Bi Mariam Hamdani, kichwa kilichojaaliwa mengi | GUMZO NA WALIMU
Жүктеу.....
Пікірлер: 23
@theteacherchance675023 күн бұрын
Namshukuru Allah kwa kuwa na mawazo yanayofanana na ya huyu 'Profesa' mama Maryam. Kutembea kote na uzoefu wote aliojizolea bado ana 'Uswahili' kutoka chini ya moyo wake.
@rayasaid373424 күн бұрын
MashaAllah bi Mariam unaielezea culture ya mwambao vizuri sana,yoote ni ya kweli,yamesahauliwa sasa ukiolewa zamani lazima bi harusi atolewe kujulishwa ,sasa hakuna tena mengi yamesahauliwa,Allah akupe afya na umri mrefu
@TheTarabist24 күн бұрын
Mashaallah. Tunazitamani hizo nyimbo tujikumbushe utoto wetu. Ni pamoja na kinyuli nyulika, alfola alfola, etc.
@fatmasayid889524 күн бұрын
Mashalwa M.mungu akubariki akupe umri wenye afya
@a.85623 күн бұрын
Jazakallah khayran
@hamadrajab804225 күн бұрын
Mashallah, tabaarakallah
@fatimasaid946925 күн бұрын
Alhamdulilah. Nice story nimejifunza mengi me natamani iendelee episode 2. Bi maryam ni hadhina kwa taifa letu na culture yetu. Na hii films ipo tayar dukani or online. 4rv uk 🇬🇧
@rumesibarka531225 күн бұрын
Bi Mariam mchango wako ni wa kizalendo utakumbukwa
@muhammedameir358225 күн бұрын
Subhanallah, Allah akubarik sana na family yako yote.
@KassimYakout25 күн бұрын
Nimazumgumzo mazuri nimependa ningependelea uwanzishe na nyimbo za watoto za zamani mbazo sasa Zina potea Kwa mfano kama vile Alfola bandari Salam Ukuti Ukuti na nyingi nyeginezo
@bahrynbahry1138
25 күн бұрын
Na Ana ana do
@bahrynbahry1138
25 күн бұрын
Na kinyuri kinyuri aliejuu na arushee😂
@salyali780725 күн бұрын
Wapi tutaiona film
@user-bl6xy3cy9w21 күн бұрын
Shukran
@bindawood97818 күн бұрын
Mamaake Aida na Adila
@mohammedrashid290625 күн бұрын
Ahsante
@maryamabdullah916925 күн бұрын
Mashaaallah
@yanyikawaterwelltanzania960025 күн бұрын
MashAllah,
@laylayahya2425 күн бұрын
Bismillah Masha Allah
@hassankhamis34424 күн бұрын
Nasra juma
@MassoudMaghwaly-jo8sh25 күн бұрын
Nice❤
@TheTarabist24 күн бұрын
BiMariam umewacha kutupa uzoefu wako katika taarab.
Пікірлер: 23
Namshukuru Allah kwa kuwa na mawazo yanayofanana na ya huyu 'Profesa' mama Maryam. Kutembea kote na uzoefu wote aliojizolea bado ana 'Uswahili' kutoka chini ya moyo wake.
MashaAllah bi Mariam unaielezea culture ya mwambao vizuri sana,yoote ni ya kweli,yamesahauliwa sasa ukiolewa zamani lazima bi harusi atolewe kujulishwa ,sasa hakuna tena mengi yamesahauliwa,Allah akupe afya na umri mrefu
Mashaallah. Tunazitamani hizo nyimbo tujikumbushe utoto wetu. Ni pamoja na kinyuli nyulika, alfola alfola, etc.
Mashalwa M.mungu akubariki akupe umri wenye afya
Jazakallah khayran
Mashallah, tabaarakallah
Alhamdulilah. Nice story nimejifunza mengi me natamani iendelee episode 2. Bi maryam ni hadhina kwa taifa letu na culture yetu. Na hii films ipo tayar dukani or online. 4rv uk 🇬🇧
Bi Mariam mchango wako ni wa kizalendo utakumbukwa
Subhanallah, Allah akubarik sana na family yako yote.
Nimazumgumzo mazuri nimependa ningependelea uwanzishe na nyimbo za watoto za zamani mbazo sasa Zina potea Kwa mfano kama vile Alfola bandari Salam Ukuti Ukuti na nyingi nyeginezo
@bahrynbahry1138
25 күн бұрын
Na Ana ana do
@bahrynbahry1138
25 күн бұрын
Na kinyuri kinyuri aliejuu na arushee😂
Wapi tutaiona film
Shukran
Mamaake Aida na Adila
Ahsante
Mashaaallah
MashAllah,
Bismillah Masha Allah
Nasra juma
Nice❤
BiMariam umewacha kutupa uzoefu wako katika taarab.
O matamu