Mahakama za Tanzania ni mbaya sana duniani hakuna. Huyo Jaji mkuu anamuangusha mama Samia kimya kimya.
@thelalas92042 ай бұрын
Jamani tuchagueni viongozi vijana waliosoma vizuri hawa wazoefu watupishe sasa,maana tunahitaji kwenda kwa kasi.Hebu angalieni nchi zenye majangwa wanafanya vizuri kuliko nchi zetu zenye neema tele.Problem is leadership tuacheni kushabikia kila kitu.
@froma37322 ай бұрын
Mawakili sio wazembe ni wizi hao ndio wanachafuwa hali hio
@user-sj3wf5vz7l2 ай бұрын
Mahakama za nchi hii zinahitaji kiongozi kama makonda au slaa kufanya operation za kesi zote zilizoko magakamani.
@NardhisMhagama-sy3eq2 ай бұрын
Bunge linashindwa kutunga Sheria nzuri KAZI kugonga meza tu kina kibajaji Sheria hamjuwi
@easternyerembe72712 ай бұрын
Hongera sana mh Paul Makonda
@user-ih1pk1vs4q2 ай бұрын
Mama umeliwa jina tu la Kamugisha hutoboi pole
@barakamanga55022 ай бұрын
Nchi hii imeharibika sana, kila kitu watoa haki ndio wanao haribi
@HassanWarsame-bk3sv2 ай бұрын
Pole sana haki yako makonda ataifanyia kazi
@user-oo1vz3zi1t2 ай бұрын
Pole mama mwenzangu haki itapatkana wapo Viongoz wanaosmama kihaki Makonda
@user-yc1tm4hp4n2 ай бұрын
Makamishina na maafisa ardhi ndio chimbuko kubwa la dhulma Viongozi msirubuniwe wasilize vyema wananchi pindi wanapojieleza.
@babuuosama87522 ай бұрын
Mama tapika yote Leo Mtu wa Mungu Yupo Arusha Makonda atawatibuwa wote Matapeli washenzi hao wote Makonda Wazibuwe Leo
@jewajua-tv2 ай бұрын
Nilichogundua kuna kero nyingi sana na sheria na mahakama zimeshindwa kabisa "TOTAL FAILURE" katika kutatua hizi kero
@NardhisMhagama-sy3eq2 ай бұрын
Majaji nayo tingi tu tatizohawafukuzwi KAZI hata huyo jaji fukuza kazi
@NardhisMhagama-sy3eq2 ай бұрын
Kila ofisi ya mtendaji kuwe na ramani ya kata husika nchi nzima ku kuzuia utapeli na kwa wenyeviti
@ag30442 ай бұрын
Wow what r lady
@deega1234
2 ай бұрын
Hello ❤
@bakariomari87582 ай бұрын
Tz,kuna, dhulma nyingi ya ardhi na, nyumba
@VailettyShigerla-fw2sg2 ай бұрын
❤Mungu akuride
@mohdsaid87442 ай бұрын
Watu wanadhulumiwa sana hawajui kama maisha ni mpito unamdhulumu mtu maskini hawajui kama dhulma ni dhulumati
@charlesmakuri7922 ай бұрын
Du umezeeka pole
@aminaosman3315Ай бұрын
,mahakama Tanzania tatizo kubwa kwa wany9nge wasio fedha wenye uwezo ndio wenye haki
@mansooralaisri52002 ай бұрын
Mahakama zinanuka Rushwa
@JosephuSwai2 ай бұрын
Kweli mama
@OmanOman-dn6dj2 ай бұрын
Anaongea kama mangekimambi😅😅😅
@esterMahenge
2 ай бұрын
Kbs😂😂😂
@JohnP-gl1ie2 ай бұрын
Mama mtafte n waziri slaa
@user-ml3zf7mw1y2 ай бұрын
Hassan unasema huyu mama ni nyingine na sio raia ina maana ukweli unaujuwa ww na swala la uraia uhamiaji wapo ndio kazi yao
@hellenshayo34542 ай бұрын
Duuuuu kesi 49 hi ndiyo Tz
@radhiambwana33532 ай бұрын
Pole
@mohdsaid87442 ай бұрын
Makonda ni kiongozi mzurii mwenye imani
@jamalimussa49282 ай бұрын
Enyi binadamu ambao mmepewa mamlaka tendeni haki iyo ni dhamana kubwa mmepewe
@fundimagari58252 ай бұрын
Ndio lengo la makonda kufikisha ujumbe katika jamii ili watawala wajue shida za watu wanaowatawala kuhusu upande wa sheria ayupo active
@Charzlomo2 ай бұрын
Very sad why
@davidanselmo40412 ай бұрын
Arusha wamepata kichwa 😅
@geraldadolf49282 ай бұрын
Tabia ya kutanguliza pesa mbele bila utu mmejiona mnajua pesa sana na kizazi chote kinajali pesa kuliko utu hilo linahitaji muda mrefu kuliondoa
@user-ov7ge3ci6f2 ай бұрын
Da rais samia unayskia haya
@VailettyShigerla-fw2sg2 ай бұрын
Mawakili teden haki
@hakunamatata80652 ай бұрын
Mawakili wa tanzania wamekua matapeli kabisa
@AnoliasiKope2 ай бұрын
mama yetu anajua mungu
@amaniarajiga19022 ай бұрын
Rushwa inapofusha
@kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын
MTOTO MMOJA SASA MBONA MNAFANYIA VIGISU MPENI MAKONDA MPIGE DRONES APO
@user-ov7ge3ci6f2 ай бұрын
Da na jaji mkui yupo yan da
@cephassikaonga63702 ай бұрын
Tatizo mahaka
@MosesJoseph-tp3dr2 ай бұрын
Mchukue mwabukusi WA mbeya
@emmanuelmlowe-ew7gx2 ай бұрын
Mahakim wa tz ni rushwa au hawana elimu?
