UVCCM WACHARUKA "GAMBO AMETUDHALILISHA"
Ойын-сауық
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Arusha, Mjini Ndg Saipulan Abubakari Ramsey amesema kitendo cha Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Gambo kumtuhumu Katibu Mkuu wa Umoja huo Taifa Kenani Kihongosi mbele za watu kuwa amepokea rushwa ni "ametudhihaki" vijana wa UVCCM nchini.
Пікірлер: 433
Tutakuwa na wazee wa hovyo sana huko mbeleni sasa ndio unaongea nini na unatetea nn
@kingmpeto9878
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
CCM,tufike mahali viongozi wanaotetea watu kama hawa wanaua chama.kiogozi Wa vijana arusha anakuwa mjinga kiasi hiki,kwahiyo wewe unaumia nini,unatetea ujinga Wa kuiba fedha za miradi hufai hata kuwa kiongozi.
@daudimrindoko2312
2 жыл бұрын
HUU NI UJINGA SANA KIONGOZI KAMA HUYU KUITA WAANDISHI NA KUSEMA UJINGA KIONGOZI AKIIBA ASISEMWE MAANA NI KIONGOZI WA CHAMA .MWIZI LAZIMA ATAJWE TU
@taratibu
2 жыл бұрын
Siyo bank ambazi zimetia taarifa, taarifa zilizotolewa na Gambo ni kutoka katika vocha zilizo pitisha malipo hayo ambazo zipo ofisi ya Mweka Hazina...
@nsajigwamwakalonge5702
2 жыл бұрын
Alafu fedha zenyewe za miradi ya Arusha ambaye nae ni kwao hapo hapo, bogasi forever
@makongorowassira6593
2 жыл бұрын
Huyu kijana ni mpumbavu sana, njaa inamsumbua tu.
@hawachilemba2562
2 жыл бұрын
Walimchagua kwa kigezo gan? Waziri mkuu sio kiongox wao?
Kwahiyo, Waziri mkuu aliyekuwa anamsikiliza Gambo yuko chini yako na hajui hizo Haki wee mpumbavu?
Unamaanisha ukila pesa za Serikali usiambiwe, kwani katibu mkuu ninani ktk nchi hii, mbona viongozi wakubwa kuliko hata yeye wanatumbuliwa! Acha upumbavu hata me pia ni UVCCM kwahiyo sioni cha maana unalozungumza zaidi ya upuuzi tu.
@miriamcheya3136
2 жыл бұрын
Ggyyyy8u
@sembasitianayinzaki1253
2 жыл бұрын
Hajitambui
@michaelmotika4477
2 жыл бұрын
Huyu analeta ule upuuzi wa zamani huyu hajitambui nenda kalale
@solonhomustafa2500
2 жыл бұрын
inamana mtu akila pesa asitajwe jaman ...mrisho yupo sahihi kabsa
@zuberikupaza1184
2 жыл бұрын
@@solonhomustafa2500 Mke wake ndiye kaingiziwa pesa sasa mumewe hapo anaingiaje na kukatazwa asije Arusha? Gambo ni mtu wa visasi!
Aibu kubwa sana CCM kuwa na kiongozi kama. Wewe
@margarethpolepole7438
2 жыл бұрын
John tena huyo kijana ni bomu kabisa anasema nini na yeye mwizi vilevile
@margarethpolepole7438
2 жыл бұрын
Hayo ndiyo aliyokataa hayati magufuli na kusema ndani ya ccm kuna mijizi na mipenda rushwa
Wapuuzi wezi wanateteana kwa upande wao, team Gambo njoo na majina mengine ili waone aibu kutumia kodi za wananchi hovyo
@hamisijuma3276
2 жыл бұрын
RIP JPM
@kellyngogo3319
2 жыл бұрын
Gambo alipokuwa RC hajaiba!! Mihela waliochukua na Kigwangala
Nazidi kuamini kuea Kuna vijana tunaakili chovu. Nilitaraji mfanye uchunguzi na mlete nyalakazakutengua kauli ya Gambo. Ila ukijiegesha kwnye issue Kama hizi sio jampo lakukupongeza. Type nyaraka za Benki kukanusha
"Mpumbavu mmoja kwenye ubora wake" alisikika mlevi wa akipayuka "Day without hypocrisy in Tanzania is day wasted"
Hongereni vijana kwa kumchana live Gambo c mstaarabu
yani mpaka domolako linaona aibu kuongea hakuna mtu aliejuu ya sheria acha atajwe tena hadharani gambo piga kazi achana na kijana asie jitambua kwanza hufai kua kiongozi wa vijana.
