Vyakula vya Wanga ni Hatari | Unaharibu Kizazi Chako| Vipimo Milioni 8

Ойын-сауық

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete ( The Jakaya Kikwete Cardiac Institute ) iliyoko katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam.Profesa Janabi, ambaye pia ni daktari Mkuu Binafsi wa Rais Mstafu Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ametoa athari zitokanazo na matumizi ya chakula cha wanga kupita kiasi.

Пікірлер: 70

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513Ай бұрын

    Prof Janabi nashukuru kwa elimu yako. Uliyoyasema yote ni kweli, nilipoacha tumia wanga kwa miezi 5 niliona matokeo mazuri sana. Nilikuwwa nikila matunda, mayai na samaki. Ahsante sana Prof

  • @renataraymond8988
    @renataraymond89885 жыл бұрын

    Hatari sana,hasa watu Wa mijini maofisini.Elimu inatakiwa!

  • @Deojames98

    @Deojames98

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa kazi za maofisini kama mtu asipokuwa na ratiba ya mazoezi ni hatari sana

  • @user-nh9pp8xe2g
    @user-nh9pp8xe2g4 ай бұрын

    Mbishi huwa hafaidi chagua mwenyewe ule nini halafu uende kwake akakuzibue moyo.Tunabisha lakini matokeo tunaona jinsi watu wanavyoteseka.kula lakini kwa kiasi na mazoezi

  • @msetikebwasi7270
    @msetikebwasi72704 ай бұрын

    Sisi tunataka kujua tule nini,,siyo ukosoaji tu.

  • @stevenclaud6648
    @stevenclaud66484 ай бұрын

    Ahsante prof kwa elimu naomba nikushauri zingatia lishe kula vizuri acha ubahili huo si mwili wako ahsante

  • @saramartine7330

    @saramartine7330

    4 ай бұрын

    Hahaaa hatariii sana mmh ubahiliiii

  • @olivamatama590
    @olivamatama590 Жыл бұрын

    Mungu atatulipia siku moja.

  • @Bakari_Mnolela1989

    @Bakari_Mnolela1989

    Жыл бұрын

    Atatulipia Nini?

  • @rashidsuleiman9253

    @rashidsuleiman9253

    4 ай бұрын

    😂😂😂atatulipia nini?

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq4 ай бұрын

    Kawa ambie Wasukuma wanao kula sana

  • @hamzamakame-fy6yp
    @hamzamakame-fy6yp3 ай бұрын

    Tutakula ivo ivo tu twamuamin mungu hatuachi tule tu

  • @joniajohn4716
    @joniajohn47164 жыл бұрын

    Ahsante Prof

  • @salumjuma6073
    @salumjuma6073 Жыл бұрын

    Prof.Mohammed tunaomba uanzishe KZread Channel ili kutuelimisha zaidi kuhusu magonjwa ya moyo na vyakula

  • @abednegopaul2705

    @abednegopaul2705

    7 ай бұрын

    Anayo tayari

  • @ahz6907

    @ahz6907

    6 ай бұрын

    Ipo.itafute.

  • @elizabethleonce1089
    @elizabethleonce10899 күн бұрын

    Waandishi wetu bana wanachekacheka tu kwenye vitu vya msingi

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro376411 ай бұрын

    MADK MARA NYINGINE MNATUTISHA SANA!!!

  • @ahz6907

    @ahz6907

    6 ай бұрын

    Kama anakutisha fanya utakayo.😂

  • @dietrihs9264
    @dietrihs92643 жыл бұрын

    Kufa siku ni moja na mungu akikupa ugonjwa amekupenda, Ule vyakula vya wanga usile utakufa hio hio siku moja 😁😂😂😂

  • @luthernicholaus2455

    @luthernicholaus2455

    Жыл бұрын

    Pia magojwa wanachosha sana jamii na familia. Ni mateso sana kwa mtu binafsi na jamii kwa ujumla

  • @binhussain3445

    @binhussain3445

    Жыл бұрын

    Huyo Mungu amesema tuchukue tahadhari

  • @RamadhaniLukambuzi

    @RamadhaniLukambuzi

    10 ай бұрын

    Tunatakiwa kula kidogo bila kujaza tumbo ili ibaki nafasi ya hewa na maji,shida iliyopo kwetu tunakula hadi matumbo yanatuna mwingine mpaka anashindwa kupumua.Chochote kile kinahitaji kutumia kidogo hata mapenzi ukifanya sana matokeo yake ni uhalibifu;kila kitu inatakiwa iwe wastani.Mtu mwingine anakula chakula cha mchana saa 11 jioni na usiku anakula saa 3 tena pilau na nyama au wali mweupe;anategemea nini hapo?

