Daktari huyu anaeleza makosa unayofanya kwenye chakula ulacho, UTASHANGAA, epuka Kisukari etc- Pt 1
Boaz Mkumbo MD, ni Daktari wa magonjwa ya binadamu. Ni Mkurugenzi wa Healthy Eating Co.Ltd na Healthy Eating Academy ambayo imejikita katika kupenyeza elimu ya sayansi ya mapishi na magonjwa ya lishe.
Fuata link hii kusubscribe kwenye channel yake ya KZread
/ @drboazmkumbomd
Пікірлер: 49
Ninacho kipenda hapa SNS mpo kama kachumbari... Afya,entertainment, sports, lifestyle, story, uchambuzi wa taarifa mbalimbali.. N.k....congratulation nyingi kwenu i see you in SNS GLOBAL MEDIA (SGM)
Nilianza kumfaham kitambo sana huyu doctor na kununua kitabu chake 2018,namkubali sana sana,i wish wabongo tumfatilie
Asante doctor Boaz Mkumbo Nsambo Polyclinic
Kasheshe mwaka huu, hongera sns kwa interview mzuri kama hizi, watching from Ireland.
This guy is the real doctor yani doctor wangu alinambia hivyo hivyo.
Wow I love this,every educative
Asante doctor 👨⚕️
Asante doctor umeniongezea maarifa :Barikiwa sana
Daaah! shukran sana
Nashukuru sana kwa elimu nzuri.
Asante docta upo vizur sana
Dakitari leo amepatikana,maswali magumu kutoka kwa sns.
Nimejifunza kitu 🤝🙏❤🇹🇿🇨🇭
Vipi mungeweka pia katika Amazon ama Ebay ikawa rahis kupata kwa sisi tuliopo mbali huku Emirates.na tuhitaj kukipata Mr.sky .
Sns mwaka 2021 itatimiza subscribers 1M na mpaka mwaka 2021 ukiisha.. tutakuwa na 1.5M .... nyie ni watoa habari no 1 ...nikisema online tv yenye power na yenye mashabiki damu damu... ni nyie....
@SimuliziNaSauti
3 жыл бұрын
Tunashukuru sana Sunday
@geturdablatch9706
3 жыл бұрын
Nawapenda sio wale wanatoa kichwa tofauti na habri tofauti
asante kwa elimu
Asante no nimezipata Dr.
Daktari nimekuelewa vizuri asante.
Nataman nikutane nae Kwan alinisaidia kwa tatizo la kisukari hususan diet ya juma Tatu Hadi jumaplil. Asubuh mchana jion.mungu awapaliki wazaz na walimu wake.kitabu hicho ni kizur sana nilitakiwa nife 2019.
Watching from Germany,Nimependa mazungumzo haya, Daktari amefafanua vizuri lakini hakuambia wanainchi kua kuna kisukari aina mbili, diabetic type one ambao hailetwi na lifestyle wala uzito wa mwili, ambayo haiko reverseable na diabetic type two ambayo yeye ameiongoleya inayo letwa na uzito na lifestyle ambayo ni reverseable. Pls sns jaribuni kufafanulia wanainchi vizuri.
@khamisrajabu1107
3 жыл бұрын
Soma kitabu chake dada,mimi nimesoma huyu jamaa anatupenda watanzaia
@geturdablatch9706
3 жыл бұрын
Ni kweli nafikiri ameepitiwa tu. Ila kitabu chake kimeeleza
wallahy huyo daktari yuko vzri sana hayuko kibiashara kama madaktari wengine.
Dr Boaz Mkumbo 💪 💪 💪
@khamisrajabu1107
3 жыл бұрын
Nafurah kujua wamfaham
@mohamedidd3145
3 жыл бұрын
@@khamisrajabu1107 Najifunza vingi sana kutoka kwake Mungu ambariki sana
Apo kweny sukar dokt mbon mtihan kway sod tusinywe ata juic zakutengenez naz tusinywe matund je kam nanan mua emb nahay tusile😭
GMP
yan hapo aliposema ubwabwa na juice utadhan kaniona navyokula had ham ya chakula imeisha
Dr naomba tuma no yako ya simu tafadhali
Iko kitabu kama angeweza pia kukiweka amazone kwa sisi tuliokoo nje ya nchi tuweze kukinunua by Amazon
@ahz6907
3 жыл бұрын
Wazo zuri
@salmaabdulla5214
3 жыл бұрын
Anakuwa anaweka Amazon.Mie nipo Uk nilikuwa kwenye programme yake na nimeloose 10 kilo for 3 months 👌👌👌God bless him😍
@africano98.
3 жыл бұрын
@@salmaabdulla5214 👍🏼👍🏼
Huyu baba kanisaidia sana nimepungua kilo ndani ya mda mchache yupo vizuri
Hahaha mie mwenyewe situmie tena sukari natumia Asali , Hahaha ila wanasema bora asali honey 🍯 kuliko sukari. Hummmm inabindi tukaache vyote sasa 😊😀😉
Ee siku hizi sasa watu wameanza kufunguka kweli kweli.
😢
NINGEPENDA NIJUE NI AINA GANI YA CHAKULA NAWEZA KULA KWA MWWZI AU SIKU YISINI KAUPARA KANGU KAKAPOTEA KWASABABU NIKO KAONA NAPOTEZA NYWELE NIPE KITU GANI NAWEZA KULA ILI NYWELE ZI RUDI KAMA KIJANA
😂Samahani.wamiliki wa vyombo uhabarishaji eg mitandao ya kijamii,,msituletee watu wa ajabu.Huyu ndiyo awé mfano kwenu..
Kama watu watafata hili watabadilika miili yao maana zipo dhana potofu kuhusu lishe
Aisee, wauza asali mmenikosa sasa.
@eddimalon6051
3 жыл бұрын
hahahahahahha
@khalfanmohd5807
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️