Kitabu hiki cha Sayansi ya Mapishi cha Dr Mkumbo kitabadilisha maisha yako na kukufanya uwe na AFYA

Boaz Mkumbo MD, ni Daktari wa magonjwa ya binadamu. Ni Mkurugenzi wa Healthy Eating Co.Ltd na Healthy Eating Academy ambayo imejikita katika kupenyeza elimu ya sayansi ya mapishi na magonjwa ya lishe.
Fuata link hii kusubscribe kwenye channel yake ya KZread
/ @drboazmkumbomd

Пікірлер: 18

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel7 ай бұрын

    Mbarikiwe sana kwa kuhost darasa zuri... Dr ameshare madini makini balaa kwa jamii

  • @latifasharji6437
    @latifasharji64374 күн бұрын

    Dr ahsante sana kwasomo Zuni sana. Naihitaji kitabu ntakipataje?

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa21073 жыл бұрын

    Tunashukuru sana sana aisee. Watu wa nje ya nchi tunakipataje?

  • @pascalkasandakasela4541
    @pascalkasandakasela45413 жыл бұрын

    Sky wewe kweli umeamua kuja na mapinduzi mapya kabisa. Hawa huwa hawapewi nafasi kabisa japokuwa ni muhimu sana kwenye maisha yetu ya kila siku

  • @tallyfa05saeed67

    @tallyfa05saeed67

    3 жыл бұрын

    Absolutely

  • @tallyfa05saeed67
    @tallyfa05saeed673 жыл бұрын

    Aisee nimepata somo kubwa sana ubarikiwe Sky

  • @linetokuku5390
    @linetokuku53902 жыл бұрын

    Hiki kitabu naweza tumiwa whatsapp na nlipe na mpesa juu mi n mkenya

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.

  • @chaulasalatiel6424
    @chaulasalatiel6424 Жыл бұрын

    Nahitaji hicho kitabu kinapatikana wapi Dr.

  • @aminakupila3079
    @aminakupila30793 жыл бұрын

    Hata Mimi. Ninakihitaji

  • @aminakupila3079
    @aminakupila30793 жыл бұрын

    Kumbe watu tunaoishi Finland tunakula sahihi asanteni sana mana afathali sky u atusaidia tukipata wageni kutoka nyumbani wasitlaumu upande Wa chakula wakija huku wakirudi wamekonda.

  • @pascalkasandakasela4541

    @pascalkasandakasela4541

    3 жыл бұрын

    Mnakuje Finland jamani. Chakula chenu kikuu ni nini

  • @aminakupila3079

    @aminakupila3079

    3 жыл бұрын

    @@pascalkasandakasela4541 huku watu wanakula viazi ambayo ni wanga but nyama nyama ni nyingi au kuku au samaki na lazima salad 🥗 au mbona mboga na matunda lazima na sio mengi chakula cha kifini sahani yake ndio hiyo ambayo doctor 👨‍⚕️ anajaribu kuisema.

  • @msaromsaro6657
    @msaromsaro66573 жыл бұрын

    Sky mimi nataka hicho kitabu Lakini naishi Australia

  • @mwasitiiddy7425
    @mwasitiiddy74253 жыл бұрын

    Kitab tunakipataj dokta

  • @tallyfa05saeed67
    @tallyfa05saeed673 жыл бұрын

    Niko nje ya nchi nitapaje kitabu sky

  • @SandrineNduwimeNduwim

    @SandrineNduwimeNduwim

    3 жыл бұрын

    sky twambie

Келесі