Nafurahi sana nikiona mtu anatumia mkono wa shoto.. Mulokozi ni Mashoto mwenzangu.
@Extension43534 ай бұрын
MaTi SB LTD,, Huyu boss msomi mulokozi,, Yaani ana hela na anajua kuzielezea Hadi raha,,nitafika kumtembelea ofisini kwake hususani kumwagilia moyo na STRONG GIN And Tanzanite
@charlesmarwa65134 ай бұрын
Mbarikiwe Sana niokota pointi kadhaa
@miriamnjau83554 ай бұрын
People should see all the hard work that Mr Mulokozi is doing he is such an incredible input to our country...God bless Tanzania and God bless it’s people with great visions and missions come true
@miriamnjau83554 ай бұрын
He is a great leader to the growth of the company and more than a miracle...
@user-yz2it2qm3p4 ай бұрын
Mlokozi mm mama kutoka Mtwara,nafuatia sana mazungumzo yako nakuelewa sana mm Mungu yuko mikononii mwako,akupe maisha marefu,
@user-yz2it2qm3p4 ай бұрын
Kinywaji mpaka huku mtwara kilo?
@jacksonkabaata60115 ай бұрын
Mungu akufanye kuwa tajiri zaid ya hapo MULOKOZI much respect brother 🙏
@safisimkoko19325 ай бұрын
Ee Mwenyezi MUNGU Nakuomba unipe utashi naubunifu niwena miladi na Makampun mbarimbari katka jina la YESU KRISTO AMEN
@JosephJohanson4 ай бұрын
Amen
@victorsamaytu34875 ай бұрын
David uko vzr, wish ufungue hospitali uwatibu watu afya zao kama ulivyowatibu kwenye vinywaji, Mungu akulinde ktk biashara yako
@GeorgeAkasha-zx2rjАй бұрын
Daah ila ww jamaa umejaa majungu balaa 😂😂😂😂
@doristusepile67925 ай бұрын
❤
@stellapaul48445 ай бұрын
Hakika ni kweli
@stellapaul48445 ай бұрын
Hongera kaka kwa kutuelimisha kibiashara
@shenazissa74905 ай бұрын
🙏🙏👍👍
@mohamedismail26625 ай бұрын
Namuelewa sana uyu mwamba
@joetemu81275 ай бұрын
Naangali kutoka Germany bro your the only boss wanatakiwa watu WA wakuige mfano wako blessed
@nyutwaclassic5 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri 🎉🎉 mzee mulokozi
@nyutwaclassic5 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri 🎉🎉 mzee mulokozi
@nyutwaclassic5 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri 🎉🎉 mzee mulokozi
@nyutwaclassic5 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri 🎉🎉 mzee mulokozi
@nyutwaclassic5 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri 🎉🎉 mzee mulokozi
@JosephJohanson5 ай бұрын
Hongera sana brother
@PaulHondi-hl8sz5 ай бұрын
Nimependa hiyo 🎉
@ZuwenaSinde-hj9qg5 ай бұрын
🤝🤝🙏🙏
@JOHARISIZYA-sh6fp5 ай бұрын
Mkurugenzi anatumia jiana gani kwenye mitandao ya kijamii
@aminakassim8315 ай бұрын
David mulokozi
@aminatanzanya74755 ай бұрын
Mulokozi ni genius
@rasvegas89915 ай бұрын
Dada ana utulivuuu wakuulizwaa maswalii atafika mbaliii
@rademm89245 ай бұрын
Mbali wapi?
@Bobhov5 ай бұрын
DJ 😂😂😂
@othmanali74085 ай бұрын
Watanzania wengi tunaogopa kufanya kitu kwa kuogopa kuanguka na ndio maana watu wengi wakitaka kufanya biashara wanaangalia mtu alofanikiwa kufanya biashara fulani kisha na yeye ndio ataanza kufanya hiyo . Mtu anaogopa kutumia kichwa chake kwa kuwanza kuanzisha kitu fulani anajiuliza huenda nikaanguka yani icho kitu kinatulemaza sana .
