Rais SAMIA amkosha MSUKUMA | Aimba bungeni, Spika ampiga marufuku | YANGA,SIMBA zatajwa

Wabunge wakichangia hoja ya kumpongeza Rais wa Tanzania Samia Suluhu, baada ya kutajwa mmoja kati ya viongozi wenye ushawishi mkubwa Duniani na kupata Tuzo ya Rais aliyeongoza katika ujenzi wa barabara kwa nchi za Afrika iitwayo tuzo ya 'Babacar Ndiaye'

Пікірлер: 130

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5Ай бұрын

    Mhe Msukuma wewe ni bgp sana saluti kwako wewe nikiongozi hasa darasa nakujiongeza na zako msukuma nimmoja wapo hongera sana kiongozi mungu akulinde sana mhe msukuma piga kazi❤❤

  • @EliasMasanja-qg1wh
    @EliasMasanja-qg1whАй бұрын

    Namkubali sana ndugu yangu

  • @user-xq8tp2nl8d
    @user-xq8tp2nl8d2 ай бұрын

    Mweshimiwa unanifurahisha Sana.

  • @GensonSpehano-no6hd
    @GensonSpehano-no6hd2 ай бұрын

    mungu akulinde sana mbuge wetu wa mwanza

  • @drcharlesseka3474
    @drcharlesseka34742 жыл бұрын

    Huyu mmbunge Ni mnafiki tu

  • @HatariLutelemla-zc8ck
    @HatariLutelemla-zc8ck Жыл бұрын

    Barabara kwetu mbovu kweli ukilinganisha na uhalisia wa maeneo mengine kama tumesahaulika tupo mbogwe kata ilolangulu

  • @rajabuathumani2787
    @rajabuathumani27872 жыл бұрын

    kweli shiling inaweza kimfanya mjanja kua mjinga

  • @marijanimustafa1876
    @marijanimustafa18762 жыл бұрын

    Inatakiwa nfanyiwe afya ya akil maana hata sielewi nn kinafanyika

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi85682 жыл бұрын

    Mama Samia kazi iendeleee chapa kazi mama 🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏👏

  • @NeemaJames-uy5vm
    @NeemaJames-uy5vmАй бұрын

    Wamekula hela hawa wabunge hakuna lolote mbali tuombeni mungu t atusaidie t

  • @JulaybibiBabah
    @JulaybibiBabahАй бұрын

    Mama Hana Ubaya na Watu Lakini Mbowe na Lissu Hawana Shukrani

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard9332 жыл бұрын

    Ila mama yetuu msimpee sifaa sanaa achapee kazi kama jpm

  • @josephinelyimo2467
    @josephinelyimo24672 жыл бұрын

    Hivi afya ya akili ,imekaaje kwa Hawa wabunge ? Kuna shida hapa ndugu zangu !

  • @SamiluSamilu-rg9qr

    @SamiluSamilu-rg9qr

    2 ай бұрын

    Kwanini unaongea hivyo braza

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5Ай бұрын

    Duh!!! Umeimba mutani 😁😁😁😁🤲🙏❤️

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard9332 жыл бұрын

    Siku hz bunge halijadl ya muhimu ndo maana baba alililifungia losioneshwe tuu boraa

  • @alexkhamis8334
    @alexkhamis8334 Жыл бұрын

    Hii nchi yamkini inaogelea kwenye laana tupu! Viongozi utopolo tu! Upuuzi gani Sasa huu??? Huyo mama yenu sisi Raia hatumwelewi; maisha magumu , Bei hazieleweki, madeni lukuki, hotuba za hovyo tu; halafu mnakaza kujisifu Muda wote? Musuku umenunuliwa? Mbowe Ikulu unatafuta Nini?

