MTANZANIA ALIYEPEWA KESI na BOSI WAKE OMANI - AJIKUTA KWENYE MIKONO HATARI ya 'AGENT' WANAOSAKWA...
MTANZANIA ALIYEPEWA KESI na BOSI WAKE OMANI - AJIKUTA KWENYE MIKONO HATARI ya 'AGENT' WANAOSAKWA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 524
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@SANJA0693
2 ай бұрын
mtafteni na agent hawa waongo sana madem 😂😂
@israelkisaila8401
2 ай бұрын
Global tafadhali muwe mnatuletea watu wenye shida na uhitaji kweli na si huyu dada, tafadhali muwe mnachuja watu KABLA hamjawaleta hewani.
@HanifaOman-oo4pl
2 ай бұрын
Kwahayo aloelezea ni kweri mm nilikuwepo ila muendelexo ndiyo nausubili na mm nipohuku huku na pambana Ajenti wetu mmoja @@SANJA0693
@usher_bambi9413
2 ай бұрын
Haswa huyo mdada jaman hapan Oman hakun asomfham kwa ukorof na kuwachamba watu😂😂😂😂😂😂
@HanifaOman-oo4pl
2 ай бұрын
@@SANJA0693 kwaaliongeahapo kuhusu Ajenti nikweri mm nilikuanae pale ajentiwetu mmoja ilatu. Nasikiaaliolewa huku na babu kwakujitzmba sijuikimemkuta nini kurudi tz. Naalikua anauza mikirim huku
Kinachoshangaza mkija Omani mnateswa sasa mnakuja kufata nini haaaa bakieni makwenu msichafue miji ya watu
@user-gm4qi3nn9n
2 ай бұрын
Yaani kwakweli hata aibu hatuja
@HanifaOman-oo4pl
2 ай бұрын
Sikilizenikwanza mjue anaitajinini msimlaumutu. Kwani. Wabaya si wote na waxuri siwote Dunianzima.
@rayahamisi118
2 ай бұрын
😊😊😊😊😊 ata mtume kasema today ukatafute ww kama mwarabu usingejuwa kiswahili imeisha iyo
@rayahamisi118
2 ай бұрын
Wabaya kote wapo kuna wabaya na wazuri ninamiaka uku lakini kwa mwarabu mswahili sitaki
@MamaMama-xp4nk
2 ай бұрын
@@HanifaOman-oo4plyanajiropokea tu
Cha ajabu anatamba anasema anataka kwend had kwa dida kuanika ubaya wa ubarozin eti watz walokuw Oman anaend kutusemea tunayopitia huku...TUMEKUTUMA????😂😂😂😂 mnaotoroka kwa maboss zenu ndio mnaotesekq sabb ya kwend kukaa magheto na kufny umalaya mbon tunaotulia kweny mikataba hatuna hizo mambo😂😂😂😂shame on you😂😂😂😂😂😂
@dorcaskidoti249
2 ай бұрын
Una hasira na huyu kwani alikubebea mume uko au 😂😂😂😂? Acha kila mtu ajisemeee nafsi yake, kwani akijigamba ww kinakukeraa nn kwa mfano? Naww nenda kwa Didah ukatoa ushuhuda wa uzuri wa warabuuuu mpenz tuache chuki za ovyooo apo unajikuta mzawaaaa wa Oman
@user-dx6dm6lh1i
2 ай бұрын
@@dorcaskidoti249Kwanza ungelinyamaza tu maaan hyo unaesema hpa ana ndoa na muarabu. Aseme ukweli wke lakn si apange uwongo
@morjanoman5181
2 ай бұрын
Pumbavuzake ana lolote mnafikitu amemaliza mkataba kwa jashola Meno eti nikitakakuogeza mkataba ukiona mwazo mambosio manzuri ludi kwenu sio kukimbilia ubarozi wakupe nini au mimba 😂😂😂 ukatabikenayo
@user-dx6dm6lh1i
2 ай бұрын
@@morjanoman5181 angalia part,3
@morjanoman5181
2 ай бұрын
@@user-dx6dm6lh1i poa
Ukimsikiliza tu unajua shida ipo wapi, naona hata reporter amekuwa confused. Story haina mwanzo wala mwisho
@ziadasalimu1730
2 ай бұрын
Huyu dada ukimsikiliza ni pumba tu na ni mswahili mno
malaya tena fisadi mkubwa huyu kama alikuja kufanya umalaya hayo yaliomkuta ni madaogo mnafiki mkubwa domo lomekishuka kwa unafik na limi limekupolomoka kwa uongo mbwa wewe acha kuongelea mambo yasiokuepo unatafuta kk vua chupi utembee uchi utakua maarufu nyoozako uso umekupaukaaa kwa uwongo
Pole Sana dadangu hata mm Niko uwarabuni NI kweli anacho sima sister AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Dada Mkubwa umebarikiwa, umeshafika home Allahamdulilah
Nchi za watu ukienda hakikisha unafata kilichokupeleka, ikitokea mmepishana tu na kilichokupeleka, mateso ndo huanza, hivyo tamaa wakati mwengine si ya kufuata Na wengi wanatoka kwenye maboss walio na mikataba nao kwa kufuata au kusikiliza maneno ya walioko nje kuwa huku kunamshahara mkubwa
Huyo ana matatizo mengi sana na muongo.