@aminakassim8315 ай бұрын
Tatizo kila mtu anakimbilia kwenye kufungua maduka ya nguo sijui viatu nawakati kuna fursa za ufugaji,kilimo mambo kibao
@user-un3np6ie9k5 ай бұрын
Huyu mtangazaji ni kichwa sana, ametulia na anauliza maswali yenye tija sana.
@rasvegas89915 ай бұрын
Kabisaaa mtangzajiii yupo vzurii mawswaliii
@GeorgeAkasha-zx2rjАй бұрын
Hapo ndo ataonekana zaidi, kesho au keshokutwa atakuwa sehemu nzuri zaidi.
@niriacatering1725 ай бұрын
Asante
@DpN-rk8xz5 ай бұрын
Huyu baba muige mfano kwa kweli
@DpN-rk8xz5 ай бұрын
Hongera sana mimiwazo kinywaji nataka nije nacho mjaribu muone kuweza kutegeneza hapo nikinyaji kizuri wanawekecwengi wanapenda tanzania tunaweza MUNGU nikija nitawatafuta tuongea
@DpN-rk8xz5 ай бұрын
Nipenda sana hii kushirikiana watu mawazo ili wote mfaidike nitwatafuta kinywaji kunywa nvhi ni kizuri kiweza kupatikana hapo tanzania mnaweza kuwa no one nikija nitakuja hicho kinywaji aunaeeza kutuma mjaribu ii muweza kufikiria nina imani msaada watu kufanya pamoja ndio maana mafanikio makubwa wengine wachoyo kutumia watu good det mind Mungu hawabariki sana sana tiumuhunge mkono watanzania wote
@DpN-rk8xz5 ай бұрын
Hongera sana Ubarikiwe sana
@edwardlubega54285 ай бұрын
Madini ya kutosha
@markwiwi98335 ай бұрын
Mimi ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya NILIKUA TANZANIA (NTZ APPAREL). Nimejifunza mengi sana kwenye saa zima nililotazama. Nawatakia Kheri MATI Super brands. Such an inspiration
@musason16805 ай бұрын
Hiyo beat haina haja inqkera humsikii mtu vzr
@user-iu8oj5gb6y5 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki sana mkurugezi wetu
@jamesmassamakeri24185 ай бұрын
Asante boss
@gracemeshy49665 ай бұрын
Thank you for inspiration true eagle. Keep the spirit
Пікірлер
nakubari san
I like it and I wil introduce it to my country Malawi
Devid
Nimejifunza vingi kutoka kwa huyo braza
Have Learned alot from him at the age of 45 l'll do better from now,thank you soo much Mulokozi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera sana broo wewe umenionuesha njia naomba Mungu anipe ulinzi wake nami naamini ntaacha legacy kwa nch yangu na family yangu
Zi is the best
Mimi Nina mipango lkn cna mtaji nimejiajiri nahitaji msaada wako
Tunashukuru kwa Elimu nzuri ya ujasiriamali
Nafurahi sana nikiona mtu anatumia mkono wa shoto.. Mulokozi ni Mashoto mwenzangu.
MaTi SB LTD,, Huyu boss msomi mulokozi,, Yaani ana hela na anajua kuzielezea Hadi raha,,nitafika kumtembelea ofisini kwake hususani kumwagilia moyo na STRONG GIN And Tanzanite
Mbarikiwe Sana niokota pointi kadhaa
People should see all the hard work that Mr Mulokozi is doing he is such an incredible input to our country...God bless Tanzania and God bless it’s people with great visions and missions come true
He is a great leader to the growth of the company and more than a miracle...