  • @noelashoo6043

    @noelashoo6043

    6 ай бұрын

    Dada God Is Love unatakiwa kuwa Na Kiasi Katika Maisha Hasa Kula Bila Kubebesha Lawama Mungu kakupa Ugonjwa. Hii part Achana Nayo mana huna Ushahid ww wala Mm cha Muhimu wajibika kutunza afya yako kwa Garama Yoyote ikibid Kuacha Kula vitu vya Ajab bila Masaa

  • @amjudith

    @amjudith

    5 ай бұрын

    A very sad way of thinking 🤔🤔

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana335311 ай бұрын

    Tumekulia ugali wa Dona mboga na maziwa mgando huko nymbn tena unapg kisufuria mtu mmoja😂sema tulikuwa tunatembea kwnd shamba kuchnga na shuke ni kilometer 3, sasa hivi wanetu wanakula huku wamekaa nitatzo kwakwel Asante kwa elim

  • @kwisa4899
    @kwisa48994 ай бұрын

    Masomo haya kafundishe kijijini kwenu

  • @Newage.Construction
    @Newage.Construction4 ай бұрын

    Swali, tule nini ambacho hakina wanga?

  • @solomonsebo2691
    @solomonsebo2691 Жыл бұрын

    Professor naomba utuambie tule nini na wewe unakula vyakula gani?Asante

  • @user-xo5ch3yl5s
    @user-xo5ch3yl5s4 ай бұрын

    Unatushauri tule NN doctor

  • @gastorjohn5308
    @gastorjohn53085 жыл бұрын

    Msos Jaman

  • @jamilarumisha7031
    @jamilarumisha70315 жыл бұрын

    Mm niliacha wanga kwa miez 11 kiukweli changamoto za ki afya nilizokuanazo zikaisha wanga na sukar ni hatar sn

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    3 жыл бұрын

    Unakula nini badala?

  • @simonrusigwa3024

    @simonrusigwa3024

    10 ай бұрын

    Sahihi

  • @abednegopaul2705

    @abednegopaul2705

    7 ай бұрын

    @dr_tinner naweza kuja WhatsApp yako Dr unisaidie ni vyakula gani natakiwa kula maana tumezungukwa Sana na wanga. 🙏

  • @gllythetraveler2430

    @gllythetraveler2430

    5 ай бұрын

    Tupo weng

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu365610 ай бұрын

    Daktari kuzungumza bila kutoa miongozo ya Nini kifanyike Sasa Wapi na kwa watu wa namna gani hujasaidia

  • @kipsjr3664
    @kipsjr36642 жыл бұрын

    ukiwasikiliza madaktari unaweza usile chakula

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu36569 ай бұрын

    Dr Janabi Hujasema tule Nini

  • @SaimonTanganye
    @SaimonTanganye4 ай бұрын

    Huyu mtu ni muongo tuwe makin nae.kila siku ana hili mara hili tusile wanga tutakula nn. Kusoma ni mhim ila kusoma ili kuelimika ni mhim zaidi . Lakn why professor kila siku mtandaon au unataka teuzi. Maisha yetu anajua mungu wengne ni uongo uongo tu mara tusile sukar mara wanga sasa tule nin na uwezo wetu ndo huo wa wanga .

  • @georgebundala1915
    @georgebundala19154 ай бұрын

    Unatuongezea hofu,je maisha yanatakiwa kuwa na muelekeo mmoja?Tuteketeze mahindi na mchele na mihogo yote

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray2775 ай бұрын

    Samsasali tulia hapo husomi magazet msikilize doct punguza lishe

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq4 ай бұрын

    Wanao PATA magojwa ya hivyo wengi ni wanakula vitu vya dhurma hata ally haph aliongea akiwa mkuu wa mkoa tabora mnadhulumu viwanja mashamba nyumba Hela mnatesa watu mnafunga watu saingine hawana hatia magojwa lazima yawarudie wenyewe

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa32953 жыл бұрын

    Kwenda zako kama ugonjwa unao ni wako tuu mimi toka nazaliwa chakuka kikuu ni ugali na uji vyoote ukibadili ni wali nao unakula siku ya skukukuu tu eiza pasaka klismasi ndo tunakula wali usitutishe

  • @godloveorio8029

    @godloveorio8029

    9 ай бұрын

    Aseme tule nini sasa maana ugali na wali ndo vime tukuzia hadi sasa.

