ALLY HAPI AMVAA TUNDU LISSU MCHANA KWEUPE - "MZEE MWINYI ALITOKA ZANZIBAR - TURUDI KUVAA NGOZI?"...
ALLY HAPI AMVAA TUNDU LISSU MCHANA KWEUPE - "MZEE MWINYI ALITOKA ZANZIBAR - TURUDI KUVAA NGOZI?"...
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 101
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mbona ujajibu hoja za Lisu swala sio kufanya maamuzi swala ni kuuza mali za Tanganyika.
Big up tundu lissu watanzania tunakuelewa
Wewe ally happy Acha ujinga mwiny hakuwa mzanzibar
Umeanza kubadilika na ww angalia hoja ya Lissu inahusu nn shida ni kuuza mali za Tanganyika na masharti ya katiba ya zanzibar kuzuia watu wa Tanganyika kumiliki ardhi na kuingia kwa passport wakati tuna nchi moja, Ambayo ni jamhuri ya muungano wa Tanzania pia pato la muungano linatumika mpaka zanzibar wakati la zanzibar halitumiki huku Tanganyika
Jibuni hoja za lissu sio porojo
Tena akae kwa kutulia kweli kwel ale ashibe vya mwisho
Kalime pilipili huko usitudanganye hapa tushapata akili tunajitambua jibuni hoja za lisu lisu hata muwe CCM wote hamumuwezi kumjibu mnaleta stori tu
😢
Mzee Mwinyi alikuwa mtu wa Kivure Pwani.... pia alitaka azikwe huko... mlimnyima haki yake... Inna Lillahi Wa Inna Ilayhi Raajeon... Usimtumie Mzee Mwinyi kutetea maada zako dogo... yeye alikuwa mtu mkarimu
Post habari za pande mbili
Huyu jamaa sijawahi mwelewa, ni uchawa tu.
Kuna kazi rahisi kuelimisha wajinga kuliko kuelimisha wasomi wapumbavu. Wasomi wengi wamekuwa watumwa wa siasa kiasi kwamba kuzitumikia elimu zao hawawezi kabisa. Kila mtu atimize wajibu wake.
Mmmmh
katba kwasasa hatutaki, tunataka maendeteo tu,urohowakuongozadora chadema waache
@halimamasai2234
2 ай бұрын
Na kweli wanadhani uongozi ni rahisi kwanza sera hawana kila siku ni kutoa tarifa, kulaumu, ubaguzi hawana jipya
Sisi watanzania tunawaelewa ccm hao chadema hatuwaelewi
@optatusduqangw1071
2 ай бұрын
Siyo watanzania ni wewe na kichwa chako kibovu
@user-xx1je7sy4h
2 ай бұрын
Sema wew kilaza wa kijani na wala siyo watanzania wote mbafu zako
@eliajimmy95
2 ай бұрын
Sisi na nani? Acha kujumuisha wengine kwenye upuuzi wako
@yusuphmtuga4951
2 ай бұрын
Weka umoja unatujibia na sisi wengine we vipi
Tunasema watanganyika tunasema.tunaongea pekeyetu kama vichatu mehalibikiwa tusaidieni ninani kauza bandari zetu niyupi niwawapi twambieni sisi ni wenye bandali hivi ninani kawafukuza wamasai hivi huo sio unyanyasaji mbona hamtaki kutusikiliza sie watanganyika Tanzania niyetu wote tusibaguane kwa itikadi za vyiama ukiwa ccm unasikilizwa ukiwa chama kingine unabaguliwa eti mnasema wapiga kelele mliànza ninyi kutubagua
Tundu Lissu ni mpambavu moja faraa furani hivi. Hivi mmesahau alivyo kuwa akizunguka Dunia nzima kuitukana Tanzania, akipewa press na viombo vikubwa vya magharibu,leo Lissu ana upendo gani na Tanzania