  • @zainabuyassini3095
    @zainabuyassini309511 ай бұрын

    Asante msukima

  • @mgemasteven2193
    @mgemasteven21932 жыл бұрын

    ww naee msukuma tulikuwaa tunakuamini kumbee na ww ndo walewalee kumbee unajivunia nn kwa samia ww

  • @bennyjohn1412
    @bennyjohn14122 жыл бұрын

    Msukuma sasa umenunuliwa

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Kujipendekeza tuu,hana lolote,bei gani hata wakumnunua huyu nani,bure tuu halijitambui hovyo hili,hata akili halina,sauti kama kameza chura,linafiki kikubwa,linajua kudhulumu watu mali zao na aridhi,kujipendekeza kwa Rais kuficha mabaya yake,jinga hilo hovyooo

  • @bennyjohn1412

    @bennyjohn1412

    2 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @hamisiwandi3769
    @hamisiwandi37692 жыл бұрын

    Msukuma acha uongo sisi tunaishu majimon mbo hizo barabara zinazotengenezwa jmn acheni kujipendekeza wakati wananchi tunaona maisha yanavyokwenda.wakati wa kutudanganya umekwisha sifien kwa ajili ya matumbo yenu

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Hilo neno!👍👍wapo kwa ajili ya matumbo yao sio wanachi

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Hilo neno👍👍👍wapo kwa ajili ya matumbo yao,nasio kwa ajili ya wanachi

  • @SamiluSamilu-rg9qr
    @SamiluSamilu-rg9qr2 ай бұрын

    Dah apo umetisha

  • @mtekelechapemba5501
    @mtekelechapemba55012 жыл бұрын

    Hakika hapo sijaelewa chochote anachoongea mtu niliyemwamini kwamba alimuelewa nakumpigania Magu

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Huyu mnafiki,huyu ndo wale bendera hufuata upepo,huko jimboni kwake amewaliza wananchi kwa kuwadhulumu mali na.aridhi zao eti.analeta maendeleo jimboni kwake,kuwadhulumu wemgine kujifanya kusaidia wengine,maendeleo gani hayo?mapori yapo kibao unadhulumu aridhi xa wamasikini,anajua wamehangaika vipi kuzipata?hili ni zombi tuu,linajificha nyuma ya pazia linafiki likubwa

  • @ShaidaAfati
    @ShaidaAfatiАй бұрын

    Barabara zote kazijenga magufuli Samia kajenga ipi sisi wenye akili timamu tunajua wabunge washapewa chakwao mapema

  • @fredymwawila7761
    @fredymwawila77612 жыл бұрын

    Nice

  • @NeemaJames-uy5vm
    @NeemaJames-uy5vmАй бұрын

    Tumemchoka hyo mama enu samia watu wanateseka ww unatetea kweli

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya42122 жыл бұрын

    Huyu ni mnafiki tuu huyu

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    👏👏👏umeliona nawewe eeee!zombi hili linatafuna watu kwa unafiki

  • @YusuphAmani-yx7ur
    @YusuphAmani-yx7urАй бұрын

    mama safi

  • @Abimesa1
    @Abimesa13 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @allyhassan2973
    @allyhassan29732 жыл бұрын

    Msukuma kumbe nawewe ni hovyo tu. Ulikuepo kipindi cha mwendazake na ulikua ukiongea hivyohivyo. Yaani wabunge wa tz kupitia ccm kumbe wote ni hovyo tu, NI BENDERA FATA UPEPO!!. sijawahi kuona bunge lenye hoja ya kumsifu raisi. Hiyo sio hoja Bali wabunge WA tz mnatatizo la afya ya akili kama mnavyosema wenyewe hapo bungeni maana hamjui wajibu wenu mpompo tu hapo ndani.

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Yapoyapo tu!hasara kwa majitu ya hovyo kama haya!hata halina elimu ya kutosha,kuropoka tu kelele nyingi za kujaza matumbo yao,unafiki kujipendekeza kwingi,hovyo zombi kabisa hili,na mapumgufu yake wananchi watalichagua tena 2025 hovyoooo! linasimama kushabikia nini sasa hapo!ligonjwa hili afya ya akili!

