MAMA AVURUGWA KWA MAKONDA | NITAFIA MAHAKAMANI KWA KESI HIZI | MAWAKILI WA ARUSHA HAWAFANYI KAZI

Ойын-сауық

Пікірлер: 61

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri52002 ай бұрын

    Mahakama za Tanzania ni mbaya sana duniani hakuna. Huyo Jaji mkuu anamuangusha mama Samia kimya kimya.

  • @thelalas9204
    @thelalas92042 ай бұрын

    Jamani tuchagueni viongozi vijana waliosoma vizuri hawa wazoefu watupishe sasa,maana tunahitaji kwenda kwa kasi.Hebu angalieni nchi zenye majangwa wanafanya vizuri kuliko nchi zetu zenye neema tele.Problem is leadership tuacheni kushabikia kila kitu.

  • @froma3732
    @froma37322 ай бұрын

    Mawakili sio wazembe ni wizi hao ndio wanachafuwa hali hio

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l2 ай бұрын

    Mahakama za nchi hii zinahitaji kiongozi kama makonda au slaa kufanya operation za kesi zote zilizoko magakamani.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq2 ай бұрын

    Bunge linashindwa kutunga Sheria nzuri KAZI kugonga meza tu kina kibajaji Sheria hamjuwi

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe72712 ай бұрын

    Hongera sana mh Paul Makonda

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q2 ай бұрын

    Mama umeliwa jina tu la Kamugisha hutoboi pole

  • @barakamanga5502
    @barakamanga55022 ай бұрын

    Nchi hii imeharibika sana, kila kitu watoa haki ndio wanao haribi

  • @HassanWarsame-bk3sv
    @HassanWarsame-bk3sv2 ай бұрын

    Pole sana haki yako makonda ataifanyia kazi

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t2 ай бұрын

    Pole mama mwenzangu haki itapatkana wapo Viongoz wanaosmama kihaki Makonda

  • @user-yc1tm4hp4n
    @user-yc1tm4hp4n2 ай бұрын

    Makamishina na maafisa ardhi ndio chimbuko kubwa la dhulma Viongozi msirubuniwe wasilize vyema wananchi pindi wanapojieleza.

  • @babuuosama8752
    @babuuosama87522 ай бұрын

    Mama tapika yote Leo Mtu wa Mungu Yupo Arusha Makonda atawatibuwa wote Matapeli washenzi hao wote Makonda Wazibuwe Leo

  • @jewajua-tv
    @jewajua-tv2 ай бұрын

    Nilichogundua kuna kero nyingi sana na sheria na mahakama zimeshindwa kabisa "TOTAL FAILURE" katika kutatua hizi kero

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq2 ай бұрын

    Majaji nayo tingi tu tatizohawafukuzwi KAZI hata huyo jaji fukuza kazi

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq2 ай бұрын

    Kila ofisi ya mtendaji kuwe na ramani ya kata husika nchi nzima ku kuzuia utapeli na kwa wenyeviti

  • @ag3044
    @ag30442 ай бұрын

    Wow what r lady

  • @deega1234

    @deega1234

    2 ай бұрын

    Hello ❤

  • @bakariomari8758
    @bakariomari87582 ай бұрын

    Tz,kuna, dhulma nyingi ya ardhi na, nyumba

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg2 ай бұрын

    ❤Mungu akuride

  • @mohdsaid8744
    @mohdsaid87442 ай бұрын

    Watu wanadhulumiwa sana hawajui kama maisha ni mpito unamdhulumu mtu maskini hawajui kama dhulma ni dhulumati

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri7922 ай бұрын

    Du umezeeka pole

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315Ай бұрын

    ,mahakama Tanzania tatizo kubwa kwa wany9nge wasio fedha wenye uwezo ndio wenye haki

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri52002 ай бұрын

    Mahakama zinanuka Rushwa

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai2 ай бұрын

    Kweli mama

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj2 ай бұрын

    Anaongea kama mangekimambi😅😅😅

  • @esterMahenge

    @esterMahenge

    2 ай бұрын

    Kbs😂😂😂

  • @JohnP-gl1ie
    @JohnP-gl1ie2 ай бұрын

    Mama mtafte n waziri slaa

  • @user-ml3zf7mw1y
    @user-ml3zf7mw1y2 ай бұрын

    Hassan unasema huyu mama ni nyingine na sio raia ina maana ukweli unaujuwa ww na swala la uraia uhamiaji wapo ndio kazi yao

