ALLY HAPI AMVAA TUNDU LISSU MCHANA KWEUPE - "MZEE MWINYI ALITOKA ZANZIBAR - TURUDI KUVAA NGOZI?"...

ALLY HAPI AMVAA TUNDU LISSU MCHANA KWEUPE - "MZEE MWINYI ALITOKA ZANZIBAR - TURUDI KUVAA NGOZI?"...
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 101

  • @globaltv_online
    @globaltv_online2 ай бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @AlbertSabo-hp3ss
    @AlbertSabo-hp3ss2 ай бұрын

    Mbona ujajibu hoja za Lisu swala sio kufanya maamuzi swala ni kuuza mali za Tanganyika.

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong81232 ай бұрын

    Big up tundu lissu watanzania tunakuelewa

  • @nassibu-hy5ny
    @nassibu-hy5ny2 ай бұрын

    Wewe ally happy Acha ujinga mwiny hakuwa mzanzibar

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali19462 ай бұрын

    Umeanza kubadilika na ww angalia hoja ya Lissu inahusu nn shida ni kuuza mali za Tanganyika na masharti ya katiba ya zanzibar kuzuia watu wa Tanganyika kumiliki ardhi na kuingia kwa passport wakati tuna nchi moja, Ambayo ni jamhuri ya muungano wa Tanzania pia pato la muungano linatumika mpaka zanzibar wakati la zanzibar halitumiki huku Tanganyika

  • @mocomoja4229
    @mocomoja42292 ай бұрын

    Jibuni hoja za lissu sio porojo

  • @user-tm3jl4yx9f
    @user-tm3jl4yx9f2 ай бұрын

    Tena akae kwa kutulia kweli kwel ale ashibe vya mwisho

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan29712 ай бұрын

    Kalime pilipili huko usitudanganye hapa tushapata akili tunajitambua jibuni hoja za lisu lisu hata muwe CCM wote hamumuwezi kumjibu mnaleta stori tu

  • @allenikaduma1488
    @allenikaduma14882 ай бұрын

    😢

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji75052 ай бұрын

    Mzee Mwinyi alikuwa mtu wa Kivure Pwani.... pia alitaka azikwe huko... mlimnyima haki yake... Inna Lillahi Wa Inna Ilayhi Raajeon... Usimtumie Mzee Mwinyi kutetea maada zako dogo... yeye alikuwa mtu mkarimu

  • @songweboytaifa1990
    @songweboytaifa19902 ай бұрын

    Post habari za pande mbili

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella2052 ай бұрын

    Huyu jamaa sijawahi mwelewa, ni uchawa tu.

  • @benoseaone
    @benoseaone2 ай бұрын

    Kuna kazi rahisi kuelimisha wajinga kuliko kuelimisha wasomi wapumbavu. Wasomi wengi wamekuwa watumwa wa siasa kiasi kwamba kuzitumikia elimu zao hawawezi kabisa. Kila mtu atimize wajibu wake.

  • @ElvisTabula
    @ElvisTabula2 ай бұрын

    Mmmmh

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x2 ай бұрын

    katba kwasasa hatutaki, tunataka maendeteo tu,urohowakuongozadora chadema waache

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    2 ай бұрын

    Na kweli wanadhani uongozi ni rahisi kwanza sera hawana kila siku ni kutoa tarifa, kulaumu, ubaguzi hawana jipya