  • @user-eh5bq1kq4f

    @user-eh5bq1kq4f

    2 ай бұрын

    مساء النور

  • @ManyamaWanjara
    @ManyamaWanjara2 ай бұрын

    Brytn

  • @eliaabethlyd5568
    @eliaabethlyd55682 жыл бұрын

    Namupongeza saana Musukuma

  • @jacobwarieba5841
    @jacobwarieba58412 жыл бұрын

    Leooo iwejee use me mama.samia.wakati ileee...magufli.wakoo.ulisema.magufuli asiruhusu upinzani wasingie ikuluuu

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Umeona eee!afya ya akili hiyo,ligonjwa hili,linafiki kujipendekeza,hata mama aliangalie vizuri halifai hili,huyo anajipendekeza badala apige kazi'yani!watu walio mchagua msukuma awawakilishe nahofu na afya zao za akili,wapo hovyo kama msukuma

  • @awesuhambal1348
    @awesuhambal13482 жыл бұрын

    Bungeni sioni kinachoendelea

  • @jacobwarieba5841
    @jacobwarieba58412 жыл бұрын

    Chadeemaaa gani?.wabunge.wameshafutiwaaa

  • @adambaragwe4811
    @adambaragwe4811 Жыл бұрын

    Mmmh hatali sana bungeni hakuna lolote

  • @NzundaDanieli
    @NzundaDanieli2 ай бұрын

    Mbunge wetu sisi wanainchi tunaomba tusaidie kunawatu wanaojidai wanakopesha hela mtantaon tutakuta wameweka picha yamweshimiwa walizi kumbe nimatapeli tusaidie I

  • @DeoKimbe-gt4op
    @DeoKimbe-gt4op2 ай бұрын

    Hata kwetu jimbo lakalenga balabala ya ipogolo kwenda kilolo

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h8 күн бұрын

    Kila siku magu magu au kwa kuwa mkiristo mwenzenu alah

  • @cymonymlugu7280
    @cymonymlugu72802 жыл бұрын

    Kweli Tanzania Uhuru umezidi

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida24372 жыл бұрын

    Tuzo hiyo waperekewe watoto wa marehem magufuri .

  • @Alexcoster-eu3mw
    @Alexcoster-eu3mw2 ай бұрын

    Duuuh, hatar sana.

  • @ridhiwankivugo878
    @ridhiwankivugo8782 жыл бұрын

    Humo ndan chadema ni nan?

  • @KenedyMawazo
    @KenedyMawazoАй бұрын

    askari nzovwe

  • @user-eh5bq1kq4f
    @user-eh5bq1kq4f3 ай бұрын

    مساء النور

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa93712 жыл бұрын

    Msukuma kwa sasa ni mnafiki sana yaani hueleweki. Kwani humo ndani mna wabunge wa upinzani? Bunge hili ni la mazuzu kweli kweli

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Elimu iko wapi kwa msukuma!unadhani atachangia nini mtu mwenye afya ya akili?barabara mbovu huko jimboni kwake,jimbo limekaa hovyo kama alivyo yeye,anajua kupora mali za watu bila kulipa fidia,zombi kenge hili

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Afya ya akili hiyo,elimu tu'hana unaona kuna kitu hapo,mnafiki anashindwa kutoa hoja anajipendekeza kwa mama,utampa nini mama wewee!labda ukaibe mifugo ya watu,mali zako zote ni za dhulma,barabara jimboni kwako niza hovyo kama ulivyo wewe

  • @josephinelyimo2467

    @josephinelyimo2467

    2 жыл бұрын

    Baada ya kupata huo udaktari wa mchongo , Sasa anategemea upate uteuzi,naibu wa wizara fulani !

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    @@josephinelyimo2467 udaktari uchwara!hata walio mpa hawako sawa kiakili,maana hawakuona watu wa mana wenye kustahili,huyu mtu udakitari wapi nawapi🤔amelewa ubunge,udakitari,na sasa ana njaa ya kuwa waziri fulani hivi,hovyo sana atawachezea wagonjwa wa akili kama yeye