  • @magrethdaniel8441
    @magrethdaniel84415 ай бұрын

    Bakini tu na vipimo vyenu maan kwa hiyo bei 😮 ngumu

  • @vengageorge6574
    @vengageorge65744 ай бұрын

    Nguvu watapata wapi

  • @deodadeo2016
    @deodadeo20164 ай бұрын

    Huyu jamaa alivyo mjuvi ataishi milele

  • @user-pp7ug2bc1y
    @user-pp7ug2bc1y5 ай бұрын

    Kizazi which?

  • @kainimkini2073
    @kainimkini20734 ай бұрын

    Aongee tule nini sasa sisi hatuna shida tutafanya kile kinachotakiwa anaongea mengi mno huyo doctor au tuache kula kabisa

  • @praygodmtui1407
    @praygodmtui14076 ай бұрын

    Dada acha wenge

  • @user-nv3gh7pi3r

    @user-nv3gh7pi3r

    4 ай бұрын

    😅😅😅

  • @user-sj4ur9zk9e
    @user-sj4ur9zk9e8 ай бұрын

    Huyo alijinenepea 😂😂😂😂anapumulia gesi hta aibu hna

  • @marynkya2841

    @marynkya2841

    5 ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty97784 ай бұрын

    Sasa tule nini jaman?

  • @lightnesscharlse2281
    @lightnesscharlse22813 жыл бұрын

    Tule nn jamani

  • @mwanjinzara8009

    @mwanjinzara8009

    8 ай бұрын

    Tule vyote kwa wakati ila.kidogo sukali ikiwezekana tusiguse bia mwisho mbili nazo unywe saa.mbili au tatu chakula cha jion mwisho kula saa moja maxoezi tusisahau pia😅😅

  • @emiliananaombakulizanimeot3658
    @emiliananaombakulizanimeot36585 ай бұрын

    Docta Jamaica je Watton wakila mate kila siku inakuwaje

  • @emmanuelmpaliyenutritionist
    @emmanuelmpaliyenutritionist Жыл бұрын

    Huyu kazingua, akale shule upya. Vyakula vya msingi kula Ni vya wanga. Wazazi wamekuwa wakila vyakula hivyo vya wanga, (viazi, mihogo, ugali, maharage n.k) magonjwa hayakuwasumbua Kama Sasa. Tatizo he should backup with scientific evidence. Bongo tunakwama wap🤾🤾🤾

  • @radhiambwana3353

    @radhiambwana3353

    11 ай бұрын

    Nikwel lkn walikuwa wanaenda shamba pia kuchunga mifugo chkula kinatumika tatzo Sasa hivi tunakula tumekaa Mungu tusaidie

  • @emmanuelmpaliyenutritionist

    @emmanuelmpaliyenutritionist

    11 ай бұрын

    @@radhiambwana3353 hakana anayekula akiwa amekaa vi ginevyo nikiwete. Lakini pia mjini tunakula kwa kupima, utashangaa Mtu asubuh amekula mandazi matatu au matano na chai. Mjini hatuli Kama watu wa vijijini. Na siku hizi watu wanafanya jogging. So kuna mengi. Point ya kwamba walienda shamba ni soft sana.

  • @suzanejeremiah3463
    @suzanejeremiah34633 жыл бұрын

    Ana rangi Kama roho yake

  • @magrethdaniel8441

    @magrethdaniel8441

    5 ай бұрын

    Hahahaha

  • @faizaomary2036
    @faizaomary20365 жыл бұрын

    Tule nn docta

  • @mohamedkisalala4523
    @mohamedkisalala45235 жыл бұрын

    Tule nini sasa

  • @irenekatambe1090

    @irenekatambe1090

    4 жыл бұрын

    eti jmn

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    3 жыл бұрын

    @@irenekatambe1090 Hahaahahaha

  • @suleimanhamad920

    @suleimanhamad920

    3 жыл бұрын

    Sasa tutapunguza baada ya kuelimika

  • @Ric0974

    @Ric0974

    Жыл бұрын

    Vitamini kwa wingi!

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije38824 ай бұрын

    Na wewe Dr kutwa kucha unatutisha sasa tule nini? Utaepukaje vitu hivyo?

Келесі