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw2 ай бұрын

    Sisi watanzania tunawaelewa ccm hao chadema hatuwaelewi

  • @optatusduqangw1071

    @optatusduqangw1071

    2 ай бұрын

    Siyo watanzania ni wewe na kichwa chako kibovu

  • @user-xx1je7sy4h

    @user-xx1je7sy4h

    2 ай бұрын

    Sema wew kilaza wa kijani na wala siyo watanzania wote mbafu zako

  • @eliajimmy95

    @eliajimmy95

    2 ай бұрын

    Sisi na nani? Acha kujumuisha wengine kwenye upuuzi wako

  • @yusuphmtuga4951

    @yusuphmtuga4951

    2 ай бұрын

    Weka umoja unatujibia na sisi wengine we vipi

  • @richardmwandanji65
    @richardmwandanji652 ай бұрын

    Tunasema watanganyika tunasema.tunaongea pekeyetu kama vichatu mehalibikiwa tusaidieni ninani kauza bandari zetu niyupi niwawapi twambieni sisi ni wenye bandali hivi ninani kawafukuza wamasai hivi huo sio unyanyasaji mbona hamtaki kutusikiliza sie watanganyika Tanzania niyetu wote tusibaguane kwa itikadi za vyiama ukiwa ccm unasikilizwa ukiwa chama kingine unabaguliwa eti mnasema wapiga kelele mliànza ninyi kutubagua

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b2 ай бұрын

    Tundu Lissu ni mpambavu moja faraa furani hivi. Hivi mmesahau alivyo kuwa akizunguka Dunia nzima kuitukana Tanzania, akipewa press na viombo vikubwa vya magharibu,leo Lissu ana upendo gani na Tanzania

  • @musachongowe1695

    @musachongowe1695

    2 ай бұрын

    Wee mwehu kwani kufanya mikutano nje ndio sio mzalendo

  • @user-xx1je7sy4h

    @user-xx1je7sy4h

    2 ай бұрын

    Wew ndiye mavi ya kijani hiv hujuwi tundu lisu alipatwa na maswahibu gan mpaka uchoko wako kichwani upoteze kumbukumbu ovyo

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    2 ай бұрын

    Kweli kabisa tundu lisu ni kibaraka na hana Uchungu na nchi hii yeye tayari ni raia wa ubelgiji na watoto wake wapo ulaya ikitokea vita yeye ndo wa kwanza kupanda ndege halafu sisi ndo tutaumia hebu tuache ujinga kumsikiliza huyu mtu

  • @user-xx1je7sy4h

    @user-xx1je7sy4h

    2 ай бұрын

    @@halimamasai2234 wew na family yako ndo mmeaminishwa hivyo kufanya mabadiliko ya kiutawala na uongozi ni vita shinz kabisa wew pamoja family yako

  • @ChamiKiondo
    @ChamiKiondo2 ай бұрын

    Pumbavu sanaaa hyoooo

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    2 ай бұрын

    Pumbavu we na huyo tundu lako shenzi sana nye

  • @SalumKombo-sf5gs
    @SalumKombo-sf5gs2 ай бұрын

    Ne wewe hapi ndo 000

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    2 ай бұрын

    We wewe ndo matako

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x2 ай бұрын

    lisu agent. wa mashoga hatumwerewi, nn?maa damanoyake?kusdilakenn?ushogasiyo?

  • @madegezakayo3232

    @madegezakayo3232

    2 ай бұрын

    As wew mbona hata kuandika hujui kweli ccm ina wajinga wengi

  • @eliajimmy95

    @eliajimmy95

    2 ай бұрын

    Haya majitu yasiyojua kusoma na kuandika ndio mitaji ya CCM hatushangai

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba94892 ай бұрын

    Huwezi kuwa mwanasiasa bora kwa kulambalamba matako watu

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo2 ай бұрын

    Ally hapi ajichubua au la? Huyu jamaa ni upinde....

  • @romanamassawe814

    @romanamassawe814

    2 ай бұрын

    Rainbow?. Aaa, Mungu wangu mtoto sii riziki,

  • @user-rh5yn3bc1o
    @user-rh5yn3bc1o2 ай бұрын

    Ali Hap hawez kuvaa hao....awavue tu..au awafue .

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam38052 ай бұрын

    Maji shingoni.

