MAPYA!!AJUTA KUWA MTANZANIA (ASKOFU MONABANI ARUSHA,SHELI,KANISA NA KIWANDA VYOTE ANYANG'ANYWA"MTI..

#trending MAPYA!!AJUTA KUWA MTANZANIA (ASKOFU MONABANI ARUSHA,SHELI,KANISA NA KIWANDA VYOTE ANYANG'ANYWA"MTI..

Пікірлер: 176

  • @194summer
    @194summer2 ай бұрын

    Ushauri wangu,achana nao maana huwezi tena kushinda ,ongea nao kinyimbani sasa washtaki wako,,pole sana baba

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani95222 ай бұрын

    Hii Dunia Bwana!!nikitafakari Nakosa majibu...Mwisho Wangu itakuwaje?,naomba Allah Anipe Mwisho Mwema In sha Allah....vitu vyoooote hapa Duniani Tutaviacha...Tutaondoka kama tulivyokuja..Tumuabudu Mungu na Tutende na yaliyo Mema..Mzee Mwenye Eneo Alishatangulia mbele za haki..Alinunuwa au Alipewa na Wazee wake .Mi sijui nachoangalia Alikuwa Analimiliki lakini Nae kaliacha..Basi mtambuwe..Nasi Tutaviacha siku yetu ikifika.tuwe makini na Dunia hii Tutende yaliyo Mema na Haki . tufahamu kesho yetu mbele za Mungu itakuwa siku Ngumu Sana ikitegemea hapa Duniani Umeishije..Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo.Mungu Atusimamie In sha Allah.

  • @shabansumaiya4770

    @shabansumaiya4770

    2 ай бұрын

    Kwamuislam Hilo ndio lakuomba kwamwenye akili hii Dunia ukiifuata sana utaugua presha tuu rizika na rizki unayopata

  • @user-lw3tg3yg5b

    @user-lw3tg3yg5b

    Ай бұрын

    Hakika ndugu yangu bin Adamu hatujui mbele yetu kutakuwaje tunajali tu ya leo Mungu tu atusaidie maana hatujui tunayoyafanya

  • @kennycathles
    @kennycathlesАй бұрын

    Mtumishi wa Mungu... Unapata wapi Pesa zote hizo? Waumini Vyuma vimekaza.

  • @AlfredMakari

    @AlfredMakari

    Ай бұрын

    Haha haha.. Huyu nae ni msimamizi wa mirathi yenu kule mbinguni.. 😂😂

  • @rewardnjau7220

    @rewardnjau7220

    Ай бұрын

    inasemekana alikuwa na pesa kabla ya kuwa askofu

  • @ShabaniOnyango-gm3vz

    @ShabaniOnyango-gm3vz

    Ай бұрын

    Imeandikwa wapi? Mtumishi wa mungu lazima awe maskini ? Acha ushamba mfalme Saudi hakuwa tajiri mfalme sullaiman yusuphu he au wengine mnacoment kujifurahisha jiulize ungelikuw ww ndo hujatendewa haki ungefanyaje

  • @user-jx8ix3yv4k

    @user-jx8ix3yv4k

    Ай бұрын

    Hee huyu si alikua tajiri mda mrefu?c juz tu amekua askofu wa mchongo

  • @mohamedsoud4166
    @mohamedsoud41662 ай бұрын

    Kosa lako utanunuaje kwa msimamizi wa mirathi bila wahusika wa mirathi kuhusishwa baba askofu?

  • @mohamedsoud4166
    @mohamedsoud41662 ай бұрын

    Uliponunua kwa msimamizi uliwaona warithi wote? Hilo ndio kosa baba askofu

  • @williamsenkoro2210

    @williamsenkoro2210

    Ай бұрын

    Utawajuaje

  • @mtimti3912
    @mtimti39122 ай бұрын

    Ungefuata utaratibu wote wa manunuzi usingepata taabu hiyo.Msimamaizi wa mirathi alitakiwa kushirikisha wahusika wote na wewe unaingia katika mtego huo.Na kwa sababau wewe ni Askofu ndiyo maana unaomba msaada kwa Raisi na siyo kwa Mungu unayemtumikia kwa sababau yeye ni mwenye haki amekuacha kwa kushiriki muovu wa msimamizi wa mirathi. Mathayo 7:23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.