wee sematu upwiruuu ulikuzidi acha kutuharibia wenzako 🤐
Poroja sis tunapig kaz tunainhiz kila mwez😂😂😂
Mwandishi nitafute dm nikupe habari njema huyu dada mnafiki
@RahimaShaik-hk7rb
2 ай бұрын
🤣🤣
@SaidiCharahani
Ай бұрын
Dada yangu@zainabumartin9520 Comment zako zote, anaekuja kufanyiwa maojiano razima umtukane au umtoe makosa nakujifanya unamjua, sio vizur iki kipindi sio chakiuni uni, kira anaekuja Global tv, razima afanyiwe uchunguzi
Kaka sisi wenyewe .wafanyakazi ndio wakorofi..wewe umekuja kufanya kazi za ndani ..unafika huku unaharibu ndoa za watu .yani mijitu kama hiii wapo wengi oman ..yakiwakuta .wanasema .ohoo.bosi kanipiga.bosi kanimwagia maji ya moto..uwongo tu .muache umalaya wenu .huko huko tz
Dah pole sana zanin
Kama kweli hamna kheri hata kidogo mpaka mchanga wa kaburi. Omani mmefungiwa viza kwa mambo yenu ya uongo na kutukana wenzenu. Balozi pia wamemichoka wanaofanya kazi Vizuri wamejenga kwao sio nyinyi wambea mnayosema uongo. Bibi usidanganyike wenzako kivipi upate ajeti mpya bila kupelekwa police. Nakama kweli ulipata tabu vipi unataka kurudi. Viza brock
Wew sindoulokuwa ukijishauwa ulipochukuliwa mzig ukajirikod inahashukw ww usituharibie jiongelee pek yak sis tupo tunasak rial ww tafut umaaruf 😂
Pole mama Allah akuhifadhi.
Wamama wazima miziwa mpaka kitovuni hukute niwake zawatu hafu wamelewa kaka hawa musiwahoji nimalaya hua wanajua omn ukifika kulalatu kumbe nikufanya kazi
Huyu inatakiwa kupelekwa police akahojiwe vzuri tumewachoka watu kama hawa tena kwasasa anae sema omn wanateswa kuna kamati tunaiunda sisi viongozi waaze kukamatwa ukishindwa wewe wezio wanaweza
Huyu bibi jisura lake tu linaosha la uongo na la kichawi unazuwa tu kwani alikwita aende kule nani mjinga tu
Hamna fadhila wala shukran kazi zenu hizo kuchafua nchi za watu
@ashuraramadhani1943
2 ай бұрын
Sasa wanawafadhili nini wkt mnanyanyasika
Kama na wew umesikia anasiku 3 tu toka atoke Omwan gonga like apa tuendelee na kipnd 😂😂😂
Oman hamuna mateso huyo anataka 2 sifa mitandaoni iliajulikane mushenzi sana nakomwe lake kama la mangekimambi
Mjengoni ndo ulikuwa ukijiuza Mungu akushinde Kwa kusema uongo mtupu
Wewe Dada Acha uwongo utafanya tufungiwe Kwenda Omani tunalisha family Natunajenga Kama ulikutana Namshashi Mbaya niwewe Ebu Tuache Tufanye Kaz Mashaara Milioni Kwa Mwenyewe Tz Tutaipata wapi Kidhaba Mkubwa wewe
Pole zanini far kumbe umesharud bongo pole sana
Mimi ni mtanzania ila watu wako tofaut hivyo asizungumzie wingi awake umoja katika historia yake
@user-pk8bp7th9e
2 ай бұрын
Sadakta
Huyo muongo namjuwa vizuri sana na Ana haribu ndowa za watu na mchawi mkubwa
@Shuu.A
2 ай бұрын
Kwanza upemba si kabila pumbavu huyu
@user-df6ui9ro8s
2 ай бұрын
Kwel kabisa me nimeon sehem hap kwenye vissa 😂😂😂 me sio mgen hap ndo nimeona muong na unga wake aliojimwqgia uso kma tope😂😂😂
Aweeeeeh mzaramo wangu pole mpambanaji mwenzetu tupo Pamoja!
