaga nini tumefanyanga nini au tufanye nini ili na sisi tuishi kama wengine dah😭😭😭😭😭

  • @rommyshabby3959

    @rommyshabby3959

    Ай бұрын

    Vaa ww viatu vyake ndo utajua analia uongo au kwel

  • @Adrext

    @Adrext

    Ай бұрын

    @@rommyshabby3959 wee umeshavivaa ni size ngapi mzee nikanunue

  • @mtktv597

    @mtktv597

    Ай бұрын

    @@Adrext we kuku acha kuropoka Kama hujui kitu bora unyamaze boya ww subiri siku tanzania itapata vita ndo utajua hujui kenge ww

  • @Adrext

    @Adrext

    Ай бұрын

    @@mtktv597 acha kunya kunya bila kuchamba kijana aliekwambia Tanzania tunaogop vita ni nani mbweha wew

  • @felicianfrancis9895

    @felicianfrancis9895

    Ай бұрын

    Pole sana ndugu. Ujumbe unaliza sana hasa waliowahi kupitia magumu sana. 😭😭😭. Mwenyezi Mungu asaidie kwa kweli.

  • @faizhassan5029
    @faizhassan5029Ай бұрын

    From +254 🇰🇪 Tunakutambua Jamal wapi likes zake hapa

  • @honeyflower254
    @honeyflower254Ай бұрын

    Natazama nikiwa nchini Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 naomba like zenu

  • @mugongamawe

    @mugongamawe

    Ай бұрын

    Unakula likes ?

  • @honeyflower254

    @honeyflower254

    Ай бұрын

    @@mugongamawe sindio man

  • @user-sr9ox5ry3i

    @user-sr9ox5ry3i

    29 күн бұрын

    Nyie kenya hamuna story book yenu

  • @honeyflower254

    @honeyflower254

    29 күн бұрын

    @@user-sr9ox5ry3i 🤣🤣🤣hatuna laki itapatikana tu

  • @justinojuma4210
    @justinojuma4210Ай бұрын

    Asante sana Allah kwa kutupatia mtu kama jamal na nakuomba umlide kwa mwaka mingi sana pia mpe mda ili akukumbuke kwa swala na vitu vyema kwakidini yetu ya kislam

  • @ASALABOY
    @ASALABOYАй бұрын

    Wangapi tumelewa vizuli kupitia "THE STORY BOOK" weka Like Hapa👇

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2jАй бұрын

    Story za kiafrica uwe unatuletea Asante kwa kazi nzuri❤prof April

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын

    JAMAL APLI KAMA UTATOLEWA ZAWADI KWA MTANGAZAJI MZURI NA KUTANGAZA WASIKILIZAJI KUELEWA WEWE JAMAL NAMBA MOJA MUNGU AKUBALIKI KWA KAZI YAKO MZURI NAKUPATA VIZURI KUTOKA ATHENS ❤❤❤

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga5209Ай бұрын

    Hii story nilioona sns-kwa sky lakin sikuelew kiundani..... Hapa kwa jamali - Nimeelewa kabisa.... Big up sana prof jamali✔️🙏🙏

  • @user-hp6bf5lh2d

    @user-hp6bf5lh2d

    Ай бұрын

    Kama Mimi🎉

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    Ай бұрын

    SNS hamna kitu kule ni ubabaishaji tu gonga like kwa Pro JAMAR🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍👍👍🤩🤩🥰🥰😍😍🙏🙏🙏

  • @HalidiMalande

    @HalidiMalande

    Ай бұрын

    Jamal Jesh sana Respect nyingi sana

  • @zayumar2955
    @zayumar2955Ай бұрын

    Daaaah polen sana wacongo kwakwel mnapitia mengi sana 💔❤️‍🩹ila ili hali hii iishe lazima viongozi wa Africa waweze kuwa pa1 vinginevyo hamna kitu kila siku tutakuwa chini tu na kuonewa na kuendelea kulalamika bila mabadiliko yoyote tatizo viongozi wetu njaa nyingi na tunaoumia ni sisi raia😢😢

