Msukuma alipuka tena Bungeni ashtukia upigaji DILI "Nani yupo nyuma ya huu mchezo"

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma alipokua akichangia kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa mwaka 2023/2024 .

Пікірлер: 66

  • @saimonilugwila6267
    @saimonilugwila6267 Жыл бұрын

    Hongera sana king msukuma Kwa kupata u Dk unatusemea vyema wananchi wako wa Kanda ya ziwa , msukuma karibu sana Jimbo la busanda ugombee ubunge 👍

  • @georgedamas7097
    @georgedamas7097 Жыл бұрын

    Kazi nzuri sana Dr King Msukuma.

  • @lubangompyalimi8922
    @lubangompyalimi8922 Жыл бұрын

    Mh.msukuma unanikosha sana kwa hoja za mashiko na pint natama kukuona usokwq uso tz inahitajo wabunge kama wewe. Na mh.mpina. VIVA msukuma

  • @lubangompyalimi8922
    @lubangompyalimi8922 Жыл бұрын

    Tz inahitaji wabunge kama wewe King MSUKUMA

  • @Kakamkubwa3564
    @Kakamkubwa3564 Жыл бұрын

    Dah wasukuma watu wa kweli sana aisee

  • @sifamanyori-kf9vq

    @sifamanyori-kf9vq

    Жыл бұрын

    Kunikaka yangu musafu nikambira rawasukuma vijini

  • @GraceLadc-no2ig
    @GraceLadc-no2ig Жыл бұрын

    Msukuma congratulations

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Жыл бұрын

    Leo nimemuelewa uyu mwamba aje hapa city of gold Johannesburg tukae nae hapa news Cafee tule nae vzr na kunywa nae

  • @amanisewando529
    @amanisewando529 Жыл бұрын

    Msukuma na mpina pamoja na Shabiby ndio watetezi wa wanyonge wakisaidiwa Dk tulia

  • @amanisewando529
    @amanisewando529 Жыл бұрын

    Nataka nikupe shahada nyingine mzee maana walio soma sio msaada kwetu

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Жыл бұрын

    Msukumu unaakili Sana .jimbo la Geita vijini wakupe ubunge maisha yako yote

  • @serianjamal8254
    @serianjamal8254 Жыл бұрын

    Mh Msukuma umeongea points bila woga hata kugonga meza wameshindwa, yaani hiyo nchi viongozi ndio wala dili🤔🙄

  • @salumbujjo2320
    @salumbujjo2320 Жыл бұрын

    Darasa la saba ila inawashinda ma proffesa watu wenye uchungu na nchi hawa ndio ilitakiwa wawe mawaziri.

  • @japhetlinus3891
    @japhetlinus3891 Жыл бұрын

    Wabunge wachache Sana Kama DK MSUKUMA

  • @georgedamas7097
    @georgedamas7097 Жыл бұрын

    Very smart.....

  • @sonekasonekatoroka5884
    @sonekasonekatoroka5884 Жыл бұрын

    Big up king msukuma yupo pamoja na wewe akupe nguvu 🙏

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын

    Musukumaa bana weninomaa nduguyetuu

  • @mdedsm5522
    @mdedsm5522 Жыл бұрын

    Pale PhD ya heshima inapoishinda PhD ya darasani😂😂😂😂

  • @shihume256
    @shihume256 Жыл бұрын

    Huyu mtu ana akiri hana Elimu lakin ana Akiri...ikumbukwe sasahivi mambo mazuri yanatokana na akiri

  • @faridubakana6733
    @faridubakana6733 Жыл бұрын

    Msukuma dua na sala zangu zipo nawe mheshimiwa

  • @kivuyolalashe4744
    @kivuyolalashe4744 Жыл бұрын

    Phd original ndio hii

  • @user-vd8ku5kk7y
    @user-vd8ku5kk7y Жыл бұрын

    Upo vizuri sana

  • @aboukibesh8356
    @aboukibesh8356 Жыл бұрын

    Msukuma Msukuma Msukuma

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge3695 Жыл бұрын

    Mbunge mmoja tu.

  • @dmox8723

    @dmox8723

    Жыл бұрын

    Na shabby

  • @frankbalwetegile5655
    @frankbalwetegile565511 ай бұрын

    Haya maigizo yataendelea mpaka mnaonenaje bunge letu likawa la ccm daima Kama lilivyopitishwa 2020

  • @mwinyimatano9497
    @mwinyimatano9497 Жыл бұрын

    Huyo msukuma ndie mwenye phd ya kweli wengine ni makaratasi 2

  • @AndrwMaiko
    @AndrwMaiko10 ай бұрын

    Mhushimiwa msukuma nirikupenda sana nimengundua wewe magufuri hujamyendea haki ira mungu yupo naumia sana aisee

  • @MondeMabele
    @MondeMabele Жыл бұрын

    huyo dactar wa heshima mjanja sanaaaaaaaaa😀😀😀😀😀😀😀😀🤣🤣

  • @user-hs6zy2de2g
    @user-hs6zy2de2g10 ай бұрын

    Namkubali sana huyu muheshimiwa

  • @user-se7th7xe6e
    @user-se7th7xe6e10 ай бұрын

    Musukuma nakukubali sana

  • @jiweg-unit5408
    @jiweg-unit5408 Жыл бұрын

    Nchi yetu Yaan dah we Acha unaweza hata ukasema Bora hata kinuke siku moja yaani lnasikitisha sana

