Nilimfumania mke wangu na mwanaume mwingine nyumbani kwangu, walikuja kufariki kwa kufuatana | Kovu
Maisha yana changamoto nyingi. Kuyaishi yakupaswa kuwa mstahilivu. Amri amekutana na mikasa mingi ya kuumiza. Amebaki na #Kovu ambalo haliwezi kufutika. Tunakualika kufuatilia mkasa huu
Пікірлер: 314
NAITWA ZAKAYO HUYU JAMAA NAMFAHAMU KITAMBO SANA,KIPINDI NIPO BUNGONI KULINGANA NIMUDA MREFU, NILISUBIRI ASEME KAMA ALISHAWAHI FUNGUA KIJIWE BUNGONI STENDI CHA KUUZA PIPI SIGARA N.K,JAMAA ALIKUWA MCHESHI NA MCHANGAMFU SANA NIMEMKUMBUKA SANA.
@tynahstanley2766
3 жыл бұрын
Jamani nikweli unayosema alikuwa na kijiwe bungoni mpaka usiku pipi na sigara
I remember listening to those stories “sitosahau” on Radio Free Africa.I never wanted to miss any episode. I am so glad I have lived to see who was in charge of it all. Keep on 🏆 , keep climbing 🧗.
Sky wape hata kikombe cha maji hapo maana simulizi refu mpk koo linakauka
Huwa napenda vpindi kama hivi, asante sky , pole kaka kwa uliyopitia mitihani tumeumbiwa binadamu mungu ni mwema umenyanyuka tena ❤🇨🇭🇹🇿
@aminakupila3079
3 жыл бұрын
Shoga!.
Kwa Mungu yote yawezekana👏👏👏🔥🔥🔥❤️🌞🙏🇰🇪.
Duuuh kumfanya mtu awe chizi ,hapa nako syo , Ila mtu akikufanyia Jambo lazima uwaze Jambo hilii , Ila mungu endelea kunipooza moyo wangu bado unavitu vingi 💉💉ninauchungu sanaaaaaa
Stori nzuri and I learned something, your aggressiveness in life is dope. ila kumloga your sibling 4 material stuff is beneath you 😎..😳😳jamani SnS weka hapa bottle of water mezani. Guests watapaliwa siku ya siku,.. 😆😂😂😂
Naam! Hii sasa Skywalker, utapata wafuatiliaji wengi sana, greetings from Ontario
Duh kweli nimeamini maisha ni safari na kila msafiri anajua alipokanyaga/kukanyagwa, kibaya na kizuri hata ufanye vipi #kovu/kumbukumbu lazima zitasafiri na wewe mpaka mwiaho, na ili uwe umeishi/umesafir safari ya maisha mpaka upitie/upande milima na mabonde. #Pole na hongera kwa uliopitia kaka.
Yaaap tulikua tunakuelewa sanaa kaka na mpaka hapa bado tunakuelewa toka kule kwenye zile story za Gambushi kk
Yeeeeeeh🙌🙌🙌🙌Duh🤔🤔Kumbe was you....!!!!!! BRAVO Br./Wana SnS... Good PRODUCT..
Story nzuri Bro pole sana na matatizo, wana SNS - imagine HEADING Ingekuwa Nilimfumania mke wangu Nyumbani kwangu,nikamloga akawa chizi..
@SimuliziNaSauti
2 жыл бұрын
ha ha ha, heading kali sana
Hii ndio kipindi babu kubwa. Big up Bro SKY na team nzima ya SnS🙏🏾🙌🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Waaau!!! What a hardworking guy! ,keep it up.
#Diamond Platnumz muajiri brother huyu SkyWalker aisee kuanzia mida ya saa mbili pale wasafi hakuna kipindi muda huo.....Itakuwa poa sana boss.
@ginnimoreno6239
3 жыл бұрын
Mtu anatengeza media yake unataka akaajiriwe tena
@tutiwatuti
3 жыл бұрын
Unachekesha badala amuuzie kipindi unasema amuajiri unajua hela anayoingiza hapo
@kassimrajabu7805
3 жыл бұрын
@@tutiwatuti ww ndo msemaji wake???
@kassimrajabu7805
3 жыл бұрын
@@ginnimoreno6239 ww ndo msemaji wake???