  • @selemankumbanga-mo8re

    @selemankumbanga-mo8re

    Ай бұрын

    Rais wa kongo tafuta muafaka na wenzako ili uitawale kongo vizuri

  • @delvojr5034
    @delvojr5034Ай бұрын

    Mungu wasaidiy wakongo🙏🏻🙏🏻 🇹🇿

  • @biasharaonline693
    @biasharaonline693Ай бұрын

    Nimejifunza kitu kikubwa sana, Watu wana ndoto kubwa , na hawakubali kukata tamaa, hadi wafanikishe malengo, hili ni funzo💪💪

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын

    Wewe jamal upo vizuri sana Utangazaji mpaka mesali zangu mwenye Akili timamu Akizingatia mesali zako Atapoteza Ubarikiwe MWAMBA WANGU JAMAL NAKUPATA VIZURI KUTOKA ATHENS ❤❤❤

  • @jesccamangi3784
    @jesccamangi3784Ай бұрын

    Mungu awape aman nchi ya Congo 🇨🇩 Amen

  • @stephenthuo3571
    @stephenthuo3571Ай бұрын

    Shalom, Shalom, Shalom, Shalom Congo. Much Love ❤ from Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    Ай бұрын

    Chikenya vibaraka nyie vya mzunguz 😂😂😂

  • @GeorgeRichard-wg8ps
    @GeorgeRichard-wg8psАй бұрын

    Sauti yako ndy inanifanya nielewe kwa haraka kila history bro big up🔥🔥🔥

  • @Blaq-i
    @Blaq-iАй бұрын

    Waafrika hawajui adui sio mwafrika mwenzao😢😢😢wazungu walimchocha akavimba kichwa

  • @mugongamawe
    @mugongamaweАй бұрын

    Congo is so rich in minerals and americans and europe need them. So they support these wars to benefit. No hope no solution for stopping that war unless USA and European countries leaves congo alone

  • @belitomanuel6240
    @belitomanuel6240Ай бұрын

    The best professor of the story book 📚 in Africa 🌍 Jamal April.❤❤

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7ytАй бұрын

    Allahu akbar hakika naamini mola wangu kweli uko na unatimiza kila haja ya mwenye kuitajia❤❤

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43Ай бұрын

    Poleni ndugu zangu wa congo ila tatizo la nchi ya congo ni marekani na washirika wake wakiwatumia baadhi ya raia wa congo lkn msijali freedom is coming.

  • @onesmotemba3004
    @onesmotemba3004Ай бұрын

    Nasikiliza the story book kutoka Wales naombeni like

  • @zulungconde1647
    @zulungconde1647Ай бұрын

    Huyu kafundishwa huko Marekani wamemjaza zile itikadi zaki West.. Sisi tuko Biz kuikomboa Africa yote wawo wanapumbazwa namaBepari wa magharibi.. 🇿🇦

  • @PeterMshali
    @PeterMshaliАй бұрын

    Nimetumia big up Prof.

  • @hadija_makange
    @hadija_makangeАй бұрын

    Duuh hii nchi kwastail hii haitokuwa naamani maisha yote kila mtu anaunda kikosi chake aongoze nchi

  • @liban_kulumpa
    @liban_kulumpaАй бұрын

    I wish you did this in English broooo tungeua global market .....love ua stories bro

  • @faith4rmzion136

    @faith4rmzion136

    Ай бұрын

    Swahili Our Power Language Of Communication! Not The Enemy Language! No Anglais no no no.

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusiАй бұрын

    Niko mji wa Wote Makueni Kenya 🇰🇪 na nawaombea amani wakongo. Mumeteseka sana

  • @saluximperialeagleofficialrdc

    @saluximperialeagleofficialrdc

    Ай бұрын

    Rais wa Kenya alikuwa nao

  • @JEVASMUTINDA-zu3cb

    @JEVASMUTINDA-zu3cb

    29 күн бұрын

    Wote twi vamwe 😅😅

  • @ChumanaSusi

    @ChumanaSusi

    12 күн бұрын

    @@saluximperialeagleofficialrdc huyo rais wa kenya ni criminal na rais wa bandia tunamchukia sana. Mkora ba fusadi mbaya sana . Aliiba kura na kuwekwa kwa kiti na wazungu. Useless kabisa

  • @ChumanaSusi

    @ChumanaSusi

    12 күн бұрын

    @@JEVASMUTINDA-zu3cb sure

  • @ronofestus99
    @ronofestus99Ай бұрын

    Who else watching from kericho Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪??