  • @sonekasonekatoroka5884
    @sonekasonekatoroka5884 Жыл бұрын

    Tunakupongeza pia mweshimiwa msukuma

  • @theonaskalyalya9109
    @theonaskalyalya9109 Жыл бұрын

    Chanzo ni serikali na Sheria zake

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 Жыл бұрын

    Mtalaam nimekuelewa sana daktari wetu, hawashibi wale jamaa waliozoea kula tangu enzi za upofu

  • @user-zv2cn8mx7t
    @user-zv2cn8mx7t Жыл бұрын

    Dah msukuma

  • @frenkferecian6215
    @frenkferecian6215 Жыл бұрын

    Wabunge wa mkoa wote wa geita msukuma2 ndo tunamuona akichangia bungeni wengine mnaogopaga kuongea bungeni? Au walienda vilaza2

  • @wakembetajaphary6006
    @wakembetajaphary6006 Жыл бұрын

    Nan kaskia madaktar hatukimbii matatzo weka like twende sawa🎉😅😅😂

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza Жыл бұрын

    Jamani CCM yupo mtu na watu hatosheki na pesa na ni katili sana kama akiondoka huyo nchi itakuwa salama Tanzania IPO mfukoni mwake na sidhani kama alifurahia Raisi kwenda kwenye mualiko wa Chadema wa wakina mama

  • @kalamamzee6669
    @kalamamzee66699 ай бұрын

    Waau,bunge la tanzania ni bure bila msukuma, msukuma hoyeee

  • @TrustSanga-pj1rp
    @TrustSanga-pj1rp Жыл бұрын

    HUKU SONGWE UFUTA HATULUHUSIWI KUPELEKA MBEYA JAMANI

  • @akibasimba9486
    @akibasimba9486 Жыл бұрын

    Kikao cha wafanya biashara mushsra

  • @lubangompyalimi8922
    @lubangompyalimi8922 Жыл бұрын

    Hoja za mashiko na point uko vizuri saaana.siyo wabunge wasomi wapigaji

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Жыл бұрын

    Musukuma kichwa sana

  • @allynguzo2805
    @allynguzo2805 Жыл бұрын

    Aaaa usifilisike 🤣🤣🤣🤣

  • @jaromeedward781
    @jaromeedward781 Жыл бұрын

    Commando wa ukweli anaongea ukweli

  • @johnsimfukwe8511
    @johnsimfukwe8511 Жыл бұрын

    Du, points

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 Жыл бұрын

    Upumbavu hapo kuna ulaji mkubwa. Nahisi msukuma una akili sana. Ila naamini ulitaka kusema dalasa la saba hatuna complication kuliko kusema hatuko active . You are too active . Wewe ni active sana.

  • @user-cl2mm4oi1w
    @user-cl2mm4oi1w Жыл бұрын

    Jamani kakayangu msukuma unaonaje ukigombea urais 025?nakukubalisana

  • @user-sq3sh1md6v
    @user-sq3sh1md6v7 ай бұрын

  • @ChidoBoy-pm8pf
    @ChidoBoy-pm8pf10 ай бұрын

    mzukuma hatukuelewi

  • @ChidoBoy-pm8pf
    @ChidoBoy-pm8pf10 ай бұрын

    sio kwel msukuma ndio wale wale tuuh

  • @SalomeSululu-be5wg
    @SalomeSululu-be5wg Жыл бұрын

    Duu ama kwel serikal wapo wanaoeelewa unyonge wetu lakin hawana namna

  • @dakihamaluta4159
    @dakihamaluta4159 Жыл бұрын

    Sio sili msukuma anaongea lugha nyepes Kila mtu anaelew kuzid ata hao wanaojiita ma Dr

  • @luhanyamipawantobi6888
    @luhanyamipawantobi6888 Жыл бұрын

    Tarifa zanini c msubiri muda wenu wakuchangia

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara303810 ай бұрын

    MSUKUMA hao jamaa ukiwagusa wanakudandia

  • @davidmkwawi8825
    @davidmkwawi8825 Жыл бұрын

    Tukipata wabunge kama huyu mtani wngu 10tu ccm itanyooka

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara303810 ай бұрын

    MSUKUMA uko poa huyo mdandia nyuma asikutishe

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 Жыл бұрын

    Kafanana na magufuri😢

  • @bedykedy3428
    @bedykedy3428 Жыл бұрын

    Huyu msukuma Mungu amtunze asee

  • @user-jq1nf3ur6f
    @user-jq1nf3ur6f Жыл бұрын

    😅

  • @dmox8723
    @dmox8723 Жыл бұрын

    Msukuma ana phd ya akili wengne phd za makaratasi

  • @ReitusNkondo-ud9mb
    @ReitusNkondo-ud9mb Жыл бұрын

    Hicho kipachi tuu mungu akulinde Dr msukuma

  • @georgedamas7097
    @georgedamas7097 Жыл бұрын

    Kazi nzuri sana Dr King Msukuma.

  • @user-vd8ku5kk7y
    @user-vd8ku5kk7y Жыл бұрын

    Upo vizuri sana

Келесі