DIAMOND Kuzua MASWALI Kuhusu KUOA/ HAKUNA ALIYEAMINI!. MAMAAKE ATIA NENO!

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 105

  • @zakiasirya4077
    @zakiasirya40772 жыл бұрын

    Kama ya kweli Allah awape maskizano na amuongoze kwenye njia za sawa.Allah ni mwenye kubadilisha mja wake wakati wote.

  • @zakianzai6854
    @zakianzai68542 жыл бұрын

    Juma usiogope ndoa ni kitu cha kheri kama kaoa aoe tume ngoja sana...Hongera Nasib

  • @hashimsalum338
    @hashimsalum3382 жыл бұрын

    Juma mnatudanganya cjui kiki ya nini hiii tna😀😀😀

  • @mwanaishakatuli5707
    @mwanaishakatuli57072 жыл бұрын

    Mwenzangu kashapata mwenzio

  • @uwimanauwimana7692
    @uwimanauwimana76922 жыл бұрын

    Juma muokope mungu na Ramadhan hiyi kusema uongo jamani dunia ya mwisho 🤭

  • @hejmabohejhej9

    @hejmabohejhej9

    2 жыл бұрын

    Mwanafamilia hajui kama kuna harusi na hajui kamuoa nani mwanafamilia gani kujipendekeza tu

  • @stelabrent6056
    @stelabrent60562 жыл бұрын

    dida eti mwenzangu kashapat mwenzie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @davoolongoz4947
    @davoolongoz49472 жыл бұрын

    Umekazwa wewe hahahaha! Juma ulikua gym!,mwalim kakukunja. 😂😂😂😂 WE JAU sana...afu dida anakwambia vumilia mwezi utazoea ...wasafi mbinguni amuendi😂😂

  • @latifakarama7428
    @latifakarama74282 жыл бұрын

    juma wewe jamani kwani kuswali si vizuri hivyo

  • @asdasd9253
    @asdasd92532 жыл бұрын

    mungu yupo kila siku jamani tuweni makini sana dunia tutaiacha muda wowote

  • @sabitinaeastafrica5822
    @sabitinaeastafrica58222 жыл бұрын

    Wow that’s Kiki

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus6662 жыл бұрын

    Wenye wivu ajinyongeeeeeeeeeeeeee 😍😍😂😂😂😍😘😘😍😍🤣🙄😢

  • @jazzymkalitv5535
    @jazzymkalitv55352 жыл бұрын

    Mmmh! Juma weye, Mwenyezi Mungu akuona. Wasafi, mie nawapenda, ila Juma huyu atia sana chumvi.😂😂😂 Na comment from Tanga!

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid57122 жыл бұрын

    Maisha yenu hamtoa wala kuolewa na ramadhani hii muogopeni Mungu mtahesabu na kuhesabiwa

  • @josephinemakungu8508
    @josephinemakungu85082 жыл бұрын

    Juma mdakuuuu😂😂😂😂😂😂😂

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga54002 жыл бұрын

    Mwambieni avue na masanam aliyo vaa na sibuuuuu

  • @obeydmwemezi3663
    @obeydmwemezi36632 жыл бұрын

    😂😂oya Juma mbona umemkataa mwenzio ety hujawai kumuonesha 😂😂😂

  • @gracedelence9163
    @gracedelence91632 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 dida mwezio kaisha pata mwezie 🤩🤩🤩 wasubiri nini mwya

  • @ramadhanimuhidini4002
    @ramadhanimuhidini40022 жыл бұрын

    😂😂 Vumilia juma utazoea😂😂 😂😂😂😂😂😂😂 hapana dida vinauma

  • @guenterernst5481
    @guenterernst54812 жыл бұрын

    Basi asiache kuswali aendele hata kama ramadhani ikiisha

  • @Delomar3
    @Delomar32 жыл бұрын

    Hakuna ndoa. Ni kudivert attention ya #TMA2022

  • @scollantandu6278
    @scollantandu62782 жыл бұрын

    Uongo wenu tumeuchoka jaman makiki tu ovyoooo 🤣

  • @saviormayeye3374
    @saviormayeye33742 жыл бұрын

    Tunajua ni Zuchu huyooo

  • @carelessamirkeyalesiburund9297
    @carelessamirkeyalesiburund92972 жыл бұрын

    Yani nyiye munatucezea akili aje tu kipindi kizima sijasikia mtu diamond kaowa hmmmm