@musachongowe1695
2 ай бұрын
Wee mwehu kwani kufanya mikutano nje ndio sio mzalendo
@user-xx1je7sy4h
2 ай бұрын
Wew ndiye mavi ya kijani hiv hujuwi tundu lisu alipatwa na maswahibu gan mpaka uchoko wako kichwani upoteze kumbukumbu ovyo
@halimamasai2234
2 ай бұрын
Kweli kabisa tundu lisu ni kibaraka na hana Uchungu na nchi hii yeye tayari ni raia wa ubelgiji na watoto wake wapo ulaya ikitokea vita yeye ndo wa kwanza kupanda ndege halafu sisi ndo tutaumia hebu tuache ujinga kumsikiliza huyu mtu
@user-xx1je7sy4h
2 ай бұрын
@@halimamasai2234 wew na family yako ndo mmeaminishwa hivyo kufanya mabadiliko ya kiutawala na uongozi ni vita shinz kabisa wew pamoja family yako
Pumbavu sanaaa hyoooo
@halimamasai2234
2 ай бұрын
Pumbavu we na huyo tundu lako shenzi sana nye
Ne wewe hapi ndo 000
@halimamasai2234
2 ай бұрын
We wewe ndo matako
lisu agent. wa mashoga hatumwerewi, nn?maa damanoyake?kusdilakenn?ushogasiyo?
@madegezakayo3232
2 ай бұрын
As wew mbona hata kuandika hujui kweli ccm ina wajinga wengi
@eliajimmy95
2 ай бұрын
Haya majitu yasiyojua kusoma na kuandika ndio mitaji ya CCM hatushangai
Huwezi kuwa mwanasiasa bora kwa kulambalamba matako watu
Ally hapi ajichubua au la? Huyu jamaa ni upinde....
@romanamassawe814
2 ай бұрын
Rainbow?. Aaa, Mungu wangu mtoto sii riziki,
Ali Hap hawez kuvaa hao....awavue tu..au awafue .
Maji shingoni.
Tatizo lako hapi wewe ni maamma huna elimu ,elimu uliyo nayo ni ya kuungaunga ,sasa tukutoe ujinga aliye ruhusu vyama vingi ni nyerere wala siyo huyo unae msema, pia kwani
Hakuna mtu ccm anayeweza kujibu maswali ya lissu
@halimamasai2234
2 ай бұрын
Ni kweli kwa sababu CCM hawawezi kumjibu tahira na mkimbizi toka ubelgiji na sasa ni shoga 🤣🤣🤣
Na na wewe ndo hanma😮
Bado hujajibu hoja. Lissu kasema wazi kua katiba ndo inaleta ubaguzi na kuleta upendeleo.jibu hoja juu ya madaraka makubwa ya rais kikatiba,upendeleo wanaopewa wazanzbar juu ya Muungano. .katiba ya Tanganyika ipo wapi?,Mwinyi aliruhus vyama Ving bara na visiwan je misitu,bandar na mbuga zilizobinafisishwa ni za bara na visiwan?.je mtanganyika anawezapata ajira zanzbar,anaweza enda zenji bila passport?
Ally Hapi, hoja za Lissu ni nzito, sio za kuparamia wewe kijana. Jipange kwanza ndipo uje.
@barackawithokiswaga2686
2 ай бұрын
Peleka huko upumbavu na wewe ana hoja nzito zipi? Kubwabwaja ujinga tu kutwa hizo ndio hoja nzito? Zipi eleza hapa
@user-bo9my2mj4u
2 ай бұрын
@@barackawithokiswaga2686twambie kwa nini Tanganyika hatuna katiba wakati Zanzibar wanayo?
@user-bo9my2mj4u
2 ай бұрын
@@barackawithokiswaga2686kwa nini wazanzibar wanaserikali yao na WA Tanganyika hatuna?
kwani alie waveshe ngozi alikua raisi wa chama gani 😂😂😂😂😂
@halimamasai2234
2 ай бұрын
Chadema
Hili jinga la wapi ?. Ccm Kuna shida gani ?. Mbona mnaokota majitu yasiyo na contents ?