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava91842 ай бұрын

    Tatizo lako hapi wewe ni maamma huna elimu ,elimu uliyo nayo ni ya kuungaunga ,sasa tukutoe ujinga aliye ruhusu vyama vingi ni nyerere wala siyo huyo unae msema, pia kwani

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r2 ай бұрын

    Hakuna mtu ccm anayeweza kujibu maswali ya lissu

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    2 ай бұрын

    Ni kweli kwa sababu CCM hawawezi kumjibu tahira na mkimbizi toka ubelgiji na sasa ni shoga 🤣🤣🤣

  • @SalumKombo-sf5gs
    @SalumKombo-sf5gs2 ай бұрын

    Na na wewe ndo hanma😮

  • @francismomo7067
    @francismomo70672 ай бұрын

    Bado hujajibu hoja. Lissu kasema wazi kua katiba ndo inaleta ubaguzi na kuleta upendeleo.jibu hoja juu ya madaraka makubwa ya rais kikatiba,upendeleo wanaopewa wazanzbar juu ya Muungano. .katiba ya Tanganyika ipo wapi?,Mwinyi aliruhus vyama Ving bara na visiwan je misitu,bandar na mbuga zilizobinafisishwa ni za bara na visiwan?.je mtanganyika anawezapata ajira zanzbar,anaweza enda zenji bila passport?

  • @brendangabriel1643
    @brendangabriel16432 ай бұрын

    Ally Hapi, hoja za Lissu ni nzito, sio za kuparamia wewe kijana. Jipange kwanza ndipo uje.

  • @barackawithokiswaga2686

    @barackawithokiswaga2686

    2 ай бұрын

    Peleka huko upumbavu na wewe ana hoja nzito zipi? Kubwabwaja ujinga tu kutwa hizo ndio hoja nzito? Zipi eleza hapa

  • @user-bo9my2mj4u

    @user-bo9my2mj4u

    2 ай бұрын

    ​@@barackawithokiswaga2686twambie kwa nini Tanganyika hatuna katiba wakati Zanzibar wanayo?

  • @user-bo9my2mj4u

    @user-bo9my2mj4u

    2 ай бұрын

    ​@@barackawithokiswaga2686kwa nini wazanzibar wanaserikali yao na WA Tanganyika hatuna?

  • @YassinRajabu
    @YassinRajabu2 ай бұрын

    kwani alie waveshe ngozi alikua raisi wa chama gani 😂😂😂😂😂

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    2 ай бұрын

    Chadema

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe8142 ай бұрын

    Hili jinga la wapi ?. Ccm Kuna shida gani ?. Mbona mnaokota majitu yasiyo na contents ?

  • @barackawithokiswaga2686

    @barackawithokiswaga2686

    2 ай бұрын

    I think wewe ndo lijinga😅😅

  • @romanamassawe814

    @romanamassawe814

    2 ай бұрын

    @@barackawithokiswaga2686 huko chini vipi Kuna lika ?.

  • @eliajimmy95

    @eliajimmy95

    2 ай бұрын

    @@romanamassawe814 mfuate tu huyo kunalika

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    2 ай бұрын

    We shika adabu yako CCM wameja vijana wenye kujielewa unadhani yale machkora wenu kina mdude CCM kuanzia ngazi ya chini ina vijana hatari

  • @eliajimmy95

    @eliajimmy95

    2 ай бұрын

    @@halimamasai2234 wewe mwenyewe huna adabu unaandika vitu kama mtu anayejitoa ufahamu, unadhani huyo mjinga wako amejibu hoja yoyote ya Lissu hapo.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 ай бұрын

    Lissu ni chizi😢 na kobra😢

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    2 ай бұрын

    Na ni shoga wa ubelgiji

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle2 ай бұрын

    LISSU KAWASHIKA PABAYA KWELI KWELI HAWA JAMAA.ALI HAPI TWAMBIE KWA NINI SISI TUINGIE ZANZIBAR I KWA PASPOTI HALAFU WAINGIE TANGANYIKA BILA PASPOTI?

  • @ezekielkiduge8730
    @ezekielkiduge87302 ай бұрын

    Wewe Allly Hapi unafeli wapi mbona unashindwa kabisa kujibu hoja za MH LSSU?????

