WAZIRI SILAA MAMA ADAI KUCHUKULIWA KIWANJA CHAKE NA BENKI WAKIDAI ANA MKOPO |AKUTANA NA MGOGORO MZIT

Ойын-сауық

Пікірлер: 5

  • @rosehaule6765
    @rosehaule67652 күн бұрын

    Nakuombea Mungu akutunze waziri wetu mpedwa Mungu akupe afya njema afya njemaaa ongera.kwa kazi yko ngumu.lakini nguvu atakupa Mungu inshallah akuna.kubwa mbele zake Mungu atakupa ulinzi wke mkubwaa malaika wazuri wa mbinguni wakuzunguke wakupe ulinzi kwa uwezo wake MMungu

  • @Tango696
    @Tango6962 күн бұрын

    Safi sana mheshimiwa waziri slaa...nakukubali sana kwa namna unavyotenda haki.sie raia wema tunakuombea Mungu sana

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma877541 минут бұрын

    Kweli wakati wa Mungu ni wakati sahihi.

  • @josephineokama2200
    @josephineokama2200Күн бұрын

    jamani huyu waziri silaha ananifurahisha kwa ukarimu wake na kusaidia watu moka nimelia jamani hiv ulikuwa wapi miaka yote jamni

  • @daudkindy8062
    @daudkindy8062Күн бұрын

    Wazir anafanya kazi kutoka moyon