Zijue mbinu aizotumia mwanadada ambeye ameishi na ugonjwa wa kisukari kwa zaidi ya miaka 10

Ikizingatiwa kwamba magojwa yasiyoambukizwa kama vile kisukari hufupisha maisha ya Watanzania wengi, Lucy Johnbosko amekuwa kinara katika kuwaelekeza watanzania jinsi ya kupambana na Ugojwa wa kisukari na hatimaye kuishi maisha ya kawaida kama wengine.

Пікірлер: 6

  • @MwanaidiTwaha-my6mz
    @MwanaidiTwaha-my6mz2 ай бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @user-gu3oo1bd6m
    @user-gu3oo1bd6m25 күн бұрын

    Mungu akupe ujasiri udhidi kutoa elimu hii kwa jamii

  • @user-xo4xq6rr3f
    @user-xo4xq6rr3f2 ай бұрын

    Mm nina kisukari na simu ya kisukari ni mawazo pia uwe na dawa za kisukari na kuji nyima vyakula vya sukari utaishi

  • @user-bj2xs3tc7h
    @user-bj2xs3tc7h3 ай бұрын

    Mung u akubariki sister

  • @user-gu3oo1bd6m
    @user-gu3oo1bd6m25 күн бұрын

    Dada wa mikoan tutafaidikaje na semina hii

  • @user-nx6gc2oi3q
    @user-nx6gc2oi3q4 ай бұрын

    Nina ugonjwa wa sukar