@aminaibrahim4148
3 жыл бұрын
Pole sana kwa mtihani ya kidunia
Kusema kweli ukiangalia mda kabla unaonekana mrefu lakini ukianza kutazama unaona mda unaenda kasi. big up guys.......wale wakenya vidole juuuuuuuuu
Safi Sana brother sky since when I was young
Ningekuwa na fedha kaziyangu ingekuwa ku promote hizi mikasa zaukweli kuanzisha kukundi cha movie nakuanza kucheza movies kuusu hizi mikasa zaukweli nahisi ningekuwa napiga mkwanja mrefu
@henrykihongo9795
3 жыл бұрын
Dahh mm pia nilikua nafikiria hilo maana unaweza tengeneza bonge la muvi
@frederickkimweri1899
3 жыл бұрын
Excellent thinking
@zamdakimaro2973
3 жыл бұрын
Sanaaa
Huu Ni mpango mzuri Sana. Tumekuwa wote tangu SITASAHAU. unazijuwa kazi yako. HONGERA SANA BROTHER
Safi hata mimi ni mdau sna wa hizi story aiseee hongereni sns kwa kuturudishia hii rahaaa tutawasapoti mpaka kufa we love you
Nicee kbs courage from burndii🙌🙏
Wooooow Ahsante Kaka sky kiukweli kipindi cha sitosahau kilikua kizuri sana story za wale vijana walio zamia South Africa, na simulizi zingine za vijana ambao tunakumbuka ilikua very hot RFA(Radio free Africa) ilikua Hatari sana enzi hizo
This is wonderful hii story inahuzunisha na kufundisha sana pongezi sana kutoka 🇺🇸
Kaka hongera sana na kipndi hii maaana makovu yapo mengi sana na kila mtu anahistoy ya kipekee
To be honest we need Jesus.very shocking story watching from Canada
@ameenaameena1224
3 жыл бұрын
98uwiiii kitambo
@BigZhumbe
Жыл бұрын
Jesus couldn't save his own self akapigwa hadi kafa ndio atasev other people?
Hongera sana umejitahidi kujikwamua na maisha ila jitahidi kumtafutia tiba kaka yako. Mali umezipata tena ulikosea sana.
Mtangazaji safi sana,lakini weka na kikaribisho cha maji hivi kwa sababu ni kipindi chako ni kirefu.
Big up kwako brother Fredrick bundala bonge la kipindi
Ngugu akikudhurumu roho inauma sana. Waraah ngumu kupoa. Mimi mwenyewe mdogo wangu kanidhurumu kiwanja changu. Waraah kila nikikumbuka moyo wangu unawaka moyo sana. Na nikikumbuka nilikotokea nilikopita mpaka nikapata waraaah inauma. Usiposema na moyo wako waweza muendea huko ujiji
@fatmamajdiddy415
3 жыл бұрын
Pole my pia usiamini sanaa watu kwenye pesa au vitu wanakosa uaminifu kabisa...
Mr Frederick Keep On GoodWork..💜🙌
Bonge la show brother Fred hongera na KOVU
Big up Kaka nakujua unavyopambana Mungu atazidi kuinua
❤️❤️ from Bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wonderful shōw! Dah kijana kapitia mengi maskini, still very positive Watching from Oman.
Wow from Kenya I love that may God continue to bless you always 🙏❤️
@divinelovilingly9781
3 жыл бұрын
Nice one
Noma sn,Pole sana bro
Naipenda san sns na nna shaur kitu kwenye jina la kipindi! Nashaur ungeangalia jina linalosisimua ili mtu akiskia atake tension na awe na feeling flan iv mfano "sito sahau" "njia panda" ushaur tu kama mwanafamilia Tupo pamoja na mungu akutangulie #foreversns
@sallyommy2662
3 жыл бұрын
Sitosahau alikua anatumia kpnd yupo radio free njia panda pia kuna radio wanaitumia but kovu pia sio mbaya
MIMI MWENYEWE NINA MAKOVU KAMA YOTE NATAMANI KUSHEA NA WATZ NA DUNIA KWA UJUMLA
@valcomangapie4520
3 жыл бұрын
Duuuuuu maisha bwana!!!!!!!
@damariszuckschwert9489
3 жыл бұрын
Mcheki SNS
Super nice show...
Love from 🇺🇸
Watu wa Tanga huwez watenganisha na mapete mkonon
Hatujaelewa mtt maryam ulikutana nae vipi baada ya kupoteana kipindi kirefu yy na mama ake wakati ww uko gerezani
Kizuri sana🙏👏👏
Nakukubali sana brother
Kutoka burundi🇧🇮nafatilia sana habari zako kupita kiasi
Young father
Nashauri jambo moja muwe mnaweka HATA vinywaji au Maji Maana MPK wanakauka makoo.
Asante bro sky
Du!! Pole sana na hongera sana
Nakukubali sana sheikh
Go go wanyumbani
Safi Sana ayo ndio mambo
Mungu azidi kukufungulia kila hatua dua
Kaka hii ni kubwa sana!! This is the sky walker i know!!
