Kama wewe ni mpenzi wa the story boob gonga like & comment
@VictoireSimon22Ай бұрын
nchi yangu tangu enzi za ukoloni hadi mpaka sasa ni damu tu inamwagika eh mungu sisi wakongomani tumekukoseaga nini tumefanyanga nini au tufanye nini ili na sisi tuishi kama wengine dah😭😭😭😭😭
@rommyshabby3959
Ай бұрын
Vaa ww viatu vyake ndo utajua analia uongo au kwel
@Adrext
Ай бұрын
@@rommyshabby3959 wee umeshavivaa ni size ngapi mzee nikanunue
@mtktv597
Ай бұрын
@@Adrext we kuku acha kuropoka Kama hujui kitu bora unyamaze boya ww subiri siku tanzania itapata vita ndo utajua hujui kenge ww
@Adrext
Ай бұрын
@@mtktv597 acha kunya kunya bila kuchamba kijana aliekwambia Tanzania tunaogop vita ni nani mbweha wew
@felicianfrancis9895
Ай бұрын
Pole sana ndugu. Ujumbe unaliza sana hasa waliowahi kupitia magumu sana. 😭😭😭. Mwenyezi Mungu asaidie kwa kweli.
@faizhassan5029Ай бұрын
From +254 🇰🇪 Tunakutambua Jamal wapi likes zake hapa
@honeyflower254Ай бұрын
Natazama nikiwa nchini Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 naomba like zenu
@mugongamawe
Ай бұрын
Unakula likes ?
@honeyflower254
Ай бұрын
@@mugongamawe sindio man
@user-sr9ox5ry3i
29 күн бұрын
Nyie kenya hamuna story book yenu
@honeyflower254
29 күн бұрын
@@user-sr9ox5ry3i 🤣🤣🤣hatuna laki itapatikana tu
@justinojuma4210Ай бұрын
Asante sana Allah kwa kutupatia mtu kama jamal na nakuomba umlide kwa mwaka mingi sana pia mpe mda ili akukumbuke kwa swala na vitu vyema kwakidini yetu ya kislam
@ASALABOYАй бұрын
Wangapi tumelewa vizuli kupitia "THE STORY BOOK" weka Like Hapa👇
@user-dg7wf6fg2jАй бұрын
Story za kiafrica uwe unatuletea Asante kwa kazi nzuri❤prof April
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
JAMAL APLI KAMA UTATOLEWA ZAWADI KWA MTANGAZAJI MZURI NA KUTANGAZA WASIKILIZAJI KUELEWA WEWE JAMAL NAMBA MOJA MUNGU AKUBALIKI KWA KAZI YAKO MZURI NAKUPATA VIZURI KUTOKA ATHENS ❤❤❤
@emmanuelmmbaga5209Ай бұрын
Hii story nilioona sns-kwa sky lakin sikuelew kiundani..... Hapa kwa jamali - Nimeelewa kabisa.... Big up sana prof jamali✔️🙏🙏
@user-hp6bf5lh2d
Ай бұрын
Kama Mimi🎉
@shinipapaya846
Ай бұрын
SNS hamna kitu kule ni ubabaishaji tu gonga like kwa Pro JAMAR🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍👍👍🤩🤩🥰🥰😍😍🙏🙏🙏
@HalidiMalande
Ай бұрын
Jamal Jesh sana Respect nyingi sana
@zayumar2955Ай бұрын
Daaaah polen sana wacongo kwakwel mnapitia mengi sana 💔❤️🩹ila ili hali hii iishe lazima viongozi wa Africa waweze kuwa pa1 vinginevyo hamna kitu kila siku tutakuwa chini tu na kuonewa na kuendelea kulalamika bila mabadiliko yoyote tatizo viongozi wetu njaa nyingi na tunaoumia ni sisi raia😢😢
@selemankumbanga-mo8re
Ай бұрын
Rais wa kongo tafuta muafaka na wenzako ili uitawale kongo vizuri
@delvojr5034Ай бұрын
Mungu wasaidiy wakongo🙏🏻🙏🏻 🇹🇿
@biasharaonline693Ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana, Watu wana ndoto kubwa , na hawakubali kukata tamaa, hadi wafanikishe malengo, hili ni funzo💪💪
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
Wewe jamal upo vizuri sana Utangazaji mpaka mesali zangu mwenye Akili timamu Akizingatia mesali zako Atapoteza Ubarikiwe MWAMBA WANGU JAMAL NAKUPATA VIZURI KUTOKA ATHENS ❤❤❤
@jesccamangi3784Ай бұрын
Mungu awape aman nchi ya Congo 🇨🇩 Amen
@stephenthuo3571Ай бұрын
Shalom, Shalom, Shalom, Shalom Congo. Much Love ❤ from Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@shinipapaya846
Ай бұрын
Chikenya vibaraka nyie vya mzunguz 😂😂😂
@GeorgeRichard-wg8psАй бұрын
Sauti yako ndy inanifanya nielewe kwa haraka kila history bro big up🔥🔥🔥
@Blaq-iАй бұрын
Waafrika hawajui adui sio mwafrika mwenzao😢😢😢wazungu walimchocha akavimba kichwa
@mugongamaweАй бұрын
Congo is so rich in minerals and americans and europe need them. So they support these wars to benefit. No hope no solution for stopping that war unless USA and European countries leaves congo alone
@belitomanuel6240Ай бұрын
The best professor of the story book 📚 in Africa 🌍 Jamal April.❤❤
@FatnaAlly-go7ytАй бұрын
Allahu akbar hakika naamini mola wangu kweli uko na unatimiza kila haja ya mwenye kuitajia❤❤
@mohammedmfamau43Ай бұрын
Poleni ndugu zangu wa congo ila tatizo la nchi ya congo ni marekani na washirika wake wakiwatumia baadhi ya raia wa congo lkn msijali freedom is coming.