Kwamaana hyo kiongozi wa ccm akikosea hatakiwi kutajwa hadharani .
wacha ujinga wewe huna lolote kwenye nchi hii, mwizi lazima aambiwe ukweli...mbona mjomba magu aliwatimua mchana kweupeee....kwendraaaaaa huna jipya..
@evelinemsaki2057
2 жыл бұрын
Mpumbavu mjinga huyoo kwahiyo mwizi afichwe
Umechoka sana kijana. Nilitarajia ujibu hoja kumbe unatetea kitumbua. Kwa hyo hzo pesa ni malipo ya ninyi kumweka Gambo ktk ubunge?
Wanapofanyiwa haya msiowapenda haujitokezi! Yamefanywa sana haya.
@johnleonardminja2644
2 жыл бұрын
Kama vile sikuelewi🤔 Najaribu kuutafuta uzalendo wako katika wajibu wako kitaifa kama kijana na icon ya UVCCM wilaya ya Arusha napata mashaka. Nadhani kabla ya kupost hii clip ungeirudia na utafakari maudhui ya ujumbe wako is sivyo utatupa mashaka ya uongozi wako na kuitoa imani aliyotuachia hayati kipenzi chetu #JPM juu ya CCM tulioamua kujitolea kuijenga ila sii kwa namna hii! Endapo ukibainika kuwa u mwizi, basi hajalishi cheo chako wewe ni mwizi tuu. Kilichoturudisha ccm ni uzalendo na uadilifu wa kiutendaji aliotuonyesha hayati Magufuli na kazi alioianzisha yenye utu na heshima kwa jamii kwetu ndicho tulichokisimamia kuwa msingi wa kulijenga taifa letu Tanzania na sii kengine na chochote kilicho kinyume kiudalifu kwetu wazalendo hatutachoka kukibaini na kukiainisha hadharani kwa namna yoyote ile isiovunja sheria zetu za nchi. Kama kweli alichokisema Gambo kina ukweli ndani yake huyo ndio kiongozi tumtakae Arusha na hata kitaifa na sii ngonjera nilioisikia kwenye clip hii. Sisi kama vijana ruliopewa dhamani na kuaminika na jamii uadilifu ndio staha pekee itakiwayo kuwa kinga yetu na sio kitu chochote kwa dhana ya u-brotherhood labda kwenye jamii nyengine ila sio kwenye jamii ya siasa safi itupayo imani kwa CCM tulioamua kuijenga kutujengea taifa. Binafsi nadhani kwenye hii clip umejaribu kujikomba kwa Kihongozi kama kiongozi wetu vijana ambae anatakiwa kukumbushwa juu ya uadilifu ili kulitumikia taifa kiuzalendo na sii vyenginevyo.
Njaa mbaya aiseee, unatetea wizi tena hadharani, unatafuta kupendelewa na boss wako, Acha Gambo afanye kazi yake
Anaongea mwingine AIBU naona Mimi ...😁😁😁😁😁😁
Tunajuwa mlibaka uchaguzi mwaka 2020, Sasa mtalipa tu, nguruwe ni nguruwe tu uwezi badilika, mtajutia sana
Hiki ni kipindi cha uwazi na ukweli. Hakuna kufichana. Majina lazima yawekwe wazi kama kuna mashaka ya uhujumu uchumi. Mbona kuna watumishi wengi wamefukuzwa kazi wazi wazi mbele ya halaiki. Hakuna security kwenye uhujumu uchumi. Mtaisoma namba wenyewe sasa. HONGERA SANA NDUGU MRISHO GAMBO kwa uwazi na ukweli.
