Nilimfumania mke wangu na mwanaume mwingine nyumbani kwangu, walikuja kufariki kwa kufuatana | Kovu

Maisha yana changamoto nyingi. Kuyaishi yakupaswa kuwa mstahilivu. Amri amekutana na mikasa mingi ya kuumiza. Amebaki na #Kovu ambalo haliwezi kufutika. Tunakualika kufuatilia mkasa huu

Пікірлер: 314

  • @zakayomrangu3405
    @zakayomrangu34053 жыл бұрын

    NAITWA ZAKAYO HUYU JAMAA NAMFAHAMU KITAMBO SANA,KIPINDI NIPO BUNGONI KULINGANA NIMUDA MREFU, NILISUBIRI ASEME KAMA ALISHAWAHI FUNGUA KIJIWE BUNGONI STENDI CHA KUUZA PIPI SIGARA N.K,JAMAA ALIKUWA MCHESHI NA MCHANGAMFU SANA NIMEMKUMBUKA SANA.

  • @tynahstanley2766

    @tynahstanley2766

    3 жыл бұрын

    Jamani nikweli unayosema alikuwa na kijiwe bungoni mpaka usiku pipi na sigara

  • @eunicerobi5701
    @eunicerobi57012 жыл бұрын

    I remember listening to those stories “sitosahau” on Radio Free Africa.I never wanted to miss any episode. I am so glad I have lived to see who was in charge of it all. Keep on 🏆 , keep climbing 🧗.

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed89603 жыл бұрын

    Sky wape hata kikombe cha maji hapo maana simulizi refu mpk koo linakauka

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo833 жыл бұрын

    Huwa napenda vpindi kama hivi, asante sky , pole kaka kwa uliyopitia mitihani tumeumbiwa binadamu mungu ni mwema umenyanyuka tena ❤🇨🇭🇹🇿

  • @aminakupila3079

    @aminakupila3079

    3 жыл бұрын

    Shoga!.

  • @theceefamily7764
    @theceefamily77643 жыл бұрын

    Kwa Mungu yote yawezekana👏👏👏🔥🔥🔥❤️🌞🙏🇰🇪.

  • @lightnessmungaya3280
    @lightnessmungaya32803 жыл бұрын

    Duuuh kumfanya mtu awe chizi ,hapa nako syo , Ila mtu akikufanyia Jambo lazima uwaze Jambo hilii , Ila mungu endelea kunipooza moyo wangu bado unavitu vingi 💉💉ninauchungu sanaaaaaa

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai85773 жыл бұрын

    Stori nzuri and I learned something, your aggressiveness in life is dope. ila kumloga your sibling 4 material stuff is beneath you 😎..😳😳jamani SnS weka hapa bottle of water mezani. Guests watapaliwa siku ya siku,.. 😆😂😂😂

  • @Winstonfying
    @Winstonfying3 жыл бұрын

    Naam! Hii sasa Skywalker, utapata wafuatiliaji wengi sana, greetings from Ontario

  • @saidimkopi
    @saidimkopi3 жыл бұрын

    Duh kweli nimeamini maisha ni safari na kila msafiri anajua alipokanyaga/kukanyagwa, kibaya na kizuri hata ufanye vipi #kovu/kumbukumbu lazima zitasafiri na wewe mpaka mwiaho, na ili uwe umeishi/umesafir safari ya maisha mpaka upitie/upande milima na mabonde. #Pole na hongera kwa uliopitia kaka.

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock95623 жыл бұрын

    Yaaap tulikua tunakuelewa sanaa kaka na mpaka hapa bado tunakuelewa toka kule kwenye zile story za Gambushi kk

  • @debbiethomas5328
    @debbiethomas53283 жыл бұрын

    Yeeeeeeh🙌🙌🙌🙌Duh🤔🤔Kumbe was you....!!!!!! BRAVO Br./Wana SnS... Good PRODUCT..

  • @damari_Auntrasta
    @damari_Auntrasta2 жыл бұрын

    Story nzuri Bro pole sana na matatizo, wana SNS - imagine HEADING Ingekuwa Nilimfumania mke wangu Nyumbani kwangu,nikamloga akawa chizi..

  • @SimuliziNaSauti

    @SimuliziNaSauti

    2 жыл бұрын

    ha ha ha, heading kali sana

  • @xbdbdgdgsbdbbxx4254
    @xbdbdgdgsbdbbxx42543 жыл бұрын

    Hii ndio kipindi babu kubwa. Big up Bro SKY na team nzima ya SnS🙏🏾🙌🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @hellendiana625
    @hellendiana6253 жыл бұрын

    Waaau!!! What a hardworking guy! ,keep it up.