@onesmotemba3004Ай бұрын
Nasikiliza the story book kutoka Wales naombeni like
@zulungconde1647Ай бұрын
Huyu kafundishwa huko Marekani wamemjaza zile itikadi zaki West.. Sisi tuko Biz kuikomboa Africa yote wawo wanapumbazwa namaBepari wa magharibi.. 🇿🇦
@PeterMshaliАй бұрын
Nimetumia big up Prof.
@hadija_makangeАй бұрын
Duuh hii nchi kwastail hii haitokuwa naamani maisha yote kila mtu anaunda kikosi chake aongoze nchi
@liban_kulumpaАй бұрын
I wish you did this in English broooo tungeua global market .....love ua stories bro
@faith4rmzion136
Ай бұрын
Swahili Our Power Language Of Communication! Not The Enemy Language! No Anglais no no no.
@ChumanaSusiАй бұрын
Niko mji wa Wote Makueni Kenya 🇰🇪 na nawaombea amani wakongo. Mumeteseka sana
@saluximperialeagleofficialrdc
Ай бұрын
Rais wa Kenya alikuwa nao
@JEVASMUTINDA-zu3cb
29 күн бұрын
Wote twi vamwe 😅😅
@ChumanaSusi
12 күн бұрын
@@saluximperialeagleofficialrdc huyo rais wa kenya ni criminal na rais wa bandia tunamchukia sana. Mkora ba fusadi mbaya sana . Aliiba kura na kuwekwa kwa kiti na wazungu. Useless kabisa
@ChumanaSusi
12 күн бұрын
@@JEVASMUTINDA-zu3cb sure
@ronofestus99Ай бұрын
Who else watching from kericho Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪??
@mugongamawe
Ай бұрын
Mama yako
@lilykagwi6145
23 күн бұрын
Kwanini unapenda kutuzi watu wewe😮
@user-ny2cd9dt1dАй бұрын
In Sha'a Allah yataisha Waafrica tumeamka tupo vizuri kifikra na busara
@BMDESIGNZАй бұрын
First Viewer from Malawi ❤
@geraldlyimo2859
Ай бұрын
Hamjambo huko?
@bakari-si1pwАй бұрын
Basi Congo tajiri sana uku Africa🌍
@user-mz9ye1xr8nАй бұрын
Da Jamal wemkali sana yaani unayajua mambo ya Congo kuliko hata mimi ninaya ishi Congo
@ibrahimkitsa1839Ай бұрын
Hapa nipo Congo huku upande wa beni Goma tuna teseka❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Daaaah yani kwa hii dunia ukiwa masikin unatesek, ukiwa tajil pia unateseka... Congo wanahangaika kisa utajil, sudan wanahangika kisa umasikin.. eeeh mung tujalie waja wak0🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌
@subrynerysegerow1323
Ай бұрын
Viongozi ndio laana
@tiktokTviralАй бұрын
ALWAYS #THESTORYBOOK HAIJAWAI KUTUANGUSHA PAMOJA NA #PROFESSORJAMAL WEWE HAUNAGA MPINZANI
@user-jd6vr9xw1oАй бұрын
Asante sana Jamal kutuletea hii story book ya Congo ❤❤
@MrEmilsonАй бұрын
Professor hiyo kisamiati sijaipata vizuri
@user-tw6mf5jn7dАй бұрын
We pray 🤲🏽 for Congo
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
ANGETULIA ANGEPINDUA NCHI KIURAISI KABISA KAKULUPUKA TAMINGI 😮
@YelemiaElidadi-cq9djАй бұрын
❤❤❤nakubar jamar
@rukiaiddyyahaya950624 күн бұрын
Mungu wasaidie congo
@DanyBagaboАй бұрын
From Congo drc tunakupenda mon grand jamal
@ukweli255Ай бұрын
Jamaaaaaal nakuita Tena Brother Do Something kwa watu wa Nyamongo Mara ...wape Story Book wale watu..hawana tofauti na Congo 🙌
@menlandmutashobya8377
Ай бұрын
Hawez make atakuwa anaiteta serikali
@user-rk4yh4yy7w
Ай бұрын
Kwani kuna nini huko?