@fulgencemark7640
2 жыл бұрын
Mnapongeza Gambo mapema mno anaweza kabisa asichomoke.
Zama za watu kutosemwa umepitwa na Wakati. CCM inapinga wezi, wala rushwa na wabadhirifu wa mali za umma. Umoja wa Vijana si chochote kwa wananchi. Dawa ni kutokuiba.
@alexmarungu2235
2 жыл бұрын
Kweli wanaiba wanataka wasitajwe,kama ametajwa hajaaba akamshitaki huyu anatetea upumbavu.asante Suleman
Naona vijana wanataka kuirudisha CCM zamani kuleeee alipoitoa Magufuli. Kazi kwako Comrade Kinana.
Anasema Gambo kapikwa huku inavyoonekana hakaiva. Kwamba kafundishwa wizi na kufichaficha Mambo Sasa wanamshangaa inakuwaje anamtaja katibu kupewapesa isiyo halali.
Icon ya mavi yakp
@samwelikibangi6741
2 жыл бұрын
Mbona wakati sabaya afanya Mambo ya ajabu hausemi?
KATIBU UMETUHUMIWA UNACHOTAKIWA NI KUJIBU NA SI KUJITETEA.
Mungu wangu, unatetea wizi bila aibu
Khee, aisee kumbe bado vijna Kama Hawa wapo nyambafu na nusu. Kabisa unaita na waandishi wa habari kabisa siungejirekodi tu ukatuma kwenye KZread kuliko kupotezea watu muda wao alafu unaueleza umma ugoro mtupu.
Mhuuuu makubwa haya mungu ibariki Tanzania tunaomba amani tu Tanzania
Mwizi ni mwizi tu hakuna tishio hapo Gambo fukua na toa kila kitu hili linataka kuficha wizi
Wakati Magu ana- temper na accounts za wafanyabiashara wakubwa na kuzi-freeze ulisema chochote?Sheria ni msumeno au upanga ukatao kuwili so be careful😭
Kama umekereka, nenda kadai haki ya kuingiliwa mahakamani. Mwenye kuishi kea hofu, ni mhalifu. The guilty are always afraid.
@OneProduction-wi7cp
2 жыл бұрын
boil WATER MELON SEED, it treat these DISEASES in your BODY. don't throw it away, you will thank me👉kzread.info/dash/bejne/mKSJrrqcaMSdesY.html
Huyu UVCCM si atumbuliwe tu, kakaa kiwiziwizi Na anatetea wizi, km anazungumzia faragha si aende MAHAKAMANI. Gambo kapata taarifa kutoka kwa whistblower mnataka akae nazo bila kuzitoa?
Mbon wew huelewi, Gambo anapingana na wezi wew unawatetea hufai kuwa kiongozi
Mimi nafunika uso maana naona aibu sijui anapinga nini hapo
@user-zu8ou2oe4c
19 күн бұрын
Yani kama walikuona ww ndo unafaa kuwa kiongoz tena wa wilaya ni aibu mbona mawazir wanatumbuliwa na linguo lako la kijana ww ni mpuuz nilikuwa najua ww ni mjinga ila sikujua nikwa kiwango hicho cjui unatetea nn apo
Hufai hata kuwa mlez wa familia yako. Unaonekana ni mtu wa kujipendekeza sn. Dah., vijana wa tangania bwana!!
Yan nmesikitika Sana kusikia kijana Kama huyu anaongea upuuzi Kama huu yan bado Kuna changamoto kubwa ccm kuwa na vijana imala.
