Msukuma ALIPUKA tena, atishia KUMLOGA Waziri "Mnatengeneza JESHI la kwenda kubaka dada zetu kweli?"
Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Musukuma akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2023/2024, jijini Dodoma leo.
“Embu jifikilie mheshimiwa umenikamatia ng’ombe wangu 100, yani naona zinaenda sina uwezo wa kwenda polisi kuna bunduki, haya nina kosa unazichukuwa ng’ombe zangu unaziuza mimi ninarudi masikini halafu baada ya miezi sita unaanza kuniudumia na fedha za Tasaf, hiyo ni akili gani jamani.”
“Na mheshimiwa waziri makosa mengine tengenezeni utaratibu wa kutuonya…unazoa ng’ombe zangu zote nirudi tu nyumbani nianze kusema maliasili, mtakufa vibaya lazima niwaloge, lazima tuambizane ukweli maana nikienda polisi utanishinda mahakamani sina ela ya kwenda mtalogwa mtakufa vibaya" aliongeza Musukuma
Пікірлер: 50
Nakuwlewa sana Mweheshimiwa King Msukuma. Na Mungu akubariki sana.
Akili nyingi sana
Uko vizuri Muheshimiwa msukuma
Mm nakukubali sana baba
Nakuombea mungu Sana msukuma karibu chuga baba
@stevendevid
Ай бұрын
nakubar Sana msukuma karibu tanga
Wow
Uwiiiii msukuma penda wewe sana❤❤❤❤
Mungu ni mkarimu sana tuombe sana, yan kuhama sehemu kwenda kwingne tena mtihan na watu wenye kipato kidogo maana anajua leo nazunguka hapa nitapata hela, yA unga na bahat mbaya wanapewa hela na wengne hata laki tano hawajaw shika . Itatetea yote kwenye pombe na kamar Tunaweza kua tunaanda umaskini mkubwa kuliko waliokua nao. Na mungu atusaidie kwa jina la mungu wa pekee nakataa kuwamisha tena wananchi. . Ni kosa mbele ya mungu
Saaafi Sana mh musukuma
Kweli kabisa mbunge wetu musukuma tunakuombea sana kwa mungu
Pure intelligence
Wambie king, Musukuma
Vizuri sana msukuma.
Yuk vizur san
Hiking kichwa kinazid wenye maelim na mavyet feki
Hii mashine
@stephanokaaya1881
Жыл бұрын
Kiukweli hili sio jeshi la kulinda hifadhi ila ni M23
Mbunge wa Taifa
Kenya tunakupenda msukuma❤
@chaomadedo
24 күн бұрын
Nyie Kenya ni watu wema sijawai ona baya toka kwenu. Watu wamaana kabisa nyie
Napenda sana huyu jamaa MSUKUMA siku moja awe rais naamini nchi nitaenda vzr sana
Hongera
Very nice 1:48
King musukuma namkubali san angalau awelaisi
💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
hata cc huku konko manyon singida watu wanapigwa hatar halaf tembo wanaharb makaz yetu paspo kupata chcht kutka kwa serikal hkika tunaomb msaada wenu serikal yetu mtuteteee ss maskin hata hivy hatupend kuish polin jamn
Nakukubal xn
MSUKUMA WEW UNAFAA KUWA MTETEZI WAWA TANZANIA
Haifadhi ya tarangire wanakamata watu wanachi wanapita wanakamata na kupotea wanapenda wapi hilo swala liangaliwe wanachi wapo karib na hifadhi
Mheshimiwa uishi miaka mingi
Maisha marefu kwako
huyu jamaa msukuma Kama magufuli wapil hatari sana
Msukuma unafaa kuwa Raisi
Waliotuuzia niwakina mpina et asaiv ameanza kukumbuka waAmbie haoo
Msuma samutaimu unahakili Sana
Naaaam
Naaam
Msukuma ni mbunge waTaifa anatetea watu wa chini sana na Anaongea kwa uchungu sana!
ana nikosha mie msukuma
Tutawaroga mali inauma kuitafuta tutawaroga wote wapate tezi dume na wanawake wapate festula
Mbunge.
Kaza buti msukuma nakuaminia
Jembe wewe
Kagombee jimbo la bukoba mjini mzee kazikazi
Ww n mwamba aseee
Hii mambo ya kuitana uheshimiwa myanaleta matabaka Tanzania na ndiyo chanzo cha wengi walioko madarakani kujiona wao ni tofauti na wanaowawakilisha. Baba wa taifa hakuwa mjinga kwa kutuambia tuitane Ndugu na ndiyo iliyotusaidia kuleta umoja wa nchi yetu. Leo hii baadhi wanadai kuitwa waheshimiwa!
@user-yr5nx2nw8r
6 ай бұрын
acha wivu weeee
😂
Ongela sana mbunge wa geita