  • @Gilbertnyanda
    @Gilbertnyanda2 ай бұрын

    Hujamaa anamajibu ya kitoto katiba mpya kwanza

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od2 ай бұрын

    Nyie wenyewe ni wabaguzi mbona mnawabagua wamasai kua sio watanzania

  • @musachongowe1695
    @musachongowe16952 ай бұрын

    Nyerere ndie alianzisha vyama vingi inaonekana Bado unashidaya kumbukumbu

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    2 ай бұрын

    92 raisi alikua nyerere

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    2 ай бұрын

    Hata iyo tume ya nyalali ilikua 1990 mpaka iyo 92 sa nyerere alitoka wapi sasa?

  • @eliajimmy95

    @eliajimmy95

    2 ай бұрын

    @@FahadAbubakari kuwa rais sio shida, mambo mengi ya nchi yalikuwa yanaamuliwa na nyerere .Mwinyi hakuwa na noma na mtu, hata mkapa kubwa rais alipendekezwa na nyerere

  • @user-bo9my2mj4u

    @user-bo9my2mj4u

    2 ай бұрын

    ​@@eliajimmy95😂😂😂😂😂😂😂

  • @marwasaid8283
    @marwasaid82832 ай бұрын

    Kijana nenda shule ya uelewa, acha kuparamia hoja

  • @gabrielsanya3278
    @gabrielsanya32782 ай бұрын

    Ally Happy, Acha porojo vyama vingi vilianzshwa na Mwalimu Nyerere nasio Mzee Rucksa. Rudi Maria wakufundishe sasa.

  • @rashidsuleiman9253

    @rashidsuleiman9253

    2 ай бұрын

    Mfumo wa vyama nchini Tanzania kwanza tukubaliane ulirejeshwa mwaka 1992. nimetumia neno kurejeshwa na sio kuanzishwa kwani hapo awali ulikuepo huo mfumo lakini ukafutwa na huyo Nyerere usemae wakati akiwa rais wa Tanzaina. Mnamo Novemba 1985 mpaka Novemba 1995 rais wa Tanzania alikua Mzee Ali Hassan Mwinyi. sasa labda unaweza kutusaidia kutwambia ni kigezo gani unachotumia na kusema mfumo wa vyama vingi uliletwa na Nyerere na sio Mwinyi? tusaidie tafadhali.

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy952 ай бұрын

    Ccm bila kuongea uongo hawawezi.

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl2 ай бұрын

    Ccm haijampa myu kitu, wao ni majambazi wa kodi za watanzania

  • @mangenyanyondo8691
    @mangenyanyondo86912 ай бұрын

    Hoja za chadema huwezi kufafanua

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    2 ай бұрын

    Wana nini chadema wezi tu na nchi hawataongoza kamwe matako zenu

  • @user-xx1je7sy4h
    @user-xx1je7sy4h2 ай бұрын

    Wew siyo Ally tena ni wali jibu hoja za tundu lisu siyo kubwabwaja tu au kilimo cha nyanya kimekuchota hakir zote kichwani umekuwa kama tango

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle2 ай бұрын

    TUNATAKA KATIBA MPYA ITAKAYOIFANYA TANGANYIKA KUWA NA KATIBA YAKE PIA NA MAAMUZI YAKE.HUYU ANAYE TUUZIA VITU VYETU ANAACHA KUUZA VYAO HAPANA

  • @elioimer8423

    @elioimer8423

    2 ай бұрын

    Mwambie huyu kijana hatujui nchi anayoita Tanzania bara.

  • @elioimer8423

    @elioimer8423

    2 ай бұрын

    Shida zote ya maswali unayotaka yajibiwe yameletwa na siasa mbovu za ccm sio chama kingine ndio mliokuwa mnatawala sasa unamsukumia Lissu ajibu wakati ndio mlituletea tabu zote.