  • @hawaabakari6005
    @hawaabakari60052 жыл бұрын

    Jaman maneno mengine yasikitisha hii swala ya mwezi 1jamani

  • @khamisomar9428
    @khamisomar94282 жыл бұрын

    Kwaio anaswal Ramadan2 ndio mungu anahis yupo miez mengine hayupo

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul32122 жыл бұрын

    Mwalimu ameniminya Amenikunja🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hamidmohdothman6430
    @hamidmohdothman64302 жыл бұрын

    Kwaiyo mwanzo alikuwa haswali

  • @roseamos9930
    @roseamos99302 жыл бұрын

    Mh jomon ramadhani hiii 😂😂mondiii. Kaoa mbona pambeeeee🤔🤔

  • @fatimamowa8166
    @fatimamowa81662 жыл бұрын

    Jamani kwani nasibu si muislam hata ushangae juma?

  • @josephinewangwe1154
    @josephinewangwe11542 жыл бұрын

    Hamna heshima kwa huyo bosi wenu

  • @dohaqatar2762
    @dohaqatar27622 жыл бұрын

    Msifanye maskhara na mtu kufuata dini hata kama ni mara ya kwanza badili mumpe moyo mwafanya maskhara hebu tafteni la kuongea

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola27872 жыл бұрын

    Kisemo cha harminize anajikoo anajikosha eti mwezi wa ramadhani anao ramadhani ikipita anaacha anajikosha 🤣🤣🤣

  • @suleimanmohd.7197
    @suleimanmohd.71972 жыл бұрын

    Sasa huyo Zuchu ndio mtu wa Dini?

  • @fatimamowa8166
    @fatimamowa81662 жыл бұрын

    Jamani Juma atasutwa 😂

  • @gracengowi8060
    @gracengowi80602 жыл бұрын

    Kwan cha ajabu ni nini.kaanza kuoa yeye au.

  • @salumsalum71
    @salumsalum712 жыл бұрын

    acha usenge hamuna kaz za kufny

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge2 жыл бұрын

    DIDA TAFADHALI JISITIRY UNAFUNGA SHINGO LIPO NJE

  • @omarawadh4127
    @omarawadh41272 жыл бұрын

    Achini kucheza na dini nyenye ni wapompavu Mafala tu nyenye na boss wenu

  • @dickaugustino2214
    @dickaugustino22142 жыл бұрын

    Nyie wasenge kwa Kiki mbaka kero

  • @kitengegaston6946
    @kitengegaston69462 жыл бұрын

    Kiki zenu izo amna mapya alafu mwezi mutukufu nawongo pia mungu awasamehe

  • @karasuyazidi8547

    @karasuyazidi8547

    2 жыл бұрын

    Hujatumwa kumfuatilia

  • @sheilakanege9618
    @sheilakanege96182 жыл бұрын

    Nyiye, mu ongezewe mshaara😂

  • @zakiakiriani2817

    @zakiakiriani2817

    2 жыл бұрын

    Yaani wewe una ata haibu mwezi mtukufu wote uwo acheni mnaona kidume anapata

  • @elit3_furor517
    @elit3_furor5172 жыл бұрын

    Ivi mlifunga ramadan ao vipi sababu mnasema uongo na mwezi wa toba looh nashanga miye 😏😏😏

  • @abrarabdulaziz544
    @abrarabdulaziz5442 жыл бұрын

    anaswali na anavaa misalaba shenz

  • @neemaruben5427
    @neemaruben54272 жыл бұрын

    😏😏😏😏😏😏😏

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim1432 жыл бұрын

    Kaswida ganii tuache naona sawa sawa na ngoma zake za kila siku kaswida na minanda ni sawa na taarab na bongo fleva na ngoma yotote mbele ya Allah mungu hapendi mingoma kwa hapo bado

  • @mnubimnubi4081

    @mnubimnubi4081

    2 жыл бұрын

    Mambo ya Mungu muachie Mungu wewe huwezi hukumu kazi sio yako Mungu Hana Husda Kama ww

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    2 жыл бұрын

    @@mnubimnubi4081 Mimi sijahukumu nimesema ambalo lipoo sasa mimi na hao watoa taarifa nani mwenye husda nasema tena kumezidiii kuanzia ajali na mauwaji ya mtu na mtu huenda kuna kitu shetani kahamia nasema damu imezidiiii