  • @mugongamawe

    @mugongamawe

    Ай бұрын

    Mama yako

  • @lilykagwi6145

    @lilykagwi6145

    23 күн бұрын

    Kwanini unapenda kutuzi watu wewe😮

  • @user-ny2cd9dt1d
    @user-ny2cd9dt1dАй бұрын

    In Sha'a Allah yataisha Waafrica tumeamka tupo vizuri kifikra na busara

  • @BMDESIGNZ
    @BMDESIGNZАй бұрын

    First Viewer from Malawi ❤

  • @geraldlyimo2859

    @geraldlyimo2859

    Ай бұрын

    Hamjambo huko?

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pwАй бұрын

    Basi Congo tajiri sana uku Africa🌍

  • @user-mz9ye1xr8n
    @user-mz9ye1xr8nАй бұрын

    Da Jamal wemkali sana yaani unayajua mambo ya Congo kuliko hata mimi ninaya ishi Congo

  • @ibrahimkitsa1839
    @ibrahimkitsa1839Ай бұрын

    Hapa nipo Congo huku upande wa beni Goma tuna teseka❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @Mosesy_Bright

    @Mosesy_Bright

    13 күн бұрын

    Mungu yupo ata wasaidia

  • @rodrickibrahim
    @rodrickibrahimАй бұрын

    jamar jamar punguza matangazo bac nawe weka mwishoni zinakata huondo napenda unavo anza mzee wangu..

  • @Delux698
    @Delux698Ай бұрын

    Daaaah yani kwa hii dunia ukiwa masikin unatesek, ukiwa tajil pia unateseka... Congo wanahangaika kisa utajil, sudan wanahangika kisa umasikin.. eeeh mung tujalie waja wak0🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌

  • @subrynerysegerow1323

    @subrynerysegerow1323

    Ай бұрын

    Viongozi ndio laana

  • @tiktokTviral
    @tiktokTviralАй бұрын

    ALWAYS #THESTORYBOOK HAIJAWAI KUTUANGUSHA PAMOJA NA #PROFESSORJAMAL WEWE HAUNAGA MPINZANI

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1oАй бұрын

    Asante sana Jamal kutuletea hii story book ya Congo ❤❤

  • @MrEmilson
    @MrEmilsonАй бұрын

    Professor hiyo kisamiati sijaipata vizuri

  • @user-tw6mf5jn7d
    @user-tw6mf5jn7dАй бұрын

    We pray 🤲🏽 for Congo

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын

    ANGETULIA ANGEPINDUA NCHI KIURAISI KABISA KAKULUPUKA TAMINGI 😮

  • @YelemiaElidadi-cq9dj
    @YelemiaElidadi-cq9djАй бұрын

    ❤❤❤nakubar jamar

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya950624 күн бұрын

    Mungu wasaidie congo

  • @DanyBagabo
    @DanyBagaboАй бұрын

    From Congo drc tunakupenda mon grand jamal

  • @ukweli255
    @ukweli255Ай бұрын

    Jamaaaaaal nakuita Tena Brother Do Something kwa watu wa Nyamongo Mara ...wape Story Book wale watu..hawana tofauti na Congo 🙌

  • @menlandmutashobya8377

    @menlandmutashobya8377

    Ай бұрын

    Hawez make atakuwa anaiteta serikali

  • @user-rk4yh4yy7w

    @user-rk4yh4yy7w

    Ай бұрын

    Kwani kuna nini huko?

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    Ай бұрын

    ​ SERKALI GANII?

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    Ай бұрын

    @ukweli255 WA NYAMONGO NI RAIA WAWAPI?

  • @ElizabethSamweli-pu8mn

    @ElizabethSamweli-pu8mn

    22 күн бұрын

    Umenigusa san maana namimi niko nyamongo nishida vijan Wameisha huku

  • @topfan9951
    @topfan9951Ай бұрын

    Congratulations jamaal for the story book much love from Kenya we love your work big up to yourself

  • @Stylistic310
    @Stylistic310Ай бұрын

    Jamal april alete story za Coincidences ama unsolved mysteries.... Much Love from Kenya🇰🇪..

