ONYO KUHUSU TATOO/MUHIMBILI YATOA ANGALIZO ULAJI WA HOVYO Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Жүктеу.....
Пікірлер: 20
@TALLUBOY4 ай бұрын
Mzee janabi good profashinal
@hanifamziray2774 ай бұрын
Asante kwa ushauri doct
@nantaembanusurupia56744 ай бұрын
Kwa matusi yenu professor ataacha kutupa madini ni mtu mzima nadhani hajisikii vizuri kwa hizi lugha zetu😢
@Juddy10174 ай бұрын
Thank you doctors, asante sana
@ChristerShao4 ай бұрын
Kama upendi ushauri wa Prof.Janabi husisikilize,.
@nantaembanusurupia56744 ай бұрын
Asante dk.
@pepenelimited26273 ай бұрын
Unywe chai mwili useme umekula? Alafu uendelee na kazi,ipi? Magogo ya tanesco hutasukuma. 😂😂😂
@LeonardMakenya3 ай бұрын
Vzr!
@SalluJohn-gy8lc3 ай бұрын
Dr naomba matibabu ya maungio ya goti, nyonga,bega,na shingo
@godsson59544 ай бұрын
na mashaka na afya ya akili
@kitonekantasha16874 ай бұрын
❤
@farajambagale93734 ай бұрын
Nataka kujua kwani watu wanashauri kutumia vitu vya sukari kama hujala kitu
@mataypanga5262
5 күн бұрын
Mimi nadhani mtu akila mchanganyiko wa vyakula hakuna tatizo la afya. Tatizo letu wengi hatuna uwezo wa kuwa na vya aina tofauti na wachache wenye pesa nao wanakula sana na kuwa na vitambi.Pengine pamoja na pesa zao hawali vyakula bora😂
@rupiaraaj16744 ай бұрын
Kwahiyo bwana Prof inawezekana akawa anakunya mara chache zaidi.
@sarahoden1344
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@rosemuna5569
4 ай бұрын
Hahhahha wew hebu Acha utan rafik angu tutanyimwa kupewa madin sasa ila umenichekesha
@HhhTt-vl9ct4 ай бұрын
Kwaiyo na uprofessa wako woote ukizingatia jina la kiislam na unaunga mkono tattoo ila tu vifaa viwe safi. Dah. Professa MAVI
@ahz6907
4 ай бұрын
Huyo hajaajiriwa na hospitali ya kiislamu anajibu kama mwajiriwa wa serikali na sio kiongozi wa dini au mwakilishi wa waislam.😊 Masheikh wanatosha kukumbusha hayo mambo ya dhambi unayotaka...mwache janabi afanye yanayomuhusu!
@agriparose3942
4 ай бұрын
Kwani huyu kaajiriwa hospital kwa ajili taasisi ya uislam au anaongelea kitabibu
@user-zl3le1wz2u4 ай бұрын
Profesa ilishindwa kuhojiana na vyombo vya habari kuwa m-wazi kwa Taifa juu ya vifo kwa wakubwa fulani kama tulivyoona mahojiano na vyombo vya habari katika tukio la kifo cha waziri mkuu mstaafu wa Japan katika kampeni zake.Kwa uprofesa wako tungepata taarifa zilizo sahihi kabla na baada ya umauti.Sijui tatizo hilo na mashaka ya namna hiyo watanzania twambie kwa kujifunza
Пікірлер: 20
Mzee janabi good profashinal
Asante kwa ushauri doct
Kwa matusi yenu professor ataacha kutupa madini ni mtu mzima nadhani hajisikii vizuri kwa hizi lugha zetu😢
Thank you doctors, asante sana
Kama upendi ushauri wa Prof.Janabi husisikilize,.
Asante dk.
Unywe chai mwili useme umekula? Alafu uendelee na kazi,ipi? Magogo ya tanesco hutasukuma. 😂😂😂
Vzr!
Dr naomba matibabu ya maungio ya goti, nyonga,bega,na shingo
na mashaka na afya ya akili
❤
Nataka kujua kwani watu wanashauri kutumia vitu vya sukari kama hujala kitu
@mataypanga5262
5 күн бұрын
Mimi nadhani mtu akila mchanganyiko wa vyakula hakuna tatizo la afya. Tatizo letu wengi hatuna uwezo wa kuwa na vya aina tofauti na wachache wenye pesa nao wanakula sana na kuwa na vitambi.Pengine pamoja na pesa zao hawali vyakula bora😂
Kwahiyo bwana Prof inawezekana akawa anakunya mara chache zaidi.
@sarahoden1344
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@rosemuna5569
4 ай бұрын
Hahhahha wew hebu Acha utan rafik angu tutanyimwa kupewa madin sasa ila umenichekesha
Kwaiyo na uprofessa wako woote ukizingatia jina la kiislam na unaunga mkono tattoo ila tu vifaa viwe safi. Dah. Professa MAVI
@ahz6907
4 ай бұрын
Huyo hajaajiriwa na hospitali ya kiislamu anajibu kama mwajiriwa wa serikali na sio kiongozi wa dini au mwakilishi wa waislam.😊 Masheikh wanatosha kukumbusha hayo mambo ya dhambi unayotaka...mwache janabi afanye yanayomuhusu!
@agriparose3942
4 ай бұрын
Kwani huyu kaajiriwa hospital kwa ajili taasisi ya uislam au anaongelea kitabibu
Profesa ilishindwa kuhojiana na vyombo vya habari kuwa m-wazi kwa Taifa juu ya vifo kwa wakubwa fulani kama tulivyoona mahojiano na vyombo vya habari katika tukio la kifo cha waziri mkuu mstaafu wa Japan katika kampeni zake.Kwa uprofesa wako tungepata taarifa zilizo sahihi kabla na baada ya umauti.Sijui tatizo hilo na mashaka ya namna hiyo watanzania twambie kwa kujifunza