  • @piusmnanka8214
    @piusmnanka82142 ай бұрын

    Chagua moja...Fanyakazi ya Mungu achana na biashara.... Au acha kazi ya Mungu ufanye biashara..! Acha tamaa..!

  • @user-vd1vx1dc8p

    @user-vd1vx1dc8p

    2 ай бұрын

    Aise mbona huu mtazamo hasi

  • @LucasSalimLiamaLiama-vq7qh

    @LucasSalimLiamaLiama-vq7qh

    Ай бұрын

    Kwahyo yeye asifanye kazi au biashara

  • @gifatmahundi8750
    @gifatmahundi87502 ай бұрын

    Pole sana baba,kuhusu ardhi sheria bado sana,

  • @asantelaizer6674
    @asantelaizer66742 ай бұрын

    Haki ya mwenye haki haipotei mzee Mungu ni mtetezi wa wote wenye haki, MUNGU yupo utapata haki yako tu

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel71492 ай бұрын

    Pole sana mtumishi, Mungu atakutetea penye ukweli. Lakini Jimy pekee ndiye mzaliwa? Kwasababu kama Marehemu Titus alikua na watoto wengine basi Jimy atakua alichaguliwa msimamizi kwa niaba ya wengine wote,hivyo ingebidi wote wahusishwe katika mikataba vinginevyo wakipinga yatakua haya tunayoyasikia!

  • @mudriqahmed3666
    @mudriqahmed36662 ай бұрын

    Hio ndio shida kununua mali ya urisi mana wakizulimiana wao wanakuja kukufanyia vurugu mnunuzi

  • @user-qj3hk5zt5p
    @user-qj3hk5zt5p2 ай бұрын

    Pole sana baba Mtetezi wako yu hai

  • @yusuphtwaha8386
    @yusuphtwaha83862 ай бұрын

    Msimamizi wa mirathi atauzaje mali ya urithi kua msimamizi haikupi haki ya kua mmiliki sheeeeeee

  • @AlfredMakari

    @AlfredMakari

    Ай бұрын

    Wengi huwa hawalijui hili.. 😂😂😂

  • @exsaverykomba7936

    @exsaverykomba7936

    Ай бұрын

    Umezulumu baba

  • @machakuroger7068

    @machakuroger7068

    Ай бұрын

    Kweli kabisa, msimamizi wa Familia hana Mamlaka ya kuuza mali ya mirathi,

  • @godlovesaitoti3577
    @godlovesaitoti3577Ай бұрын

    Ulizungukwa mzee, lakini pia ulikosea sana kuto badili title, kwenye sheria ni vigumu kumshinda mwenye title, title ndio imekupiga Bishop

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph68252 ай бұрын

    Mzee, hayo yote ni ya duniani, mshike Mungu mali zitakufaa nini kwenye dunia hii tunayoiacha?

  • @obedmasaki3565
    @obedmasaki35652 ай бұрын

    MZEE WANAOKUUMIZA NI WANASHERIA WAKO. MI NAONA NI WANAFIKI KWAKO.

  • @IsmaelRamole
    @IsmaelRamole2 ай бұрын

    We Mzee Wacha uongo....hizo hati unasema unazo mara hujabadilisha jina tunakuelewaje????kiwanja siyo mali ya msimamizi wa mirathi.