@charlesmakuri7922 ай бұрын
Sasa serikari serika mjalibu kuona kunatatizo mahakamani watu ni wengi na wengi wana lalamika rushwa ,
@user-rc1dp6ux3k2 ай бұрын
Hakuna haki mahakama za Tanzania hasa kwa maskini
@user-sj3wf5vz7l2 ай бұрын
Baba akiwa na mali ni shida
@halima_Paulin2 ай бұрын
Watu wa Arusha wazuri
@emmanuelmlowe-ew7gx2 ай бұрын
Ndio maana huwa nasema mahakama zifutwe abaki makonda
@HassanSheikhghalib2 ай бұрын
Mama we muongo kwanza inavo inaonekana we sio raia wa Tanzania makonda hana uwezo wa kuingilia mahakama
@mahamudali1453
2 ай бұрын
Mama apate hakiyake na huyu mtapele ashikwe familiya yote msiba tupu angoja mlima lengai itakulipukiya tena
@valenakomba76862 ай бұрын
WE MAMA KUMBUKA MAHAKAMA NI TASISI INAYOJITEGEMEA?. MAKONDA HAWEZI KUINGILIA MAHAKAMA. LABDA MAMA SAMIA.
@user-zn6mg3xp3l
2 ай бұрын
Lakini an😂aweza kuongea na raisi chap kupitia makondaaa ni simu moja tu!
@msafiriomary8932 ай бұрын
ujuwe mambo ya kusema mahakama haiingiriwi ndio maana rushwa zinakuwa nyingingi sana mahakamani haki hakuna
@faidhatmagige1332 ай бұрын
Makond a ni jembe wambunge wa mikoa yote wangeig a hivi kusaidia wananchi jaman
@rasnchimbi2 ай бұрын
Makonda anachofanya kinadhihirisha uwepo wa mfumo bovu na uhitaji wa 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@imranhassan99942 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 👉Jamani huku kwetu kenya mbona hakuna neema hizi... 🇹🇿 Maana Tanzania kuna MAKONDA WA HAKI... 🇰🇪 Kenya yetu nayo MAKONDA NI WA MAANDAMANO... 🇹🇿 MAKONDA WA TANZANIA Kavalia Hekima Kichwani... 🇰🇪 MAKONDA WA KENYA Kavalia Sufuria Kichwani... 😒😡😡 Afadhali nikawachunge tu mbuzi wangu wasile mahindi...
@user-xk7vy4gb6g
2 ай бұрын
Viongozi, wabunge igeni mfano kwa Mh Makonda wananchi wana dhulumiwa sana kwakweli
@user-rs4vz2vt9z2 ай бұрын
Makonda hutaweza bila kuondoa rushwa nchi imeja rushwa na rushwa IPO ngazi za juu.
Пікірлер: 61
Mahakama za Tanzania ni mbaya sana duniani hakuna. Huyo Jaji mkuu anamuangusha mama Samia kimya kimya.
Jamani tuchagueni viongozi vijana waliosoma vizuri hawa wazoefu watupishe sasa,maana tunahitaji kwenda kwa kasi.Hebu angalieni nchi zenye majangwa wanafanya vizuri kuliko nchi zetu zenye neema tele.Problem is leadership tuacheni kushabikia kila kitu.
Mawakili sio wazembe ni wizi hao ndio wanachafuwa hali hio
Mahakama za nchi hii zinahitaji kiongozi kama makonda au slaa kufanya operation za kesi zote zilizoko magakamani.
Bunge linashindwa kutunga Sheria nzuri KAZI kugonga meza tu kina kibajaji Sheria hamjuwi
Hongera sana mh Paul Makonda
Mama umeliwa jina tu la Kamugisha hutoboi pole
Nchi hii imeharibika sana, kila kitu watoa haki ndio wanao haribi
Pole sana haki yako makonda ataifanyia kazi
Pole mama mwenzangu haki itapatkana wapo Viongoz wanaosmama kihaki Makonda
Makamishina na maafisa ardhi ndio chimbuko kubwa la dhulma Viongozi msirubuniwe wasilize vyema wananchi pindi wanapojieleza.
