KENYA KIMENUKA UPYA | RAIA WAINGIA BARABARANI | WATAKA RUTO AJIUZULU.

Ойын-сауық

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 140

  • @TheophileMikekemo
    @TheophileMikekemo19 күн бұрын

    Tunashukuru waandamanaji wa Nairobi Kenya. Ruto aliwaza anatawala mbuzi ao ngombe. Alisahau kama ni wanadamu. Yeye aache kiti cha uraisi kwa raia. Waandamanaji oye !!!

  • @upendoeliya9329

    @upendoeliya9329

    17 күн бұрын

    Sio kirahisi km unavyozidi!! Uchaguzi Mkuu ndio utakaoamua kwa mujibu wa Katiba.

  • @judithodwar7112
    @judithodwar711219 күн бұрын

    I have enjoyed this conversation

  • @SamAbdalah
    @SamAbdalah19 күн бұрын

    Mimi nakuomba mheshimiwa RUTO, ww umepewa sifa ya kuwa, msomi zaidi katika maraisi chini ya Africa, tambua sisi waafrca ni dhaifu kuelewa. Kuwa mpole,

  • @allyzanzibar8983
    @allyzanzibar898319 күн бұрын

    Dah Raisi anatimuliwa na marungu dah he must go This love from Zanzibar keep doing it, stand up and don't give up

  • @ibrahimgwasma1223

    @ibrahimgwasma1223

    17 күн бұрын

    Hahaha hapa znz tuwaige ili tujiajiri wote?

  • @abdubakar5428
    @abdubakar542815 күн бұрын

    Umoja na tuache ukabila na udini katika Kenya mpya. Kenya spring...

  • @jaizemanga4090
    @jaizemanga409019 күн бұрын

    Ruto must go

  • @jameskenny1808
    @jameskenny180819 күн бұрын

    Ruto must go ame tuma jeshi Congo kujiunga na waasi wa m23 ku mwanga damu ya wa Congo sababu haja tosheka na damu ya wa Kenya 🇰🇪 Vijana wa Kenya na Africa nzima msikubali hali hii ya viongozi kama ruto wa endelee kuwa pofusha macho ili wao wa endelee kujitajirisha na nyinyi mu baki maskini hata kama munazo diploma please stand up for your country and your freedoms you are the future of the country you have everything in your hands don’t let anyone else take advantage of your dignity

  • @SaintNjuguna

    @SaintNjuguna

    18 күн бұрын

    Ruto ni kama zombie anamwaga damu kama Hitler

  • @chunaabdullah1333

    @chunaabdullah1333

    18 күн бұрын

    ​@@SaintNjugunasio kama ni zombie lenyewe hili ruto

  • @BilaliIloko
    @BilaliIloko19 күн бұрын

    Wanaopenda aman karibuni taanzania

  • @abdullahalsharji9428

    @abdullahalsharji9428

    18 күн бұрын

    Amani tanzania ipo walakin lissu anataka kuleta vurugu

  • @user-ng6yt2od7l

    @user-ng6yt2od7l

    18 күн бұрын

    ​Watamtumbua kama mjomba😂@@abdullahalsharji9428

  • @eliathomas8446

    @eliathomas8446

    18 күн бұрын

    ​@@abdullahalsharji9428 lisu ni mdudu

  • @chunaabdullah1333

    @chunaabdullah1333

    18 күн бұрын

    ​@@abdullahalsharji9428hatutaki amani Kenya 😂

  • @fabianmallya1446

    @fabianmallya1446

    18 күн бұрын

    Amani sio uoga?

  • @DavidKioko-zc2si
    @DavidKioko-zc2si19 күн бұрын

    Sisi kama GEN Z,ata tukiitwa hatuedi.uyu jamaa sio mzuri he just want tukutane just to identify us akiamungu ili atuuwe mmoja kwa mmoja

  • @gilbertowuor6071

    @gilbertowuor6071

    17 күн бұрын

    Kweli kabisa, msiende.

  • @chepindichepindi3328
    @chepindichepindi332819 күн бұрын

    Wakenya ni wasomi bwana.

