DIAMOND Kuzua MASWALI Kuhusu KUOA/ HAKUNA ALIYEAMINI!. MAMAAKE ATIA NENO!
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 105
Kama ya kweli Allah awape maskizano na amuongoze kwenye njia za sawa.Allah ni mwenye kubadilisha mja wake wakati wote.
Juma usiogope ndoa ni kitu cha kheri kama kaoa aoe tume ngoja sana...Hongera Nasib
Juma mnatudanganya cjui kiki ya nini hiii tna😀😀😀
Mwenzangu kashapata mwenzio
Juma muokope mungu na Ramadhan hiyi kusema uongo jamani dunia ya mwisho 🤭
@hejmabohejhej9
2 жыл бұрын
Mwanafamilia hajui kama kuna harusi na hajui kamuoa nani mwanafamilia gani kujipendekeza tu
dida eti mwenzangu kashapat mwenzie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umekazwa wewe hahahaha! Juma ulikua gym!,mwalim kakukunja. 😂😂😂😂 WE JAU sana...afu dida anakwambia vumilia mwezi utazoea ...wasafi mbinguni amuendi😂😂
juma wewe jamani kwani kuswali si vizuri hivyo
mungu yupo kila siku jamani tuweni makini sana dunia tutaiacha muda wowote
Wow that’s Kiki
Wenye wivu ajinyongeeeeeeeeeeeeee 😍😍😂😂😂😍😘😘😍😍🤣🙄😢
Mmmh! Juma weye, Mwenyezi Mungu akuona. Wasafi, mie nawapenda, ila Juma huyu atia sana chumvi.😂😂😂 Na comment from Tanga!
Maisha yenu hamtoa wala kuolewa na ramadhani hii muogopeni Mungu mtahesabu na kuhesabiwa
Juma mdakuuuu😂😂😂😂😂😂😂
Mwambieni avue na masanam aliyo vaa na sibuuuuu
😂😂oya Juma mbona umemkataa mwenzio ety hujawai kumuonesha 😂😂😂
🤣🤣🤣 dida mwezio kaisha pata mwezie 🤩🤩🤩 wasubiri nini mwya
😂😂 Vumilia juma utazoea😂😂 😂😂😂😂😂😂😂 hapana dida vinauma
Basi asiache kuswali aendele hata kama ramadhani ikiisha
Hakuna ndoa. Ni kudivert attention ya #TMA2022
Uongo wenu tumeuchoka jaman makiki tu ovyoooo 🤣
Tunajua ni Zuchu huyooo
Yani nyiye munatucezea akili aje tu kipindi kizima sijasikia mtu diamond kaowa hmmmm
Jaman maneno mengine yasikitisha hii swala ya mwezi 1jamani
Kwaio anaswal Ramadan2 ndio mungu anahis yupo miez mengine hayupo
Mwalimu ameniminya Amenikunja🤣🤣🤣🤣🤣
Kwaiyo mwanzo alikuwa haswali
Mh jomon ramadhani hiii 😂😂mondiii. Kaoa mbona pambeeeee🤔🤔
Jamani kwani nasibu si muislam hata ushangae juma?
Hamna heshima kwa huyo bosi wenu
Msifanye maskhara na mtu kufuata dini hata kama ni mara ya kwanza badili mumpe moyo mwafanya maskhara hebu tafteni la kuongea
Kisemo cha harminize anajikoo anajikosha eti mwezi wa ramadhani anao ramadhani ikipita anaacha anajikosha 🤣🤣🤣
Sasa huyo Zuchu ndio mtu wa Dini?
Jamani Juma atasutwa 😂
Kwan cha ajabu ni nini.kaanza kuoa yeye au.
acha usenge hamuna kaz za kufny
DIDA TAFADHALI JISITIRY UNAFUNGA SHINGO LIPO NJE
Achini kucheza na dini nyenye ni wapompavu Mafala tu nyenye na boss wenu
Nyie wasenge kwa Kiki mbaka kero
Kiki zenu izo amna mapya alafu mwezi mutukufu nawongo pia mungu awasamehe
@karasuyazidi8547
2 жыл бұрын
Hujatumwa kumfuatilia
Nyiye, mu ongezewe mshaara😂
@zakiakiriani2817
2 жыл бұрын
Yaani wewe una ata haibu mwezi mtukufu wote uwo acheni mnaona kidume anapata
Ivi mlifunga ramadan ao vipi sababu mnasema uongo na mwezi wa toba looh nashanga miye 😏😏😏
anaswali na anavaa misalaba shenz
😏😏😏😏😏😏😏
Kaswida ganii tuache naona sawa sawa na ngoma zake za kila siku kaswida na minanda ni sawa na taarab na bongo fleva na ngoma yotote mbele ya Allah mungu hapendi mingoma kwa hapo bado
@mnubimnubi4081
2 жыл бұрын
Mambo ya Mungu muachie Mungu wewe huwezi hukumu kazi sio yako Mungu Hana Husda Kama ww
@sabihaibrahim143
2 жыл бұрын
@@mnubimnubi4081 Mimi sijahukumu nimesema ambalo lipoo sasa mimi na hao watoa taarifa nani mwenye husda nasema tena kumezidiii kuanzia ajali na mauwaji ya mtu na mtu huenda kuna kitu shetani kahamia nasema damu imezidiiii
@sabihaibrahim143
2 жыл бұрын
@@mnubimnubi4081 wewe ukinitukanaa mimi wala sijali wakati ni kweli damu inanukia sana na ukikasirika huenda wewe ni miongoni mwa wanaomwaga damu mana sio kila kitu ni mipango ya mungu mengine ya watu wenyewe
@healthcomoditysikika9545
2 жыл бұрын
Wakati unasema dhambi za mwenzio angalia usafi wa nafsi yako kwanza. Allah ndo mjuzi ni kuomba mwisho mwema tu
@sabihaibrahim143
2 жыл бұрын
@@healthcomoditysikika9545 mhmm ukumbusho upo lakini inasema hakika ya ukumbusho huwafaa waloamini Kwa iyo ukikerwa na ukumbusho wewe sio muumini sasa kama kila mtu aangaliye yake dini tungefika kuijua sisi mitume ni Wa kazi gani wanazuoni mashekh ikiwa si kukumbushana jamani wacha kushabikia kuwa mkweli katika haki ushabiki hautomfaa lolote mbele ya Allah kusali nilivosikia nimemuombea Allah amuongoze lakini Kwa hizi kaswida hazifai ni ngomaa
Hakuna thawabu inayopatika kwa wimbo eti kaswida acheni unafiki
@ramadhanmohamed1712
2 жыл бұрын
We chiz hiyo ni roho ya kwann Kwanza mchawi ww
Juma mmbea
Vitu vingine vya kimbwakni kweli sometimes you have to give thing which add something into our normal life sio izi story someone has got married is it a major issue that even men like you J.lokole murmuring like that.....