Mama tapika yote Leo Mtu wa Mungu Yupo Arusha Makonda atawatibuwa wote Matapeli washenzi hao wote Makonda Wazibuwe Leo
Nilichogundua kuna kero nyingi sana na sheria na mahakama zimeshindwa kabisa "TOTAL FAILURE" katika kutatua hizi kero
Majaji nayo tingi tu tatizohawafukuzwi KAZI hata huyo jaji fukuza kazi
Kila ofisi ya mtendaji kuwe na ramani ya kata husika nchi nzima ku kuzuia utapeli na kwa wenyeviti
Wow what r lady
@deega1234
2 ай бұрын
Hello ❤
Tz,kuna, dhulma nyingi ya ardhi na, nyumba
❤Mungu akuride
Watu wanadhulumiwa sana hawajui kama maisha ni mpito unamdhulumu mtu maskini hawajui kama dhulma ni dhulumati
Du umezeeka pole
,mahakama Tanzania tatizo kubwa kwa wany9nge wasio fedha wenye uwezo ndio wenye haki
Mahakama zinanuka Rushwa
Kweli mama
Anaongea kama mangekimambi😅😅😅
@esterMahenge
2 ай бұрын
Kbs😂😂😂
Mama mtafte n waziri slaa
Hassan unasema huyu mama ni nyingine na sio raia ina maana ukweli unaujuwa ww na swala la uraia uhamiaji wapo ndio kazi yao
Duuuuu kesi 49 hi ndiyo Tz
Pole
Makonda ni kiongozi mzurii mwenye imani
Enyi binadamu ambao mmepewa mamlaka tendeni haki iyo ni dhamana kubwa mmepewe
Ndio lengo la makonda kufikisha ujumbe katika jamii ili watawala wajue shida za watu wanaowatawala kuhusu upande wa sheria ayupo active
Very sad why
Arusha wamepata kichwa 😅
Tabia ya kutanguliza pesa mbele bila utu mmejiona mnajua pesa sana na kizazi chote kinajali pesa kuliko utu hilo linahitaji muda mrefu kuliondoa
Da rais samia unayskia haya
Mawakili teden haki
Mawakili wa tanzania wamekua matapeli kabisa
mama yetu anajua mungu
Rushwa inapofusha
MTOTO MMOJA SASA MBONA MNAFANYIA VIGISU MPENI MAKONDA MPIGE DRONES APO
Da na jaji mkui yupo yan da
Tatizo mahaka
Mchukue mwabukusi WA mbeya
Mahakim wa tz ni rushwa au hawana elimu?
Sasa serikari serika mjalibu kuona kunatatizo mahakamani watu ni wengi na wengi wana lalamika rushwa ,
Hakuna haki mahakama za Tanzania hasa kwa maskini
Baba akiwa na mali ni shida
Watu wa Arusha wazuri
Ndio maana huwa nasema mahakama zifutwe abaki makonda
Mama we muongo kwanza inavo inaonekana we sio raia wa Tanzania makonda hana uwezo wa kuingilia mahakama
@mahamudali1453
2 ай бұрын
Mama apate hakiyake na huyu mtapele ashikwe familiya yote msiba tupu angoja mlima lengai itakulipukiya tena
WE MAMA KUMBUKA MAHAKAMA NI TASISI INAYOJITEGEMEA?. MAKONDA HAWEZI KUINGILIA MAHAKAMA. LABDA MAMA SAMIA.
@user-zn6mg3xp3l
2 ай бұрын
Lakini an😂aweza kuongea na raisi chap kupitia makondaaa ni simu moja tu!
ujuwe mambo ya kusema mahakama haiingiriwi ndio maana rushwa zinakuwa nyingingi sana mahakamani haki hakuna
Makond a ni jembe wambunge wa mikoa yote wangeig a hivi kusaidia wananchi jaman
Makonda anachofanya kinadhihirisha uwepo wa mfumo bovu na uhitaji wa 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 👉Jamani huku kwetu kenya mbona hakuna neema hizi... 🇹🇿 Maana Tanzania kuna MAKONDA WA HAKI... 🇰🇪 Kenya yetu nayo MAKONDA NI WA MAANDAMANO... 🇹🇿 MAKONDA WA TANZANIA Kavalia Hekima Kichwani... 🇰🇪 MAKONDA WA KENYA Kavalia Sufuria Kichwani... 😒😡😡 Afadhali nikawachunge tu mbuzi wangu wasile mahindi...
@user-xk7vy4gb6g
2 ай бұрын
Viongozi, wabunge igeni mfano kwa Mh Makonda wananchi wana dhulumiwa sana kwakweli
Makonda hutaweza bila kuondoa rushwa nchi imeja rushwa na rushwa IPO ngazi za juu.