Pole tupo pamoja zanini ❤❤❤
Pole sana udugu wangu
Kwenye maisha kunachangamoto, wewe nimwanamke mpambanaji, usikate tamaa kwamaneno yawatu , mungu ndio kirakitu, mungu atafanya wepesi utarudi kwa mumeo
Mzunguko mrefuuuuu point no😮 sijaelewa chochote yaan....
@faumarley5707
2 ай бұрын
Apo uwezi kuelewa mpaka uwe na A mbili
@auntmakochela4202
2 ай бұрын
😂😂😂😂 sijaelewa anataka nn
@auntmakochela4202
2 ай бұрын
@@faumarley5707😂😂😂😂😂😂
@faumarley5707
2 ай бұрын
@@auntmakochela4202 utaelewa tu sibado upo
@MamaMama-xp4nk
2 ай бұрын
@@faumarley5707hayajamfika ataelewa nn😅
Sorry sorry my iron lady am still here in oman because of you you are the one who you were encouraged me when was in difficulties times in oman be blessed my sweetheart
@faumarley5707
2 ай бұрын
Then the are people who bring hatred to the truth.
Udugu adi interview 😊atar sna nimekumis ludi oman bn❤🎉
@dorcaskidoti249
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 🎉🎉🎉🎉 Simjui illa nimempendaaaaa
@MohamedOmari-wb4oy
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Acheni kushashadia mambo musoyajua anae teseka asiende ugaibuni tuacheni sisi tufanye kazi malaya ndo huhalibu nchi zawenzao mtu kajichubua hivo unategemea kunamfanya kazi hapo acheni ujinga mimi nimekaa omn miaka 7 changamoto zipo natu nazipitia lkn tuna angalia maokoto maokoto
Mm nilikuja mwaka huo nampaka leo nipo 😅😅oman oyeeeeeee
@Zainab-sq1tc
2 ай бұрын
Na mm yaan cjarud hata bongo
@zainabchumu8559
2 ай бұрын
Na mimi mwaka huohuo nimebadilisha boss lkn home sijarudi
@user-tq5di6mv9c
2 ай бұрын
@@zainabchumu8559 mm sasa sijabadiliaha hata nyumba navyoogopa nimetulia hapa
@MamaMama-xp4nk
2 ай бұрын
@@zainabchumu8559wajina nenda kasalimie
@user-pk8bp7th9e
2 ай бұрын
Oyeeee
Pole sana zanini.undg wangu..lkn sikihiz block hazina nguvu...kaaa mwez tu kama unahitaji kurud rud ru mama hakuna kipingamiz...na waliataka kukomoaaaaa sana
@MissabubakarMhina
2 ай бұрын
Anarudi kufata nini wakati kunamateso
@esthermnzava828
Ай бұрын
La l
Pole sana Dada angu ❤️
ngoja nilicheke kwanza hili limalaya la mbagala 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Ushafika home aza upya maisha popote ndugu yng ukiona mpk umeshindwa kwenda tena omani kwa huyo mumeo jua kabisa sio ridhiki yako
Wapo wa mama wanne yani wanavuta sigara huku wana chokonowana wanagombea mwanaume mmoja jaman semeni hiyo nihaki wale wanapo kosanatu kidogo na boss wake wanatoroka wanaenda kupanga mageto wanachukua waume zawatu wewe umepelekwa kufanya kazi au kufanya umalaya tuwe tunajiuliza ndugu zangu tunao fanya kazi tumetulia wale wamagetoni ndo wanatuhalibia
Muwongo huyo anaongea uwongo katoroka kwa boss wake tunamjuwa kila kitu wakishafika nchi za kiarabu
😂😂😂😂😂sema mapenzi yamekushinda usipige zogo na pia umependeza shukuru
@faumarley5707
2 ай бұрын