  • @hellenshayo3454
    @hellenshayo34542 ай бұрын

    Duuuuu kesi 49 hi ndiyo Tz

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana33532 ай бұрын

    Pole

  • @mohdsaid8744
    @mohdsaid87442 ай бұрын

    Makonda ni kiongozi mzurii mwenye imani

  • @jamalimussa4928
    @jamalimussa49282 ай бұрын

    Enyi binadamu ambao mmepewa mamlaka tendeni haki iyo ni dhamana kubwa mmepewe

  • @fundimagari5825
    @fundimagari58252 ай бұрын

    Ndio lengo la makonda kufikisha ujumbe katika jamii ili watawala wajue shida za watu wanaowatawala kuhusu upande wa sheria ayupo active

  • @Charzlomo
    @Charzlomo2 ай бұрын

    Very sad why

  • @davidanselmo4041
    @davidanselmo40412 ай бұрын

    Arusha wamepata kichwa 😅

  • @geraldadolf4928
    @geraldadolf49282 ай бұрын

    Tabia ya kutanguliza pesa mbele bila utu mmejiona mnajua pesa sana na kizazi chote kinajali pesa kuliko utu hilo linahitaji muda mrefu kuliondoa

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f2 ай бұрын

    Da rais samia unayskia haya

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg2 ай бұрын

    Mawakili teden haki

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata80652 ай бұрын

    Mawakili wa tanzania wamekua matapeli kabisa

  • @AnoliasiKope
    @AnoliasiKope2 ай бұрын

    mama yetu anajua mungu

  • @amaniarajiga1902
    @amaniarajiga19022 ай бұрын

    Rushwa inapofusha

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын

    MTOTO MMOJA SASA MBONA MNAFANYIA VIGISU MPENI MAKONDA MPIGE DRONES APO

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f2 ай бұрын

    Da na jaji mkui yupo yan da

  • @cephassikaonga6370
    @cephassikaonga63702 ай бұрын

    Tatizo mahaka

  • @MosesJoseph-tp3dr
    @MosesJoseph-tp3dr2 ай бұрын

    Mchukue mwabukusi WA mbeya

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx2 ай бұрын

    Mahakim wa tz ni rushwa au hawana elimu?

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri7922 ай бұрын

    Sasa serikari serika mjalibu kuona kunatatizo mahakamani watu ni wengi na wengi wana lalamika rushwa ,

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k2 ай бұрын

    Hakuna haki mahakama za Tanzania hasa kwa maskini

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l2 ай бұрын

    Baba akiwa na mali ni shida

  • @halima_Paulin
    @halima_Paulin2 ай бұрын

    Watu wa Arusha wazuri

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx2 ай бұрын

    Ndio maana huwa nasema mahakama zifutwe abaki makonda

  • @HassanSheikhghalib
    @HassanSheikhghalib2 ай бұрын

    Mama we muongo kwanza inavo inaonekana we sio raia wa Tanzania makonda hana uwezo wa kuingilia mahakama

  • @mahamudali1453

    @mahamudali1453

    2 ай бұрын

    Mama apate hakiyake na huyu mtapele ashikwe familiya yote msiba tupu angoja mlima lengai itakulipukiya tena

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76862 ай бұрын

    WE MAMA KUMBUKA MAHAKAMA NI TASISI INAYOJITEGEMEA?. MAKONDA HAWEZI KUINGILIA MAHAKAMA. LABDA MAMA SAMIA.

  • @user-zn6mg3xp3l

    @user-zn6mg3xp3l

    2 ай бұрын

    Lakini an😂aweza kuongea na raisi chap kupitia makondaaa ni simu moja tu!

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary8932 ай бұрын

    ujuwe mambo ya kusema mahakama haiingiriwi ndio maana rushwa zinakuwa nyingingi sana mahakamani haki hakuna

  • @faidhatmagige133
    @faidhatmagige1332 ай бұрын

    Makond a ni jembe wambunge wa mikoa yote wangeig a hivi kusaidia wananchi jaman

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi2 ай бұрын

    Makonda anachofanya kinadhihirisha uwepo wa mfumo bovu na uhitaji wa 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @imranhassan9994
    @imranhassan99942 ай бұрын

    🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 👉Jamani huku kwetu kenya mbona hakuna neema hizi... 🇹🇿 Maana Tanzania kuna MAKONDA WA HAKI... 🇰🇪 Kenya yetu nayo MAKONDA NI WA MAANDAMANO... 🇹🇿 MAKONDA WA TANZANIA Kavalia Hekima Kichwani... 🇰🇪 MAKONDA WA KENYA Kavalia Sufuria Kichwani... 😒😡😡 Afadhali nikawachunge tu mbuzi wangu wasile mahindi...

  • @user-xk7vy4gb6g

    @user-xk7vy4gb6g

    2 ай бұрын

    Viongozi, wabunge igeni mfano kwa Mh Makonda wananchi wana dhulumiwa sana kwakweli

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z2 ай бұрын

    Makonda hutaweza bila kuondoa rushwa nchi imeja rushwa na rushwa IPO ngazi za juu.

Келесі