Haha 😂huyo chali Ana Rastar katupiga Eti m30-48m 😂😂ametupiga
@user-dj4ci4bd6tКүн бұрын
Tutamkumbuka mpina wakati tumeshaumia ,shetani yuko kazini watetezi wanafukuzwa bungeni na wenye maono na kutupeleka mbele taifa hawapo ktika ngazi za juu wametolewa ila wasio haki wamebaki mungu tusaidie
@user-xk7vy4gb6gКүн бұрын
Arusha 🙌🙌🙌🙌. Raia wa Iringa wanaogopa hadi leo watu wanakunywa maji ya kuchota kutumia bakuli
@emeldamodest70392 күн бұрын
Poleni jamani
@user-bc5kt8hh6n3 күн бұрын
Hamna pikpik ya mil 40 hapo
@Abuu_Ars6 сағат бұрын
Hio ni bei ya mpyaa 25m to 40m
@OfficialJob1343 күн бұрын
Piston
@samiramawby12573 күн бұрын
Serikali inayotawaliwa na wanachi,,😀😀😀Imagine Mwanza maaskari wanafundishwa na wananchi wavunjaji wa Mali nini wafanye hahahaaa Sasa Kati ya serikali na Mwananchi au Raia muovu NANI MSOMI na Nani BOYA?hehehee makopo yamekaa maofisini yanapakwa na kujazwa mafuta kwa hovyooo
@frankkimaro13545 күн бұрын
Nakukubali sana
@user-et4ny5gj3p6 күн бұрын
Hata mimi nilivo ona nilishtuka sana jamani.Pole Mdogo wangu
@RashidKhalifah6 күн бұрын
N kosa kubwa kwa mwandish kuandika jamaa, ungeandika jina lake la ushiriki ingepenza zaid
@MaulidiMsingwa6 күн бұрын
mungu akubariki sana Paul makonda,viongozi wengine waige mfano kama wa mh makonda.
@charlesseba20006 күн бұрын
Ubarikiwe Sana, mwenye masikio na asikie
@GibsonNtamamilo7 күн бұрын
Du! M35 kweli mnyama Toyo ikakojoe ilale😂😂😂
@StevinGodfrey7 күн бұрын
nikweree mamen
@user-kl2jc9hu4x7 күн бұрын
Nakukubali mkuu wangu
@bennyjoram90307 күн бұрын
Mdogo wake wa aliyefufuka
@Amina124-gm9nx8 күн бұрын
Huy anaonekana mkali anaongea kaa chiliku kama sio mfiwa
@HamisMghuna-fj3vz8 күн бұрын
Police nn Tatizo n mzazi
@HamisMghuna-fj3vz8 күн бұрын
Watoto kuogopa kuchapwa madhara yk ndoo hayo chanzo n mzazi,kwnn waogope,
@silassaitoti76899 күн бұрын
Ukikamatq choma
@MozarySeyouMozarySeyou11 күн бұрын
Arusha inaongoza matukio atr
@noot-oe2mw11 күн бұрын
Inalilah wainalilah rajuuni
@HanifaOman-oo4pl11 күн бұрын
Subuhanallah. Inalillahi wainailahi rajuun
@KishiwaKulwa12 күн бұрын
Syo yyr
@lidyakisoka-is4ru12 күн бұрын
Mnataka muone uso ili
@user-ji7gt4oh8u13 күн бұрын
Hana ishuuu
@wariaelchutta48113 күн бұрын
Hakuna hospital hapo ni jengo tu garama kubwa wizi mtupu
@abdallahmmary859113 күн бұрын
Huko arusha naona chaarusha kinawapeleka bado mnaendelea kuzika watu pasina kuwa makini bado kuna huyo mwingine alisema amefufuka
@itiamekimbui72213 күн бұрын
listen read Isaiah 42. watu hawa ni watu walioibiwa na hakuna anayesema Rundisha hii ndio danabu yesu Alikuja kuweka wafungwa huru bt wachungaji wengi pia hawaelewi wanasoma bibilia kama tamdhilia hii mbinu ndio jeuri ya wachawi6
@aliceSamson-de6br14 күн бұрын
Bora hata nyie sisi miez huu n wa kumi
@GetuSwai14 күн бұрын
Alizikwa nani humo wafukue
@BakariMohamed-yb8eb15 күн бұрын
Dah Mkurugenzi ameniangusha sana kwa kweli
@allymohamed272415 күн бұрын
WAMEKUWA WA KULEEEEÈ, WATU WAFE ILI. UJINGA HUU UTAISHA LINI
@kilogreekachananawatuwasio405415 күн бұрын
CHUMBUENI KABULI YELE BABA YAKE MDOGO MCHAWI ANATAKA KUMZULUMU SHAMBA 😂