  • @laurentjozee8777
    @laurentjozee87772 ай бұрын

    Hapo ukijichanganya Kwa mh silaa unapigwa mapema huwezi kununua Mali kutoka Kwa msimamizi ya mirathi mmoja

  • @fatumahassanduale4701
    @fatumahassanduale47012 ай бұрын

    Huyu Mzee ni mhuni Sana,wewe ulikuwa unanua kwa Jimmy na Jimmy siyo msimamizi,wacha uwongo,unanunua kwenye baa na unajua Jimmy ni mgonjwa (alcoholic)halafu unazungumza uwongo.

  • @user-vb9zr8lj4o
    @user-vb9zr8lj4o2 ай бұрын

    Pole kaka yangu Dunia ipo ivo

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701Ай бұрын

    Wacha sifa we mzee wanakujua sana sana. Nmc ukitaka kuichukua.walikua ushachikia kipande Cha rely ukakufukuza.je nikweli

  • @tinershayo6191
    @tinershayo61912 ай бұрын

    Una makosa makubwa sana (1) msimamizi wa miradhi hana uwezo wa kuuzia kiwanja 2)ulitakiwa kuwaona watiti wote wa marehemu na watoti wote wakubaliane 3)msinamizi wa miradhi hawezi kuweka jina lake mwenyewe bila ndugu zake Babu unamakosa sana ngoja waziri aingilie hapo utaona joto la jiwe kununua vitu ovyoovyo bila kujua sheria pole

  • @magrethmathayo2800

    @magrethmathayo2800

    Ай бұрын

    nakweli pole yake anauziwaje eneo kiholela hivyo

  • @naishiyemollel7478
    @naishiyemollel74782 ай бұрын

    Mungu hadhihakiwi Mr Monaban

  • @edwinmeenda9171
    @edwinmeenda91712 ай бұрын

    Duuh Ardhi Ina changamoto sana

  • @williammollel97
    @williammollel97Ай бұрын

    Pole mungu hufuata haki

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbiseАй бұрын

    Huyu ukimchunguza kwa makini atakua mwana ccm ndo wanapitaga chotkati ili wadhulumu mali nakupindisha haki, ukichunguza kila anaedhulumu muulize chama gani atakwambia ni ccm

  • @mohamedsoud4166
    @mohamedsoud41662 ай бұрын

    Hivyo viwanja sio mali ya msimamizi, baba askofu hukufuata utaratibu,

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s2 ай бұрын

    Baba Askofu Nenda kwa waziri wetu slaani msikivu sana waziri wetu hyo .kila mtu atapata haki yake

  • @petertemu7136

    @petertemu7136

    2 ай бұрын

    Kesi imekuwa Mahakamani karibu miaka 8 High Court huyu Monabhan alishindwa na akaamua kukata RUFAA na RUFAA nayo akapigwa Chini.Sasa hapo Waziri atamsaidia je?

  • @petertemu7136

    @petertemu7136

    2 ай бұрын

    Kesi imekaa MAHAKAMANI MIAKA 8 HIGH COURT NA COURT OF APPEL NA MAHAKAMA ZOTE ZILIMUONA NI MVAMIZI SASA WAZIRI ATAMSAIDIA JE? Huyo Monabhan ni Tapeli na vyote anavyoeleza ni uwongo mtupu.Anasema Jaji Nzuna awaambie familia ya Titus kwamba si mnajua mliuza pale lakini Jaji huyo huyo ameshatoa Hukumu kwamba Monabhan ni MVAMIZI anatakiwa kuondoka ili wasimamizi WA Titus watekeleze Majukumu yao

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter82002 ай бұрын

    Nakuja x ya nne! Kila saa ki2 nachongaa,unashangaa nn sasa,uc2potexee muda na mb xe2.Msimamixi wa mirathi ana uwexo wa kuuxa mali??? Ulifanya ili udhulumu mali.Kijana wa Marehemu ni jembe km Dada yangu,adanganye acdanganye huna jipya baba,Kubali yaisheee,piga kimya.Kimya bara.Cha kushangaxa x3 kila saa, kwanini ucngejunua sehemu nyingine??? Kwani mpaka hapo?? Wacha dhulmati,

