Ahsante Msukumo kwa kuwapa ukweli hao Mawaziri wawili.Kuhusu utafutaji wa vyanzo vingine vya kukusanya pesa sina uhakika kama wana huo uwezo.Na nilimsikia Mbunge Shabiby akilalamikia hivyo hivyo.Na hii issue very simple kwa nchi kubwa kama Tanzania kuna vyanzo vingi sana vya serikali kutengeneza pesa bila hata ya kuwakaba koo wananchi wa kipato cha chini ambao wanashindwa kula hata milo 3 kwa siku! Kuna vijana wengi huku mtaani hawana hata degree 1 lakini ukiwadadisi kwenye nyanja ya Uchumi unagundua wana positive economics strategy ideas!
@elizabethmassi732710 күн бұрын
wanachomuadhibia Mpina ni nini kumbe anayosema Mpina ndicho wengine wanalalamika,ukiwa mkweli hukubaliki.
@RubenMtuwaMungu-bz8ee6 күн бұрын
Musukuma hawezi kumpenda Mpina kamwe sababu ya kukamatwa kwa gari lake likiwa na samaki wachanga enzi Mpina akiwa waziri.
@user-nv7kj3gl3o10 күн бұрын
Jamani sukari piya dili tuwachiyeni sukari
@user-yv8ww7lg1x11 күн бұрын
Watanzania tunaenyeka mafisadi wanenepe Mungu anakuja kl chozi mtalilipa wallah
@gasparlubaga58667 күн бұрын
Naona waziri anataka watu wanywe uji na limao au ukwaju
@frankpeter41784 күн бұрын
Huyu naye ninashawishika kuamini siku hizi hayuko upande wa Wananchi maana hata ishu ya Dubai alitajwa......😂
@zully75611 күн бұрын
Wakamateni mafisadi watumishi wa umma
@hassaniulende-sp6io7 күн бұрын
😊
@festosimlembe69064 күн бұрын
Wanajua wanacho kifanya,hapo tunazungukwa tu,lengo nikupoka uhiru waviwanda wanataka kuhalalisha makampuni yao yaanze kuleta sukari maana yake viwanda vyetu vyandani vitakufa wakulima wamiwa wataacha pia kulima miwa watakosa wakumuzia
@festosimlembe69064 күн бұрын
Mambo ya ajabu yanajadiriwa hakuna anae wapigania wananchi wahali ya chini hapo tunadanganywa tu,kila kitu walisha jadiriana na mawaziri wote nichama kimoja,kilicho pangwa ndicho watakikamilisha hicho hocho hakuna kinacho amliwa kipya hapo.
@dismasmtui72910 күн бұрын
Waruhusu biashara ya sukari iwe huru serikali ihakikishe ubora na bei, wakati mwingine tunasema tunataka kulinda viwanda vya ndani huku tunadumaza viwanda vyenyewe.Mbona viwanda vingine vinashinda bidhaa nyingine lakini havifi bali vinatoa bidhaa nzuri kuliko hizo zinazoingizwa.Mfano TBL, Cement etc
@mwakalingaamani469311 күн бұрын
Huyu jamaa ni kichwa
@ludovickndaki46168 күн бұрын
Siku zote alie zoea KAZI lain hajui kuumiza kichwa atakwambiatu tutabana sehem frani watatoatu dah mnatukatisha tamaa jaman
@richardhezron25887 күн бұрын
Watu hatushirikishani sheria kutunga sheria
@cynthiamcguire14957 күн бұрын
£3 bag of sugar is an absolute rip off😢
@badribilali41466 күн бұрын
Msukuma mauwa yako mzee
@user-cz7bd9tc5k7 күн бұрын
Badala ya kujenga vinda na kuongeza Ajira Munafikiria namuna ya kuagiza sukari Dubai Jamani humo Bungeni Wote ni chumia tumbo kabaki Mpina peke yake naye Mta hakikisha Anakufa
@gasparlubaga58667 күн бұрын
Mbona Mpina alisema ukweli,sasa wanamtuhumu kwa lipi?
@sembuakimbosho33197 күн бұрын
Mfanyibiashara wa karakoram alimuuliza mwiguru kuwa anapenda kamatakamta mipakani
Пікірлер: 21
Ahsante Msukumo kwa kuwapa ukweli hao Mawaziri wawili.Kuhusu utafutaji wa vyanzo vingine vya kukusanya pesa sina uhakika kama wana huo uwezo.Na nilimsikia Mbunge Shabiby akilalamikia hivyo hivyo.Na hii issue very simple kwa nchi kubwa kama Tanzania kuna vyanzo vingi sana vya serikali kutengeneza pesa bila hata ya kuwakaba koo wananchi wa kipato cha chini ambao wanashindwa kula hata milo 3 kwa siku! Kuna vijana wengi huku mtaani hawana hata degree 1 lakini ukiwadadisi kwenye nyanja ya Uchumi unagundua wana positive economics strategy ideas!
wanachomuadhibia Mpina ni nini kumbe anayosema Mpina ndicho wengine wanalalamika,ukiwa mkweli hukubaliki.
Musukuma hawezi kumpenda Mpina kamwe sababu ya kukamatwa kwa gari lake likiwa na samaki wachanga enzi Mpina akiwa waziri.
Jamani sukari piya dili tuwachiyeni sukari
Watanzania tunaenyeka mafisadi wanenepe Mungu anakuja kl chozi mtalilipa wallah
Naona waziri anataka watu wanywe uji na limao au ukwaju
Huyu naye ninashawishika kuamini siku hizi hayuko upande wa Wananchi maana hata ishu ya Dubai alitajwa......😂
Wakamateni mafisadi watumishi wa umma
😊
Wanajua wanacho kifanya,hapo tunazungukwa tu,lengo nikupoka uhiru waviwanda wanataka kuhalalisha makampuni yao yaanze kuleta sukari maana yake viwanda vyetu vyandani vitakufa wakulima wamiwa wataacha pia kulima miwa watakosa wakumuzia
Mambo ya ajabu yanajadiriwa hakuna anae wapigania wananchi wahali ya chini hapo tunadanganywa tu,kila kitu walisha jadiriana na mawaziri wote nichama kimoja,kilicho pangwa ndicho watakikamilisha hicho hocho hakuna kinacho amliwa kipya hapo.
Waruhusu biashara ya sukari iwe huru serikali ihakikishe ubora na bei, wakati mwingine tunasema tunataka kulinda viwanda vya ndani huku tunadumaza viwanda vyenyewe.Mbona viwanda vingine vinashinda bidhaa nyingine lakini havifi bali vinatoa bidhaa nzuri kuliko hizo zinazoingizwa.Mfano TBL, Cement etc
Huyu jamaa ni kichwa
Siku zote alie zoea KAZI lain hajui kuumiza kichwa atakwambiatu tutabana sehem frani watatoatu dah mnatukatisha tamaa jaman
Watu hatushirikishani sheria kutunga sheria
£3 bag of sugar is an absolute rip off😢
Msukuma mauwa yako mzee
Badala ya kujenga vinda na kuongeza Ajira Munafikiria namuna ya kuagiza sukari Dubai Jamani humo Bungeni Wote ni chumia tumbo kabaki Mpina peke yake naye Mta hakikisha Anakufa
Mbona Mpina alisema ukweli,sasa wanamtuhumu kwa lipi?
Mfanyibiashara wa karakoram alimuuliza mwiguru kuwa anapenda kamatakamta mipakani
@sembuakimbosho3319
7 күн бұрын
Sorry kariakoo