@siliviamushi411915 күн бұрын
Mshukru Mungu aisee maana duuh
@AshaMwamba15 күн бұрын
Tuna tunawatafuta hatuwapatii jamanio
@AshaMwamba15 күн бұрын
Ata ivyo umshukukuru mungu
@user-db1uy6hv9q16 күн бұрын
Nyie ni wakali sana mpaka watoto wanakimbilia kabisa i
@Yassinseleman16 күн бұрын
Hebu tuiombe serikali itoe kibali cha kufukua kabuli ijulikane msije kuzika mtu mwingine
@user-ky5wu4gc9g16 күн бұрын
Polen sana wafiwa najua kama mzazi utakua uliwafokea kama kumuonya huyo mkubwa kwamba hasirudi bila yakua na mdogo wake ndio maana aliamua kwenda kulala kanisan ila watoto wetu wasasa hivi hawapendi kuonywa mungu tu atusaidie kulea
@user-ky5wu4gc9g16 күн бұрын
Arusha punguzen unywaji wa pombe kupita kiasi ebu angalia alivyozeeka kuliko mama yake mimi nilijua ni mumewe kumbe mtoto wake aisee nimechoka!!
@israelkisaila840116 күн бұрын
Shetani ni RAISI ZAIDI KUWAVAA WATU WA ARUSHA, KWA SABABU YA MATENDO YAO YA GIZANI.😢
@jkomedikaduli16 күн бұрын
Hao ndio wanawake wanaotaka haki sawa😂😂😂
@josephgishinda550116 күн бұрын
Imagine hii nchi ilivyo na uonevu hadi taasisi za dini Zinaufisadi na ukandamizaji..Ubabe usiokuw na mana hata huyo dada hawezi onyesha sura yake kulinda kazi yake...Taasisi ya dini kuwa hivi ni aibu na hii inaprove jinsi gani makanisa yamekuw magenge ya uwizi
@husnarams369816 күн бұрын
Inalilah waina ilaih rajghun jaman Jaman Mbona unyama sana lakin angewapeleka hata ktk nyumba za ibada kuliko kuwauaw 😢😢😢😢
@zuwenasalim279416 күн бұрын
Eee Mungu naomba unipe mapacha kama hao,kwann jmn asingeenda hata kanisani akawaacha pale mlangoni
@magrethmathayo280016 күн бұрын
yani vitu vya ruserani bana shule yao yenyewe ya kimandolu ruserani ni tabu tupu acha niishie hapo ila watoto wanahama pale na mwaka huu nilitaka kupeleka mtoto watu wananiambia hio sio shule haina walimu sasa nashindwa kuelewa inamana viongozi hawawezi kutafuta walimu bado hospital ni changamoto mnaacha kulipa watumishi miezi 6 sasa wao wataishije jamani
@gracewilliam410216 күн бұрын
Yani mi mwenyewe natafuta watoto sipati hata mume sipati
Пікірлер
Haha 😂huyo chali Ana Rastar katupiga Eti m30-48m 😂😂ametupiga
Tutamkumbuka mpina wakati tumeshaumia ,shetani yuko kazini watetezi wanafukuzwa bungeni na wenye maono na kutupeleka mbele taifa hawapo ktika ngazi za juu wametolewa ila wasio haki wamebaki mungu tusaidie
Arusha 🙌🙌🙌🙌. Raia wa Iringa wanaogopa hadi leo watu wanakunywa maji ya kuchota kutumia bakuli
Poleni jamani
Hamna pikpik ya mil 40 hapo
Hio ni bei ya mpyaa 25m to 40m
Piston
Serikali inayotawaliwa na wanachi,,😀😀😀Imagine Mwanza maaskari wanafundishwa na wananchi wavunjaji wa Mali nini wafanye hahahaaa Sasa Kati ya serikali na Mwananchi au Raia muovu NANI MSOMI na Nani BOYA?hehehee makopo yamekaa maofisini yanapakwa na kujazwa mafuta kwa hovyooo
Nakukubali sana
Hata mimi nilivo ona nilishtuka sana jamani.Pole Mdogo wangu
N kosa kubwa kwa mwandish kuandika jamaa, ungeandika jina lake la ushiriki ingepenza zaid
mungu akubariki sana Paul makonda,viongozi wengine waige mfano kama wa mh makonda.