  • @MosesFikiriIbrahimu
    @MosesFikiriIbrahimu2 ай бұрын

    Mathayo 5:25-26 [25]Patana na mshitaki wako upesi, wakati uwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asije akakupeleka kwa kadhi, na kadhi akakupeleka kwa askari, ukatupwa gerezani. Agree with thine adversary quickly, whiles thou art in the way with him; lest at any time the adversary deliver thee to the judge, and the judge deliver thee to the officer, and thou be cast into prison. [26]Amin, nakuambia, Hutoki humo kamwe hata uishe kulipa senti ya mwisho. Verily I say unto thee, Thou shalt by no means come out thence, till thou hast paid the uttermost farthing.

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila33342 ай бұрын

    Sasa mahakama imeamua kata rufaa

  • @amiribakari2528
    @amiribakari25282 ай бұрын

    Du mzee anapambana sana..ubunge anakosaga..NMC kakosa...uwekezaji nao wa amafuta nako ndo ivyo..sasa hatujui kama uaskofu nao itakuaaje

  • @mudriqahmed3666
    @mudriqahmed36662 ай бұрын

    Inaonekana pia mtumishi ulifanya ujanja kwenye kununua ili kupata unafuu nandio mana hapo saiv pakufanya uingie kwenye migogoro

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter82002 ай бұрын

    Lakini baba acha nikuambie ukweli,nikikupamba itakuwa sijakusaidia.Huwexi kununua shamba kwa msimamixi wa mirathi,yeye aliteuliwa tu.Una kosa ngoja nikuambie tu ukweli.

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward2 ай бұрын

    Aliwaona wana njaa, ndio maana alinunua bila kujua urithi.

  • @nyandichearts
    @nyandichearts2 ай бұрын

    Eheee hela nyingi sanaa hatuta fika mbinguni kwA dizaini hiii sadaka hizo jasho la kondoo wa MUNGU haliendiii hivi hiviii

  • @sittajonas9618
    @sittajonas96182 ай бұрын

    Mzeee issue hapo nenda kamfungulie mmsimamizi wa mirathi akulipe

  • @naturelle1097
    @naturelle10972 ай бұрын

    Poleni wandugu.

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter82002 ай бұрын

    Nakuja hiii x ya tatu.ununuaji hauko kihivyo,unanunua kwa msimamixi wa mirathi???? Wakati wajua co haki??Baadhi yenu ni matapeli,Mungu alijua unachofanya co haki,akakuacha uumbuke.Nilinunua ka Ardhi kadoogo kwa ajili ya ujenxi wa nyumba yangu na family hapo Arusha,Nilihakikisha watoto wa huyo Babu na mkewe wameridhia,tofauti ya hapo utaingia cha kike.Ulikuwa unajua vxuri unachokifanya,lakini kwa sababu ya kibri cha uxima hukutaka kufuata sheria.Bora ukae kimya ujue hela ilikufa hairudi tena.

  • @smarty1064

    @smarty1064

    2 ай бұрын

    Kasome tena sheria mzee, msimamizi wa mirathi anaruhusiwa kuuza mali hiyo ipo kisheria kbs

  • @user-qg7el6gc5j
    @user-qg7el6gc5j2 ай бұрын

    Baba kwa hili mshirikishe Mungu usiende kwa akili presha ipo

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg2 ай бұрын

    Fungua kesi kudai pesa zako, lakini aliyekuuzia hakuwa na mamlaka

  • @daniellyimo378
    @daniellyimo378Ай бұрын

    Sawa , pole kwa yaliokukuta. Kuna mchezo mchafu nyuma ya pazia kwa vile wanajua ulinunua kwa msimamizi bila kushirikisha waliotajwa kwenye mirathi.