  • @tobiusjtz7607
    @tobiusjtz760719 күн бұрын

    Weldone

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko19 күн бұрын

    Ruto toka pole pole nimeota umekufa

  • @beatricekasudi4743

    @beatricekasudi4743

    18 күн бұрын

    Na bado 😢😢😢

  • @johnkipruto18
    @johnkipruto1819 күн бұрын

    Congratulation,I like your conversation about the Gens Z revolution,it is positive and balance.

  • @amohammed3390
    @amohammed339018 күн бұрын

    Kenya is beautiful please don’t destroy it. Let president lead the country

  • @KushiniMadevu

    @KushiniMadevu

    17 күн бұрын

    Ww ni wa nchi gani

  • @kiatu

    @kiatu

    17 күн бұрын

    Presidents wana-lead people sio country

  • @gilbertowuor6071

    @gilbertowuor6071

    17 күн бұрын

    Lakini sio kwa mabavu.

  • @renarenatah4198
    @renarenatah419817 күн бұрын

    Ruto and museveni must go

  • @josephatutana3076
    @josephatutana307616 күн бұрын

    Huyo jamaa ni mchochezi kakita habari zake

  • @HusseinSaguti-sj9nh
    @HusseinSaguti-sj9nh19 күн бұрын

    Ruto alichuuzwa Amerika

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze731116 күн бұрын

    Kenya nyie mko vizuri mnabaki sion inchi nyingine Ivo wanauwa raiya wanapo andamana

  • @gilbertowuor6071
    @gilbertowuor607117 күн бұрын

    Ni kweli kabisa, nia ni kuichafulia jenziis jina, ni hivo hivo walifanya kwa maandamano ya chama cha Azimio hapo mbeleni.

  • @HamisPaul-j2r
    @HamisPaul-j2r19 күн бұрын

    Mko vizuli Kwa msima, Kwan tz tnalilia chumban

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    19 күн бұрын

    Nenda Kenya ukawaunge mkono sio kushabikia mtandaoni choko wewe

  • @kiatu

    @kiatu

    17 күн бұрын

    Tanzania Gen-Z baado hawajazaliwa 😂. Tusubiri 2040.

  • @mariepierre433
    @mariepierre43319 күн бұрын

    Ruto must go 🇭🇹

  • @bettymariga
    @bettymariga17 күн бұрын

    Tumechoka rutoooo aendeee tumsaidie kupark mizingo uko na tamaa sana

  • @isacksimonmahungilo
    @isacksimonmahungilo16 күн бұрын

    Nawashangaaa kenya

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze731116 күн бұрын

    Hawana kiongozi kweli nishida

  • @helinasubila987
    @helinasubila98718 күн бұрын

    Hiii ni kazi ya raila na hatawai kua raisi ya kenya

  • @arcsys

    @arcsys

    18 күн бұрын

    una shida nyingi dada. shida tupu wewe.

  • @fabianmallya1446

    @fabianmallya1446

    18 күн бұрын

    I can smell raila in this b’coz most of them ni wajaluo

  • @bettymariga

    @bettymariga

    17 күн бұрын

    Fikiria b4 uongee hamuoni wakenya wanaumia

  • @user-su6xu7ks7m
    @user-su6xu7ks7m17 күн бұрын

    BADO TANZANIA CCM AND SSH MUST GO. WASOME ALAMA .JUSTICE IS COMING GOD FORBID !

  • @priscillagacira8370
    @priscillagacira837018 күн бұрын

    Ruto must go 🇶🇦

  • @SaumuChengo
    @SaumuChengo17 күн бұрын

    Ruto must go 😢😢😢😢😢

  • @user-dt4ml4lu9w
    @user-dt4ml4lu9w18 күн бұрын

    May the Lord protect our president and give him wisdom so that he may get away forward.

  • @Ambwene
    @Ambwene19 күн бұрын

    Viongozi wa Africa wapumbavu sana tatizo kubwa wanawasikiliza saaana AMERICA 🇺🇸 😢 🙏

  • @user-mo2iv1xo1g

    @user-mo2iv1xo1g

    18 күн бұрын

    kweli sana

  • @user-sd4ht5pk6n

    @user-sd4ht5pk6n

    14 күн бұрын

    Ruto ni mkristo angekuwa kama wengine ange wamaliza washenzi wale​@@user-mo2iv1xo1g

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z18 күн бұрын

    The Bible Say's ukishupaza shingo itavunjika.Msg sent in Africa.