Punguza chuki ufanikiwe ukizembea unaenda kufa na umaskini wako 🥴
@MamaMama-xp4nk
2 ай бұрын
@@faumarley5707😅umeniwahi vijitu vingine vinaropokwa kwa kuwa havijapatwa na matatizo
@user-dx6dm6lh1i
2 ай бұрын
Ungeliskia matus aliyonayo huyu mwanamke na hpo anapolia ndio utamjua alivo
@faumarley5707
2 ай бұрын
@@user-dx6dm6lh1i af atukani uyo anahofu kubwa ya mungu sio kama wwe mnafki mnafki
@user-dx6dm6lh1i
2 ай бұрын
@@faumarley5707 hofu ya mungu na zle voice zinazosambaa ni nan kwanza ww ndio hyo mwenyewe watu wameshakujua
Tunaomba upande wa pili wa story.. Tunaomba atafutwe Agent na pia kwa sababu alipitia Ubalozini pia watafutwe desk la malalamiko la Ubalozi .. mtatusaidia sana.. Kisha pia tupate information zaidi za kwa nini asafirie kupitia South Africa na asisubirie mpaka wafubguliwe.. na utaratibu uliotumika hadi kufika Oman kupitia njia za panya..
@dorcaskidoti249
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 mnachuki watanzania ndg yangu Magufuli alifunga Airport haruhusiwe kusafirisha watu kwenye ughaibuni, Wengi tulipitia South Africa nilifikka Oman nikapelekwa obalozi kuandikishwaaa, Nimerud Tz nimepita Airport Tz vzr wakati narudi
Hamkulazimishwa kuja oman msichafue nchi ya watu
@user-rl5qu4zj9b
2 ай бұрын
Acha kujitoa ufaham ukishawahi kuona wao wanaokuja kwetu wanafanyiwa vitu vibaya tulia huko kama huwez kuwa namaneno yahekima
@ayoubmwamwaja
2 ай бұрын
Mkisha pewa majina ya walabu Bax nanyie mnajikuta walabu koko kiasi kwamba mpo tayari kusimama kama machawa pare wanapo halibu mbwa nyie
Nyooooooo 120 mpka 150 kwa lipi ulikuwa nalo? We umenunuliwa mnawahoji hao mnaowapa pesa....we unaenda obalozi wakati ulipita njia za panya? Msiwachafulie wenzenu..we Rudi uendelee na maisha yetu tz
Wadada wasiotulia kwa mabosi zao ndio wanaoteseka wanataka pesa nyingi za nje na ndio zinazowaponza wanajikura wamefiiika poleni sana
@user-pk8bp7th9e
2 ай бұрын
We usimalize maneno hakuna mtu anataka kuhangaika funika kombe mwanaharam apite omba mungu ivoivo apo ulipo uishi kwa amani ndio lakuomba
GABI PLEASE TUNAOMBA MUENDELEZO MAANA WENGINE TUMEKAA SANA UKO OMAN ZAID YA MIAK 6 so tuna experience sana nasubilia part tu ndio nije kikucomment vizul
Umenishindaaa tabiyaa
Mkwe wangu wee MZARAMO HALIS MUKE YA MUSHASHI❤❤
@usher_bambi9413
2 ай бұрын
Mshashi yupi?????? Watu mnapend kukuza mambo
@faumarley5707
2 ай бұрын
@@usher_bambi9413wwe ndo kama ujui ulizaaa uambiwee
@user-sq6mw4yf2v
2 ай бұрын
@@usher_bambi9413mwanasheria sijapenda 😅😅😅😅😅😅
Kwani lzm ufanye kazi nchi za kiarabu???uongo mtupu!!!!
Mimi nauliza swali huyu si aliolewa na mwarabu ata miezi mitatu bado ndoa iyo vipi tamaa mbele mauti nyuma
@faumarley5707
2 ай бұрын
Tulia uangalie muendelezo af njoo sawa usihemkwee tuu
@salimmalaka256
2 ай бұрын
@@faumarley5707WATU WANAMJUWA USIKAE KUTETEA UJINGA FALA WEWE.