  • @AndreaMgaya

    @AndreaMgaya

    2 ай бұрын

    Wewe ndio mnafiki na ujitafakari mambo mazuri huyapendi

  • @domysulley1887
    @domysulley1887Ай бұрын

    Mkafagie vyoo tu nyie wabunge mafuta tuu

  • @user-qb3ew1qc8o
    @user-qb3ew1qc8o2 ай бұрын

    Lik😮😢🎉❤

  • @leonardalphonce8924
    @leonardalphonce8924 Жыл бұрын

    hvi huyu msukuma amekua mwehu mbona amekua mnafki hvo sawe hata hujui kusoma uwaziri hupewi

  • @mgemasteven2193
    @mgemasteven21932 жыл бұрын

    hatumuelewiii

  • @user-jy3sh3ns3w
    @user-jy3sh3ns3w4 ай бұрын

    Goods msukuma

  • @kisamurashid346
    @kisamurashid3462 ай бұрын

    Msukuma yupo vizri aisee

  • @nyamwekomatoke9951
    @nyamwekomatoke99512 жыл бұрын

    Hiviii mmerogwa eh Mnaimani gani na samia Msukuma eh wasukuma hawanaga Msukuma mjinga usituaibishe wasukuma bana

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Hili nani kaliamini hasaa?kulichagua kuwa mbunge?zombi hili,hovyo kabisa,huko jimboni kwake linadhulumu watu mali na ardhi zao bila fidia,lunajipendekeza kwa Rais samia halijui wajibu wake ni kutetea wananchi,linaona maendeleo ni kudhulumu wengine na kuwapa wengine

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Wasukuma mjue mnahara kuwa na jitu hovyo kama hili,afya ya akili inahusu!linaumwa afya ya akili hili😂😂aibu kujiita msukuma!ana aibisha wasukuma

  • @nyamwekomatoke9951
    @nyamwekomatoke99512 жыл бұрын

    Baba au mama anapokuwa mkopaji saaaana anakuja Kuwa mtumwa wa madeni na kuiahibisha familia yake

  • @zainabuyassini3095

    @zainabuyassini3095

    11 ай бұрын

    Hakuna asie kopa

  • @korneliovusindawa7525
    @korneliovusindawa75252 жыл бұрын

    Msukuma sema kwenu tu wamepata hiyo bahati usiseme kila Jimbo kwani wewe umetembea kila Jimbo sio kweli tembea majimbo nyingene utalia

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    kwake kwenyewe jimboni anadhulumu watu aridhi bila kuwalipa fidia,rinafiki hili,zombi hili la kisukuma,wanachaguliwa kuumiza wananchi,nasio kuwaletea maendeleo,anakula pesa za GSM migodi na za serikali,na wadau wamaendeleo,leta maendeleo sio kudhulumu watu aridhi yao kenge huyu,linafiki kujipendekeza kwa Rais

  • @jacobwarieba5841
    @jacobwarieba58412 жыл бұрын

    Umeshundwaaa tuu autarudi.bungni.tena

  • @abdalahabdalah8160
    @abdalahabdalah81602 жыл бұрын

    Mm sisemi

  • @edwardmagige874
    @edwardmagige8742 жыл бұрын

    kama matoto vile

  • @iddymbogowogo-yu3gv
    @iddymbogowogo-yu3gv Жыл бұрын

    Sasa hivi watu wananunuliwa ili wasifiwe hamna kitu hapo mtajisifia sana

  • @zainabuyassini3095
    @zainabuyassini309511 ай бұрын

    Binadamu bwana ukimsifia inataka uwaziri. Awana lakisema

  • @akidajulius8397
    @akidajulius83972 жыл бұрын

    BUNGE LA CCM,jaman,mala waluke sarakas, mala wapige magoti,mala walie,haya Sasa wamegeuka bendi wanaimba Sasa,mda wakujadili mambo ya mcngi wao wanatuletea vituko,lkn posho ndo imeshangia tayali,wanahaki ya kuimba na kuluka masarakasi,muhimu posho tu,

  • @zainabuyassini3095

    @zainabuyassini3095

    11 ай бұрын

    Amukosi jambo la kulaumu mama Samia piga kazi

  • @Alex-zu6dd
    @Alex-zu6dd Жыл бұрын

    Save

  • @fahadmussa8879
    @fahadmussa8879 Жыл бұрын

    Msukuma nichawa ilabungeni sasa hamna jipya kazi yauchawa

  • @sadockcharles22
    @sadockcharles222 жыл бұрын

    Yanga

  • @lovenessmay8075
    @lovenessmay8075 Жыл бұрын

    LAVALA

  • @dioclesefaustine1076
    @dioclesefaustine1076 Жыл бұрын

    Badala ya kuongea fact bungeni, unatuletea nyimbo za kisukuma bungeni. Wakati wananchi wapo mitaani tu hawajui lile wala hili. Nimegundua ni kwann wasomi uwazalau walioishia la saba. Hivyo kabisa.