Ndoa gani mxieew kwan ye ndo wakwanza kuoa?
Hiki kipindi kina zid kuwa kibaya
Tuone asa anaolewa zuchu or Nani 😂
@anzazichaka9896
2 жыл бұрын
Mbona bi harusi anafichwa fichwa😂😂😂😂tuambieni tucheke yaaishe
@aminaadhiambo9081
2 жыл бұрын
Sio zuchu
@anzazichaka9896
2 жыл бұрын
Zuchu wapi🤣🤣alikua mtandao wa Airtel super 4G
ANAVAA MISALABA AMEKUFURU
Ivi nasibu ni muislam ao mu kristo mim naonaga anavaa sheni ya musalaba jama ivi mu islam anavaaga musalaba
@zuwenasaidi2926
2 жыл бұрын
Anasemaga Ile jumlisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tujue kutofautisha Kati ya msalaba na jumlisha 🤣🤣🤣
@aminathakambulataomar8336
2 жыл бұрын
Niatari kweli anatuona Sisi bipofu😂😂😂
Manafiq uko nae gym alafu anakupigia simu
9 Igi
Nasibu uwa anaswali na quraani ipo wewe umemuona jana unashangaa nini? anamtumikia shetwani na mapepo ya starehe spate mtaji wake.
Jaman,,, kuna ngoma,,inaitwa Sara,,nikali sana mbonahamuiongelei akina juma na dida,
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Uongo mtu siku ile show ya zuchu mlikua ivoivo
🤣🤣🤣🤣
Juma lokole aseme za ndaani kabisa
Dida mkomeshe
Wcb wanapenda kiki drama nyingi, ili mradi wamzime harmo kumlilia kajala..
@abdalmalikalhsani4080
2 жыл бұрын
Mambo ya hamo na kajala yqnakujaje hapa chefuuu
Jm kaowa kweli bc nimefurahi sn maaana kafanya LA maana kubwa mno
Bimaana hiyo alikuaga haswali, alikua kafiri?
hahaaaaaaa Au bas tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aishaomari3064
2 жыл бұрын
Ange owa mwanamke ambae asinge kua msaanii wange duum ilaaa kwakuwa wote ni wakauchi vp zuchu mziki basii au itakuwaje maana hizindoa za mtandaoni huvunjikia ntaaa
Iftar juma wewe unajua zugumza
Makiki kutaka kumzima hamo kumuomba radhi kajala hahababaa
@stellamwasha1409
2 жыл бұрын
😀😀
Wenye majina ya juma uwa watu shupavu..magangwe..wahuni....mashababi..Sasa wewe mbona unalegezalegeza sauti Mara urusherushe vidole...we vipi aishakum ashash nini? Ongea Kama mwanaume
@jazzymkalitv5535
2 жыл бұрын
😂😂😂huruma mie!
Mnahangaika tuu mbwa nyie
Kumamako lokole Labda uolewe wewe masenge tu
Amuna chakuowa nyoooooo😏mtajuwa hamjuwi
Muongo
Acheni kiki hivi hivi ndo mulituhadaa 14/2/2022 saii mumekuja na mapya? kwanini aowe kisiri anamuogopa nani???
@hamidamii3228
2 жыл бұрын
Wanajifanya waumini wakubwa ramadhani na uongo. Wallah Allah anawalaani wasafi na malipo ni hapahpa duniani
@zamratallly4148
2 жыл бұрын
@@hamidamii3228 muombee mwenzio Allah amuelekeze kwenye njia sahihi na sio unamuombea alaaniwe, hapo tu ndo umekosea
Falaa sanaa huyu bwabwa
Nikazanu mond kaoa🤬🤬🤬🤬
Afu nyie watangazaji wa wasafi nyie Makuma tu! Hamna vitu vya maana vya Kutangaza wasenge mnalipwa Pesa nyingi Afu munatutangazia umbea tu!
@mbambiladeclassicone6389
2 жыл бұрын
Acha matusi bc bloo
Mashallah itakuwavizuri
Tunajua ni Zuchu huyooo
Iftar juma wewe unajua zugumza