KENYA KIMENUKA UPYA | RAIA WAINGIA BARABARANI | WATAKA RUTO AJIUZULU.
Ойын-сауық
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 140
Tunashukuru waandamanaji wa Nairobi Kenya. Ruto aliwaza anatawala mbuzi ao ngombe. Alisahau kama ni wanadamu. Yeye aache kiti cha uraisi kwa raia. Waandamanaji oye !!!
@upendoeliya9329
17 күн бұрын
Sio kirahisi km unavyozidi!! Uchaguzi Mkuu ndio utakaoamua kwa mujibu wa Katiba.
I have enjoyed this conversation
Mimi nakuomba mheshimiwa RUTO, ww umepewa sifa ya kuwa, msomi zaidi katika maraisi chini ya Africa, tambua sisi waafrca ni dhaifu kuelewa. Kuwa mpole,
Dah Raisi anatimuliwa na marungu dah he must go This love from Zanzibar keep doing it, stand up and don't give up
@ibrahimgwasma1223
17 күн бұрын
Hahaha hapa znz tuwaige ili tujiajiri wote?
Umoja na tuache ukabila na udini katika Kenya mpya. Kenya spring...
Ruto must go
Ruto must go ame tuma jeshi Congo kujiunga na waasi wa m23 ku mwanga damu ya wa Congo sababu haja tosheka na damu ya wa Kenya 🇰🇪 Vijana wa Kenya na Africa nzima msikubali hali hii ya viongozi kama ruto wa endelee kuwa pofusha macho ili wao wa endelee kujitajirisha na nyinyi mu baki maskini hata kama munazo diploma please stand up for your country and your freedoms you are the future of the country you have everything in your hands don’t let anyone else take advantage of your dignity
@SaintNjuguna
18 күн бұрын
Ruto ni kama zombie anamwaga damu kama Hitler
@chunaabdullah1333
18 күн бұрын
@@SaintNjugunasio kama ni zombie lenyewe hili ruto
Wanaopenda aman karibuni taanzania
@abdullahalsharji9428
18 күн бұрын
Amani tanzania ipo walakin lissu anataka kuleta vurugu
@user-ng6yt2od7l
18 күн бұрын
Watamtumbua kama mjomba😂@@abdullahalsharji9428
@eliathomas8446
18 күн бұрын
@@abdullahalsharji9428 lisu ni mdudu
@chunaabdullah1333
18 күн бұрын
@@abdullahalsharji9428hatutaki amani Kenya 😂
@fabianmallya1446
18 күн бұрын
Amani sio uoga?
Sisi kama GEN Z,ata tukiitwa hatuedi.uyu jamaa sio mzuri he just want tukutane just to identify us akiamungu ili atuuwe mmoja kwa mmoja
@gilbertowuor6071
17 күн бұрын
Kweli kabisa, msiende.
Wakenya ni wasomi bwana.
Weldone
Ruto toka pole pole nimeota umekufa
@beatricekasudi4743
18 күн бұрын
Na bado 😢😢😢
Congratulation,I like your conversation about the Gens Z revolution,it is positive and balance.
Kenya is beautiful please don’t destroy it. Let president lead the country
@KushiniMadevu
17 күн бұрын
Ww ni wa nchi gani
@kiatu
17 күн бұрын
Presidents wana-lead people sio country
@gilbertowuor6071
17 күн бұрын
Lakini sio kwa mabavu.
Ruto and museveni must go
Huyo jamaa ni mchochezi kakita habari zake
Ruto alichuuzwa Amerika
Kenya nyie mko vizuri mnabaki sion inchi nyingine Ivo wanauwa raiya wanapo andamana
Ni kweli kabisa, nia ni kuichafulia jenziis jina, ni hivo hivo walifanya kwa maandamano ya chama cha Azimio hapo mbeleni.
Mko vizuli Kwa msima, Kwan tz tnalilia chumban
@walidmgonja3644
19 күн бұрын
Nenda Kenya ukawaunge mkono sio kushabikia mtandaoni choko wewe
@kiatu
17 күн бұрын
Tanzania Gen-Z baado hawajazaliwa 😂. Tusubiri 2040.