  • @user-nb5od8qz1o
    @user-nb5od8qz1o5 ай бұрын

    Hy poa

  • @user-uf9nd4ji5k
    @user-uf9nd4ji5k6 ай бұрын

    Sukumaaa

  • @EzraMaliyatabu
    @EzraMaliyatabu3 ай бұрын

    Mmmmmmh

  • @user-db9fi8bi2p
    @user-db9fi8bi2p Жыл бұрын

    Simba nayanga

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida24372 жыл бұрын

    Umeanza kupotea kwenye ubora msukuma acha hizo simama kwenye ukweli .wananchi bado wanateseka uonevu kwa wananchi nimkubwa

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Toka lini huyu msukuma akawa na afadhali,amedhulumu mali za watu kwa kujitengezea sifa kuwa analeta maendeleo ktk jimbo lake,lkn amekuwa akidhumu mali na ardhi ya watu bila kulipa fidia, huyu ni kiongozi mwema kwa wananchi wake?huyu hafai ni dhulma, anakula pesa za fidia,hawalipi watu wenye ardhi,akiona ardhi yako ni nzuri na kubwa anaichukua kwa madai eti anaweka miradi ya wananchi,mbwa huyu,linajipendekeza kwa rais samia,hovyo sana jinga la mwisho hata akili halina

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Halina hata ubora hili ni lizombi tuu,jinga,zuzu na zoba kabisa hili,limbukeni la uongozi,na sauti kama lime meza chura!

  • @jacobwarieba5841
    @jacobwarieba58412 жыл бұрын

    Wewe mhongooosaana hufai kuja bungeni

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Halifai zombi hili,sauti kama chura

  • @fidelisvalelian

    @fidelisvalelian

    Жыл бұрын

    Kuna wabunge nimataira kabisaaaaa

  • @fidelisvalelian

    @fidelisvalelian

    Жыл бұрын

    Duuuu!!! Mjinga lazima amaifie mjinga kwakweli jaman . An mnajisifu ujingauo duuu

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 Жыл бұрын

    Mmmmmh huy msukuma kumbe mnafik hv namuonang anamsimamo kumbe shinda tupuuu eti lami vijijn wp kuna vijijn hakun maji hakun maji hakun lami mpoo kimasilah yenu wambunge🥲🥲😭

  • @komblecharles2777
    @komblecharles27772 жыл бұрын

    Mbuge niccm hakuna raha

  • @HatariLutelemla-zc8ck
    @HatariLutelemla-zc8ck Жыл бұрын

    Kama pesa zipo kila jimbo mbona hazifanyi kazi?

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo6592 жыл бұрын

    KWA UNAFIKI NA UJINGA HUU, I WILL NOT LOVE CCM FOR EVER, UNAFIKI WA NJAA NI HATARI KWA MAISHA YA WANANCHI WANAO WAWAKILISHA

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Hasara kuwa na watu wa aina hii bungeni,linafiki zombi hili,kudhulumu mali za wananchi nakujifanya linaleta maendeleo jimboni,huko jimboni kwake hakuna analolifanya la maendeleo,ni kudhulumu tuu,na kurudisha nyuma maendeleo aliyo yakuta,shule na vituo vya afya mpaka sasa havijakamilika,barabara jimboni kwake hazipitiki,limebakia kelele sauti mbaya kama chura

  • @abedikimeshu4238
    @abedikimeshu42382 жыл бұрын

    Acheni kumsifia mama kwa maslahi yenu binafsi angalieni wananchi wana hali gani sio kila siku mnapandisha vitu bei halafu hela za serikali zinachezewa ovyo kwa kukosa wasimamizi