  • @lucusshamte9161
    @lucusshamte9161Ай бұрын

    One-day mungu ataifungulia milango congo na itakuwa huru

  • @beatrixmalakasuka1214
    @beatrixmalakasuka1214Ай бұрын

    Prof unajua

  • @derrickouna1870
    @derrickouna187010 күн бұрын

    watching from kenya,nashukuru sana jarmal, nifanyie ya jerry rowlings kutoka ghana..

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3eАй бұрын

    Asante kwa taarifa ya habari

  • @MwanaMack
    @MwanaMackАй бұрын

    Shuja wetu wa Congo 🇨🇩🇨🇩aliye kufia wana Ichi 🇨🇩🇨🇩✊ courage héro

  • @ChumanaSusi

    @ChumanaSusi

    Ай бұрын

    Unamaanisha ni kaka ukisema hivyo? 🇰🇪

  • @MwanaMack

    @MwanaMack

    Ай бұрын

    @@ChumanaSusi Sisi tulitaka mapiduzi uku Congo tunateswa kama ubwa kaakangu

  • @ChumanaSusi

    @ChumanaSusi

    Ай бұрын

    @@MwanaMackkwani hii mapinduzi ingekomesha vita mashariki ya Kongo na maeneoya Goma na kulete amani Kongo yote? Nilidhani Tshikedi anaweza ama ameshindwa? Dawa ya Kongo ni kuwa na semi autonomous states zijitawale vilezinataka ndani ya dola ya Kongo. La si hivyo vita hazitaisha Kongo

  • @JumongPatrick-xu5ur

    @JumongPatrick-xu5ur

    Ай бұрын

    Mmmmmhhhh toka uko bwege kama yy marehem

  • @Ryannkae

    @Ryannkae

    12 күн бұрын

    @@ChumanaSusindio maana wanao kaka zetu wameowa maanduwi wetu ndo mana wanashidwa kufanya jambo nzuri kabila kabange ni mnyarwanda kaka yetu alitudangaya eti ni mtoto wake kumbe ni mtoto warafiki yake tulikuja kujuwa after mtoto wake wakweli kusema amekimbia congo kwasa bb kabila alitaka kuwauwa watoto wababa yake wakambo huyu mwengine alitudangaya mkewe ni mcongo og kupe ni mnyarwanda ndomana yupo kimia maana mkewe ataki ndugu zake wafukuzwe congo . Lakini binti au msichana wacongo akijuwa uko nyarwanda vina kwisha yani uwa awakubali kuwa nao kwenye mausiano ila hivi vitokeni vinakubali kuowa aduwi yake american before wakijuwa unatogonza aduwi wanakuuwa ila now wao kupata amani wamerusu

  • @augoustnopeter5292
    @augoustnopeter5292Ай бұрын

    Kwa uchambuzi mzuri nakubali sana jamarl

  • @AimealengebienkisepeAimealenge
    @AimealengebienkisepeAimealengeАй бұрын

    Safi sna.professionnel

  • @MBMwamba
    @MBMwambaАй бұрын

    Professor....ukojuu Tangu nizaliwe Adi Leo😭😭😭😭

  • @PaulMawira
    @PaulMawiraАй бұрын

    Jamal twakupenda sana Kenya zidi kutuangushia stori

  • @henrylugendo280
    @henrylugendo280Ай бұрын

    Good story

  • @jchitamu
    @jchitamu13 күн бұрын

    Wow! Story book, thanks for the story! Sad my Mama Africa! Conflicts! Conflicts! Conflicts!😭😭😭

  • @lilhydon452
    @lilhydon452Ай бұрын

    Hio Hadith ya huyo mwanamke ni kitabu tulichokisoma darasa la nne (fikiri kabla ya kutenda) watoto wa e2000 hawawezi kukijua

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zpАй бұрын

    MUDA UNATHAMANI KUBWA SANA KATKA MAISHA YETU... Muda wa mapinduziii ya congo😂 the story book

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7lАй бұрын

    Weka matangazo. Mie naenda kutafuta hilo duka la viatu lipo vizuri.