  • @ANRAHIMKADUMA
    @ANRAHIMKADUMA18 күн бұрын

    Ruto jiuzulu madaraka ni amali ya Dunia mrudieye Mungu Tafuta Ahkera achana na utawala wa kuua vijana TAIFA la kesho

  • @chunaabdullah1333

    @chunaabdullah1333

    18 күн бұрын

    Hawezi jiuzulu kwa sababu anaongozwa na shetani huyu, ss ye aoni asara kuona damu yy ndo rahaa yake ss kuachia hiki kiti ni ngumu sana mana akikubali tu anapokonywa kila kitu 😢

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x19 күн бұрын

    wakenya porenisana ,🇹🇿

  • @FredyMolley-zq3em
    @FredyMolley-zq3em16 күн бұрын

    ihi mandaman Nia lini

  • @roolvensromain2320
    @roolvensromain232019 күн бұрын

    Ruto must gop

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804317 күн бұрын

    Ila Hawa ni wezi

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804317 күн бұрын

    Ila ruto kazaaa hao wasenge hao wanakujaribu utapita tu broo

  • @godsson5954
    @godsson595418 күн бұрын

    Kenya is more wise

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l18 күн бұрын

    Kuna watoto wadogo sana jamn Ola polisi wanepooza sana

  • @user-xy5nc7hp7j
    @user-xy5nc7hp7j19 күн бұрын

    Very true

  • @AboabdulhakimAlfaleh-in7jo
    @AboabdulhakimAlfaleh-in7jo19 күн бұрын

    umeongea vixuri sana

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb19 күн бұрын

    WE Ruto ??kwa Nini hutaki kuacha kiti ?? wa Kenya hawakutali sasa hivi ondoka acha mamlaka

  • @susymasibo

    @susymasibo

    19 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Nairobianleo
    @Nairobianleo18 күн бұрын

    Who else the dude Need to b prezo

  • @mchungajimpigauzitv5703
    @mchungajimpigauzitv570319 күн бұрын

    Yesu wasaidiye ingiliya kati maana imekuwa shida Kwa wamama na watoto

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804317 күн бұрын

    Wametumwa hao wakuharibie

  • @walterurassa
    @walterurassa19 күн бұрын

    Poleni wakenya

  • @EstonKidaji
    @EstonKidaji19 күн бұрын

    Kenya hii watu wakielezwa maneno hawasikii. kuna mzee kutoka Eldoret alieleza wazi huyu mtu alikua mwizi tokea zamani kwa primary school kuingia serekalini amezidisha wizi na mauaji ndio haya kenyans tuamke tuungane huyu mtu atuondokee mastaka yake yafunguliwe ICC.

  • @Ana-di6qg

    @Ana-di6qg

    19 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂 kumbe toka kwa school alikuwa anaiba!!!!!. basi Tabia inakua kidogo kidogo

  • @Joyyoy877
    @Joyyoy87719 күн бұрын

    Na wakipata ruto watoe kichwa pia watupie ndege wale vile Daudi alitupia ndege Goliata😅😅😅😅

  • @georgemuthokasyala8026
    @georgemuthokasyala802619 күн бұрын

    Huyu ni mwanahabari wa wapi huyu mwenye anasema vitu ambavyo havina uhakika

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804317 күн бұрын

    Ningelikuwa mm ndio presidar mngekunya walah

  • @kiatu
    @kiatu17 күн бұрын

    Wazazi wataingia mitaani kuwaokoa watoto wao. Na itakuwa ndio mwisho wa Ruto

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga284819 күн бұрын

    Ruto.,Mungu.akusimamie

  • @BonfaceOgwe-wq9ny

    @BonfaceOgwe-wq9ny

    19 күн бұрын

    Mfarisai mwenzake

  • @lucywambui6805

    @lucywambui6805

    19 күн бұрын

    Just the same way he has treated Kenyans. GOD is able. Ruto must go for the peace of the country.

