DAKTARI AFUNGUKA MAZITO KUHUSU VIDONGE VYA P2/ADAI NI SUMU/WATOTO WA SHULE WANAZITUMIA SANA
Ойын-сауық
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 20
Docta mm Nina swali, na kama ukitumia mara moja 2 Kuna athari Gani?
Inakuwaje mtu unatumia p2 halafu bado unashika ujauzito
Sasa kama nimemeza P2 kabla ya masala 72 alafu mume akataka tena nafanyaje?
Mm nimemtumia vidonge vya uzazi WA mpango,nilipoacha ikazuka ugojwa WA kuishiwa na sukari,kuishiwa nguvu kidogo nife
Naomba unisaidie dawa nimetumia p2 ninamuda mrefu sijaenda naomba munisaidie
Umeelekeza vizuri doctor
Nikuulze kma ushatumie hio daw n imekuathiri unaeza pta daw za kushka ujauzito kwel
Sasa nikisha tumia p2 nitakaa masaa mangapi
Hata mmi naisikianga jamani😂😂
Unameza p2 vidonge vingap
Daktari which is the best time to have a baby girl
@fatumakamande3256
2 жыл бұрын
Asante doctor mm nimetumia p2 mara 4 kwa mwezi,nikaona bada wacha nidunge depo,ni medunga march hadi huu mwezi wa sita nahisi tumbo lime jaa sana
@elibarikimelayekiy2040
Жыл бұрын
Docta jekamaumetumia zaidi2 unawezakupata mtototena
Nic
@allyathumani6856
3 жыл бұрын
Ni somo zuri linatakiwa mabinti zetu waambiwe.shuleni
@peterzebedayo8697
7 ай бұрын
Mico, inatakiwa itumiki baada ya muda gani?
Jamn Doctor hajajibu kuwa unaeza ukatumia baada ya mda gani ili kuepuka na hayo madhara
Kama uko na shindamo ya kupanga ya niaka tano imemaliza miaka 4 umebakisha mwaka waweza kupatia ujauzito
Je,na,kijiti
😅