  • @rejobu9723
    @rejobu97232 ай бұрын

    Ally hapi nakuamini sama lkn kwa Sasa unaaza kupoteza imani na Mimiushauri wangu achena kuficha moto kwani ipo siku Moshi utawaumbua au ndio kuchumia tumbo 😂😂😂😂

  • @michaelbachubira7197
    @michaelbachubira71972 ай бұрын

    Kikokotoo kipo akipo?

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi93762 ай бұрын

    Wewe ni mwongo natapeli, uhooooooooooooo. Nani nyi Watanzania mnaowauna mkono mmelanika hamjitambui mmedanganywa na vimos Tano,namtaburuzwa na CCM mpaka na vitukuu vyenu

  • @Yuken-gh1kf
    @Yuken-gh1kf2 ай бұрын

    Mwinyi ni Mzanzibari?

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy952 ай бұрын

    Wewe ni muongo, Nyerere ndiye aliyelazimisha mfumo wa vyama vingi, kila mtu anajua hivyo.

  • @rashidsuleiman9253

    @rashidsuleiman9253

    2 ай бұрын

    suali sio kulazimisha, bali ni nani alieleta na kuruhusu. vipi unaweza kulazimisha kitu kama huna mamlaka nacho?

  • @eliajimmy95

    @eliajimmy95

    2 ай бұрын

    @@rashidsuleiman9253 kwani mwinyi alikuwa na mamlaka nacho

  • @rashidsuleiman9253

    @rashidsuleiman9253

    2 ай бұрын

    @@eliajimmy95 ndio kwa sababu ndie aliekua rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Na kama hili hujui kaa kimya usisumbue watu huna ujualo

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu2 ай бұрын

    All hapi acha ujinga unatetea ujinga samia ameuza bandari zetu zoote sasa unatetea nini acha ubwege tumia akili

  • @labunaabouna6122

    @labunaabouna6122

    2 ай бұрын

    Mzee mwinyi Sio kweli hakutoka zanzibar huyu jamaa anajua lkn anasema nini mbona muongo au nayeee hajui haha mwinyi katoka bara na ndio kwao

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go2 ай бұрын

    Mimi ni Mzanzibari lakini sina imani na CCM hata mmoja

  • @eliajimmy95

    @eliajimmy95

    2 ай бұрын

    Ccm majambazi yaliyovaa suti

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l2 ай бұрын

    Mwinyi katoka chapo mueshimiwa.ali mwenasheria wewe lakini humuezi tundulisu

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho67542 ай бұрын

    ally hapi acha ujinga we ni mtoto ujui kitu ally hassani mwinyi sio mzanzibar ni mtanganyika kwao ni pwani mkulanga kule Zanzibar aliamia akiwa na miaka mitano na izo pye pye pye zako unaongea utumbo tu

  • @fratelltutiilaudatosi4153
    @fratelltutiilaudatosi41532 ай бұрын

    Kwani aliuza bandari

  • @mussamsilangamunubimussa2009
    @mussamsilangamunubimussa20092 ай бұрын

    Ally hapy ila auna akili unafikili sisi watanzania bado ni wajinga ww tulia majibu mwaka huu na mwakani

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius17962 ай бұрын

    Mjibu kwa hoja. Huu muungano ni miongoni mwa miungano ya hovyo kipindukia. Vijana njaa itawaua. Hivi kweli Ally Happy ndo wa kuongea utumbo kiasi hiki? Wajinga tu ndo wanakuelewa.

  • @paulstambuli7307

    @paulstambuli7307

    2 ай бұрын

    jibu hoja ya nchi moja kuwa na katiba mbili pili je katiba ya zanzibar inawatambua watanzania au wazanzibar na mengine kadha wa kadha yaliyozungumzwa na mh. lissu

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba94892 ай бұрын

    Maamuzi gani mbona husemi we dogo huwezi kumtisha mtu wewe na kwa lisu wewe ni kama ki vids achana treni yetu treni inapita huyo iache lisu hamumuwezi nyie wote mlobaki wezi tu we dogo ninchawa

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl2 ай бұрын

    Tutakufuta wewe, aache watanzania

Келесі