Sasa kama unasema hivyo unawaongelea wenzako vby na bado unataka kwenda unahangaika kuomba tena visa acha ufisadi . Wewe dada uliolewa na úkawa unajitamba uwanja ulikuwa wako ahahah weeee embu tupishe ulivofumwa sasa hivi unasema ooh ulitupwa jela jela ya nyooo
@bikeymmaka2589
2 ай бұрын
N kweli uy alijion kafikia wangapi Wana olewa ila hawakufany Kam yy
@SANJA0693
2 ай бұрын
ilikuaje nilisikia aliolewa leo namuona bongo😂😂😂
@faumarley5707
2 ай бұрын
Umetumwa eeeh we umekatazwa kujigamba ovyoooo
@faumarley5707
2 ай бұрын
@@bikeymmaka2589kajiona kafika au wwe ndo ulikua unamuona kafika wivu tuuuu na roho mbayaa
@usher_bambi9413
2 ай бұрын
Mm nacheka tu kungekuw na option ya kupost picha ningewatumia picha zake za harus 😂😂😂😂😂😂
Pole zanin nakupenda dada
Wewe ulikuja kufanya umalaya sio Kazi za nyumbani nyie Malaya mumekuja danga mpaka mumekuwa mkiwashawishi wafanyakazi wengine wataifa jengine wala hawapewi mshahara 120 au 150 ww ulitoroka na huyo wakala ndo akikuwa akikuparamia acha uongo huna Jambo
Mkija kufanya kaz fanyen kazi achen tamaa yakiwashinda mnalaumu pole
Uongo mtupu subhanallah halafu mwataka kuja jamani msiharibie wenzenu
@faumarley5707
2 ай бұрын
Aongope ili apate afaida gani kwa vile wwe muongo unazani kila mtu na weza kuongopaa,uo ndo ukweli tulia subili party 2 ili uelewe vizur
@MissabubakarMhina
2 ай бұрын
Kweli asituharibiye kabisa
@HabibaHussein-vb1ir
2 ай бұрын
Unaujua uongo wake km haumjui nyamaza sie tunaejua tunaelewa nn kimetokea
@faumarley5707
2 ай бұрын
@@HabibaHussein-vb1ir ujui kitu tulia wanao jua na wana uwezo wa walumbano wamenyama usijifanye unamjua kumbe ujui chochote tenaa ujui kitu tulia kama una nyolewaa kipala
@MamaMama-xp4nk
2 ай бұрын
@@faumarley5707siku yakimkuta atajua huyu dada anamaanisha nn
Hawa wanarogana wakifika nje ya Africa ndio wanarushiana mikosi kisha wanasema kuna mateso ughaibuni
Jaman acheni maneno makali kwa mwezenu kila mtu ana matatizo yake kama halija kukuta ww bas sema alhamdulilah so kwa kumsakata mwezenu kwa uzushi na kumtukana mujielewe bwana mbona munapenda unafiki yie kama huwezi comment tulia tu punguzen jaman unafiki na yy binadamu anaogea yalio mkuta ulikuwepo unapo muogelea kuweni na adabu haiuzwi
Hayo majungu si mnayapeleka wenyewe waTz ndo kwa maana nchi nyingi watu wanaogopa midomo mirefu na roho mbaya ila kazi hampendi wavivu sana na wahuni
Muongo kwa mwaka huo uliyokuja mshaara ulikua stini sabini mbaka tisini mzoefu tisini mbak mia usiongopee watu miaka hii yakaribuni ndia mia ishilini kwenda mbele kwa mzoefu
@faumarley5707
2 ай бұрын
Na yye kazungumzia alipo maliza mkataba mwaka 2021 usiseme muongo elewaa kwanzaa
@user-fo5ii9tl3g
2 ай бұрын
Mm ni. Nimekuja 2018na mkatb ulisema 80 na ndo nilianza na hiyo
@salimmalaka256
2 ай бұрын
@@faumarley5707NAKUONA UNAPINGANA NA WATU WENGI VP HAO WOTE WANA CHUKI NAE?? AU
Cjui nicheke ana vip kifup kimekuramba 😂😂😂😂
@user-uq2zm2mi6s