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    2 жыл бұрын

    @@mnubimnubi4081 wewe ukinitukanaa mimi wala sijali wakati ni kweli damu inanukia sana na ukikasirika huenda wewe ni miongoni mwa wanaomwaga damu mana sio kila kitu ni mipango ya mungu mengine ya watu wenyewe

  • @healthcomoditysikika9545

    @healthcomoditysikika9545

    2 жыл бұрын

    Wakati unasema dhambi za mwenzio angalia usafi wa nafsi yako kwanza. Allah ndo mjuzi ni kuomba mwisho mwema tu

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    2 жыл бұрын

    @@healthcomoditysikika9545 mhmm ukumbusho upo lakini inasema hakika ya ukumbusho huwafaa waloamini Kwa iyo ukikerwa na ukumbusho wewe sio muumini sasa kama kila mtu aangaliye yake dini tungefika kuijua sisi mitume ni Wa kazi gani wanazuoni mashekh ikiwa si kukumbushana jamani wacha kushabikia kuwa mkweli katika haki ushabiki hautomfaa lolote mbele ya Allah kusali nilivosikia nimemuombea Allah amuongoze lakini Kwa hizi kaswida hazifai ni ngomaa

  • @hamidamii3228
    @hamidamii32282 жыл бұрын

    Hakuna thawabu inayopatika kwa wimbo eti kaswida acheni unafiki

  • @ramadhanmohamed1712

    @ramadhanmohamed1712

    2 жыл бұрын

    We chiz hiyo ni roho ya kwann Kwanza mchawi ww

  • @SalmaSalma-cb2pl
    @SalmaSalma-cb2pl2 жыл бұрын

    Juma mmbea

  • @salimbilali5174
    @salimbilali51742 жыл бұрын

    Vitu vingine vya kimbwakni kweli sometimes you have to give thing which add something into our normal life sio izi story someone has got married is it a major issue that even men like you J.lokole murmuring like that.....

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah77482 жыл бұрын

    Ndoa gani mxieew kwan ye ndo wakwanza kuoa?

  • @rashidngwawile9062
    @rashidngwawile90622 жыл бұрын

    Hiki kipindi kina zid kuwa kibaya

  • @richardfilibert5411
    @richardfilibert54112 жыл бұрын

    Tuone asa anaolewa zuchu or Nani 😂

  • @anzazichaka9896

    @anzazichaka9896

    2 жыл бұрын

    Mbona bi harusi anafichwa fichwa😂😂😂😂tuambieni tucheke yaaishe

  • @aminaadhiambo9081

    @aminaadhiambo9081

    2 жыл бұрын

    Sio zuchu

  • @anzazichaka9896

    @anzazichaka9896

    2 жыл бұрын

    Zuchu wapi🤣🤣alikua mtandao wa Airtel super 4G

  • @mohsinnahdi471
    @mohsinnahdi4712 жыл бұрын

    ANAVAA MISALABA AMEKUFURU

  • @aminathakambulataomar8336
    @aminathakambulataomar83362 жыл бұрын

    Ivi nasibu ni muislam ao mu kristo mim naonaga anavaa sheni ya musalaba jama ivi mu islam anavaaga musalaba

  • @zuwenasaidi2926

    @zuwenasaidi2926

    2 жыл бұрын

    Anasemaga Ile jumlisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tujue kutofautisha Kati ya msalaba na jumlisha 🤣🤣🤣

  • @aminathakambulataomar8336

    @aminathakambulataomar8336

    2 жыл бұрын

    Niatari kweli anatuona Sisi bipofu😂😂😂

  • @nassirsalim6679
    @nassirsalim66792 жыл бұрын

    Manafiq uko nae gym alafu anakupigia simu

  • @rahabubahat5926
    @rahabubahat59262 жыл бұрын

    9 Igi

  • @soudabdulrahman9359
    @soudabdulrahman93592 жыл бұрын

    Nasibu uwa anaswali na quraani ipo wewe umemuona jana unashangaa nini? anamtumikia shetwani na mapepo ya starehe spate mtaji wake.