Ruto must go 🇭🇹
Tumechoka rutoooo aendeee tumsaidie kupark mizingo uko na tamaa sana
Nawashangaaa kenya
Hawana kiongozi kweli nishida
Hiii ni kazi ya raila na hatawai kua raisi ya kenya
@arcsys
18 күн бұрын
una shida nyingi dada. shida tupu wewe.
@fabianmallya1446
18 күн бұрын
I can smell raila in this b’coz most of them ni wajaluo
@bettymariga
17 күн бұрын
Fikiria b4 uongee hamuoni wakenya wanaumia
BADO TANZANIA CCM AND SSH MUST GO. WASOME ALAMA .JUSTICE IS COMING GOD FORBID !
Ruto must go 🇶🇦
Ruto must go 😢😢😢😢😢
May the Lord protect our president and give him wisdom so that he may get away forward.
Viongozi wa Africa wapumbavu sana tatizo kubwa wanawasikiliza saaana AMERICA 🇺🇸 😢 🙏
@user-mo2iv1xo1g
18 күн бұрын
kweli sana
@user-sd4ht5pk6n
14 күн бұрын
Ruto ni mkristo angekuwa kama wengine ange wamaliza washenzi wale@@user-mo2iv1xo1g
The Bible Say's ukishupaza shingo itavunjika.Msg sent in Africa.
Ruto jiuzulu madaraka ni amali ya Dunia mrudieye Mungu Tafuta Ahkera achana na utawala wa kuua vijana TAIFA la kesho
@chunaabdullah1333
18 күн бұрын
Hawezi jiuzulu kwa sababu anaongozwa na shetani huyu, ss ye aoni asara kuona damu yy ndo rahaa yake ss kuachia hiki kiti ni ngumu sana mana akikubali tu anapokonywa kila kitu 😢
wakenya porenisana ,🇹🇿
ihi mandaman Nia lini
Ruto must gop
Ila Hawa ni wezi
Ila ruto kazaaa hao wasenge hao wanakujaribu utapita tu broo
Kenya is more wise
Kuna watoto wadogo sana jamn Ola polisi wanepooza sana
Very true
umeongea vixuri sana
WE Ruto ??kwa Nini hutaki kuacha kiti ?? wa Kenya hawakutali sasa hivi ondoka acha mamlaka
@susymasibo
19 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Who else the dude Need to b prezo
Yesu wasaidiye ingiliya kati maana imekuwa shida Kwa wamama na watoto
Wametumwa hao wakuharibie
Poleni wakenya
Kenya hii watu wakielezwa maneno hawasikii. kuna mzee kutoka Eldoret alieleza wazi huyu mtu alikua mwizi tokea zamani kwa primary school kuingia serekalini amezidisha wizi na mauaji ndio haya kenyans tuamke tuungane huyu mtu atuondokee mastaka yake yafunguliwe ICC.
@Ana-di6qg
19 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 kumbe toka kwa school alikuwa anaiba!!!!!. basi Tabia inakua kidogo kidogo
Na wakipata ruto watoe kichwa pia watupie ndege wale vile Daudi alitupia ndege Goliata😅😅😅😅
Huyu ni mwanahabari wa wapi huyu mwenye anasema vitu ambavyo havina uhakika
Ningelikuwa mm ndio presidar mngekunya walah
Wazazi wataingia mitaani kuwaokoa watoto wao. Na itakuwa ndio mwisho wa Ruto
Ruto.,Mungu.akusimamie
@BonfaceOgwe-wq9ny
19 күн бұрын
Mfarisai mwenzake
@lucywambui6805
19 күн бұрын
Just the same way he has treated Kenyans. GOD is able. Ruto must go for the peace of the country.
Msizani km African tuko salama na mabeberu , lazima watatufanya tugombane wenyewe kwa wenyewe
Mungu alinde Vijana na Neema na nguvu
Ruto must Go
Kenya Ruto hawezi kuendelea na Uraisi wake. Ni bora aachie ngazi ili kuepusha maafa.