2 ай бұрын
Dyadyaaah mbaya weuweeeeeee 😂😂😂😂😂😂😂
@usher_bambi9413
2 ай бұрын
@@user-uq2zm2mi6swho are you my wang😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Muslim-gs6rn
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@faumarley5707
2 ай бұрын
Roho zaifuu ndomana utoki na usipo badiriaka umaskini unaenda kukutesa adi uzeeeni kwako
@WahidaHilaly
2 ай бұрын
Wanaocoment ujinga hawamjui vizur huyu mdada
Kimekucha huku jaman Team Strong mukuje mukuje Mama kakaribishwa mjengo mpya watorokaji mtajiju🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@husnathabiti4114
2 ай бұрын
Tupoo
MAKUBWA SIBULIOLEWA WW UKASEMA PICHA ZAKO ZISISAMBAZWE 😂😂😂😂
@Muslim-gs6rn
2 ай бұрын
Kajisambaza😢
@faumarley5707
2 ай бұрын
Acha presha andika taratibuu tukuelewe af tukujibu
@salimmalaka256
2 ай бұрын
@@faumarley5707SAWA KUWADI 😂😂😂
Umewenza.sana.udugu
Pole sana sana saaana mdogo wangu
Pole sana udugu wng
Sio kwamba palifungwa Kuna vitu ulitakiwa ukamilishe kama mfanyakaz, Tanzania mpaka leo kama hauna vilivyokamilika uwezi kupita kwaiyo magumashi ya eirpot kwa dar miaka yote yapo
Yani kama kuna warabu wapole watulivu ni wa Omani .. hi hadithi anapiga hakika haijipangi kwakweli huyu balaaa tuu
Nimekupenda.dada.zanni
Kwanza kusema kulifugwa kuja nchi zan kiarabu muogo 😂😂😂😂mbakuja njia za panya
@dorcaskidoti249
2 ай бұрын
Magufuli alikataaa baada ya video kusambaa wtt wanateswa ughaibuni kote sio Oman tu, Kwahiyo lazima upitie south Africa nasio yeye tu watu wengi walipitiswa uko
@prettynayally2177
2 ай бұрын
@@dorcaskidoti249 sio kweli bwN mm naoge nikiwa middle east tuache kudanganyana bwana labda kama mnapitaga njia za panya 2019 nlikuw bongo ma nikapota hapo Airport na 2020 niakrudi na nikapita na 2022 nilikaja tena 2024 iddi nimekula tz nanapita hap hapo mbona sijawah zuiliwa nyy tatzo lenu mnadangaywa na kuoitishwa bila kujua mnakuja wapi huku
Pole dada ndo maisha
kazi ambao siiwezi ni.kutoroka kwa Boss
@HanifaOman-oo4pl
2 ай бұрын
Hayajakukuta kaakimya
@faumarley5707
2 ай бұрын
C ndo nyie wazeee wa kubuluzwaa kama mizoga
@MamaMama-xp4nk
2 ай бұрын
@@HanifaOman-oo4pl😅😅kabisa
@faudhiasalum7279
2 ай бұрын
@@faumarley5707😅jamn sasa tuki toroka.. Passport je mi nawaza had na umwa 😢😢
@salimmalaka256
2 ай бұрын
@@faumarley5707BASI YUPO KWAO SASA HATABURUZWA TENA
Pole ndugu yangu kwa mitiani
Daah weee nakukubari imeisha hiyoooooo
Mdomo ndounaponz kichw 😂😂😂😂😂😂😂
Kitu cha ajabu sana Bibi acha uongo tumechoka kutangaziwa uongo jamani kaeni kwenu kama unasuka unapaka hina kinacokuleta Oman nini wacheni kutapakazia inchi za wenzenu vibaya na mapungufu mnayo wenyewe. Waomani pia wanafanya kazi maofisini huendi kazini mshahara hakuna ukileta ujeuri shika njia wende wako wengi wanataka kazi sembuse wewe
@evaamedeus430
2 ай бұрын
Niunganishie mimi jamani
Hakuna cha 150 wa fanyakazi wa tz
Zanini maashaallah nakukumbuka kipenzi tulikua wote kwa joha. Kumbe umerudi Bongo. ❤❤
