Daktari huyu anaeleza makosa unayofanya kwenye chakula ulacho, UTASHANGAA, epuka Kisukari etc- Pt 1

Boaz Mkumbo MD, ni Daktari wa magonjwa ya binadamu. Ni Mkurugenzi wa Healthy Eating Co.Ltd na Healthy Eating Academy ambayo imejikita katika kupenyeza elimu ya sayansi ya mapishi na magonjwa ya lishe.
Fuata link hii kusubscribe kwenye channel yake ya KZread
/ @drboazmkumbomd

Пікірлер: 49

  • @mylesaman4542
    @mylesaman45423 жыл бұрын

    Ninacho kipenda hapa SNS mpo kama kachumbari... Afya,entertainment, sports, lifestyle, story, uchambuzi wa taarifa mbalimbali.. N.k....congratulation nyingi kwenu i see you in SNS GLOBAL MEDIA (SGM)

  • @khamisrajabu1107
    @khamisrajabu11073 жыл бұрын

    Nilianza kumfaham kitambo sana huyu doctor na kununua kitabu chake 2018,namkubali sana sana,i wish wabongo tumfatilie

  • @Papaachina
    @Papaachina10 ай бұрын

    Asante doctor Boaz Mkumbo Nsambo Polyclinic

  • @eddimalon6051
    @eddimalon60513 жыл бұрын

    Kasheshe mwaka huu, hongera sns kwa interview mzuri kama hizi, watching from Ireland.

  • @alineolivia2392
    @alineolivia23923 жыл бұрын

    This guy is the real doctor yani doctor wangu alinambia hivyo hivyo.

  • @stephanieeunice8572
    @stephanieeunice85723 жыл бұрын

    Wow I love this,every educative

  • @owlbig
    @owlbig3 жыл бұрын

    Asante doctor 👨‍⚕️

  • @shangwenyanjigamanyasi1495
    @shangwenyanjigamanyasi14952 ай бұрын

    Asante doctor umeniongezea maarifa :Barikiwa sana

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli7493 жыл бұрын

    Daaah! shukran sana

  • @sophiasophia9713
    @sophiasophia97133 жыл бұрын

    Nashukuru sana kwa elimu nzuri.

  • @tatuta6529
    @tatuta65293 жыл бұрын

    Asante docta upo vizur sana

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi68953 жыл бұрын

    Dakitari leo amepatikana,maswali magumu kutoka kwa sns.

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo833 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu 🤝🙏❤🇹🇿🇨🇭

  • @nasibndaro6281
    @nasibndaro62813 жыл бұрын

    Vipi mungeweka pia katika Amazon ama Ebay ikawa rahis kupata kwa sisi tuliopo mbali huku Emirates.na tuhitaj kukipata Mr.sky .

  • @SUNDAYMRGAMINGTZ
    @SUNDAYMRGAMINGTZ3 жыл бұрын

    Sns mwaka 2021 itatimiza subscribers 1M na mpaka mwaka 2021 ukiisha.. tutakuwa na 1.5M .... nyie ni watoa habari no 1 ...nikisema online tv yenye power na yenye mashabiki damu damu... ni nyie....

  • @SimuliziNaSauti

    @SimuliziNaSauti

    3 жыл бұрын

    Tunashukuru sana Sunday

  • @geturdablatch9706

    @geturdablatch9706

    3 жыл бұрын

    Nawapenda sio wale wanatoa kichwa tofauti na habri tofauti

  • @emanuelpetro7701
    @emanuelpetro77016 ай бұрын

    asante kwa elimu

  • @mapenziluwa8061
    @mapenziluwa80615 ай бұрын

    Asante no nimezipata Dr.

  • @aminatundondege9384
    @aminatundondege93843 жыл бұрын

    Daktari nimekuelewa vizuri asante.

  • @CreshaRevelian-wb6ky
    @CreshaRevelian-wb6ky3 ай бұрын

    Nataman nikutane nae Kwan alinisaidia kwa tatizo la kisukari hususan diet ya juma Tatu Hadi jumaplil. Asubuh mchana jion.mungu awapaliki wazaz na walimu wake.kitabu hicho ni kizur sana nilitakiwa nife 2019.