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu78053 жыл бұрын

    #Diamond Platnumz muajiri brother huyu SkyWalker aisee kuanzia mida ya saa mbili pale wasafi hakuna kipindi muda huo.....Itakuwa poa sana boss.

  • @ginnimoreno6239

    @ginnimoreno6239

    3 жыл бұрын

    Mtu anatengeza media yake unataka akaajiriwe tena

  • @tutiwatuti

    @tutiwatuti

    3 жыл бұрын

    Unachekesha badala amuuzie kipindi unasema amuajiri unajua hela anayoingiza hapo

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    3 жыл бұрын

    @@tutiwatuti ww ndo msemaji wake???

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    3 жыл бұрын

    @@ginnimoreno6239 ww ndo msemaji wake???

  • @aminaibrahim4148

    @aminaibrahim4148

    3 жыл бұрын

    Pole sana kwa mtihani ya kidunia

  • @ramadhangona9085
    @ramadhangona90853 жыл бұрын

    Kusema kweli ukiangalia mda kabla unaonekana mrefu lakini ukianza kutazama unaona mda unaenda kasi. big up guys.......wale wakenya vidole juuuuuuuuu

  • @zakayojoseph1339
    @zakayojoseph13393 жыл бұрын

    Safi Sana brother sky since when I was young

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf44293 жыл бұрын

    Ningekuwa na fedha kaziyangu ingekuwa ku promote hizi mikasa zaukweli kuanzisha kukundi cha movie nakuanza kucheza movies kuusu hizi mikasa zaukweli nahisi ningekuwa napiga mkwanja mrefu

  • @henrykihongo9795

    @henrykihongo9795

    3 жыл бұрын

    Dahh mm pia nilikua nafikiria hilo maana unaweza tengeneza bonge la muvi

  • @frederickkimweri1899

    @frederickkimweri1899

    3 жыл бұрын

    Excellent thinking

  • @zamdakimaro2973

    @zamdakimaro2973

    3 жыл бұрын

    Sanaaa

  • @ernestbiseko1608
    @ernestbiseko16083 жыл бұрын

    Huu Ni mpango mzuri Sana. Tumekuwa wote tangu SITASAHAU. unazijuwa kazi yako. HONGERA SANA BROTHER

  • @mcjmcheshi
    @mcjmcheshi3 жыл бұрын

    Safi hata mimi ni mdau sna wa hizi story aiseee hongereni sns kwa kuturudishia hii rahaaa tutawasapoti mpaka kufa we love you

  • @queenwesthilson6009
    @queenwesthilson60093 жыл бұрын

    Nicee kbs courage from burndii🙌🙏

  • @alfredyfredrick8955
    @alfredyfredrick89553 жыл бұрын

    Wooooow Ahsante Kaka sky kiukweli kipindi cha sitosahau kilikua kizuri sana story za wale vijana walio zamia South Africa, na simulizi zingine za vijana ambao tunakumbuka ilikua very hot RFA(Radio free Africa) ilikua Hatari sana enzi hizo

  • @geturdablatch9706
    @geturdablatch97063 жыл бұрын

    This is wonderful hii story inahuzunisha na kufundisha sana pongezi sana kutoka 🇺🇸

  • @user-vq4zf9zb5v
    @user-vq4zf9zb5v3 жыл бұрын

    Kaka hongera sana na kipndi hii maaana makovu yapo mengi sana na kila mtu anahistoy ya kipekee

  • @backyardboy2020
    @backyardboy20203 жыл бұрын

    To be honest we need Jesus.very shocking story watching from Canada

  • @ameenaameena1224

    @ameenaameena1224

    3 жыл бұрын

    98uwiiii kitambo

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    Жыл бұрын

    Jesus couldn't save his own self akapigwa hadi kafa ndio atasev other people?

  • @lindaabraham5365
    @lindaabraham53653 жыл бұрын

    Hongera sana umejitahidi kujikwamua na maisha ila jitahidi kumtafutia tiba kaka yako. Mali umezipata tena ulikosea sana.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55673 жыл бұрын

    Mtangazaji safi sana,lakini weka na kikaribisho cha maji hivi kwa sababu ni kipindi chako ni kirefu.

