DAKTARI AFUNGUKA MAZITO KUHUSU VIDONGE VYA P2/ADAI NI SUMU/WATOTO WA SHULE WANAZITUMIA SANA

Ойын-сауық

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 20

  • @josephinabiseko7302
    @josephinabiseko73022 жыл бұрын

    Docta mm Nina swali, na kama ukitumia mara moja 2 Kuna athari Gani?

  • @oliverjohson6346
    @oliverjohson6346 Жыл бұрын

    Inakuwaje mtu unatumia p2 halafu bado unashika ujauzito

  • @fridamwacha7555
    @fridamwacha7555 Жыл бұрын

    Sasa kama nimemeza P2 kabla ya masala 72 alafu mume akataka tena nafanyaje?

  • @irenetibandekile1440
    @irenetibandekile144011 ай бұрын

    Mm nimemtumia vidonge vya uzazi WA mpango,nilipoacha ikazuka ugojwa WA kuishiwa na sukari,kuishiwa nguvu kidogo nife

  • @VictoriaStephano-th7wt
    @VictoriaStephano-th7wt3 ай бұрын

    Naomba unisaidie dawa nimetumia p2 ninamuda mrefu sijaenda naomba munisaidie

  • @thomashudson1083
    @thomashudson10833 жыл бұрын

    Umeelekeza vizuri doctor

  • @periswise5873
    @periswise5873 Жыл бұрын

    Nikuulze kma ushatumie hio daw n imekuathiri unaeza pta daw za kushka ujauzito kwel

  • @Litarichard
    @Litarichard10 ай бұрын

    Sasa nikisha tumia p2 nitakaa masaa mangapi

  • @lydiahsarange7430
    @lydiahsarange74309 ай бұрын

    Hata mmi naisikianga jamani😂😂

  • @user-en4fe3qm2w
    @user-en4fe3qm2w4 ай бұрын

    Unameza p2 vidonge vingap

  • @shirusintu2280
    @shirusintu22802 жыл бұрын

    Daktari which is the best time to have a baby girl

  • @fatumakamande3256

    @fatumakamande3256

    2 жыл бұрын

    Asante doctor mm nimetumia p2 mara 4 kwa mwezi,nikaona bada wacha nidunge depo,ni medunga march hadi huu mwezi wa sita nahisi tumbo lime jaa sana

  • @elibarikimelayekiy2040

    @elibarikimelayekiy2040

    Жыл бұрын

    Docta jekamaumetumia zaidi2 unawezakupata mtototena

  • @DJeeK2
    @DJeeK23 жыл бұрын

    Nic

  • @allyathumani6856

    @allyathumani6856

    3 жыл бұрын

    Ni somo zuri linatakiwa mabinti zetu waambiwe.shuleni

  • @peterzebedayo8697

    @peterzebedayo8697

    7 ай бұрын

    Mico, inatakiwa itumiki baada ya muda gani?

  • @jeniphakavishe3646
    @jeniphakavishe36462 жыл бұрын

    Jamn Doctor hajajibu kuwa unaeza ukatumia baada ya mda gani ili kuepuka na hayo madhara

  • @ningalachidzungu4971
    @ningalachidzungu49719 ай бұрын

    Kama uko na shindamo ya kupanga ya niaka tano imemaliza miaka 4 umebakisha mwaka waweza kupatia ujauzito

  • @mwamvuasalumu7450
    @mwamvuasalumu7450 Жыл бұрын

    Je,na,kijiti

  • @user-fw6rm1ze2p
    @user-fw6rm1ze2p5 ай бұрын

    😅

Келесі