@barackawithokiswaga2686
2 ай бұрын
I think wewe ndo lijinga😅😅
@romanamassawe814
2 ай бұрын
@@barackawithokiswaga2686 huko chini vipi Kuna lika ?.
@eliajimmy95
2 ай бұрын
@@romanamassawe814 mfuate tu huyo kunalika
@halimamasai2234
2 ай бұрын
We shika adabu yako CCM wameja vijana wenye kujielewa unadhani yale machkora wenu kina mdude CCM kuanzia ngazi ya chini ina vijana hatari
@eliajimmy95
2 ай бұрын
@@halimamasai2234 wewe mwenyewe huna adabu unaandika vitu kama mtu anayejitoa ufahamu, unadhani huyo mjinga wako amejibu hoja yoyote ya Lissu hapo.
Lissu ni chizi😢 na kobra😢
@halimamasai2234
2 ай бұрын
Na ni shoga wa ubelgiji
LISSU KAWASHIKA PABAYA KWELI KWELI HAWA JAMAA.ALI HAPI TWAMBIE KWA NINI SISI TUINGIE ZANZIBAR I KWA PASPOTI HALAFU WAINGIE TANGANYIKA BILA PASPOTI?
Wewe Allly Hapi unafeli wapi mbona unashindwa kabisa kujibu hoja za MH LSSU?????
Hujamaa anamajibu ya kitoto katiba mpya kwanza
Nyie wenyewe ni wabaguzi mbona mnawabagua wamasai kua sio watanzania
Nyerere ndie alianzisha vyama vingi inaonekana Bado unashidaya kumbukumbu
@FahadAbubakari
2 ай бұрын
92 raisi alikua nyerere
@FahadAbubakari
2 ай бұрын
Hata iyo tume ya nyalali ilikua 1990 mpaka iyo 92 sa nyerere alitoka wapi sasa?
@eliajimmy95
2 ай бұрын
@@FahadAbubakari kuwa rais sio shida, mambo mengi ya nchi yalikuwa yanaamuliwa na nyerere .Mwinyi hakuwa na noma na mtu, hata mkapa kubwa rais alipendekezwa na nyerere
@user-bo9my2mj4u
2 ай бұрын
@@eliajimmy95😂😂😂😂😂😂😂
Kijana nenda shule ya uelewa, acha kuparamia hoja
Ally Happy, Acha porojo vyama vingi vilianzshwa na Mwalimu Nyerere nasio Mzee Rucksa. Rudi Maria wakufundishe sasa.
@rashidsuleiman9253
2 ай бұрын
Mfumo wa vyama nchini Tanzania kwanza tukubaliane ulirejeshwa mwaka 1992. nimetumia neno kurejeshwa na sio kuanzishwa kwani hapo awali ulikuepo huo mfumo lakini ukafutwa na huyo Nyerere usemae wakati akiwa rais wa Tanzaina. Mnamo Novemba 1985 mpaka Novemba 1995 rais wa Tanzania alikua Mzee Ali Hassan Mwinyi. sasa labda unaweza kutusaidia kutwambia ni kigezo gani unachotumia na kusema mfumo wa vyama vingi uliletwa na Nyerere na sio Mwinyi? tusaidie tafadhali.
Ccm bila kuongea uongo hawawezi.