  • @sistymbombo1616
    @sistymbombo1616Ай бұрын

    Askofuuuu weeeeee acha hiyo kamtumikiee mungu wachaaaaaaaàa unyanganyi

  • @kamuleopord8300
    @kamuleopord83002 ай бұрын

    Umepigwa mzee

  • @ashaIsmail-hi5fz
    @ashaIsmail-hi5fzАй бұрын

    Mali za urithi hazinunuliwi hivo kubali kupiteza

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121Ай бұрын

    Apana kuna jumbo fulani apana labda. Umetumia cheo chako vibaya

  • @194summer
    @194summer2 ай бұрын

    Baba wewe ni mtumishi wa Mungu ila uliteleza kidogo,,,kabla ya kuwekeza ungebadilisha kwanza jina

  • @wilfredyhumphrey918
    @wilfredyhumphrey9182 ай бұрын

    Kuna wakati tumogope MUNGU yule hakua na haki maana yeye alikua msimamazi wa mirathi tu hakua na haki naeneo lilikua la marehemu haroni

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey98322 ай бұрын

    Hizi pesa zote hawa wanazipata wapi mbona mimi napambana Sana naishia kupata pesa ya kula kwa manati😢

  • @dativajoachimwai1194

    @dativajoachimwai1194

    Ай бұрын

    kuna wanaozaliwa wanakuta njia ilisha fagiliwa,wao ni kipita tu. sasa wewe ndo unafagia na kukata misitu ili njia ipatikane ambayo watakao pita humo ni watoto wako

  • @kakarasmuuzages7490
    @kakarasmuuzages7490Ай бұрын

    Epuka matapeli

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul38622 ай бұрын

    Mbona historia ya mzee hutu ktk kununua vitu huwa ni magumashi ebu fuatilieni kuhusu monobani pia aliwahi kusema alijiunga ccm kwa ajili ya kutaka nafasi ya kulinda mali zake zenye utata na bado akakosa ubunge, akajenga kanisa kimagumashi ili wenye haki waogope kanisa, kama kanisa lilikuwa la kkkm kwa kanisa lisingeshitaki

  • @fredrickbaryagati2194
    @fredrickbaryagati2194Ай бұрын

    Pore sana

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh2 ай бұрын

    Ni mchungaji wa kwanza Namuona hapa Tz hana akili hata kidogo ukisikiliza hata projija tu ya unuaji unajua kama hakufata sheria za manunuzi ya mali za warithi

  • @eliasmedutieki7578
    @eliasmedutieki75782 ай бұрын

    Kama kweli hii imefanyika itakua ni uvunjifu wa haki ya mtu na ni dhuluma kubwa sana kwa mali ya mtu na kama hii famia ilikua inajua kua ndg yao kauza hilo eneo wanajitakia laana itakayowatafuna mpaka vizazi vyao

  • @tengeru

    @tengeru

    2 ай бұрын

    Hamna kitu huyu mzee n janja janja

  • @fathermore9772
    @fathermore97722 ай бұрын

    Tangulini msimamizi wa mirathi akawa na mamlaka yakuuza Mali...mrithi au warithi halali ndio wenye mamlaka yakuuza Mali tena kwa sauti moja wote...

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541Ай бұрын

    Mahakamani sasaiv mahakimu wake wengi wanatoa haki kwa salio

  • @evakessy3282
    @evakessy32822 ай бұрын

    Baba rudi mbele za MUNGU kwatoba huenda hii aibu na fedhea kuna mahali ulidondoka hivyo MUNGU akaamua kukuweka wazi sasa angalia washarika hawaendi kanisani

  • @user-ou1ls6oj2f
    @user-ou1ls6oj2fАй бұрын

    Huyu askofu ndiye aliyegombea ubunge wa jimbo la Arusha? Mungu akusaidie upate Mahala pengine pazuri hakuna namna mahakama imefanyakazi yake

  • @yonasimion3130
    @yonasimion31302 ай бұрын

    Dunia mti mkavu kiumbe usiegemee

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3uАй бұрын

    Hapokama nimahakama wajitafakari kama haomajaji wanafuata sheria. Zahukumu au niwanyang'anyi wa maliza wanamvhi kiss sheria hizofefha ninyingi.