Mlokozi mm mama kutoka Mtwara,nafuatia sana mazungumzo yako nakuelewa sana mm Mungu yuko mikononii mwako,akupe maisha marefu,
Kinywaji mpaka huku mtwara kilo?
Mungu akufanye kuwa tajiri zaid ya hapo MULOKOZI much respect brother 🙏
Ee Mwenyezi MUNGU Nakuomba unipe utashi naubunifu niwena miladi na Makampun mbarimbari katka jina la YESU KRISTO AMEN
Amen
David uko vzr, wish ufungue hospitali uwatibu watu afya zao kama ulivyowatibu kwenye vinywaji, Mungu akulinde ktk biashara yako
Daah ila ww jamaa umejaa majungu balaa 😂😂😂😂
❤
Hakika ni kweli
Hongera kaka kwa kutuelimisha kibiashara
🙏🙏👍👍
Namuelewa sana uyu mwamba
Naangali kutoka Germany bro your the only boss wanatakiwa watu WA wakuige mfano wako blessed
Hongera kwa kazi nzuri 🎉🎉 mzee mulokozi
Hongera kwa kazi nzuri 🎉🎉 mzee mulokozi
Hongera kwa kazi nzuri 🎉🎉 mzee mulokozi
Hongera kwa kazi nzuri 🎉🎉 mzee mulokozi
Hongera kwa kazi nzuri 🎉🎉 mzee mulokozi
Hongera sana brother
Nimependa hiyo 🎉
🤝🤝🙏🙏
Mkurugenzi anatumia jiana gani kwenye mitandao ya kijamii
David mulokozi
Mulokozi ni genius
Dada ana utulivuuu wakuulizwaa maswalii atafika mbaliii
Mbali wapi?
DJ 😂😂😂
Watanzania wengi tunaogopa kufanya kitu kwa kuogopa kuanguka na ndio maana watu wengi wakitaka kufanya biashara wanaangalia mtu alofanikiwa kufanya biashara fulani kisha na yeye ndio ataanza kufanya hiyo . Mtu anaogopa kutumia kichwa chake kwa kuwanza kuanzisha kitu fulani anajiuliza huenda nikaanguka yani icho kitu kinatulemaza sana .
Tatizo kila mtu anakimbilia kwenye kufungua maduka ya nguo sijui viatu nawakati kuna fursa za ufugaji,kilimo mambo kibao
Huyu mtangazaji ni kichwa sana, ametulia na anauliza maswali yenye tija sana.
Kabisaaa mtangzajiii yupo vzurii mawswaliii
Hapo ndo ataonekana zaidi, kesho au keshokutwa atakuwa sehemu nzuri zaidi.
Asante
Huyu baba muige mfano kwa kweli
Hongera sana mimiwazo kinywaji nataka nije nacho mjaribu muone kuweza kutegeneza hapo nikinyaji kizuri wanawekecwengi wanapenda tanzania tunaweza MUNGU nikija nitawatafuta tuongea
Nipenda sana hii kushirikiana watu mawazo ili wote mfaidike nitwatafuta kinywaji kunywa nvhi ni kizuri kiweza kupatikana hapo tanzania mnaweza kuwa no one nikija nitakuja hicho kinywaji aunaeeza kutuma mjaribu ii muweza kufikiria nina imani msaada watu kufanya pamoja ndio maana mafanikio makubwa wengine wachoyo kutumia watu good det mind Mungu hawabariki sana sana tiumuhunge mkono watanzania wote
Hongera sana Ubarikiwe sana
Madini ya kutosha
Mimi ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya NILIKUA TANZANIA (NTZ APPAREL). Nimejifunza mengi sana kwenye saa zima nililotazama. Nawatakia Kheri MATI Super brands. Such an inspiration
Hiyo beat haina haja inqkera humsikii mtu vzr
Mungu azidi kukubariki sana mkurugezi wetu
Asante boss
Thank you for inspiration true eagle. Keep the spirit
Point tupu
Let them enjoy the show