😮
Riziki kaivufya vyalazima
City zen Tiv
Tumechoka na Ruto.are very arrogant.Enda kwenu
Huyu jamaa ameongea facts Sana kama ni hivyo Mambo iko MBAYA Sana RUTO ameangukia pabaya
Ivi uyo ruto yupo kweli Kenya au yuko nje ya apo😅😅
@cyantess8423
19 күн бұрын
yuko area acha mungu afanye kazi ruto na shetani ni kitu kimoja bure kabisa
Kwani kenya Haina jeshi la police
Ruto Seems to knows everything That's Feeling stupid Ruto want Us to think stupid Marco manage all departments 😂😂😂😂
Polen sana ila sababu ya haya yote ni wanasiasa
😢
Geenzii barakiwe power belongs to people arrogant who become opses with power
Hapo kw utaita nani kw maana hawana kiongozi utaita nani
It's that your vote Mr PRESIDENT 😅😅😅😅
Ruto simuoni kuwa Rais tena mwezi 8
Msimuonee rais Hana kosa mbona uhuru amewaua sana
Akuna atoke kashindwa
Kumbukeni Libya ninyi mtakujakuikumbuka Kenya ya ruto
@mosesmuiru-qq9sx
17 күн бұрын
Libya ni libya,na sisi ni wakenya,kwa hivo hata kama tutamkumbuka tutakumbuka yeye kwa mabaya.Especially kuuwa vijana wakitetea haki.Ametukumbusha vile aliamlisha watu wachomewe kwa kanisa 2007😭😭😭😭😭
It's very unfortunate that even now, Ruto planting goons.
Hii ndio vijana watajifunza kutokana na kukumbatia wanasiasa wa upinzanie ambao wanatoa ahadi nyingi sana kwamba wao wakiongoza in nchi wataleta mabadiliko lkn hatimae wanashindwa kufanya huyo kitu, Ila bi kujinufaisha wao na family zao tu. Hiyo vijana wajifunze hiyo kitu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Social media na uongo nayo mtachoma kenya
WAKENYA MMESAHAU YA LIBYA IKO WAP
Akuna kulala
Nikuwamaliza hao waze wanakula inchi peke yao vijana wanataka kazi tupeni kazi
Alienda kwa mashoga acha akome
Hasira nihasara
UKIONA MWENZAKO ANYOLEWA ZA KWAKO TIA MAJI
Wakenya wanajiamini Sana 💯
Ruto ninakuomba uvunje parliament na wote muondoke Usije ukawa ka m a raisi wa zamani wa Egypt aliyeaibishwa na kuishia gerezani.Ruto future generation no.longer want you in power.usione aibu kuacha urais.A game is over.Iam afraid that you might end up being aMkimbizi😢😢The earlier t h e better.Iam not Kenyan but I can far.Ondoka ndugu yangu😢😢
@gracekagoma3231
18 күн бұрын
Ican see far .ondoka😢😢
Nchi imekufa tyr hiyo
Itanikera sana kama wanafanya yote hayo kwa fitna na ushawishi wa vibaraka wa nchi.
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
I Wander Why The Kenyans Are So Poor And Somalians Hindi Are So Rich How Come Kenyans Are So Slomes But Now They Get Up EnoughEnsor is enough
Jmni Kenya kusije kuchafuka ikawa kama Libya na kwengineko. Ila Ruto ametikiswa basi Kenya wampe nafasi atafanya maajabu
@dahbossqueentalkshow3778
19 күн бұрын
Aende tu tumechoka
@jedidahbintidaudi8241
18 күн бұрын
@@dahbossqueentalkshow3778 hapa ndugu yangu..you guys will be in a worse-off state then now. we are praying for Kenya. May God cover this gigantic Nation in Jesus precious Name!
😂😂😂😂😂😂
Pongezi
Makuma nyie yaan mnatia hasira nyie
Ruto go home 2year achafanya anything in this country in Kenya amaleta azala Kenya .
You have been fed with lies.
xxx
@WilliamOmondi-pp8nd
19 күн бұрын
xxx
punda akichoka jihadhari kwa mateke.
Mtachoka ruto tano tena na tax mtalipa
@conradomtuwetu2360
19 күн бұрын
Ukabila utakuponza .
Usiongee na wasenge piga hao maumbwa
Kenya mucyunguze vizuli musiingizwe shimo ya maksbila kama rwanda ao bujumbula