  • @richardrugemalira6934
    @richardrugemalira69342 ай бұрын

    Mzee hio kanisa lako ni la KKKT? Hiyo ni laana kutoka kwa Mungu kutokana na uasi wako dhidi ya kushindana na Mungu. Haiwezekani unyanganywe kila kitu hivi hivi ndugu yangu. Wewe unajua ulichokufanya. Ulinunya ardhi ya mfiwa wakati ukifahamu anao watoto. Huo ndio mshahara wa roho ya uasi.

  • @elibarikkiakyoo

    @elibarikkiakyoo

    Ай бұрын

    Mbona siwa elewi baadhi ya watu hapo Tanzanian mnatia ahibu mpaka kero, kwann baba yako akatangulia ,na mkakubaliana kuuza tusinunue ,sema meshakula pesa kwa Miaka 9 Sasa imekwisha mwaleta utapeli,Tena shukurun Ni pastor angekua fogo Ange wakula vichwa moja hd ingine na Wewe mtoto Mali ya baba haikuhusu tafuta yako

  • @paulhhari8861

    @paulhhari8861

    Ай бұрын

    Siyo KKKT, ni KKAM yaani kanisa la kilutheri la afrika mashariki

  • @Hamy1109
    @Hamy11092 ай бұрын

    Unakimbilia kwa Rais baada ya kushindwa kesi Mahakamani 😂😂😂 Mzee acha kupotezea watu muda. Endelea kupambania haki yako huko huko Mahakamani.

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila33342 ай бұрын

    Itakua labda ni pigo kuondoka KKT ASKOF sijui lakini

  • @emmanuelelisha173
    @emmanuelelisha173Ай бұрын

    Pesa za sadaka hizo mungu amekupiga pigo

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward2 ай бұрын

    Wawekezaji wana haki na Raia wenyenjaa wana haki vile vile

  • @ramlamohamed4401
    @ramlamohamed4401Ай бұрын

    Monabani wewe ni mwizi tunakujua vizuri

  • @Veni584
    @Veni5842 ай бұрын

    Miaka 9 yote walikuwa wapi?

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward2 ай бұрын

    Njaa tena?

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting71802 ай бұрын

    Kwanza unafanya biashara gani mpaka ukapata hela zote hizo.? Kama ni za waumini basi mungu kachukua pesa zake. Pole

  • @Werema3760

    @Werema3760

    2 ай бұрын

    Fikra za kimaskin

  • @AlfredMakari
    @AlfredMakariАй бұрын

    Mali za urithi zina shida sana.. Unapozihitaji kununua, hakikisha warithi wote wameridhia. Kumbuka msimamizi wa mirathi sio mrithi, hawa huwa wanapewa majukumu ya kuhakikisha mali zinagawiwa kwa warithi kama inavyotakiwa. Hilo ndio jukumi lao na sio kujimilikisha mali za marehemu. Kuwa makini na wasimamizi wa mirathi maana hawachelewi kutapeli!

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh2 ай бұрын

    Mzee umefeli sana Unanunuaje eneo bila ya kuwaona warithi wote

  • @piusmaduka

    @piusmaduka

    2 ай бұрын

    ww kwani hujasikia mmiliki wa mirathi?