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman634018 күн бұрын

    Msizani km African tuko salama na mabeberu , lazima watatufanya tugombane wenyewe kwa wenyewe

  • @user-mw9zn8hg7y
    @user-mw9zn8hg7y19 күн бұрын

    Mungu alinde Vijana na Neema na nguvu

  • @danmelis1392
    @danmelis139217 күн бұрын

    Ruto must Go

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone801417 күн бұрын

    Kenya Ruto hawezi kuendelea na Uraisi wake. Ni bora aachie ngazi ili kuepusha maafa.

  • @al-bleproshooteur1922
    @al-bleproshooteur192219 күн бұрын

    😮

  • @robertmatanokarisa7342
    @robertmatanokarisa734218 күн бұрын

    Riziki kaivufya vyalazima

  • @MeshackMongeri-nu8yx
    @MeshackMongeri-nu8yx19 күн бұрын

    City zen Tiv

  • @rosembathe3666
    @rosembathe366619 күн бұрын

    Tumechoka na Ruto.are very arrogant.Enda kwenu

  • @shabanmuhoro3342
    @shabanmuhoro334219 күн бұрын

    Huyu jamaa ameongea facts Sana kama ni hivyo Mambo iko MBAYA Sana RUTO ameangukia pabaya

  • @user-df1fr1zg6v
    @user-df1fr1zg6v19 күн бұрын

    Ivi uyo ruto yupo kweli Kenya au yuko nje ya apo😅😅

  • @cyantess8423

    @cyantess8423

    19 күн бұрын

    yuko area acha mungu afanye kazi ruto na shetani ni kitu kimoja bure kabisa

  • @davidsibejo4916
    @davidsibejo491613 күн бұрын

    Kwani kenya Haina jeshi la police

  • @georgeadimo4864
    @georgeadimo486417 күн бұрын

    Ruto Seems to knows everything That's Feeling stupid Ruto want Us to think stupid Marco manage all departments 😂😂😂😂

  • @BilaliIloko
    @BilaliIloko19 күн бұрын

    Polen sana ila sababu ya haya yote ni wanasiasa

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali391816 күн бұрын

    😢

  • @MohamedNoormohamed-lc4rg
    @MohamedNoormohamed-lc4rg19 күн бұрын

    Geenzii barakiwe power belongs to people arrogant who become opses with power

  • @okindovictor586
    @okindovictor58618 күн бұрын

    Hapo kw utaita nani kw maana hawana kiongozi utaita nani

  • @josephsarai6493
    @josephsarai649318 күн бұрын

    It's that your vote Mr PRESIDENT 😅😅😅😅

  • @dalalimjinga.144
    @dalalimjinga.14419 күн бұрын

    Ruto simuoni kuwa Rais tena mwezi 8

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804317 күн бұрын

    Msimuonee rais Hana kosa mbona uhuru amewaua sana

  • @user-lt2qh5dj1b
    @user-lt2qh5dj1b19 күн бұрын

    Akuna atoke kashindwa

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe296718 күн бұрын

    Kumbukeni Libya ninyi mtakujakuikumbuka Kenya ya ruto

  • @mosesmuiru-qq9sx

    @mosesmuiru-qq9sx

    17 күн бұрын

    Libya ni libya,na sisi ni wakenya,kwa hivo hata kama tutamkumbuka tutakumbuka yeye kwa mabaya.Especially kuuwa vijana wakitetea haki.Ametukumbusha vile aliamlisha watu wachomewe kwa kanisa 2007😭😭😭😭😭

  • @PaulNganga-wi6lp
    @PaulNganga-wi6lp18 күн бұрын

    It's very unfortunate that even now, Ruto planting goons.