  • @rosemshilla8025
    @rosemshilla80253 жыл бұрын

    Watching from Germany,Nimependa mazungumzo haya, Daktari amefafanua vizuri lakini hakuambia wanainchi kua kuna kisukari aina mbili, diabetic type one ambao hailetwi na lifestyle wala uzito wa mwili, ambayo haiko reverseable na diabetic type two ambayo yeye ameiongoleya inayo letwa na uzito na lifestyle ambayo ni reverseable. Pls sns jaribuni kufafanulia wanainchi vizuri.

  • @khamisrajabu1107

    @khamisrajabu1107

    3 жыл бұрын

    Soma kitabu chake dada,mimi nimesoma huyu jamaa anatupenda watanzaia

  • @geturdablatch9706

    @geturdablatch9706

    3 жыл бұрын

    Ni kweli nafikiri ameepitiwa tu. Ila kitabu chake kimeeleza

  • @mwajiranimesalimu5509
    @mwajiranimesalimu55093 жыл бұрын

    wallahy huyo daktari yuko vzri sana hayuko kibiashara kama madaktari wengine.

  • @mohamedidd3145
    @mohamedidd31453 жыл бұрын

    Dr Boaz Mkumbo 💪 💪 💪

  • @khamisrajabu1107

    @khamisrajabu1107

    3 жыл бұрын

    Nafurah kujua wamfaham

  • @mohamedidd3145

    @mohamedidd3145

    3 жыл бұрын

    @@khamisrajabu1107 Najifunza vingi sana kutoka kwake Mungu ambariki sana

  • @mwasitiiddy7425
    @mwasitiiddy74253 жыл бұрын

    Apo kweny sukar dokt mbon mtihan kway sod tusinywe ata juic zakutengenez naz tusinywe matund je kam nanan mua emb nahay tusile😭

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi68953 жыл бұрын

    GMP

  • @eddyevarist2593
    @eddyevarist25933 жыл бұрын

    yan hapo aliposema ubwabwa na juice utadhan kaniona navyokula had ham ya chakula imeisha

  • @mapenziluwa8061
    @mapenziluwa80615 ай бұрын

    Dr naomba tuma no yako ya simu tafadhali

  • @africano98.
    @africano98.3 жыл бұрын

    Iko kitabu kama angeweza pia kukiweka amazone kwa sisi tuliokoo nje ya nchi tuweze kukinunua by Amazon

  • @ahz6907

    @ahz6907

    3 жыл бұрын

    Wazo zuri

  • @salmaabdulla5214

    @salmaabdulla5214

    3 жыл бұрын

    Anakuwa anaweka Amazon.Mie nipo Uk nilikuwa kwenye programme yake na nimeloose 10 kilo for 3 months 👌👌👌God bless him😍

  • @africano98.

    @africano98.

    3 жыл бұрын

    @@salmaabdulla5214 👍🏼👍🏼

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela75418 ай бұрын

    Huyu baba kanisaidia sana nimepungua kilo ndani ya mda mchache yupo vizuri

  • @nabintukadende2388
    @nabintukadende23883 жыл бұрын

    Hahaha mie mwenyewe situmie tena sukari natumia Asali , Hahaha ila wanasema bora asali honey 🍯 kuliko sukari. Hummmm inabindi tukaache vyote sasa 😊😀😉

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi68953 жыл бұрын

    Ee siku hizi sasa watu wameanza kufunguka kweli kweli.

  • @mapenziluwa8061
    @mapenziluwa80615 ай бұрын

    😢

  • @DAMUSAFI
    @DAMUSAFI3 жыл бұрын

    NINGEPENDA NIJUE NI AINA GANI YA CHAKULA NAWEZA KULA KWA MWWZI AU SIKU YISINI KAUPARA KANGU KAKAPOTEA KWASABABU NIKO KAONA NAPOTEZA NYWELE NIPE KITU GANI NAWEZA KULA ILI NYWELE ZI RUDI KAMA KIJANA

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k4 ай бұрын

    😂Samahani.wamiliki wa vyombo uhabarishaji eg mitandao ya kijamii,,msituletee watu wa ajabu.Huyu ndiyo awé mfano kwenu..

  • @greatmangii
    @greatmangii3 жыл бұрын

    Kama watu watafata hili watabadilika miili yao maana zipo dhana potofu kuhusu lishe

  • @emanuelmbondo4598
    @emanuelmbondo45983 жыл бұрын

    Aisee, wauza asali mmenikosa sasa.

  • @eddimalon6051

    @eddimalon6051

    3 жыл бұрын

    hahahahahahha

  • @khalfanmohd5807

    @khalfanmohd5807

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️