@allahisone6386
Ай бұрын
SERKALI GANII?
@allahisone6386
Ай бұрын
@ukweli255 WA NYAMONGO NI RAIA WAWAPI?
@ElizabethSamweli-pu8mn
22 күн бұрын
Umenigusa san maana namimi niko nyamongo nishida vijan Wameisha huku
@topfan9951Ай бұрын
Congratulations jamaal for the story book much love from Kenya we love your work big up to yourself
@Stylistic310Ай бұрын
Jamal april alete story za Coincidences ama unsolved mysteries.... Much Love from Kenya🇰🇪..
@lucusshamte9161Ай бұрын
One-day mungu ataifungulia milango congo na itakuwa huru
@beatrixmalakasuka1214Ай бұрын
Prof unajua
@derrickouna187010 күн бұрын
watching from kenya,nashukuru sana jarmal, nifanyie ya jerry rowlings kutoka ghana..
@user-qq6mv6vh3eАй бұрын
Asante kwa taarifa ya habari
@MwanaMackАй бұрын
Shuja wetu wa Congo 🇨🇩🇨🇩aliye kufia wana Ichi 🇨🇩🇨🇩✊ courage héro
@ChumanaSusi
Ай бұрын
Unamaanisha ni kaka ukisema hivyo? 🇰🇪
@MwanaMack
Ай бұрын
@@ChumanaSusi Sisi tulitaka mapiduzi uku Congo tunateswa kama ubwa kaakangu
@ChumanaSusi
Ай бұрын
@@MwanaMackkwani hii mapinduzi ingekomesha vita mashariki ya Kongo na maeneoya Goma na kulete amani Kongo yote? Nilidhani Tshikedi anaweza ama ameshindwa? Dawa ya Kongo ni kuwa na semi autonomous states zijitawale vilezinataka ndani ya dola ya Kongo. La si hivyo vita hazitaisha Kongo
@JumongPatrick-xu5ur
Ай бұрын
Mmmmmhhhh toka uko bwege kama yy marehem
@Ryannkae
12 күн бұрын
@@ChumanaSusindio maana wanao kaka zetu wameowa maanduwi wetu ndo mana wanashidwa kufanya jambo nzuri kabila kabange ni mnyarwanda kaka yetu alitudangaya eti ni mtoto wake kumbe ni mtoto warafiki yake tulikuja kujuwa after mtoto wake wakweli kusema amekimbia congo kwasa bb kabila alitaka kuwauwa watoto wababa yake wakambo huyu mwengine alitudangaya mkewe ni mcongo og kupe ni mnyarwanda ndomana yupo kimia maana mkewe ataki ndugu zake wafukuzwe congo . Lakini binti au msichana wacongo akijuwa uko nyarwanda vina kwisha yani uwa awakubali kuwa nao kwenye mausiano ila hivi vitokeni vinakubali kuowa aduwi yake american before wakijuwa unatogonza aduwi wanakuuwa ila now wao kupata amani wamerusu
@augoustnopeter5292Ай бұрын
Kwa uchambuzi mzuri nakubali sana jamarl
@AimealengebienkisepeAimealengeАй бұрын
Safi sna.professionnel
@MBMwambaАй бұрын
Professor....ukojuu Tangu nizaliwe Adi Leo😭😭😭😭
@PaulMawiraАй бұрын
Jamal twakupenda sana Kenya zidi kutuangushia stori
@henrylugendo280Ай бұрын
Good story
@jchitamu13 күн бұрын
Wow! Story book, thanks for the story! Sad my Mama Africa! Conflicts! Conflicts! Conflicts!😭😭😭
@lilhydon452Ай бұрын
Hio Hadith ya huyo mwanamke ni kitabu tulichokisoma darasa la nne (fikiri kabla ya kutenda) watoto wa e2000 hawawezi kukijua
@CollisBill-mu3zpАй бұрын
MUDA UNATHAMANI KUBWA SANA KATKA MAISHA YETU... Muda wa mapinduziii ya congo😂 the story book
@user-sj3wf5vz7lАй бұрын
Weka matangazo. Mie naenda kutafuta hilo duka la viatu lipo vizuri.