CCM hawawezi acha kuiba na kulindana
Shoga hili,au hamlioni?
Wewe mtu mwehu sana, nyinyi ndio wote wezi wa nchi Well done Mr Mrisho songa mbele.
Mshukuru sanaWatanzania wengi hawana uelewa yaani wangeondoka na vichwa hivyo, yaani manaiba hela za wananchi alafu mnajidai kuvimba
Brother, Ramsey Abuu bakar hakuna ambae yupo juu ya Sheria
Aliekupa kazi akufukuze leo Umemtia aibu , kazi yako ni kutetea wizi wa katibu mkuu Na huju katibu mkuu ni yule waliyekuwa wakisumbuana na Gambo tangu kitambo au?
@stephanokaaya1881
2 жыл бұрын
Wewe kijana hujui unachosema wala kutetea. Uliwekewa ngapi wewe mbona unatetea wezi? Hela za watanzania mnagawana kama kondoo wa mila? Wewe Katibu feki
@stephanokaaya1881
2 жыл бұрын
Kiongozi Kijana kuwa mpuuzi kama wewe ni janga la taifa
@stephanokaaya1881
2 жыл бұрын
Wewe ni taasisi gani? Wewe hujatumwa na Uvccm ni Maoni yako sio jumuiya
We ni jinga eti ee? Ko tuwaweke wapinzani ili waseme ukweli aope nni ye nani? Mifi yako
Duu hapo ndio unapokidhalilisha chama cha mapinduzi,kwa kutaka maovu yafichwe.wakati watu wengine wakitajwa na kutumbuliwa bila kujali vyeo vyao.kwa maelezo yake anataka wezi wasitajwe?hapo ndio Gambo alipo onyesha Uzalendo wa kweli.acheni kutetea uovu.pia sio kazi yako kumsemea Kihongosi.acha vyombo husika vivanye kazi yake kwa uhuru.
Kwendraaaaaaaaa huna lolote unatetea wezi tena muache gambo awafichue mafisadi lazima watajwe kwa majina.
Duuuh!!!! Hii ni hatari sana kwel uhuru umezidi
Haki mwizi ni kutajwa.. Gambo ukija na list nyingine ya wezi taja wote ukiacha kuwasema wanatusumbua.. Kwakusema vitu vya ovyo.. Gambo ni kiongozi bora sana anafaa kuwa ata rais wa Mwaka 2030.. Na pia 2025 tunampa kula zetu zote za ubunge ili wezi wote waendelee kupata tabu wakiwa arusha na nje ya arusha...
Ww hujielewi kwanihata alien muwejea hakujua ni mke wamtu Acha ujiga Gambo tumbua kama anaogopa kutumbuliwa kwakosa lakula pesa zaserikali
MJINGA NA MWIZI MKUBWA, ARUSHA MMETUPIGA PESA UNAONGEA UJINGA MTUPU. UNAKEMEA NINI MMEFANYA WIZI MKUBWA MNASIKITISHA SANA.
Wewe mshamba nn kwa hiyo watu wachache walee hela za serikali zilizotolewa xiwasaidiee wananchi masikini umeaibika mm ww. Wewe hufai kuwa kiongozi...
Hongera Gambo, kwakuwa muwazi, Wana CCM mnapashwa kubadilika huu sio wakati wa falagha, mtu akienda hovyo asemwe hadharani,ili iwe fundisha kwa wapigaji
@abdulkihanza5911
2 жыл бұрын
Hao ndio moliongoni mwa wale walioingia uongozini kwa rushwa ndio maana anatete ujinga, ndio wale wale wapo kwenye chama kwa maslahi binafsi
Hata unanimalizia mbz zagu mupuuzi ww
Umri mdogo maneno makali sana du
kasengeee hiliii hivi Ccm kuna mtu ana akil kweli
Mbona yy achukue pesa bila kuuliza niza nn?