  • @khamisshehe9187
    @khamisshehe918719 күн бұрын

    Hii ndio vijana watajifunza kutokana na kukumbatia wanasiasa wa upinzanie ambao wanatoa ahadi nyingi sana kwamba wao wakiongoza in nchi wataleta mabadiliko lkn hatimae wanashindwa kufanya huyo kitu, Ila bi kujinufaisha wao na family zao tu. Hiyo vijana wajifunze hiyo kitu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @lokedavid4949
    @lokedavid494919 күн бұрын

    Social media na uongo nayo mtachoma kenya

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo17 күн бұрын

    WAKENYA MMESAHAU YA LIBYA IKO WAP

  • @BernardUrassa-lq8so
    @BernardUrassa-lq8so18 күн бұрын

    Akuna kulala

  • @user-we7uq1qh7p
    @user-we7uq1qh7p19 күн бұрын

    Nikuwamaliza hao waze wanakula inchi peke yao vijana wanataka kazi tupeni kazi

  • @saimongilala8938
    @saimongilala893819 күн бұрын

    Alienda kwa mashoga acha akome

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i18 күн бұрын

    Hasira nihasara

  • @VeneroMaxvely
    @VeneroMaxvely19 күн бұрын

    UKIONA MWENZAKO ANYOLEWA ZA KWAKO TIA MAJI

  • @LeganNtambi
    @LeganNtambi18 күн бұрын

    Wakenya wanajiamini Sana 💯

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma323118 күн бұрын

    Ruto ninakuomba uvunje parliament na wote muondoke Usije ukawa ka m a raisi wa zamani wa Egypt aliyeaibishwa na kuishia gerezani.Ruto future generation no.longer want you in power.usione aibu kuacha urais.A game is over.Iam afraid that you might end up being aMkimbizi😢😢The earlier t h e better.Iam not Kenyan but I can far.Ondoka ndugu yangu😢😢

  • @gracekagoma3231

    @gracekagoma3231

    18 күн бұрын

    Ican see far .ondoka😢😢

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza32719 күн бұрын

    Nchi imekufa tyr hiyo

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v19 күн бұрын

    Itanikera sana kama wanafanya yote hayo kwa fitna na ushawishi wa vibaraka wa nchi.

  • @SAMWELLOLMINGANI
    @SAMWELLOLMINGANI19 күн бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @fatimanour9793
    @fatimanour979318 күн бұрын

    I Wander Why The Kenyans Are So Poor And Somalians Hindi Are So Rich How Come Kenyans Are So Slomes But Now They Get Up EnoughEnsor is enough

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi824119 күн бұрын

    Jmni Kenya kusije kuchafuka ikawa kama Libya na kwengineko. Ila Ruto ametikiswa basi Kenya wampe nafasi atafanya maajabu

  • @dahbossqueentalkshow3778

    @dahbossqueentalkshow3778

    19 күн бұрын

    Aende tu tumechoka

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    18 күн бұрын

    @@dahbossqueentalkshow3778 hapa ndugu yangu..you guys will be in a worse-off state then now. we are praying for Kenya. May God cover this gigantic Nation in Jesus precious Name!

  • @IbrahimuDickson
    @IbrahimuDickson18 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @teresawanjiru686
    @teresawanjiru68619 күн бұрын

    Pongezi

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804317 күн бұрын

    Makuma nyie yaan mnatia hasira nyie

  • @MmM-dl9yl
    @MmM-dl9yl19 күн бұрын

    Ruto go home 2year achafanya anything in this country in Kenya amaleta azala Kenya .

  • @philipndiema2228
    @philipndiema222819 күн бұрын

    You have been fed with lies.

  • @WilliamOmondi-pp8nd
    @WilliamOmondi-pp8nd19 күн бұрын

    xxx

  • @WilliamOmondi-pp8nd

    @WilliamOmondi-pp8nd

    19 күн бұрын

    xxx

  • @user-mo2iv1xo1g
    @user-mo2iv1xo1g18 күн бұрын

    punda akichoka jihadhari kwa mateke.

  • @EdwinTaber
    @EdwinTaber19 күн бұрын

    Mtachoka ruto tano tena na tax mtalipa

  • @conradomtuwetu2360

    @conradomtuwetu2360

    19 күн бұрын

    Ukabila utakuponza .

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa804317 күн бұрын

    Usiongee na wasenge piga hao maumbwa

  • @sebagabotito7522
    @sebagabotito752218 күн бұрын

    Kenya mucyunguze vizuli musiingizwe shimo ya maksbila kama rwanda ao bujumbula

Келесі