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlungaАй бұрын

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲

  • @meshackekipetot8077
    @meshackekipetot8077Ай бұрын

    Natazama nikiwa nchini Uganda 🇺🇬 naomba likes zenu

  • @saluximperialeagleofficialrdc

    @saluximperialeagleofficialrdc

    Ай бұрын

    Ninyi waganda na wanyarwanda munatumiwa na wazungu kuzorotesha amani kongo ili tu mupate hela na wao kuchukuwa madini africa wapi wapi tunaenda

  • @samiradamrajab5416

    @samiradamrajab5416

    17 күн бұрын

    Sehemu gani mzee

  • @meshackekipetot8077

    @meshackekipetot8077

    13 күн бұрын

    @@samiradamrajab5416 kaabong district

  • @KIMALEX254

    @KIMALEX254

    5 күн бұрын

    ​@@saluximperialeagleofficialrdc 😂😂😂😂okey,

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1eeАй бұрын

    asanteh sana prof. leo nimewahi bwana 😁😁

  • @stephenvenancee7131

    @stephenvenancee7131

    Ай бұрын

    ko umepata shingap

  • @SmilingBeaver-rf6sf
    @SmilingBeaver-rf6sfАй бұрын

    Hatari sana

  • @jacksonwanjau3939
    @jacksonwanjau3939Ай бұрын

    Na umezembea sana nduguu kutuupdate 254 watching keep up brother

  • @davidlyatuu5758
    @davidlyatuu5758Ай бұрын

    Sema Prof binafsi bado naona no mvutano wa West na East. Ukiangalia Bemba na Wapinzani wengine wa zaman wapo against the West ndomana walipata shida kipind hicho. Tshekedi yupo against na West nadhan labda kuna kitu kilichojificha hapa zaidi ya tunavyoona..

  • @tida3727
    @tida3727Ай бұрын

    Even at 21st century...they r still fighting among themselves. May God intevene😢😢

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587Ай бұрын

    Ilove DRC ❤❤🇹🇿🇹🇿

  • @Mosesy_Bright

    @Mosesy_Bright

    13 күн бұрын

    Drc4life

  • @Ezekielkasuka
    @Ezekielkasuka29 күн бұрын

    ichi yangu naipenda sana japo shida nyingi sana ila naamini ipo Siku tuta iyona Amani tu japo sio Léo kina mwanzo kina mwisho acha tuone kule mbele

  • @Mosesy_Bright

    @Mosesy_Bright

    13 күн бұрын

    Mungu ata saidia

  • @DallizukApril
    @DallizukAprilАй бұрын

    Wow! I have waited for this ❤️

  • @SadamHassan-ng3yl
    @SadamHassan-ng3yl25 күн бұрын

    Mungu ibariki Africa mungu wabariki na wasaidie Ndugu zetu wa Congo wapate amani 🙏🙏

  • @meshackmgunda8789
    @meshackmgunda8789Ай бұрын

    😊😊😊 awa kweli mapimbi

  • @HalidiMalande
    @HalidiMalandeАй бұрын

    Blessings nyingi sana zikufikie Prof Jamal Allah S.W azidi kukupa nguvu.

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6uАй бұрын

    nakupenda jamali ujambuzi wa kweli

  • @omarymuya142
    @omarymuya142Ай бұрын

    Tuwapepletu wezetu wa Kongo kamawewe ni mpezi wa the story book 📖 like zako

  • @AimealengebienkisepeAimealenge
    @AimealengebienkisepeAimealengeАй бұрын

    Nakukubali kaka april.nikiwa kongo kusini

  • @farajiissa560
    @farajiissa560Ай бұрын

    Bajesh ba congo banalala sana hadi baadui banaingia mundan kabisa

  • @Nuru-zr2yv

    @Nuru-zr2yv

    Ай бұрын

    Nchi yenu mnajua kucheza nyimbo na ulevi mtateseka sana mana wenyewe hamjitambui mmebarikiwa mali nyingi lkn hamna faida nazo

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    Ай бұрын

    ​ NIKWELIIIII KBSAAAAAA

  • @deven.oauditx7547

    @deven.oauditx7547

    Ай бұрын

    Bacombant ba congo balikuwa banalala kwa fasi ya mu nyumba na kusahau kulinda fasi ya ikulu.