Acha kuongea ujinga kwa hiyo ashiriki kutafuna hela za Umma ambazo ni walipa kodi watu wasionge lazima Kenani Kihongosi lazima ashughulikiwe sana tena ajiuzulu
umoja wa vijana wa ccm sidhani kama unawasemea- TUNAHITAJI WA KWELI KAMA GAMBO usituchanganye CC WAZALENDO
ww kijana jinga sanah
Na nyie mnakalia fujo tuuuu!! Tangu mzarendo H. Polepole aiachie hii ofisi ya CCM kila kanako ibuka ni kelele tuuu eee tumedhalilishwa What!!!!????
Huyo naye ni wale wale acha awatumbue hadharani utaishije kwa ndivyo sivyo ccm hatutaki kukosolewa hiyo ndiyo tabia yetu
😤🥱☺️😩😄😂😂🤣🤣, kidogo nijifanye nimegoma kucheka🤣🤣🤣😂😂. Kaka unaitwa huku unakesi ya kujibuuu.🤣😂😂😂
We sio mzma hiyo kazi uwez nenda kaendeshe bodaboda
Huyu anaaibisja Ccm Jimbo la Arusha mmechukua kwa kutumia polisi hakuna kitu hapo kalale
WEWE KIONGOZI WA VIJANA HAUFAI KABISA WATU WANAIBA UNAWATETEA MJINGA KABISA WEWE NI SAWA NA RUTTO ATA WEWE UTAKUWA MWIZI NIMEKUCHUKIA KABISA UNATETEA WIZI KISA UMOJA WA VIJANA WA CCM
Huyu jamaaa niimpumbavuu kwelii xax asitajee mtuu wakatii mwizii anajulikanaaa ,, wew mjingaa sanaa
Hivi Ile dhana kuwa KIONGOZI NI MTU NA MKEWE imeishia wapi. Iwapo Kuna kashfa hapo NDUGU YANGU mshauri huyo KIONGOZi wa vijana aende mahkamani. Acha talalila nyingi. Kwa kweli ni vigumu sana kuamini kuwa namsikiliza KIONGOZi akiongea haya lkn wahenga walisema mtoto akililia wembe mpe. ..!!!
..labda alikua na ushahidi wa HAKIKA bila kupepesa macho.... Lakin iwe kataja au hakutaja. Swali waliotajwa WAMEHUSIKA AU HAWAKUHUSIKA KTK MATUMIZI MABAYA YA FEDHA?? Mi ningetaja ata chupi alionunua kama ni kwa Ela ya Serikali ilitumika vibaya.
Mpuuzi huyu Gambo anatetea maslahi ya nchi yeye anatetea chama na tumbo lake iyo jumuiya ya vijana ndio nn kwanza
Kimeumana 😂😂
Kalewa huko ndio kaja hapa kutishia watu kwanza katibu mkuu ndio nini! Nani nnchi hii mwenye nguvu ni Mh rais na bado kuna kuna bunge linasaida kumkumbusha majuku yake. Tutolee njaa zako kwanza hatuwaamini nyie vijana weupe.
Funga mdomo mana ujitambui atutaki ufisadi unaupa haki mbona waziri mkuu alisoma uongei ukweli ccm hinanuka rushwa utaki hau
Leo tunampa ubunge halafu tunaiba anatutaja!!!😂!Aibu yako kijana,.Kumbuka Waziri mkuu ni mtu mkubwa katika Taifa hili,unapoitisha mkutano kupinga yaliyosemwa mbele ya waziri mkuu nakuchukuliwa hatua unaonyesha hufai kuwa hata monitor wa darasa la kwanza.Afadhali ungekaa kimya maana umedhalilisha hilo shati la kijani na taasisi.
Ondoeni tofauti zenu kama kusema kesha sema .
