DAKIKA 30 NZITO ZA MKURUGENZI WA MATI SUPER BRANDS LTD NA FM MANYARA.
Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Mati Super Brands Ltd David Mulokozi, amefanya mahojiano maalum na kituo cha radio cha FM Manyara kilichopo mjini Babati.
Katika mahojiano hayo mambo mbalimbali yamezungumzwa na kujadiliwa kwa kina, hasa yale ya kuzifungua fursa mbalimbali, kuwatia moyo na kuwajenga vijana kiuchumi.
#Mati #FmManyara
Пікірлер: 44
Mungu akufanye kuwa tajiri zaid ya hapo MULOKOZI much respect brother 🙏
Have Learned alot from him at the age of 45 l'll do better from now,thank you soo much Mulokozi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu azidi kukubariki sana mkurugezi wetu
Mulokozi ni genius
Namuelewa sana uyu mwamba
Pigania uko vizuri MTU Wangu
Nafurahi sana nikiona mtu anatumia mkono wa shoto.. Mulokozi ni Mashoto mwenzangu.
Hongera sana Ubarikiwe sana
Tunashukuru kwa Elimu nzuri ya ujasiriamali
Asante boss
Mlokozi mm mama kutoka Mtwara,nafuatia sana mazungumzo yako nakuelewa sana mm Mungu yuko mikononii mwako,akupe maisha marefu,
@user-yz2it2qm3p
4 ай бұрын
Kinywaji mpaka huku mtwara kilo?
Hongera kaka kwa kutuelimisha kibiashara
Mbarikiwe Sana niokota pointi kadhaa
Naam safi
Hongera sana brother
Kweli Mati ni pana
Mambo Ni moto
Nimependa hiyo 🎉
Watanzania wengi tunaogopa kufanya kitu kwa kuogopa kuanguka na ndio maana watu wengi wakitaka kufanya biashara wanaangalia mtu alofanikiwa kufanya biashara fulani kisha na yeye ndio ataanza kufanya hiyo . Mtu anaogopa kutumia kichwa chake kwa kuwanza kuanzisha kitu fulani anajiuliza huenda nikaanguka yani icho kitu kinatulemaza sana .
@aminakassim831
4 ай бұрын
Tatizo kila mtu anakimbilia kwenye kufungua maduka ya nguo sijui viatu nawakati kuna fursa za ufugaji,kilimo mambo kibao
Hakika ni kweli
David uko vzr, wish ufungue hospitali uwatibu watu afya zao kama ulivyowatibu kwenye vinywaji, Mungu akulinde ktk biashara yako
@GeorgeAkasha-zx2rj
Ай бұрын
Daah ila ww jamaa umejaa majungu balaa 😂😂😂😂
Asante
Nikweli mkurugenzi
Huyu mtangazaji ni kichwa sana, ametulia na anauliza maswali yenye tija sana.
@rasvegas8991
4 ай бұрын
Kabisaaa mtangzajiii yupo vzurii mawswaliii
@GeorgeAkasha-zx2rj
Ай бұрын
Hapo ndo ataonekana zaidi, kesho au keshokutwa atakuwa sehemu nzuri zaidi.
💪💪💪
Dada ana utulivuuu wakuulizwaa maswalii atafika mbaliii
@rademm8924
4 ай бұрын
Mbali wapi?
Zi is the best
❤
Nipenda sana hii kushirikiana watu mawazo ili wote mfaidike nitwatafuta kinywaji kunywa nvhi ni kizuri kiweza kupatikana hapo tanzania mnaweza kuwa no one nikija nitakuja hicho kinywaji aunaeeza kutuma mjaribu ii muweza kufikiria nina imani msaada watu kufanya pamoja ndio maana mafanikio makubwa wengine wachoyo kutumia watu good det mind Mungu hawabariki sana sana tiumuhunge mkono watanzania wote
Nimejifunza vingi kutoka kwa huyo braza
nakubari san
Mati ni Pana
Point tupu
Madini ya kutosha
🙏🙏👍👍
Mkurugenzi anatumia jiana gani kwenye mitandao ya kijamii
@aminakassim831
4 ай бұрын
David mulokozi
Mimi Nina mipango lkn cna mtaji nimejiajiri nahitaji msaada wako