Msukuma alipuka tena Bungeni ashtukia upigaji DILI "Nani yupo nyuma ya huu mchezo"
Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma alipokua akichangia kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa mwaka 2023/2024 .
Пікірлер: 66
Hongera sana king msukuma Kwa kupata u Dk unatusemea vyema wananchi wako wa Kanda ya ziwa , msukuma karibu sana Jimbo la busanda ugombee ubunge 👍
Kazi nzuri sana Dr King Msukuma.
Mh.msukuma unanikosha sana kwa hoja za mashiko na pint natama kukuona usokwq uso tz inahitajo wabunge kama wewe. Na mh.mpina. VIVA msukuma
Tz inahitaji wabunge kama wewe King MSUKUMA
Dah wasukuma watu wa kweli sana aisee
@sifamanyori-kf9vq
Жыл бұрын
Kunikaka yangu musafu nikambira rawasukuma vijini
Msukuma congratulations
Leo nimemuelewa uyu mwamba aje hapa city of gold Johannesburg tukae nae hapa news Cafee tule nae vzr na kunywa nae
Msukuma na mpina pamoja na Shabiby ndio watetezi wa wanyonge wakisaidiwa Dk tulia
Nataka nikupe shahada nyingine mzee maana walio soma sio msaada kwetu
Msukumu unaakili Sana .jimbo la Geita vijini wakupe ubunge maisha yako yote
Mh Msukuma umeongea points bila woga hata kugonga meza wameshindwa, yaani hiyo nchi viongozi ndio wala dili🤔🙄
Darasa la saba ila inawashinda ma proffesa watu wenye uchungu na nchi hawa ndio ilitakiwa wawe mawaziri.
Wabunge wachache Sana Kama DK MSUKUMA
Very smart.....
Big up king msukuma yupo pamoja na wewe akupe nguvu 🙏
Musukumaa bana weninomaa nduguyetuu
Pale PhD ya heshima inapoishinda PhD ya darasani😂😂😂😂
Huyu mtu ana akiri hana Elimu lakin ana Akiri...ikumbukwe sasahivi mambo mazuri yanatokana na akiri
Msukuma dua na sala zangu zipo nawe mheshimiwa
Phd original ndio hii
Upo vizuri sana
Msukuma Msukuma Msukuma
Mbunge mmoja tu.
@dmox8723
Жыл бұрын
Na shabby
Haya maigizo yataendelea mpaka mnaonenaje bunge letu likawa la ccm daima Kama lilivyopitishwa 2020
Huyo msukuma ndie mwenye phd ya kweli wengine ni makaratasi 2
Mhushimiwa msukuma nirikupenda sana nimengundua wewe magufuri hujamyendea haki ira mungu yupo naumia sana aisee
huyo dactar wa heshima mjanja sanaaaaaaaaa😀😀😀😀😀😀😀😀🤣🤣
Namkubali sana huyu muheshimiwa
Musukuma nakukubali sana
Nchi yetu Yaan dah we Acha unaweza hata ukasema Bora hata kinuke siku moja yaani lnasikitisha sana
Tunakupongeza pia mweshimiwa msukuma
Chanzo ni serikali na Sheria zake
Mtalaam nimekuelewa sana daktari wetu, hawashibi wale jamaa waliozoea kula tangu enzi za upofu
Dah msukuma
Wabunge wa mkoa wote wa geita msukuma2 ndo tunamuona akichangia bungeni wengine mnaogopaga kuongea bungeni? Au walienda vilaza2
Nan kaskia madaktar hatukimbii matatzo weka like twende sawa🎉😅😅😂
Jamani CCM yupo mtu na watu hatosheki na pesa na ni katili sana kama akiondoka huyo nchi itakuwa salama Tanzania IPO mfukoni mwake na sidhani kama alifurahia Raisi kwenda kwenye mualiko wa Chadema wa wakina mama
Waau,bunge la tanzania ni bure bila msukuma, msukuma hoyeee
HUKU SONGWE UFUTA HATULUHUSIWI KUPELEKA MBEYA JAMANI
Kikao cha wafanya biashara mushsra
Hoja za mashiko na point uko vizuri saaana.siyo wabunge wasomi wapigaji
Musukuma kichwa sana
Aaaa usifilisike 🤣🤣🤣🤣
Commando wa ukweli anaongea ukweli
Du, points
Upumbavu hapo kuna ulaji mkubwa. Nahisi msukuma una akili sana. Ila naamini ulitaka kusema dalasa la saba hatuna complication kuliko kusema hatuko active . You are too active . Wewe ni active sana.
Jamani kakayangu msukuma unaonaje ukigombea urais 025?nakukubalisana
❤
mzukuma hatukuelewi
sio kwel msukuma ndio wale wale tuuh
Duu ama kwel serikal wapo wanaoeelewa unyonge wetu lakin hawana namna
Sio sili msukuma anaongea lugha nyepes Kila mtu anaelew kuzid ata hao wanaojiita ma Dr
Tarifa zanini c msubiri muda wenu wakuchangia
MSUKUMA hao jamaa ukiwagusa wanakudandia
Tukipata wabunge kama huyu mtani wngu 10tu ccm itanyooka
MSUKUMA uko poa huyo mdandia nyuma asikutishe
Kafanana na magufuri😢
Huyu msukuma Mungu amtunze asee
😅
Msukuma ana phd ya akili wengne phd za makaratasi
Hicho kipachi tuu mungu akulinde Dr msukuma
Kazi nzuri sana Dr King Msukuma.
Upo vizuri sana