  • @ManenoAlexander
    @ManenoAlexanderАй бұрын

    Nakupa big up kaka from 🇺🇸

  • @onesmotemba3004

    @onesmotemba3004

    Ай бұрын

    Kaka vp

  • @Liltg12
    @Liltg12Ай бұрын

    Free congo ❤

  • @user-py9sr5zx4v
    @user-py9sr5zx4vАй бұрын

    Kama jina MB Usiwashe Data matangazo Ndiyo yanampa pesa Jamar Piga kazi

  • @KenzoTembo
    @KenzoTembo19 күн бұрын

    Mungu isaidie Kongo vitaiishe

  • @inearclassictz1233
    @inearclassictz1233Ай бұрын

    Congo kuna shida sana Magharibi wanafurahi wanaiba madin wanaondoka

  • @ltalallekulal9919
    @ltalallekulal9919Ай бұрын

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kama wewe ni mkenya uni like 🇰🇪

  • @ARCHTECH255
    @ARCHTECH255Ай бұрын

    From. +1 U.S.A🇺🇲 naangalia story book

  • @maliyawatukim5912
    @maliyawatukim591228 күн бұрын

    Thanks Jamal, Mungu ainusulu congo🙏

  • @giftmwandike8916
    @giftmwandike8916Ай бұрын

    💪💪

  • @felixbiriah8188
    @felixbiriah8188Ай бұрын

    Nina fwatilia nikiwa Kenya please like me

  • @bon_boy_gogom_Tv
    @bon_boy_gogom_Tv22 күн бұрын

    Nime yisikiliza hiyi story history piya nikama habari ya congo namushukuru sana muandaaji wahiyi story

  • @user-rk4yh4yy7w
    @user-rk4yh4yy7wАй бұрын

    Shida nchi za kiafrika zinaziangalia sana nchi za nje zihusike na changamoto za afrika hawawezi kuwasaindia wakati wananufaika na mpango huo wana kanuni yao ili uwatawale lazima uwagawe

  • @goldenboysaiid5137
    @goldenboysaiid5137Ай бұрын

    Kama wewe ni mkongomani weka like hapa 👍

  • @Nahadi-Said
    @Nahadi-SaidАй бұрын

    I appreciate it

  • @Mosesy_Bright
    @Mosesy_Bright13 күн бұрын

    Mungu ipiganie congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 🇹🇿🙏🇹🇿

  • @katembomuhiwa9956
    @katembomuhiwa995628 күн бұрын

    Jamani wenzangu wa tanzania shukuruni kuishi kwenu bila kuwa na miliyo ya lisasi ila sisi kongo masasi yamekuwa kama wa pikipiki zaidi sana kwetu mashariki mwa kongo

  • @mosesnjenga2767
    @mosesnjenga2767Ай бұрын

    Iko Sawa lakini jifunze na ufanye mazoezi ya kutamka majina ya kifaransa! Unaitamka kana kwamba ni Kiswahili...

  • @evaisrael6434

    @evaisrael6434

    3 күн бұрын

    Atamke kwa usahihi majina ya kifaransa ili imsaidie nani ? Kwani yeye ni Mfaransa..? Wao wafaransa wanatamka vzuri majina ya kitanzania? Acha shobo wewe

  • @andrewraphael3098
    @andrewraphael309829 күн бұрын

    prof Jamal

  • @BraysonAndigwa
    @BraysonAndigwa15 күн бұрын

    Mungu asaidie congo

  • @felistusmwikali5777
    @felistusmwikali577713 күн бұрын

    War and blood shed in Congo will never end this is due to the covenants made by seseko with the altars of freemason.....for it was an enrichment of one by the expense of many (mobutu sese seko)

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4jАй бұрын

    Burundi tulishindwa 2015 na ndoo waliteka tv ya taifa uwanja wa ndege na kijeshiii

  • @japhetkasanga201
    @japhetkasanga201Ай бұрын

    Utajiri wao Congo una waponza...

  • @exprodigitaltechtv5571

    @exprodigitaltechtv5571

    Ай бұрын

    Africa kuna nchi ambayo haina utajiri aridhini

  • @ramsrafiki1212

    @ramsrafiki1212

    Ай бұрын

    Go sleep you are taking nonsense

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    Ай бұрын

    ​ NAHISI HAKUNA

  • @exprodigitaltechtv5571

    @exprodigitaltechtv5571

    Ай бұрын

    @@ramsrafiki1212 sawa mcongo man wale wanachopigania ni madaraka tu

  • @martinotima
    @martinotima29 күн бұрын

    KAZI nzuri sana

Келесі