@hamzaIlungaАй бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲
@meshackekipetot8077Ай бұрын
Natazama nikiwa nchini Uganda 🇺🇬 naomba likes zenu
@saluximperialeagleofficialrdc
Ай бұрын
Ninyi waganda na wanyarwanda munatumiwa na wazungu kuzorotesha amani kongo ili tu mupate hela na wao kuchukuwa madini africa wapi wapi tunaenda
@samiradamrajab5416
17 күн бұрын
Sehemu gani mzee
@meshackekipetot8077
13 күн бұрын
@@samiradamrajab5416 kaabong district
@KIMALEX254
5 күн бұрын
@@saluximperialeagleofficialrdc 😂😂😂😂okey,
@EdwardSamson-uf1eeАй бұрын
asanteh sana prof. leo nimewahi bwana 😁😁
@stephenvenancee7131
Ай бұрын
ko umepata shingap
@SmilingBeaver-rf6sfАй бұрын
Hatari sana
@jacksonwanjau3939Ай бұрын
Na umezembea sana nduguu kutuupdate 254 watching keep up brother
@davidlyatuu5758Ай бұрын
Sema Prof binafsi bado naona no mvutano wa West na East. Ukiangalia Bemba na Wapinzani wengine wa zaman wapo against the West ndomana walipata shida kipind hicho. Tshekedi yupo against na West nadhan labda kuna kitu kilichojificha hapa zaidi ya tunavyoona..
@tida3727Ай бұрын
Even at 21st century...they r still fighting among themselves. May God intevene😢😢
@yustomwaisomania2587Ай бұрын
Ilove DRC ❤❤🇹🇿🇹🇿
@Mosesy_Bright
13 күн бұрын
Drc4life
@Ezekielkasuka29 күн бұрын
ichi yangu naipenda sana japo shida nyingi sana ila naamini ipo Siku tuta iyona Amani tu japo sio Léo kina mwanzo kina mwisho acha tuone kule mbele
@Mosesy_Bright
13 күн бұрын
Mungu ata saidia
@DallizukAprilАй бұрын
Wow! I have waited for this ❤️
@SadamHassan-ng3yl25 күн бұрын
Mungu ibariki Africa mungu wabariki na wasaidie Ndugu zetu wa Congo wapate amani 🙏🙏
@meshackmgunda8789Ай бұрын
😊😊😊 awa kweli mapimbi
@HalidiMalandeАй бұрын
Blessings nyingi sana zikufikie Prof Jamal Allah S.W azidi kukupa nguvu.
@user-tz8zu2gt6uАй бұрын
nakupenda jamali ujambuzi wa kweli
@omarymuya142Ай бұрын
Tuwapepletu wezetu wa Kongo kamawewe ni mpezi wa the story book 📖 like zako
@AimealengebienkisepeAimealengeАй бұрын
Nakukubali kaka april.nikiwa kongo kusini
@farajiissa560Ай бұрын
Bajesh ba congo banalala sana hadi baadui banaingia mundan kabisa
@Nuru-zr2yv
Ай бұрын
Nchi yenu mnajua kucheza nyimbo na ulevi mtateseka sana mana wenyewe hamjitambui mmebarikiwa mali nyingi lkn hamna faida nazo
@allahisone6386
Ай бұрын
NIKWELIIIII KBSAAAAAA
@deven.oauditx7547
Ай бұрын
Bacombant ba congo balikuwa banalala kwa fasi ya mu nyumba na kusahau kulinda fasi ya ikulu.
@ManenoAlexanderАй бұрын
Nakupa big up kaka from 🇺🇸
@onesmotemba3004
Ай бұрын
Kaka vp
@Liltg12Ай бұрын
Free congo ❤
@user-py9sr5zx4vАй бұрын
Kama jina MB Usiwashe Data matangazo Ndiyo yanampa pesa Jamar Piga kazi
@KenzoTembo19 күн бұрын
Mungu isaidie Kongo vitaiishe
@inearclassictz1233Ай бұрын
Congo kuna shida sana Magharibi wanafurahi wanaiba madin wanaondoka
@ltalallekulal9919Ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kama wewe ni mkenya uni like 🇰🇪
@ARCHTECH255Ай бұрын
From. +1 U.S.A🇺🇲 naangalia story book
@maliyawatukim591228 күн бұрын
Thanks Jamal, Mungu ainusulu congo🙏
@giftmwandike8916Ай бұрын
💪💪
@felixbiriah8188Ай бұрын
Nina fwatilia nikiwa Kenya please like me
@bon_boy_gogom_Tv22 күн бұрын
Nime yisikiliza hiyi story history piya nikama habari ya congo namushukuru sana muandaaji wahiyi story
@user-rk4yh4yy7wАй бұрын
Shida nchi za kiafrika zinaziangalia sana nchi za nje zihusike na changamoto za afrika hawawezi kuwasaindia wakati wananufaika na mpango huo wana kanuni yao ili uwatawale lazima uwagawe
@goldenboysaiid5137Ай бұрын
Kama wewe ni mkongomani weka like hapa 👍
@Nahadi-SaidАй бұрын
I appreciate it
@Mosesy_Bright13 күн бұрын
Mungu ipiganie congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 🇹🇿🙏🇹🇿
@katembomuhiwa995628 күн бұрын
Jamani wenzangu wa tanzania shukuruni kuishi kwenu bila kuwa na miliyo ya lisasi ila sisi kongo masasi yamekuwa kama wa pikipiki zaidi sana kwetu mashariki mwa kongo
@mosesnjenga2767Ай бұрын
Iko Sawa lakini jifunze na ufanye mazoezi ya kutamka majina ya kifaransa! Unaitamka kana kwamba ni Kiswahili...