@husnathabiti4114
2 ай бұрын
Joha wako wawili bi joha au joha
@SalmaUmmuhussain
2 ай бұрын
Mm wangu bijokha mabella
@HanifaOman-oo4pl
2 ай бұрын
@@SalmaUmmuhussain ndiyo huyohuyo
@HanifaOman-oo4pl
2 ай бұрын
@@husnathabiti4114 bijoha
@rahimarahima630
2 ай бұрын
Bibi jokha si mpendi yule Bibi ana roho mbaaya ana zulma kubwa sana malipo ni hapa hapa dunian
Umalaya tuu ndio ulikupeleka oman sasa hutakiwi tena unaanza kusema uwongo na kutia sifa mbaya watu tulia bora
Muongo uyo alikuja kudanga sisi tupo nnamiaka 6 Sasa m muongo Omani safiii
Wewe mtangazaji tafuta rizki za halali BAADA ya uwongo ogopa mubgu. Unatafuta tongo la ugali kwakupitia owongo. Hawakuwaruhusu kwavitendo venu
Tangu lini mnapewa 120 huku mnanzGa rial 80
@user-fo5ii9tl3g
2 ай бұрын
We mkataba mpya 120 kwa Mtz msikariri maisha
Pole dada wote tupo oman anaesema nimuongo allah atamlaani hayo nimagumu nikweli yatatokea
@ruqaiamohammed345
2 ай бұрын
Watu wanasema uongo kwa kuwa hayajawakuata naona
@user-dx6dm6lh1i
2 ай бұрын
Ww ungelimjua vzr ungelinyamza maaan ana matus na hyu kaolewa huku oman
utulivu kwenye kazi kwako ilikuwa ziro plus usitake kutia watu hofu
We mama mwogo hunayibu unatafuta Kiki 😮😮😮
Jamaniii 🤣🙌
😢
Poli dadangu mitehania tumiumbiwa ss binadamu mungu Yuko na ww
Huyu anaonekana anamdomo na mjuwaji ndomana umeshindw na wamekushindwa .hata kama nimme atashindwa hapo pagumu .mbele yakulaumu mabos labda mjichunguze na nyiye tatizo lenu .
@Rizikialiamechannel763
2 ай бұрын
😂😂😂
@Muslim-gs6rn
2 ай бұрын
Jeur sio kidgaesana ty tunamjua huyu 😂😂
@faumarley5707
2 ай бұрын
Ndo mana mna buluzwa kwa kuogopa kuongea mtaonekana mna midomo na wajuaji una buluzwa leo adi kwa mungu uba buluziwa kwenye moto kwa ajili ya nizamu ya uoga
@faumarley5707
2 ай бұрын
@@Muslim-gs6rnimeeekuumaa eeh poleee ndo ukubwa uo itapoa
@Muslim-gs6rn
2 ай бұрын
@@faumarley5707 mie iniume nini sasa umeelewa lakini
Tatizo watanzania atujifunzi kutokana na makosa kila siku mnasikia kua uko kwa wenzetu wanamanyanyaso ila nyie tu navichwa kama panzi bado mnaenda uko uko Sasa saivi unalialia ili iweje wakati apa tanzania kazi za kufanya zipo kibao tu sema amtaki ela ndogondogo ndotatizo Sasa ungekaa uku SI kipaji chako kingekutoa tu mkome
Pole San my
Mbona siekewi kinacho ogelewa au mimi ndo sielewi
@usher_bambi9413
2 ай бұрын
Kifup haelewek manen meng😂😂😂😂
@erinestangowi7785
2 ай бұрын
@@usher_bambi9413 Huyo kayatimba leo mashaghala watamchamba hatari maana hallikuwa hodari uku kuchamba watu sasa zamu yake imefika
@faumarley5707
2 ай бұрын
@@usher_bambi9413 kichwan kukiwa amana kitu uwezi kumuelewaaa,umelala Usingizi wa pono wwe
@ziadasalimu1730
2 ай бұрын
Haswa
Sasa visa ukatiwe na mwingine na uwende kwingine😮😮
@ruqaiamohammed345
2 ай бұрын
Inawezekana
Allah kareem
Hayo ndo ninayopitia bongo kwa sasa pole
😂😂😂😂acha nicheke tu
Zanin km zanin😂😂😂ushindwi kitu
Oman amani tu huyo dada miongo sana