Jinsi ya kuishi na ugonjwa wa kisukari.

DADAZ.

Пікірлер: 14

  • @ramlajuma1598
    @ramlajuma15985 жыл бұрын

    Nawapenda sana

  • @callankellan4955

    @callankellan4955

    2 жыл бұрын

    You all prolly dont give a damn but does anybody know of a method to log back into an instagram account..? I somehow lost the account password. I appreciate any tips you can give me

  • @nuruhussein1180
    @nuruhussein11804 жыл бұрын

    Barikiwa sana Lucy na waandaa kipindi nimejifunza sana

  • @khadijahashimu8175

    @khadijahashimu8175

    3 жыл бұрын

    Hata mm nimewapend

  • @user-xo4xq6rr3f
    @user-xo4xq6rr3f2 ай бұрын

    Kuji kubali ndio jambo la kwanza pia uwe kawwida na wenzako hasa kutoa mawazo chakula chochote unakula na dawa zipo utaishi milele

  • @jumamchagi652
    @jumamchagi65210 ай бұрын

    Tafuteni dawa ya kisukari na Wala siyo kuishi na kisukari.Kisukari kina madhara makubwa Kwa maisha ya binadamu

  • @harounnakiete7660
    @harounnakiete76603 жыл бұрын

    Lucy john uko viziru.

  • @jeremiahmwalukosya8431
    @jeremiahmwalukosya84312 жыл бұрын

    Ntajuaje kama kisukari kimeisha mwilini mwangu?

  • @masalusimando9448
    @masalusimando94482 жыл бұрын

    Kuhusu pombe VP?

  • @swaumuramathani9
    @swaumuramathani93 жыл бұрын

    Uko vzuri tatizo unachanganya kiswail na kingereza ongea 2 kiswail tutakuelew

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Жыл бұрын

    Kitu Serikali inatakiwa kufanya ni kupunguza bei ya dawa ya kisukari...dawa ni ghali sana! Kwa nini HIV dawa ziwe bure lkn Kisukari na kansa dawa ziwe ghali? .... tunaomba Serikali iliangalie hili kwa jicho la tatu

  • @theresiapesambili

    @theresiapesambili

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa dear tunateseka mno

  • @mantriikiyondo583

    @mantriikiyondo583

    Жыл бұрын

    Asanten kwa ushaur asante dadaz kwa kutuletea hiyo da lucy

  • @auntdorah9141

    @auntdorah9141

    Жыл бұрын

    Unakuta kuna kidonge kinauzwa kimoja sh.1000 na unatakiwa utumie vitatu au vinne kila siku,😭 hapa nazungumzia kisukari, hapo usiseme bei ya sindano zake!😭😭 kwa mtu wa kipato cha chini kwa nini sukari isikomae hadi kuharibu vitu kama figo nk? Na matibabu ya figo gharama zake Mungu tuu atusaidie, lkn ukiwa na HIV unapeta, dawa bure na saa nyngn na vyakula wanapewa!! Kwani kansa kisukari na figo ni laana? Na HiV ni baraka? Kuna magonjwa ambayo ki ukweli Serikali yetu ingeyaangalia kwa jicho la tatu!!

Келесі