@evaisrael6434
3 күн бұрын
Atamke kwa usahihi majina ya kifaransa ili imsaidie nani ? Kwani yeye ni Mfaransa..? Wao wafaransa wanatamka vzuri majina ya kitanzania? Acha shobo wewe
@andrewraphael309829 күн бұрын
prof Jamal
@BraysonAndigwa15 күн бұрын
Mungu asaidie congo
@felistusmwikali577713 күн бұрын
War and blood shed in Congo will never end this is due to the covenants made by seseko with the altars of freemason.....for it was an enrichment of one by the expense of many (mobutu sese seko)
@user-wu8qe4fv4jАй бұрын
Burundi tulishindwa 2015 na ndoo waliteka tv ya taifa uwanja wa ndege na kijeshiii
@japhetkasanga201Ай бұрын
Utajiri wao Congo una waponza...
@exprodigitaltechtv5571
Ай бұрын
Africa kuna nchi ambayo haina utajiri aridhini
@ramsrafiki1212
Ай бұрын
Go sleep you are taking nonsense
@allahisone6386
Ай бұрын
NAHISI HAKUNA
@exprodigitaltechtv5571
Ай бұрын
@@ramsrafiki1212 sawa mcongo man wale wanachopigania ni madaraka tu
Пікірлер: 500
Kama wewe ni mpenzi wa the story boob gonga like & comment
nchi yangu tangu enzi za ukoloni hadi mpaka sasa ni damu tu inamwagika eh mungu sisi wakongomani tumekukoseaga nini tumefanyanga nini au tufanye nini ili na sisi tuishi kama wengine dah😭😭😭😭😭
@rommyshabby3959
Ай бұрын
Vaa ww viatu vyake ndo utajua analia uongo au kwel
@Adrext
Ай бұрын
@@rommyshabby3959 wee umeshavivaa ni size ngapi mzee nikanunue
@mtktv597
Ай бұрын
@@Adrext we kuku acha kuropoka Kama hujui kitu bora unyamaze boya ww subiri siku tanzania itapata vita ndo utajua hujui kenge ww
@Adrext
Ай бұрын
@@mtktv597 acha kunya kunya bila kuchamba kijana aliekwambia Tanzania tunaogop vita ni nani mbweha wew
@felicianfrancis9895
Ай бұрын
Pole sana ndugu. Ujumbe unaliza sana hasa waliowahi kupitia magumu sana. 😭😭😭. Mwenyezi Mungu asaidie kwa kweli.
From +254 🇰🇪 Tunakutambua Jamal wapi likes zake hapa
Natazama nikiwa nchini Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 naomba like zenu
@mugongamawe
Ай бұрын
Unakula likes ?
@honeyflower254
Ай бұрын
@@mugongamawe sindio man
@user-sr9ox5ry3i
29 күн бұрын
Nyie kenya hamuna story book yenu
@honeyflower254
29 күн бұрын
@@user-sr9ox5ry3i 🤣🤣🤣hatuna laki itapatikana tu
Asante sana Allah kwa kutupatia mtu kama jamal na nakuomba umlide kwa mwaka mingi sana pia mpe mda ili akukumbuke kwa swala na vitu vyema kwakidini yetu ya kislam
Wangapi tumelewa vizuli kupitia "THE STORY BOOK" weka Like Hapa👇
Story za kiafrica uwe unatuletea Asante kwa kazi nzuri❤prof April
JAMAL APLI KAMA UTATOLEWA ZAWADI KWA MTANGAZAJI MZURI NA KUTANGAZA WASIKILIZAJI KUELEWA WEWE JAMAL NAMBA MOJA MUNGU AKUBALIKI KWA KAZI YAKO MZURI NAKUPATA VIZURI KUTOKA ATHENS ❤❤❤
Hii story nilioona sns-kwa sky lakin sikuelew kiundani..... Hapa kwa jamali - Nimeelewa kabisa.... Big up sana prof jamali✔️🙏🙏
@user-hp6bf5lh2d
Ай бұрын
Kama Mimi🎉
@shinipapaya846
Ай бұрын
SNS hamna kitu kule ni ubabaishaji tu gonga like kwa Pro JAMAR🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍👍👍🤩🤩🥰🥰😍😍🙏🙏🙏
@HalidiMalande
Ай бұрын
Jamal Jesh sana Respect nyingi sana