Ccm haijampa myu kitu, wao ni majambazi wa kodi za watanzania
Hoja za chadema huwezi kufafanua
@halimamasai2234
2 ай бұрын
Wana nini chadema wezi tu na nchi hawataongoza kamwe matako zenu
Wew siyo Ally tena ni wali jibu hoja za tundu lisu siyo kubwabwaja tu au kilimo cha nyanya kimekuchota hakir zote kichwani umekuwa kama tango
TUNATAKA KATIBA MPYA ITAKAYOIFANYA TANGANYIKA KUWA NA KATIBA YAKE PIA NA MAAMUZI YAKE.HUYU ANAYE TUUZIA VITU VYETU ANAACHA KUUZA VYAO HAPANA
@elioimer8423
2 ай бұрын
Mwambie huyu kijana hatujui nchi anayoita Tanzania bara.
@elioimer8423
2 ай бұрын
Shida zote ya maswali unayotaka yajibiwe yameletwa na siasa mbovu za ccm sio chama kingine ndio mliokuwa mnatawala sasa unamsukumia Lissu ajibu wakati ndio mlituletea tabu zote.
Ally hapi nakuamini sama lkn kwa Sasa unaaza kupoteza imani na Mimiushauri wangu achena kuficha moto kwani ipo siku Moshi utawaumbua au ndio kuchumia tumbo 😂😂😂😂
Kikokotoo kipo akipo?
Wewe ni mwongo natapeli, uhooooooooooooo. Nani nyi Watanzania mnaowauna mkono mmelanika hamjitambui mmedanganywa na vimos Tano,namtaburuzwa na CCM mpaka na vitukuu vyenu
Mwinyi ni Mzanzibari?
Wewe ni muongo, Nyerere ndiye aliyelazimisha mfumo wa vyama vingi, kila mtu anajua hivyo.
@rashidsuleiman9253
2 ай бұрын
suali sio kulazimisha, bali ni nani alieleta na kuruhusu. vipi unaweza kulazimisha kitu kama huna mamlaka nacho?
@eliajimmy95
2 ай бұрын
@@rashidsuleiman9253 kwani mwinyi alikuwa na mamlaka nacho
@rashidsuleiman9253
2 ай бұрын
@@eliajimmy95 ndio kwa sababu ndie aliekua rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Na kama hili hujui kaa kimya usisumbue watu huna ujualo
All hapi acha ujinga unatetea ujinga samia ameuza bandari zetu zoote sasa unatetea nini acha ubwege tumia akili
@labunaabouna6122
2 ай бұрын
Mzee mwinyi Sio kweli hakutoka zanzibar huyu jamaa anajua lkn anasema nini mbona muongo au nayeee hajui haha mwinyi katoka bara na ndio kwao
Mimi ni Mzanzibari lakini sina imani na CCM hata mmoja
@eliajimmy95
2 ай бұрын
Ccm majambazi yaliyovaa suti
Mwinyi katoka chapo mueshimiwa.ali mwenasheria wewe lakini humuezi tundulisu
ally hapi acha ujinga we ni mtoto ujui kitu ally hassani mwinyi sio mzanzibar ni mtanganyika kwao ni pwani mkulanga kule Zanzibar aliamia akiwa na miaka mitano na izo pye pye pye zako unaongea utumbo tu
Kwani aliuza bandari
Ally hapy ila auna akili unafikili sisi watanzania bado ni wajinga ww tulia majibu mwaka huu na mwakani
Mjibu kwa hoja. Huu muungano ni miongoni mwa miungano ya hovyo kipindukia. Vijana njaa itawaua. Hivi kweli Ally Happy ndo wa kuongea utumbo kiasi hiki? Wajinga tu ndo wanakuelewa.
@paulstambuli7307
2 ай бұрын
jibu hoja ya nchi moja kuwa na katiba mbili pili je katiba ya zanzibar inawatambua watanzania au wazanzibar na mengine kadha wa kadha yaliyozungumzwa na mh. lissu
Maamuzi gani mbona husemi we dogo huwezi kumtisha mtu wewe na kwa lisu wewe ni kama ki vids achana treni yetu treni inapita huyo iache lisu hamumuwezi nyie wote mlobaki wezi tu we dogo ninchawa
Tutakufuta wewe, aache watanzania