  • @msalikemedia
    @msalikemedia3 жыл бұрын

    Big up kwako brother Fredrick bundala bonge la kipindi

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha91223 жыл бұрын

    Ngugu akikudhurumu roho inauma sana. Waraah ngumu kupoa. Mimi mwenyewe mdogo wangu kanidhurumu kiwanja changu. Waraah kila nikikumbuka moyo wangu unawaka moyo sana. Na nikikumbuka nilikotokea nilikopita mpaka nikapata waraaah inauma. Usiposema na moyo wako waweza muendea huko ujiji

  • @fatmamajdiddy415

    @fatmamajdiddy415

    3 жыл бұрын

    Pole my pia usiamini sanaa watu kwenye pesa au vitu wanakosa uaminifu kabisa...

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao3 жыл бұрын

    Mr Frederick Keep On GoodWork..💜🙌

  • @rosemofuga6313
    @rosemofuga63133 жыл бұрын

    Bonge la show brother Fred hongera na KOVU

  • @stellahmushi843
    @stellahmushi8433 жыл бұрын

    Big up Kaka nakujua unavyopambana Mungu atazidi kuinua

  • @jubajoseph8808
    @jubajoseph88083 жыл бұрын

    ❤️❤️ from Bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @sistersade9039
    @sistersade90393 жыл бұрын

    Wonderful shōw! Dah kijana kapitia mengi maskini, still very positive Watching from Oman.

  • @SHIKUKINYA
    @SHIKUKINYA3 жыл бұрын

    Wow from Kenya I love that may God continue to bless you always 🙏❤️

  • @divinelovilingly9781

    @divinelovilingly9781

    3 жыл бұрын

    Nice one

  • @justinjoshua1059
    @justinjoshua10593 жыл бұрын

    Noma sn,Pole sana bro

  • @YusoufMjr
    @YusoufMjr3 жыл бұрын

    Naipenda san sns na nna shaur kitu kwenye jina la kipindi! Nashaur ungeangalia jina linalosisimua ili mtu akiskia atake tension na awe na feeling flan iv mfano "sito sahau" "njia panda" ushaur tu kama mwanafamilia Tupo pamoja na mungu akutangulie #foreversns

  • @sallyommy2662

    @sallyommy2662

    3 жыл бұрын

    Sitosahau alikua anatumia kpnd yupo radio free njia panda pia kuna radio wanaitumia but kovu pia sio mbaya

  • @anahna6788
    @anahna67883 жыл бұрын

    MIMI MWENYEWE NINA MAKOVU KAMA YOTE NATAMANI KUSHEA NA WATZ NA DUNIA KWA UJUMLA

  • @valcomangapie4520

    @valcomangapie4520

    3 жыл бұрын

    Duuuuuu maisha bwana!!!!!!!

  • @damariszuckschwert9489

    @damariszuckschwert9489

    3 жыл бұрын

    Mcheki SNS

  • @sharreh8
    @sharreh83 жыл бұрын

    Super nice show...

  • @chantalbarasokoroza6725
    @chantalbarasokoroza67253 жыл бұрын

    Love from 🇺🇸

  • @hancymachibbula4355
    @hancymachibbula43553 жыл бұрын

    Watu wa Tanga huwez watenganisha na mapete mkonon

  • @rahmasalum8642
    @rahmasalum86423 жыл бұрын

    Hatujaelewa mtt maryam ulikutana nae vipi baada ya kupoteana kipindi kirefu yy na mama ake wakati ww uko gerezani

  • @aishahemedi7869
    @aishahemedi78693 жыл бұрын

    Kizuri sana🙏👏👏

  • @jikeycleverboy4433
    @jikeycleverboy44333 жыл бұрын

    Nakukubali sana brother

  • @dggxxxxfgff3876
    @dggxxxxfgff38763 жыл бұрын

    Kutoka burundi🇧🇮nafatilia sana habari zako kupita kiasi

  • @lutfiarashid8770
    @lutfiarashid87703 жыл бұрын

    Young father

  • @amosmahona433
    @amosmahona4333 жыл бұрын

    Nashauri jambo moja muwe mnaweka HATA vinywaji au Maji Maana MPK wanakauka makoo.

  • @angeljasson4376
    @angeljasson43763 жыл бұрын

    Asante bro sky

  • @kalungikingalu9694
    @kalungikingalu96943 жыл бұрын

    Du!! Pole sana na hongera sana

  • @samsonezekiel9232
    @samsonezekiel92323 жыл бұрын

    Nakukubali sana sheikh

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff3 жыл бұрын

    Go go wanyumbani

  • @diahemedsalumdia6594
    @diahemedsalumdia65943 жыл бұрын

    Safi Sana ayo ndio mambo

  • @najatramadhani6300
    @najatramadhani63002 ай бұрын

    Mungu azidi kukufungulia kila hatua dua

  • @frankboniface1988
    @frankboniface19883 жыл бұрын

    Kaka hii ni kubwa sana!! This is the sky walker i know!!

