Msukuma ALIPUKA tena, atishia KUMLOGA Waziri "Mnatengeneza JESHI la kwenda kubaka dada zetu kweli?"

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Musukuma akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2023/2024, jijini Dodoma leo.
“Embu jifikilie mheshimiwa umenikamatia ng’ombe wangu 100, yani naona zinaenda sina uwezo wa kwenda polisi kuna bunduki, haya nina kosa unazichukuwa ng’ombe zangu unaziuza mimi ninarudi masikini halafu baada ya miezi sita unaanza kuniudumia na fedha za Tasaf, hiyo ni akili gani jamani.”
“Na mheshimiwa waziri makosa mengine tengenezeni utaratibu wa kutuonya…unazoa ng’ombe zangu zote nirudi tu nyumbani nianze kusema maliasili, mtakufa vibaya lazima niwaloge, lazima tuambizane ukweli maana nikienda polisi utanishinda mahakamani sina ela ya kwenda mtalogwa mtakufa vibaya" aliongeza Musukuma

Пікірлер: 50

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq8 ай бұрын

    Nakuwlewa sana Mweheshimiwa King Msukuma. Na Mungu akubariki sana.

  • @geraldisaka57
    @geraldisaka57 Жыл бұрын

    Akili nyingi sana

  • @PillikilumbiKilumbi-b3r
    @PillikilumbiKilumbi-b3r8 күн бұрын

    Uko vizuri Muheshimiwa msukuma

  • @frerdmgirima6
    @frerdmgirima612 күн бұрын

    Mm nakukubali sana baba

  • @user-lt3br3fl3g
    @user-lt3br3fl3gАй бұрын

    Nakuombea mungu Sana msukuma karibu chuga baba

  • @stevendevid

    @stevendevid

    Ай бұрын

    nakubar Sana msukuma karibu tanga

  • @MercianaMkumbo
    @MercianaMkumbo12 күн бұрын

    Wow

  • @WilliamPaul-nx3xm
    @WilliamPaul-nx3xmАй бұрын

    Uwiiiii msukuma penda wewe sana❤❤❤❤

  • @ngombegeorge3577
    @ngombegeorge3577 Жыл бұрын

    Mungu ni mkarimu sana tuombe sana, yan kuhama sehemu kwenda kwingne tena mtihan na watu wenye kipato kidogo maana anajua leo nazunguka hapa nitapata hela, yA unga na bahat mbaya wanapewa hela na wengne hata laki tano hawajaw shika . Itatetea yote kwenye pombe na kamar Tunaweza kua tunaanda umaskini mkubwa kuliko waliokua nao. Na mungu atusaidie kwa jina la mungu wa pekee nakataa kuwamisha tena wananchi. . Ni kosa mbele ya mungu

  • @Rukiamussa-xe3ib
    @Rukiamussa-xe3ib8 ай бұрын

    Saaafi Sana mh musukuma

  • @pasikarinyakire8215
    @pasikarinyakire8215 Жыл бұрын

    Kweli kabisa mbunge wetu musukuma tunakuombea sana kwa mungu

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph33379 ай бұрын

    Pure intelligence

  • @ruhubikamtaki7257
    @ruhubikamtaki7257Ай бұрын

    Wambie king, Musukuma

  • @JacobAbraham-qk9jx
    @JacobAbraham-qk9jx2 ай бұрын

    Vizuri sana msukuma.

  • @MercianaMkumbo
    @MercianaMkumbo12 күн бұрын

    Yuk vizur san

  • @josephmarwa5626
    @josephmarwa5626 Жыл бұрын

    Hiking kichwa kinazid wenye maelim na mavyet feki

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola3697 Жыл бұрын

    Hii mashine

  • @stephanokaaya1881

    @stephanokaaya1881

    Жыл бұрын

    Kiukweli hili sio jeshi la kulinda hifadhi ila ni M23

  • @guyasidotto1198
    @guyasidotto1198 Жыл бұрын

    Mbunge wa Taifa

  • @naphtalleyakoyi1336
    @naphtalleyakoyi13365 ай бұрын

    Kenya tunakupenda msukuma❤

  • @chaomadedo

    @chaomadedo

    24 күн бұрын

    Nyie Kenya ni watu wema sijawai ona baya toka kwenu. Watu wamaana kabisa nyie

  • @user-kz9ct2vw4u
    @user-kz9ct2vw4u3 ай бұрын

    Napenda sana huyu jamaa MSUKUMA siku moja awe rais naamini nchi nitaenda vzr sana

