#LIVE
Тәжірибелік нұсқаулар және стиль
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 4
Muke wangu aliharibikiwa na mimba ya mwezi mwili na wiki mbili.Yaani alipoenda kwenye vipimo vya uchunguzi ya mara ya kwanza.Vipimo viligundua mtoto hatikisiki kabisa.Yaani kapewa sawa ya kutoka kiumbe hicho ambaye tayari hakipo duniani. Madaktari walichukuwa hatua ya usafisaji hadi sasa muke anasumbuliwa.Akapewa dawa ya Acetaminophen kama ya dawa ya mahumivu. Mara ya Pili,daktari alisafisha tena na kashona maeneo Fulani bila izini ya mume.Harufu nyingi sana. Hiyo raundi alipewa tena dawa hiyo hiyo ya mahumivu. Kitaalam kina sema wakati huo huo magonjwa wa haliyo anatakiwa apewe dawa ya antibiotic kwa sababu infection. Sasa Dokta Mbona madaktari wengi wanapuuzia kutopana dawa hizo.Ni kwa Nini?Na tayari kizazi wamekiumiza mno. Wao pia wanachangia vifo kwa wanawake.
Fact
😮😮
Anayetoa mimba ameua kiumbe nayeye anatakiwa hafe kabisa. Ma daktari Hana shida kabisa. Utamu ya ndoa uleta uchungu. Kwa kuepukana na madhara hayo.Tafadhali tumie condom hazina bei.