DAKIKA 30 NZITO ZA MKURUGENZI WA MATI SUPER BRANDS LTD NA FM MANYARA.

Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Mati Super Brands Ltd David Mulokozi, amefanya mahojiano maalum na kituo cha radio cha FM Manyara kilichopo mjini Babati.
Katika mahojiano hayo mambo mbalimbali yamezungumzwa na kujadiliwa kwa kina, hasa yale ya kuzifungua fursa mbalimbali, kuwatia moyo na kuwajenga vijana kiuchumi.
#Mati #FmManyara

Пікірлер: 44

  • @jacksonkabaata6011
    @jacksonkabaata60114 ай бұрын

    Mungu akufanye kuwa tajiri zaid ya hapo MULOKOZI much respect brother 🙏

  • @irineadisa7289
    @irineadisa72894 ай бұрын

    Have Learned alot from him at the age of 45 l'll do better from now,thank you soo much Mulokozi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-iu8oj5gb6y
    @user-iu8oj5gb6y4 ай бұрын

    Mungu azidi kukubariki sana mkurugezi wetu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya74754 ай бұрын

    Mulokozi ni genius

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail26624 ай бұрын

    Namuelewa sana uyu mwamba

  • @Shabbaentertainmet9382
    @Shabbaentertainmet9382 Жыл бұрын

    Pigania uko vizuri MTU Wangu

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16504 ай бұрын

    Nafurahi sana nikiona mtu anatumia mkono wa shoto.. Mulokozi ni Mashoto mwenzangu.

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz4 ай бұрын

    Hongera sana Ubarikiwe sana

  • @user-eb8om4ur6h
    @user-eb8om4ur6h4 ай бұрын

    Tunashukuru kwa Elimu nzuri ya ujasiriamali

  • @jamesmassamakeri2418
    @jamesmassamakeri24184 ай бұрын

    Asante boss

  • @user-yz2it2qm3p
    @user-yz2it2qm3p4 ай бұрын

    Mlokozi mm mama kutoka Mtwara,nafuatia sana mazungumzo yako nakuelewa sana mm Mungu yuko mikononii mwako,akupe maisha marefu,

  • @user-yz2it2qm3p

    @user-yz2it2qm3p

    4 ай бұрын

    Kinywaji mpaka huku mtwara kilo?

  • @stellapaul4844
    @stellapaul48444 ай бұрын

    Hongera kaka kwa kutuelimisha kibiashara

  • @charlesmarwa6513
    @charlesmarwa65134 ай бұрын

    Mbarikiwe Sana niokota pointi kadhaa

  • @lissavalence169
    @lissavalence169 Жыл бұрын

    Naam safi

  • @JosephJohanson
    @JosephJohanson4 ай бұрын

    Hongera sana brother

  • @Shabbaentertainmet9382
    @Shabbaentertainmet9382 Жыл бұрын

    Kweli Mati ni pana

  • @mzidalifazaid4389
    @mzidalifazaid4389 Жыл бұрын

    Mambo Ni moto

  • @PaulHondi-hl8sz
    @PaulHondi-hl8sz4 ай бұрын

    Nimependa hiyo 🎉

  • @othmanali7408
    @othmanali74084 ай бұрын

    Watanzania wengi tunaogopa kufanya kitu kwa kuogopa kuanguka na ndio maana watu wengi wakitaka kufanya biashara wanaangalia mtu alofanikiwa kufanya biashara fulani kisha na yeye ndio ataanza kufanya hiyo . Mtu anaogopa kutumia kichwa chake kwa kuwanza kuanzisha kitu fulani anajiuliza huenda nikaanguka yani icho kitu kinatulemaza sana .

  • @aminakassim831

    @aminakassim831

    4 ай бұрын

    Tatizo kila mtu anakimbilia kwenye kufungua maduka ya nguo sijui viatu nawakati kuna fursa za ufugaji,kilimo mambo kibao

  • @stellapaul4844
    @stellapaul48444 ай бұрын

    Hakika ni kweli

  • @victorsamaytu3487
    @victorsamaytu34874 ай бұрын

    David uko vzr, wish ufungue hospitali uwatibu watu afya zao kama ulivyowatibu kwenye vinywaji, Mungu akulinde ktk biashara yako

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    Ай бұрын

    Daah ila ww jamaa umejaa majungu balaa 😂😂😂😂

  • @niriacatering172
    @niriacatering1724 ай бұрын

    Asante

  • @Shabbaentertainmet9382
    @Shabbaentertainmet9382 Жыл бұрын

    Nikweli mkurugenzi

  • @user-un3np6ie9k
    @user-un3np6ie9k4 ай бұрын

    Huyu mtangazaji ni kichwa sana, ametulia na anauliza maswali yenye tija sana.

  • @rasvegas8991

    @rasvegas8991

    4 ай бұрын

    Kabisaaa mtangzajiii yupo vzurii mawswaliii

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    Ай бұрын

    Hapo ndo ataonekana zaidi, kesho au keshokutwa atakuwa sehemu nzuri zaidi.

  • @erickshayo1363
    @erickshayo1363 Жыл бұрын

    💪💪💪

  • @rasvegas8991
    @rasvegas89914 ай бұрын

    Dada ana utulivuuu wakuulizwaa maswalii atafika mbaliii

  • @rademm8924

    @rademm8924

    4 ай бұрын

    Mbali wapi?

  • @evancekimath7405
    @evancekimath74054 ай бұрын

    Zi is the best

  • @doristusepile6792
    @doristusepile67924 ай бұрын

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz4 ай бұрын

    Nipenda sana hii kushirikiana watu mawazo ili wote mfaidike nitwatafuta kinywaji kunywa nvhi ni kizuri kiweza kupatikana hapo tanzania mnaweza kuwa no one nikija nitakuja hicho kinywaji aunaeeza kutuma mjaribu ii muweza kufikiria nina imani msaada watu kufanya pamoja ndio maana mafanikio makubwa wengine wachoyo kutumia watu good det mind Mungu hawabariki sana sana tiumuhunge mkono watanzania wote

  • @user-ki8st9qt9w
    @user-ki8st9qt9w4 ай бұрын

    Nimejifunza vingi kutoka kwa huyo braza

  • @jumachambega
    @jumachambega2 ай бұрын

    nakubari san

  • @bintsuletv4095
    @bintsuletv4095 Жыл бұрын

    Mati ni Pana

  • @Udindigwa
    @Udindigwa4 ай бұрын

    Point tupu

  • @edwardlubega5428
    @edwardlubega54284 ай бұрын

    Madini ya kutosha

  • @shenazissa7490
    @shenazissa74904 ай бұрын

    🙏🙏👍👍

  • @JOHARISIZYA-sh6fp
    @JOHARISIZYA-sh6fp4 ай бұрын

    Mkurugenzi anatumia jiana gani kwenye mitandao ya kijamii

  • @aminakassim831

    @aminakassim831

    4 ай бұрын

    David mulokozi

  • @MartinRupia
    @MartinRupia4 ай бұрын

    Mimi Nina mipango lkn cna mtaji nimejiajiri nahitaji msaada wako

Келесі