  • @MaryGoshashy
    @MaryGoshashy2 ай бұрын

    Hongera

  • @NeemaErnest-lz9my
    @NeemaErnest-lz9my2 ай бұрын

    Very nice 1:48

  • @filimonifilimonirafaeli7498
    @filimonifilimonirafaeli7498Ай бұрын

    King musukuma namkubali san angalau awelaisi

  • @DamianTanisa
    @DamianTanisaАй бұрын

    💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽

  • @user-yr5nx2nw8r
    @user-yr5nx2nw8r6 ай бұрын

    hata cc huku konko manyon singida watu wanapigwa hatar halaf tembo wanaharb makaz yetu paspo kupata chcht kutka kwa serikal hkika tunaomb msaada wenu serikal yetu mtuteteee ss maskin hata hivy hatupend kuish polin jamn

  • @user-cx1lu6go5m
    @user-cx1lu6go5m29 күн бұрын

    Nakukubal xn

  • @rithaurassa
    @rithaurassaАй бұрын

    MSUKUMA WEW UNAFAA KUWA MTETEZI WAWA TANZANIA

  • @user-vn3qo3uw3z
    @user-vn3qo3uw3zАй бұрын

    Haifadhi ya tarangire wanakamata watu wanachi wanapita wanakamata na kupotea wanapenda wapi hilo swala liangaliwe wanachi wapo karib na hifadhi

  • @MaliseliniMgedzi
    @MaliseliniMgedzi28 күн бұрын

    Mheshimiwa uishi miaka mingi

  • @user-iz2gy6ib6y
    @user-iz2gy6ib6y5 ай бұрын

    Maisha marefu kwako

  • @stevendevid
    @stevendevidАй бұрын

    huyu jamaa msukuma Kama magufuli wapil hatari sana

  • @rithaurassa
    @rithaurassaАй бұрын

    Msukuma unafaa kuwa Raisi

  • @chagunghabi3261
    @chagunghabi32617 ай бұрын

    Waliotuuzia niwakina mpina et asaiv ameanza kukumbuka waAmbie haoo

  • @WamburaJomu-xy2is
    @WamburaJomu-xy2is11 ай бұрын

    Msuma samutaimu unahakili Sana

  • @SteveSimsa-ho8pc
    @SteveSimsa-ho8pcАй бұрын

    Naaaam

  • @SteveSimsa-ho8pc
    @SteveSimsa-ho8pcАй бұрын

    Naaam

  • @sofiaantonioantonio7265
    @sofiaantonioantonio72655 ай бұрын

    Msukuma ni mbunge waTaifa anatetea watu wa chini sana na Anaongea kwa uchungu sana!

  • @AliShaib-io2gr
    @AliShaib-io2gr2 ай бұрын

    ana nikosha mie msukuma

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji42424 ай бұрын

    Tutawaroga mali inauma kuitafuta tutawaroga wote wapate tezi dume na wanawake wapate festula

  • @user-nq9is9me7z
    @user-nq9is9me7z10 ай бұрын

    Mbunge.

  • @bahatiangle4424
    @bahatiangle44242 ай бұрын

    Kaza buti msukuma nakuaminia

  • @bahatiangle4424
    @bahatiangle44242 ай бұрын

    Jembe wewe

  • @user-lz7fy4od4s
    @user-lz7fy4od4s11 ай бұрын

    Kagombee jimbo la bukoba mjini mzee kazikazi

  • @AyubuNtomoka
    @AyubuNtomoka2 ай бұрын

    Ww n mwamba aseee

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Жыл бұрын

    Hii mambo ya kuitana uheshimiwa myanaleta matabaka Tanzania na ndiyo chanzo cha wengi walioko madarakani kujiona wao ni tofauti na wanaowawakilisha. Baba wa taifa hakuwa mjinga kwa kutuambia tuitane Ndugu na ndiyo iliyotusaidia kuleta umoja wa nchi yetu. Leo hii baadhi wanadai kuitwa waheshimiwa!

  • @user-yr5nx2nw8r

    @user-yr5nx2nw8r

    6 ай бұрын

    acha wivu weeee

  • @MasumbukoZacharia
    @MasumbukoZacharia11 күн бұрын

    😂

  • @JosephatBaraka
    @JosephatBaraka2 ай бұрын

    Ongela sana mbunge wa geita

Келесі