  • @petermangama330

    @petermangama330

    Ай бұрын

    Halafu hao warithi inanekana kuna mnene yupo nyuma yao ndo anayekkmalia hilo na madalali lazima wanahusika na wamepata mpunga mrefu

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi2 ай бұрын

    Ulifanya kosa kununua bila kujua kwanza mustakaba wa mirathi,pia sahihi za warithi wote ziwepo😂

  • @allymdoka8634
    @allymdoka86342 ай бұрын

    Mali ni yamarehemu aiuzwi namsimamizi wa mirathi inauzwa na warithi Mzee umesoma shulee kweli wewe

  • @ramlamohamed4401
    @ramlamohamed4401Ай бұрын

    Tunalijua ni kanisa la Mchongo

  • @esterbarton3029
    @esterbarton30292 ай бұрын

    Ndo maana wa tz hatuaminiani daima

  • @musantimizi9526
    @musantimizi95262 ай бұрын

    Miaka 9 hujabasili umiliki wa kiwanja ulikuwa unasubilini nini? Ardhi haiuzwi na msimamizi wa mirathi, ardhi huuzwa na familia na wote walitakiwa kuwa mashahidi wakati wa uuzwaji huo kwa maana watakuwa wameridhia hy biashara. Na mwisho marehemu Jimmy aliuza vitu vingi sana bila kuwashirikisha ndugu zake kwa manufaa yake alijinadi kila kitu ni chake Mchungaji kwa kifupi hukufuata utaratibu katika manunuzi ya ardhi hy endelea kufanya maombi mungu atakusaidia Pia ulitakiwa kumdai marehemu pesa yako au msimamizi wa mirathi aliyepo kwa sasa lakin je huo utaratibu wa manunuzi ulifuatwa? CHUKUA HIYO ITAFAKARI

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626Ай бұрын

    Acha dhuluma mzee

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary85912 ай бұрын

    Ulipo numua ulikuwa huna mshaury wakisheria kwanini uanze leo kisheria umeingia mkenge Mr Monaban

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe8142 ай бұрын

    Kwanini mnajikomba komba kwa viongozi ?

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685Ай бұрын

    Babu ushashindwa hapo tupu sababu uwezi nunua eneo la familia lazima wote wawepo na saini zao ziwepo lamsingi umefanyamakosa sasa wakusanye viongozi wa kijiji na wazee wa kimila na viongozi wa serikali wawaite familia wakaenao chini muongee kifamilia ununue tena hilo heneo bsi ila najuwa nyieee watu wa arusha unapenda sana kesi

  • @user-sf4ze8kb7z
    @user-sf4ze8kb7z2 ай бұрын

    Askofu pole sana, kwa maelezo hayo umeonewa na mtazamo wangu kunawatu wenye wajibu wamefaidika na mchakato huo. Razima tuwapigie kelele

  • @Expedito2512

    @Expedito2512

    2 ай бұрын

    Huwa hatununui kwa msimamizi wa mirathi bwana

  • @fredrickmariki

    @fredrickmariki

    2 ай бұрын

    Warithi walikuwa walk muda wote! Washakula Hela hao​@@Expedito2512

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe30702 ай бұрын

    Wewe umemdhurumu ndugu Yako... Acha dhuluma mtumishi.. Kumbuka pia huyo unayeshitakiana naye ni ndugu Yako wa damu... Wewe ni askofu?? Mbona unaleta utapeli???? Wewe ondoka tu kwenye ardhi hiyo. Nyinyi wenye pesa ndiyo mnaongoza kupora haki za watu wantonge

  • @user-sf4ze8kb7z

    @user-sf4ze8kb7z

    2 ай бұрын

    Kuwa na pesa sio dhambi ndugu, tafuta pesa upunguze hasira

  • @jolitabukabengwe3070

    @jolitabukabengwe3070

    2 ай бұрын

    Pesa za kuzulumu???​@@user-sf4ze8kb7z

  • @jolitabukabengwe3070

    @jolitabukabengwe3070

    2 ай бұрын

    ​@@user-sf4ze8kb7zmsimamizi wa milasi aliuza?? Aliyemuuzia siyo mwenye mali. Alipewa kuwasimamia wenye mali.. Huyu akajipa mamlaka ya kujimilikisha mali ya watu wengine.. aliuza kwa ubatili