Daaaah polen sana wacongo kwakwel mnapitia mengi sana 💔❤️🩹ila ili hali hii iishe lazima viongozi wa Africa waweze kuwa pa1 vinginevyo hamna kitu kila siku tutakuwa chini tu na kuonewa na kuendelea kulalamika bila mabadiliko yoyote tatizo viongozi wetu njaa nyingi na tunaoumia ni sisi raia😢😢
@selemankumbanga-mo8re
Ай бұрын
Rais wa kongo tafuta muafaka na wenzako ili uitawale kongo vizuri
Mungu wasaidiy wakongo🙏🏻🙏🏻 🇹🇿
Nimejifunza kitu kikubwa sana, Watu wana ndoto kubwa , na hawakubali kukata tamaa, hadi wafanikishe malengo, hili ni funzo💪💪
Wewe jamal upo vizuri sana Utangazaji mpaka mesali zangu mwenye Akili timamu Akizingatia mesali zako Atapoteza Ubarikiwe MWAMBA WANGU JAMAL NAKUPATA VIZURI KUTOKA ATHENS ❤❤❤
Mungu awape aman nchi ya Congo 🇨🇩 Amen
Shalom, Shalom, Shalom, Shalom Congo. Much Love ❤ from Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@shinipapaya846
Ай бұрын
Chikenya vibaraka nyie vya mzunguz 😂😂😂
Sauti yako ndy inanifanya nielewe kwa haraka kila history bro big up🔥🔥🔥
Waafrika hawajui adui sio mwafrika mwenzao😢😢😢wazungu walimchocha akavimba kichwa
Congo is so rich in minerals and americans and europe need them. So they support these wars to benefit. No hope no solution for stopping that war unless USA and European countries leaves congo alone
The best professor of the story book 📚 in Africa 🌍 Jamal April.❤❤
Allahu akbar hakika naamini mola wangu kweli uko na unatimiza kila haja ya mwenye kuitajia❤❤
Poleni ndugu zangu wa congo ila tatizo la nchi ya congo ni marekani na washirika wake wakiwatumia baadhi ya raia wa congo lkn msijali freedom is coming.
Nasikiliza the story book kutoka Wales naombeni like
Huyu kafundishwa huko Marekani wamemjaza zile itikadi zaki West.. Sisi tuko Biz kuikomboa Africa yote wawo wanapumbazwa namaBepari wa magharibi.. 🇿🇦
Nimetumia big up Prof.
Duuh hii nchi kwastail hii haitokuwa naamani maisha yote kila mtu anaunda kikosi chake aongoze nchi
I wish you did this in English broooo tungeua global market .....love ua stories bro
@faith4rmzion136
Ай бұрын
Swahili Our Power Language Of Communication! Not The Enemy Language! No Anglais no no no.
Niko mji wa Wote Makueni Kenya 🇰🇪 na nawaombea amani wakongo. Mumeteseka sana
@saluximperialeagleofficialrdc
Ай бұрын
Rais wa Kenya alikuwa nao
@JEVASMUTINDA-zu3cb
29 күн бұрын
Wote twi vamwe 😅😅
@ChumanaSusi
12 күн бұрын
@@saluximperialeagleofficialrdc huyo rais wa kenya ni criminal na rais wa bandia tunamchukia sana. Mkora ba fusadi mbaya sana . Aliiba kura na kuwekwa kwa kiti na wazungu. Useless kabisa
@ChumanaSusi
12 күн бұрын
@@JEVASMUTINDA-zu3cb sure
Who else watching from kericho Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪??
@mugongamawe
Ай бұрын
Mama yako
@lilykagwi6145
23 күн бұрын
Kwanini unapenda kutuzi watu wewe😮
In Sha'a Allah yataisha Waafrica tumeamka tupo vizuri kifikra na busara
First Viewer from Malawi ❤
@geraldlyimo2859
Ай бұрын
Hamjambo huko?
Basi Congo tajiri sana uku Africa🌍
Da Jamal wemkali sana yaani unayajua mambo ya Congo kuliko hata mimi ninaya ishi Congo
Hapa nipo Congo huku upande wa beni Goma tuna teseka❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@Mosesy_Bright
13 күн бұрын
Mungu yupo ata wasaidia
jamar jamar punguza matangazo bac nawe weka mwishoni zinakata huondo napenda unavo anza mzee wangu..
