Kitabu hiki cha Sayansi ya Mapishi cha Dr Mkumbo kitabadilisha maisha yako na kukufanya uwe na AFYA
Boaz Mkumbo MD, ni Daktari wa magonjwa ya binadamu. Ni Mkurugenzi wa Healthy Eating Co.Ltd na Healthy Eating Academy ambayo imejikita katika kupenyeza elimu ya sayansi ya mapishi na magonjwa ya lishe.
Fuata link hii kusubscribe kwenye channel yake ya KZread
/ @drboazmkumbomd
Пікірлер: 18
Mbarikiwe sana kwa kuhost darasa zuri... Dr ameshare madini makini balaa kwa jamii
Dr ahsante sana kwasomo Zuni sana. Naihitaji kitabu ntakipataje?
Tunashukuru sana sana aisee. Watu wa nje ya nchi tunakipataje?
Sky wewe kweli umeamua kuja na mapinduzi mapya kabisa. Hawa huwa hawapewi nafasi kabisa japokuwa ni muhimu sana kwenye maisha yetu ya kila siku
@tallyfa05saeed67
3 жыл бұрын
Absolutely
Aisee nimepata somo kubwa sana ubarikiwe Sky
Hiki kitabu naweza tumiwa whatsapp na nlipe na mpesa juu mi n mkenya
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.
Nahitaji hicho kitabu kinapatikana wapi Dr.
Hata Mimi. Ninakihitaji
Kumbe watu tunaoishi Finland tunakula sahihi asanteni sana mana afathali sky u atusaidia tukipata wageni kutoka nyumbani wasitlaumu upande Wa chakula wakija huku wakirudi wamekonda.
@pascalkasandakasela4541
3 жыл бұрын
Mnakuje Finland jamani. Chakula chenu kikuu ni nini
@aminakupila3079
3 жыл бұрын
@@pascalkasandakasela4541 huku watu wanakula viazi ambayo ni wanga but nyama nyama ni nyingi au kuku au samaki na lazima salad 🥗 au mbona mboga na matunda lazima na sio mengi chakula cha kifini sahani yake ndio hiyo ambayo doctor 👨⚕️ anajaribu kuisema.
Sky mimi nataka hicho kitabu Lakini naishi Australia
Kitab tunakipataj dokta
Niko nje ya nchi nitapaje kitabu sky
@SandrineNduwimeNduwim
3 жыл бұрын
sky twambie