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles22442 ай бұрын

    Kwa ufahamu wangu mdogo kosa liko hivi ulitakiwa katika mkataba wa mauziano iwepo orodha ya warithi wote na kuweka sahihi zao kwamba wamerithia mali hiyo kuuzwa kwani kisheria wasiporidhia wote hupaswi kununua Sasa ktk malipo ya kufidia hayo maendelezo uliyofanya ni ngumu kwa sababu kisheria ww unaitwa mvamizi. Kwa msaada zaidi ni kwamba mkamate aliyekuuzia bila marithiano ya Familia akurejeshee fedha na gharama zako halafu kingine huyo mwana Sheria wako mbona anajua sheria? Mwambie akuelekeze vzr asikulie fedha zako tu awe wazi

  • @erickdanielkasindi564

    @erickdanielkasindi564

    Ай бұрын

    Tena wasaini wote na picha zao aache uswahili,.

  • @mbolikop6419
    @mbolikop64192 ай бұрын

    Tunapambania Mali nyingi sana, na hazifai kitukwa maishamafupiya Mwanadamu. Mshike Mungu.

  • @emiltonmartin4399
    @emiltonmartin43992 ай бұрын

    duuh mtumishi wa Mungu pole sana

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwokoАй бұрын

    Kwa nini ukubalisha Jina uzembe

  • @hatibumachaku3381
    @hatibumachaku33812 ай бұрын

    ujiridhishe uhalali wa muuzaji endapo ni msimamizi halali na anacho kibali cha kisheria kufanya mauzo au kuingia makubaliano ambayo mnataka kuingia, kinyume na hapo ni hasara mbele endapo sheria itachukua mkondo wake.

  • @billyt8wtm
    @billyt8wtm2 ай бұрын

    Huyu mtu hajitambui kabisa, kwa hiyo kauli ya Judge inatofautiana na maandishi yake au alichokiandika ????!!!!!! Yaani atambue mauzo kwa maneno halafu akatae kwa maandishi ????!!!!!!!

  • @simonbaraka3683
    @simonbaraka36832 ай бұрын

    Mwizi.mali ni ya Titus baba mdogo wangu

  • @Expedito2512
    @Expedito25122 ай бұрын

    Askofu mfanyabiashara!!!

  • @bushbabytz
    @bushbabytz2 ай бұрын

    huyu anatafuta public sympathy umeshafilisika filisika tu ndo maisha

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe8142 ай бұрын

    Unanunuaje eneo kwa msimamizi wa mirasi ?. Unajua kabisa huyu ni msimamizi alafu unanunua ?

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter82002 ай бұрын

    Uliinunua kibabe wakati unajua warithi wote hawakuweka signator

  • @wilfredyhumphrey918
    @wilfredyhumphrey9182 ай бұрын

    Mzee wangu msimamizi wa mirathi ana haki yakuza mali

  • @yukundapeter8200

    @yukundapeter8200

    2 ай бұрын

    Mbona ckuelewi?? Msimamixi wa mirathi ana haki ya muuxa mali? Soma upya

  • @giftmusa6543
    @giftmusa65432 ай бұрын

    Mie nazan ilibidi umkamate mwanasheria wako kwanza

  • @Hamy1109
    @Hamy11092 ай бұрын

    Kwa faida ya wote hapa, msimamizi wa mirathi HANA haki ya kuuza mali ya marehemu. Mali zote za mirathi zinauzwa kwa warithi wote kuridhia mali husika kuuzwa. Vinginevyo ni utapeli tu.

  • @massawejacob
    @massawejacobАй бұрын

    Kamuone MH Makonda

  • @simonbaraka3683
    @simonbaraka36832 ай бұрын

    Wewe ni mwizi iyo shamba ni ya baba mdogo wangu Titus alipo kufa mkavamia

  • @ashaIsmail-hi5fz
    @ashaIsmail-hi5fzАй бұрын

    Kubali kupoteza

  • @user-uu3js3xv8r
    @user-uu3js3xv8r2 ай бұрын

    Sio kuwa mtanzania ajute kuwa tapeli

Келесі