Daaaah yani kwa hii dunia ukiwa masikin unatesek, ukiwa tajil pia unateseka... Congo wanahangaika kisa utajil, sudan wanahangika kisa umasikin.. eeeh mung tujalie waja wak0🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌
@subrynerysegerow1323
Ай бұрын
Viongozi ndio laana
ALWAYS #THESTORYBOOK HAIJAWAI KUTUANGUSHA PAMOJA NA #PROFESSORJAMAL WEWE HAUNAGA MPINZANI
Asante sana Jamal kutuletea hii story book ya Congo ❤❤
Professor hiyo kisamiati sijaipata vizuri
We pray 🤲🏽 for Congo
ANGETULIA ANGEPINDUA NCHI KIURAISI KABISA KAKULUPUKA TAMINGI 😮
❤❤❤nakubar jamar
Mungu wasaidie congo
From Congo drc tunakupenda mon grand jamal
Jamaaaaaal nakuita Tena Brother Do Something kwa watu wa Nyamongo Mara ...wape Story Book wale watu..hawana tofauti na Congo 🙌
@menlandmutashobya8377
Ай бұрын
Hawez make atakuwa anaiteta serikali
@user-rk4yh4yy7w
Ай бұрын
Kwani kuna nini huko?
@allahisone6386
Ай бұрын
SERKALI GANII?
@allahisone6386
Ай бұрын
@ukweli255 WA NYAMONGO NI RAIA WAWAPI?
@ElizabethSamweli-pu8mn
22 күн бұрын
Umenigusa san maana namimi niko nyamongo nishida vijan Wameisha huku
Congratulations jamaal for the story book much love from Kenya we love your work big up to yourself
Jamal april alete story za Coincidences ama unsolved mysteries.... Much Love from Kenya🇰🇪..
One-day mungu ataifungulia milango congo na itakuwa huru
Prof unajua
watching from kenya,nashukuru sana jarmal, nifanyie ya jerry rowlings kutoka ghana..
Asante kwa taarifa ya habari
Shuja wetu wa Congo 🇨🇩🇨🇩aliye kufia wana Ichi 🇨🇩🇨🇩✊ courage héro
@ChumanaSusi
Ай бұрын
Unamaanisha ni kaka ukisema hivyo? 🇰🇪
@MwanaMack
Ай бұрын
@@ChumanaSusi Sisi tulitaka mapiduzi uku Congo tunateswa kama ubwa kaakangu
@ChumanaSusi
Ай бұрын
@@MwanaMackkwani hii mapinduzi ingekomesha vita mashariki ya Kongo na maeneoya Goma na kulete amani Kongo yote? Nilidhani Tshikedi anaweza ama ameshindwa? Dawa ya Kongo ni kuwa na semi autonomous states zijitawale vilezinataka ndani ya dola ya Kongo. La si hivyo vita hazitaisha Kongo
@JumongPatrick-xu5ur
Ай бұрын
Mmmmmhhhh toka uko bwege kama yy marehem
@Ryannkae
12 күн бұрын
@@ChumanaSusindio maana wanao kaka zetu wameowa maanduwi wetu ndo mana wanashidwa kufanya jambo nzuri kabila kabange ni mnyarwanda kaka yetu alitudangaya eti ni mtoto wake kumbe ni mtoto warafiki yake tulikuja kujuwa after mtoto wake wakweli kusema amekimbia congo kwasa bb kabila alitaka kuwauwa watoto wababa yake wakambo huyu mwengine alitudangaya mkewe ni mcongo og kupe ni mnyarwanda ndomana yupo kimia maana mkewe ataki ndugu zake wafukuzwe congo . Lakini binti au msichana wacongo akijuwa uko nyarwanda vina kwisha yani uwa awakubali kuwa nao kwenye mausiano ila hivi vitokeni vinakubali kuowa aduwi yake american before wakijuwa unatogonza aduwi wanakuuwa ila now wao kupata amani wamerusu
Kwa uchambuzi mzuri nakubali sana jamarl
Safi sna.professionnel
Professor....ukojuu Tangu nizaliwe Adi Leo😭😭😭😭
Jamal twakupenda sana Kenya zidi kutuangushia stori
Good story
Wow! Story book, thanks for the story! Sad my Mama Africa! Conflicts! Conflicts! Conflicts!😭😭😭
Hio Hadith ya huyo mwanamke ni kitabu tulichokisoma darasa la nne (fikiri kabla ya kutenda) watoto wa e2000 hawawezi kukijua
MUDA UNATHAMANI KUBWA SANA KATKA MAISHA YETU... Muda wa mapinduziii ya congo😂 the story book
Weka matangazo. Mie naenda kutafuta hilo duka la viatu lipo vizuri.