Ubarikiwe Sana, mwenye masikio na asikie
Du! M35 kweli mnyama Toyo ikakojoe ilale😂😂😂
nikweree mamen
Nakukubali mkuu wangu
Mdogo wake wa aliyefufuka
Huy anaonekana mkali anaongea kaa chiliku kama sio mfiwa
Police nn Tatizo n mzazi
Watoto kuogopa kuchapwa madhara yk ndoo hayo chanzo n mzazi,kwnn waogope,
Ukikamatq choma
Arusha inaongoza matukio atr
Inalilah wainalilah rajuuni
Subuhanallah. Inalillahi wainailahi rajuun
Syo yyr
Mnataka muone uso ili
Hana ishuuu
Hakuna hospital hapo ni jengo tu garama kubwa wizi mtupu
Huko arusha naona chaarusha kinawapeleka bado mnaendelea kuzika watu pasina kuwa makini bado kuna huyo mwingine alisema amefufuka
listen read Isaiah 42. watu hawa ni watu walioibiwa na hakuna anayesema Rundisha hii ndio danabu yesu Alikuja kuweka wafungwa huru bt wachungaji wengi pia hawaelewi wanasoma bibilia kama tamdhilia hii mbinu ndio jeuri ya wachawi6
Bora hata nyie sisi miez huu n wa kumi
Alizikwa nani humo wafukue
Dah Mkurugenzi ameniangusha sana kwa kweli
WAMEKUWA WA KULEEEEÈ, WATU WAFE ILI. UJINGA HUU UTAISHA LINI
CHUMBUENI KABULI YELE BABA YAKE MDOGO MCHAWI ANATAKA KUMZULUMU SHAMBA 😂
Mshukru Mungu aisee maana duuh
Tuna tunawatafuta hatuwapatii jamanio
Ata ivyo umshukukuru mungu
Nyie ni wakali sana mpaka watoto wanakimbilia kabisa i
Hebu tuiombe serikali itoe kibali cha kufukua kabuli ijulikane msije kuzika mtu mwingine
Polen sana wafiwa najua kama mzazi utakua uliwafokea kama kumuonya huyo mkubwa kwamba hasirudi bila yakua na mdogo wake ndio maana aliamua kwenda kulala kanisan ila watoto wetu wasasa hivi hawapendi kuonywa mungu tu atusaidie kulea
Arusha punguzen unywaji wa pombe kupita kiasi ebu angalia alivyozeeka kuliko mama yake mimi nilijua ni mumewe kumbe mtoto wake aisee nimechoka!!
Shetani ni RAISI ZAIDI KUWAVAA WATU WA ARUSHA, KWA SABABU YA MATENDO YAO YA GIZANI.😢
Hao ndio wanawake wanaotaka haki sawa😂😂😂
Imagine hii nchi ilivyo na uonevu hadi taasisi za dini Zinaufisadi na ukandamizaji..Ubabe usiokuw na mana hata huyo dada hawezi onyesha sura yake kulinda kazi yake...Taasisi ya dini kuwa hivi ni aibu na hii inaprove jinsi gani makanisa yamekuw magenge ya uwizi
Inalilah waina ilaih rajghun jaman Jaman Mbona unyama sana lakin angewapeleka hata ktk nyumba za ibada kuliko kuwauaw 😢😢😢😢
Eee Mungu naomba unipe mapacha kama hao,kwann jmn asingeenda hata kanisani akawaacha pale mlangoni
yani vitu vya ruserani bana shule yao yenyewe ya kimandolu ruserani ni tabu tupu acha niishie hapo ila watoto wanahama pale na mwaka huu nilitaka kupeleka mtoto watu wananiambia hio sio shule haina walimu sasa nashindwa kuelewa inamana viongozi hawawezi kutafuta walimu bado hospital ni changamoto mnaacha kulipa watumishi miezi 6 sasa wao wataishije jamani
Yani mi mwenyewe natafuta watoto sipati hata mume sipati
InajengwA kwa sadaka ila garama zao ni kubwa
Upumbavu wa hari juu