  • @iddymbogowogo-yu3gv

    @iddymbogowogo-yu3gv

    Жыл бұрын

    Nikweli bwana pesa inaliwaliwa hovyo na waliokua wafuasi wa Mzee magu hawana nafasi kwa mama

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy98122 жыл бұрын

    Bnge.hlinilaovyo kb

  • @daudifrank5886

    @daudifrank5886

    2 жыл бұрын

    Jamaa ni linafiki Sanaa hili Hali a msmamo

  • @richardmagaka9525

    @richardmagaka9525

    2 жыл бұрын

    Wamwache mama afanye kazi yake kwa moyo wake na dhamira maana sasa wanamsifu kwa kujikomba tangu lini msukuma afurahie kuinuka kwa upinzani

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    @@daudifrank5886 linafiki zombi hili

  • @chasejackson6681
    @chasejackson66812 жыл бұрын

    Wabunge wetu wanaumwa ugonjwa Gani? Kweli Kuna wananchi wanaoweza kumtuma mbunge wao akaimbe bungeni?

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Wanaumwa ugonjwa wa akili na tamaa,njaa mbaya zinawasumbua,wanachaguliwa n kutumikia na kuwatetea wananchi wao wanaanza kujaza matumbo yao kwanza,njaa zinawasumbua wanafiki

  • @chasejackson6681

    @chasejackson6681

    2 жыл бұрын

    @@aairraahseif5648 Yeah.Wanadhani tukiwaona wakipiga sarakasi kuimba na kupiga magoti tutawakumbuka 2025. Tusubiri tuone

  • @fidelisvalelian

    @fidelisvalelian

    Жыл бұрын

    Kuna baadhi yawabunge inatakiwa wapimweakili Kama waliondoka majumban nakwenda bungen kuimba !! Iyo Sasa niatar

  • @Maswi-zz9jo
    @Maswi-zz9jo4 ай бұрын

    Pg

  • @acrybungabaye9824
    @acrybungabaye9824 Жыл бұрын

    Muongo balabala mbovu

  • @masungamasanja3296
    @masungamasanja32962 жыл бұрын

    I'm

  • @sibagilepeter9539
    @sibagilepeter95392 жыл бұрын

    Kumbe na wewe ni mama sasa soon chadema inaingia madalakani

  • @zainabuyassini3095

    @zainabuyassini3095

    11 ай бұрын

    Mimi sipigii kura chadema na familia yangu. Maana chadema bado sana

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka61262 жыл бұрын

    Unafaa kuwa waziri

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    2 жыл бұрын

    Waziri?wee unaugonjwa kama wake,mkatibiwe haraka msije leta madhara kwa wananchi

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h8 күн бұрын

    Pumbavu zenu mkubalini samia nyie wajinga acheni udini wenu wa kisenge waislamu kwanini hamuwependi nyie makafiri

  • @MasalaKilulu
    @MasalaKilulu2 ай бұрын

    Xxxx

  • @lucaskashimwita6386
    @lucaskashimwita63862 жыл бұрын

    𝐇𝐢𝐯𝐢 𝐰𝐨𝐭𝐞 𝐦𝐧𝐚𝐤𝐮𝐚𝐣𝐢 𝐣𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 🤤🤤

  • @lucynagerald9427
    @lucynagerald94272 жыл бұрын

    Uyu jamaa anamfatafata nakumsifiasifia anatafuta uwaziri yy na gwajima tumeshawajua

  • @komblecharles2777

    @komblecharles2777

    2 жыл бұрын

    Wote ccm kunanini mara mzgufuri Leo hayupo wanamponde kweri ccm

  • @ridhiwankivugo878
    @ridhiwankivugo8782 жыл бұрын

    Humo ndan chadema ni nan?

  • @JajiMandai
    @JajiMandai3 ай бұрын

    Yanga

  • @WilliamSairimo

    @WilliamSairimo

    2 ай бұрын

    🎉

Келесі