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲
Natazama nikiwa nchini Uganda 🇺🇬 naomba likes zenu
@saluximperialeagleofficialrdc
Ай бұрын
Ninyi waganda na wanyarwanda munatumiwa na wazungu kuzorotesha amani kongo ili tu mupate hela na wao kuchukuwa madini africa wapi wapi tunaenda
@samiradamrajab5416
17 күн бұрын
Sehemu gani mzee
@meshackekipetot8077
13 күн бұрын
@@samiradamrajab5416 kaabong district
@KIMALEX254
5 күн бұрын
@@saluximperialeagleofficialrdc 😂😂😂😂okey,
asanteh sana prof. leo nimewahi bwana 😁😁
@stephenvenancee7131
Ай бұрын
ko umepata shingap
Hatari sana
Na umezembea sana nduguu kutuupdate 254 watching keep up brother
Sema Prof binafsi bado naona no mvutano wa West na East. Ukiangalia Bemba na Wapinzani wengine wa zaman wapo against the West ndomana walipata shida kipind hicho. Tshekedi yupo against na West nadhan labda kuna kitu kilichojificha hapa zaidi ya tunavyoona..
Even at 21st century...they r still fighting among themselves. May God intevene😢😢
Ilove DRC ❤❤🇹🇿🇹🇿
@Mosesy_Bright
13 күн бұрын
Drc4life
ichi yangu naipenda sana japo shida nyingi sana ila naamini ipo Siku tuta iyona Amani tu japo sio Léo kina mwanzo kina mwisho acha tuone kule mbele
@Mosesy_Bright
13 күн бұрын
Mungu ata saidia
Wow! I have waited for this ❤️
Mungu ibariki Africa mungu wabariki na wasaidie Ndugu zetu wa Congo wapate amani 🙏🙏
😊😊😊 awa kweli mapimbi
Blessings nyingi sana zikufikie Prof Jamal Allah S.W azidi kukupa nguvu.
nakupenda jamali ujambuzi wa kweli
Tuwapepletu wezetu wa Kongo kamawewe ni mpezi wa the story book 📖 like zako
Nakukubali kaka april.nikiwa kongo kusini
Bajesh ba congo banalala sana hadi baadui banaingia mundan kabisa
@Nuru-zr2yv
Ай бұрын
Nchi yenu mnajua kucheza nyimbo na ulevi mtateseka sana mana wenyewe hamjitambui mmebarikiwa mali nyingi lkn hamna faida nazo
@allahisone6386
Ай бұрын
NIKWELIIIII KBSAAAAAA
@deven.oauditx7547
Ай бұрын
Bacombant ba congo balikuwa banalala kwa fasi ya mu nyumba na kusahau kulinda fasi ya ikulu.
Nakupa big up kaka from 🇺🇸
@onesmotemba3004
Ай бұрын
Kaka vp
Free congo ❤
Kama jina MB Usiwashe Data matangazo Ndiyo yanampa pesa Jamar Piga kazi
Mungu isaidie Kongo vitaiishe
Congo kuna shida sana Magharibi wanafurahi wanaiba madin wanaondoka
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kama wewe ni mkenya uni like 🇰🇪
From. +1 U.S.A🇺🇲 naangalia story book
Thanks Jamal, Mungu ainusulu congo🙏
💪💪
Nina fwatilia nikiwa Kenya please like me
Nime yisikiliza hiyi story history piya nikama habari ya congo namushukuru sana muandaaji wahiyi story
Shida nchi za kiafrika zinaziangalia sana nchi za nje zihusike na changamoto za afrika hawawezi kuwasaindia wakati wananufaika na mpango huo wana kanuni yao ili uwatawale lazima uwagawe
Kama wewe ni mkongomani weka like hapa 👍
I appreciate it
Mungu ipiganie congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 🇹🇿🙏🇹🇿
Jamani wenzangu wa tanzania shukuruni kuishi kwenu bila kuwa na miliyo ya lisasi ila sisi kongo masasi yamekuwa kama wa pikipiki zaidi sana kwetu mashariki mwa kongo
Iko Sawa lakini jifunze na ufanye mazoezi ya kutamka majina ya kifaransa! Unaitamka kana kwamba ni Kiswahili...
@evaisrael6434
3 күн бұрын
Atamke kwa usahihi majina ya kifaransa ili imsaidie nani ? Kwani yeye ni Mfaransa..? Wao wafaransa wanatamka vzuri majina ya kitanzania? Acha shobo wewe
prof Jamal
Mungu asaidie congo
War and blood shed in Congo will never end this is due to the covenants made by seseko with the altars of freemason.....for it was an enrichment of one by the expense of many (mobutu sese seko)
Burundi tulishindwa 2015 na ndoo waliteka tv ya taifa uwanja wa ndege na kijeshiii
Utajiri wao Congo una waponza...
@exprodigitaltechtv5571
Ай бұрын
Africa kuna nchi ambayo haina utajiri aridhini
@ramsrafiki1212
Ай бұрын
Go sleep you are taking nonsense
@allahisone6386
Ай бұрын
NAHISI HAKUNA
@exprodigitaltechtv5571
Ай бұрын
@@ramsrafiki1212 sawa mcongo man wale wanachopigania ni madaraka tu
KAZI nzuri sana