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha67552 жыл бұрын

    Jaman,,, kuna ngoma,,inaitwa Sara,,nikali sana mbonahamuiongelei akina juma na dida,

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @maryamnassor9482
    @maryamnassor94822 жыл бұрын

    Uongo mtu siku ile show ya zuchu mlikua ivoivo

  • @hussseinmasangya7130
    @hussseinmasangya71302 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @issakamangila4143
    @issakamangila41432 жыл бұрын

    Juma lokole aseme za ndaani kabisa

  • @rukkynassor2279
    @rukkynassor22792 жыл бұрын

    Dida mkomeshe

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b2 жыл бұрын

    Wcb wanapenda kiki drama nyingi, ili mradi wamzime harmo kumlilia kajala..

  • @abdalmalikalhsani4080

    @abdalmalikalhsani4080

    2 жыл бұрын

    Mambo ya hamo na kajala yqnakujaje hapa chefuuu

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula50152 жыл бұрын

    Jm kaowa kweli bc nimefurahi sn maaana kafanya LA maana kubwa mno

  • @amissislywachako1772
    @amissislywachako17722 жыл бұрын

    Bimaana hiyo alikuaga haswali, alikua kafiri?

  • @abellwiwa929
    @abellwiwa9292 жыл бұрын

    hahaaaaaaa Au bas tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aishaomari3064

    @aishaomari3064

    2 жыл бұрын

    Ange owa mwanamke ambae asinge kua msaanii wange duum ilaaa kwakuwa wote ni wakauchi vp zuchu mziki basii au itakuwaje maana hizindoa za mtandaoni huvunjikia ntaaa

  • @govintwaha1700
    @govintwaha17002 жыл бұрын

    Iftar juma wewe unajua zugumza

  • @fathiyaomar9009
    @fathiyaomar90092 жыл бұрын

    Makiki kutaka kumzima hamo kumuomba radhi kajala hahababaa

  • @stellamwasha1409

    @stellamwasha1409

    2 жыл бұрын

    😀😀

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting71802 жыл бұрын

    Wenye majina ya juma uwa watu shupavu..magangwe..wahuni....mashababi..Sasa wewe mbona unalegezalegeza sauti Mara urusherushe vidole...we vipi aishakum ashash nini? Ongea Kama mwanaume

  • @jazzymkalitv5535

    @jazzymkalitv5535

    2 жыл бұрын

    😂😂😂huruma mie!

  • @rameckgototv4397
    @rameckgototv43972 жыл бұрын

    Mnahangaika tuu mbwa nyie

  • @ramadhandulla732
    @ramadhandulla7322 жыл бұрын

    Kumamako lokole Labda uolewe wewe masenge tu

  • @dorcasdorie6161
    @dorcasdorie61612 жыл бұрын

    Amuna chakuowa nyoooooo😏mtajuwa hamjuwi

  • @teedullah5708
    @teedullah57083 ай бұрын

    Muongo

  • @khamisamir2506
    @khamisamir25062 жыл бұрын

    Acheni kiki hivi hivi ndo mulituhadaa 14/2/2022 saii mumekuja na mapya? kwanini aowe kisiri anamuogopa nani???

  • @hamidamii3228

    @hamidamii3228

    2 жыл бұрын

    Wanajifanya waumini wakubwa ramadhani na uongo. Wallah Allah anawalaani wasafi na malipo ni hapahpa duniani

  • @zamratallly4148

    @zamratallly4148

    2 жыл бұрын

    @@hamidamii3228 muombee mwenzio Allah amuelekeze kwenye njia sahihi na sio unamuombea alaaniwe, hapo tu ndo umekosea

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim2 жыл бұрын

    Falaa sanaa huyu bwabwa

  • @zebakimuzic.10k....2
    @zebakimuzic.10k....22 жыл бұрын

    Nikazanu mond kaoa🤬🤬🤬🤬

  • @zangzang1574
    @zangzang15742 жыл бұрын

    Afu nyie watangazaji wa wasafi nyie Makuma tu! Hamna vitu vya maana vya Kutangaza wasenge mnalipwa Pesa nyingi Afu munatutangazia umbea tu!

  • @mbambiladeclassicone6389

    @mbambiladeclassicone6389

    2 жыл бұрын

    Acha matusi bc bloo

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita4762 жыл бұрын

    Mashallah itakuwavizuri

  • @saviormayeye3374
    @saviormayeye33742 жыл бұрын

    Tunajua ni Zuchu huyooo

  • @govintwaha1700
    @govintwaha17002 жыл бұрын

    Iftar juma wewe unajua zugumza

Келесі