@joezeno8
3 жыл бұрын
For sure
@hildamahende4687
3 жыл бұрын
Number yake ya sim kwa ajili ya matangazo
Pole sana kaka angu
Nakupendaga sana fredrick bundala
Mimi ni mshabiki wako sana bro kipindi kizuri sana tena sana. Na the business Allah akubariki sana. Ukusema lini tutapata Kovu nyingine. Kutoka Muscat Oman
Ila jamaa ana ndere, kila hatua anapata mwanamke tena mwenye umri wa kumzidi
@peterdaniel9050
3 жыл бұрын
Dere ni nn?
@user-ck2nj6yb8e
7 ай бұрын
Ndere ndo nyota au
Binadamu Bwana, Yani unamroga nduguyo na unajisifia. Daaah. Wewe unaweza mtoa mwanao kafara kwa ajili ya Mali. Wewe si mtu mzuri.
Polesana mtanga mwenzangu kwamajanga nakunakitunimejifunza kusamehe ni jambokubwa n'a kwamungu kunamalipo makubwa
Stori inafundisha Sana.. Never give up
Hongera shemela vile nawapenda
Asante Sana
Big up sns
Alhamudullah kwa kila jambo
Hongera sana bro tupo pamoja endelea kutufurahisha kipindi ni 🔥🔥🔥
Pore Sana brother
Safi
You're my favorite fredric bundala nakuelewa sana bro
@pesangwasalim5258
3 жыл бұрын
Hayo ndio maisha lazima ukutane na changamoto
Daah aisee watanzania wengi tuna pitia changamoto maishani
Tupo pamoja Sky 🌌
Brother kipindi kizuri Ila weka ata juice au maji wageni wachambe Koo Mana kuongea muda mrafe Koo linakauka kikubwa dua milango iendelee kufunguka
Mbona hakuelezea junsi alivyokutana na mtoto wake wa kwanza anayeitwa Mariamu maana hakuwa tena na mawasiliano yoyote na mama yake
@edwinkyando2269
3 жыл бұрын
Wabongo bwana unataka amwage kila kitu
Sky Kuna story moja ulituacha hewani sitosahau rfa... Yule jamaa jambazi wa kigoma
JaAman khairat njoo Kwa Baba ako ukimaliza Masomo alau kumsalimia t
Daah story tamu balaaa
Mdudu longtime kakaaa ......baba mamuu
His story is too touching , keep it up sky
I learn from the guy, ukiwa na pesa usimnyanyase mwanaume muheshimu sana kwasababu ikitokea ukateleza sababu itakuwa kwasababu una Mali.
Duh kitu na box uchizi safi sana
Kaka uko vizuri ila pamoja na mabaya alokufanyia naumia ulivomfanya chizi tafta namna ya kumrudisha kwa Mungu hakuna linaloshindikana
Nic bro
Bro sky Barikiwa unatuletea vitu vya kutujenga
Daaaaah Maisha yanachangamoto
Wa nyumbani pole sana
Nice
We ni mpumbavu tu yote yaliyokukuta nikwasababu ya papara zako ulipenda mteremko sana kwa maelezo yako na kwakukosa ufahamu ukamzuru nduguyako.
Nawakubali wagosi aisee from Iraq
Safi sn na mm nayangu sito sahau
Sky mwambie mdudu Yule aliyekua mama yake wa kufikia pale sharif shamba pia alifariki
@fighterm7708
3 жыл бұрын
Oooh
Polesana
Mimi nimekuwa wakwanza kukoment
Pole kakangu
Aiseeee story taam sana
Bro Rama madilu ashafariki bwana jamaa kasaidia Sana watu tajiri wa makabichi na dalali wa makabichi
Asalam.aleykum.pole.sana.kka.kwa.yalokufika.ila.usione.wanawake.wote.ndio.kama.hao.uliyopitiya.matatizo.ila.tu.kka.ulikosea.pamoja.kumfanya.mtu.chizi.bora.ungemuachia.mungu.allah.ndio.hakimu.wa.yote.una.jukumu.kubwa.kka.utakwenda.kuulizwa.unajuwa.kama.watto.mke.wake.wanateseka.apo.kama.kazini.mke.una.makosa.zidi.kumuomba.allah.kka.akusamehe.ok.shukran.kka.na.muandishi.wa.kipindi.tupo.mbali.ya.tz.ila.tunapata.yote.ya.nchi.kwetu
Mwana SnS Tawi La 🇰🇪 Tupo Sambamba Na Kovu 💯
@asmaaomarimakoti9374
3 жыл бұрын
Pole maumivu na changamoto ndio hufanya mtu aijue zaidi dunia na kumkuza kiakili na pia kujua aina za watu walio sahihi kwake
Daaah naikumbuka sana sito sahau ya RFA, , asante sana kutuletea Kovu
@subiraharuna1737
3 жыл бұрын
Mariam.alimpataje.kwakipindi.kirefu.ivo.ukweli.umetupa.moyo.mungu.akubariki
Dahh maisha ni safari kweli nimeamini
mwanalushoto mwenzetu huyu like nyingi kwake