Ndio maana rais Magufuli alifika mahali akaanza kufanya vitu mwenyewe.Ebu fikiria eti huyu ni kiongozi wa chama kikubwa kama ccm!!Ebu sikiliza pumba anazozungumza huyu jamaa!!!!eti shida sio kuiba hela za umma,shida ni kutajwa.Kwa hio kwenye chama kuiba sio kosa,kosa ni kutajana!!!!!wewe ndio unadhalilisha chama kwakutoa siri kwamba kuna miiko kutajana pale mnapopiga hela za umma
Mrisho hangera Sana kwa kuibua haya kaza mwendo ongeza spid
Huyo katibu mkuu ni nani ako mbona unamtetea sanaa mbona unaongea ujinga tu apo
Mkimaliza kutuhumiana mmalize na kutimuana mmezoea kutafuna fedha za Uma
Swali je nikweli alingiziwa pesa au laa hilo ndilo jambo LA kuja kukanusha wacheni siasa za mihemko
Mwizi ni mwizi n
Mpuuzi wa maisha huyo!
@kellyngogo3319
2 жыл бұрын
Si mouuzi gambo alipokuwa RC Ar ameiba sana
Hivi umeona ukikaa kimya bila kuropoka upuuzi wako wananzengo hawata kutambua kama una ugonjwa wa afya ya akili!!
Nendeni mahakamani kama hakula rushwa mahakama itaamua ndipo mtoke na maelezo hayo msikimbilie kwenye vyombo vya habari kujitetea
unajidai kutaja vifungu vya katiba ngali hiyo katiba ni yenu imewabeba vya kutosha imechoka mnaparuana wenyewe na badoo
Unasuport ufisadi eti nadhani umetumwa
cc Kwa sababu Baba kasema tucwatukane wala kuwajibu Kwa upumbv wenu nasi tuseme tuu mjiongeze hasa vijana wa mamaa
Mpuuzi kweli huyu,ngoja siku zinakuja yaani Dude linawafia ninyi 2025,watu wana Moto sana
Hiki chama kina vijana wa ovyo sana yani.. Mbunge kukemea matumizi mabaya ya pesa ya uma ni kosa! Kasome katiba ya ccm vizuri. Sio kutoa matamko kama wewe ndio Takukuru tuliza mshono hacha taasisi zifanye kazi yake
Kwa matendo hayo, tayari mmeipoteza Arusha. Hao wananchi wala hawako na nyie na wizi wenu.
Unakemea hili kwasababu hujielewi
@frankkazimili2395
2 жыл бұрын
Uyo mlevi, acha pomba ww..
@mjumbemsaki8547
2 жыл бұрын
Duuuu.mi.napita.tuuuu
Toeni tamko sote tumeona tumesikia sasa anasemaje? Hatua gani mnachukua CCM hiyoo
Ww ndiyo unapotosha unaficha madudu hufai
Yani nilijua ww ni mjinga ila ckujua kuwa nikwa kiwango hicho unaongea ujinga tu hapo wazir anasemwa hadharan sembuse huyo
Kwa nini asitajwe ?
Dogo acha ujinga utapotea kwenye siasa mwenzio ana ushahidi
Sijakuelewa, hao ndio wanaoandaliwa viongozi wa baadae,Taifa hili litapata ustawi kweli?
Acha ushabiki wa kishamba , kwani ni Nani yeye asitajwe
Hikikijamaa hakijitambui, sijui kilipata vipi uongozi.
bangi bhana
@ramadhanishamtandulo1510
2 жыл бұрын
Haha hahaha
Ww ni mjinga sana ulichotakiwa kuhoji au kufuatilia ni kweli katibu wako amechukua fedha au laah sio kuona haya kwa wezi wala rushwa kama umempa mamlaka mla rushwa madaraka mtakoma wwnyamaza ccm inatakiwa kujitathimini acha upumbavu ulikuwa unataka asiseme ili kiongozi wenu aendelee kula rushwa?
ww tuliaza mshono wako
Mmezoe ,
Kama taarifa ya mtu imedukuliwa ni yeye anatakiwa kulalamika. Wewe acha kutaka kuficha maovu