  • @joezeno8

    @joezeno8

    3 жыл бұрын

    For sure

  • @hildamahende4687

    @hildamahende4687

    3 жыл бұрын

    Number yake ya sim kwa ajili ya matangazo

  • @ziadaomeri6058
    @ziadaomeri60583 жыл бұрын

    Pole sana kaka angu

  • @perpetuamhanje8006
    @perpetuamhanje80063 жыл бұрын

    Nakupendaga sana fredrick bundala

  • @nasserhinai3019
    @nasserhinai30193 жыл бұрын

    Mimi ni mshabiki wako sana bro kipindi kizuri sana tena sana. Na the business Allah akubariki sana. Ukusema lini tutapata Kovu nyingine. Kutoka Muscat Oman

  • @frederickkimweri1899
    @frederickkimweri18993 жыл бұрын

    Ila jamaa ana ndere, kila hatua anapata mwanamke tena mwenye umri wa kumzidi

  • @peterdaniel9050

    @peterdaniel9050

    3 жыл бұрын

    Dere ni nn?

  • @user-ck2nj6yb8e

    @user-ck2nj6yb8e

    7 ай бұрын

    Ndere ndo nyota au

  • @benadethafrancis5223
    @benadethafrancis5223 Жыл бұрын

    Binadamu Bwana, Yani unamroga nduguyo na unajisifia. Daaah. Wewe unaweza mtoa mwanao kafara kwa ajili ya Mali. Wewe si mtu mzuri.

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Жыл бұрын

    Polesana mtanga mwenzangu kwamajanga nakunakitunimejifunza kusamehe ni jambokubwa n'a kwamungu kunamalipo makubwa

  • @malikramadhani3136
    @malikramadhani31363 жыл бұрын

    Stori inafundisha Sana.. Never give up

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын

    Hongera shemela vile nawapenda

  • @simphoslyvia2570
    @simphoslyvia25703 жыл бұрын

    Asante Sana

  • @delphinaalicia4787
    @delphinaalicia47873 жыл бұрын

    Big up sns

  • @keifatuke99
    @keifatuke993 жыл бұрын

    Alhamudullah kwa kila jambo

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman64233 жыл бұрын

    Hongera sana bro tupo pamoja endelea kutufurahisha kipindi ni 🔥🔥🔥

  • @joshuasanga355
    @joshuasanga3553 жыл бұрын

    Pore Sana brother

  • @mcjmcheshi
    @mcjmcheshi3 жыл бұрын

    Safi

  • @immanuelmwaipopo1605
    @immanuelmwaipopo16053 жыл бұрын

    You're my favorite fredric bundala nakuelewa sana bro

  • @pesangwasalim5258

    @pesangwasalim5258

    3 жыл бұрын

    Hayo ndio maisha lazima ukutane na changamoto

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74913 жыл бұрын

    Daah aisee watanzania wengi tuna pitia changamoto maishani

  • @officiallymercymargaret3259
    @officiallymercymargaret32593 жыл бұрын

    Tupo pamoja Sky 🌌

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi5423 жыл бұрын

    Brother kipindi kizuri Ila weka ata juice au maji wageni wachambe Koo Mana kuongea muda mrafe Koo linakauka kikubwa dua milango iendelee kufunguka

  • @husnaabdallah4714
    @husnaabdallah47143 жыл бұрын

    Mbona hakuelezea junsi alivyokutana na mtoto wake wa kwanza anayeitwa Mariamu maana hakuwa tena na mawasiliano yoyote na mama yake

  • @edwinkyando2269

    @edwinkyando2269

    3 жыл бұрын

    Wabongo bwana unataka amwage kila kitu

  • @dullydully550
    @dullydully5503 жыл бұрын

    Sky Kuna story moja ulituacha hewani sitosahau rfa... Yule jamaa jambazi wa kigoma

  • @muhammehusna3384
    @muhammehusna33843 жыл бұрын

    JaAman khairat njoo Kwa Baba ako ukimaliza Masomo alau kumsalimia t

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia13813 жыл бұрын

    Daah story tamu balaaa

  • @upendomtambo5103
    @upendomtambo51033 жыл бұрын

    Mdudu longtime kakaaa ......baba mamuu

  • @ericklaura7511
    @ericklaura75113 жыл бұрын

    His story is too touching , keep it up sky

  • @lilianurio9781
    @lilianurio97813 жыл бұрын

    I learn from the guy, ukiwa na pesa usimnyanyase mwanaume muheshimu sana kwasababu ikitokea ukateleza sababu itakuwa kwasababu una Mali.

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero84663 жыл бұрын

    Duh kitu na box uchizi safi sana

  • @asifiwekitunga4655
    @asifiwekitunga46553 жыл бұрын

    Kaka uko vizuri ila pamoja na mabaya alokufanyia naumia ulivomfanya chizi tafta namna ya kumrudisha kwa Mungu hakuna linaloshindikana

  • @nyangeibahati5292
    @nyangeibahati52923 жыл бұрын

    Nic bro

  • @elizabethkamala9176
    @elizabethkamala91763 жыл бұрын

    Bro sky Barikiwa unatuletea vitu vya kutujenga

  • @elizabethkamala9176
    @elizabethkamala91763 жыл бұрын

    Daaaaah Maisha yanachangamoto

  • @gracekaniki789
    @gracekaniki7893 жыл бұрын

    Wa nyumbani pole sana

  • @iam_deo
    @iam_deo3 жыл бұрын

    Nice

  • @babuubarotti8418
    @babuubarotti84183 жыл бұрын

    We ni mpumbavu tu yote yaliyokukuta nikwasababu ya papara zako ulipenda mteremko sana kwa maelezo yako na kwakukosa ufahamu ukamzuru nduguyako.

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын

    Nawakubali wagosi aisee from Iraq

  • @selinalukwembe7363
    @selinalukwembe73633 жыл бұрын

    Safi sn na mm nayangu sito sahau

  • @hajielmi7518
    @hajielmi75183 жыл бұрын

    Sky mwambie mdudu Yule aliyekua mama yake wa kufikia pale sharif shamba pia alifariki

  • @fighterm7708

    @fighterm7708

    3 жыл бұрын

    Oooh

  • @patrickmulonda9710
    @patrickmulonda97103 жыл бұрын

    Polesana

  • @liliansospeter1277
    @liliansospeter12773 жыл бұрын

    Mimi nimekuwa wakwanza kukoment

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau83073 жыл бұрын

    Pole kakangu

  • @mcjmcheshi
    @mcjmcheshi3 жыл бұрын

    Aiseeee story taam sana

  • @khalidjimmy5774
    @khalidjimmy57743 жыл бұрын

    Bro Rama madilu ashafariki bwana jamaa kasaidia Sana watu tajiri wa makabichi na dalali wa makabichi

  • @sursur1569
    @sursur15693 жыл бұрын

    Asalam.aleykum.pole.sana.kka.kwa.yalokufika.ila.usione.wanawake.wote.ndio.kama.hao.uliyopitiya.matatizo.ila.tu.kka.ulikosea.pamoja.kumfanya.mtu.chizi.bora.ungemuachia.mungu.allah.ndio.hakimu.wa.yote.una.jukumu.kubwa.kka.utakwenda.kuulizwa.unajuwa.kama.watto.mke.wake.wanateseka.apo.kama.kazini.mke.una.makosa.zidi.kumuomba.allah.kka.akusamehe.ok.shukran.kka.na.muandishi.wa.kipindi.tupo.mbali.ya.tz.ila.tunapata.yote.ya.nchi.kwetu

  • @royalmbwana
    @royalmbwana3 жыл бұрын

    Mwana SnS Tawi La 🇰🇪 Tupo Sambamba Na Kovu 💯

  • @asmaaomarimakoti9374

    @asmaaomarimakoti9374

    3 жыл бұрын

    Pole maumivu na changamoto ndio hufanya mtu aijue zaidi dunia na kumkuza kiakili na pia kujua aina za watu walio sahihi kwake

  • @msafirikalinga6938
    @msafirikalinga69383 жыл бұрын

    Daaah naikumbuka sana sito sahau ya RFA, , asante sana kutuletea Kovu

  • @subiraharuna1737

    @subiraharuna1737

    3 жыл бұрын

    Mariam.alimpataje.kwakipindi.kirefu.ivo.ukweli.umetupa.moyo.mungu.akubariki

  • @halimahussein4752
    @halimahussein47523 жыл бұрын

    Dahh maisha ni safari kweli nimeamini

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada3 жыл бұрын

    mwanalushoto mwenzetu huyu like nyingi kwake

Келесі