Karume alikuwa chenga hamna kitu kazidiwa kete na Nyerere na mwenyewe anathibitisha hayo na zanzibar kaipeleka Tanganyika kwa nyerere kiuzembeuzembe tu mpaka leo tunapata shida
@philipmarmo35227 күн бұрын
Ni "Wairaqw" na siyo Wairaq au Wairaki. Wairaqw kutokea Iraq ni propaganda za kina Mwalimu Mzee na walimu wenzake wa shule ya kati, Endagikot walipoandika kitabu cha kwanza cha historia ya Wairaqw. Ukitakaka kufahamu aslli hasa ya Wairaqw pengine ni vema kujaribu kufahamu asili ya makabila ya Ethiopia ya Kaskazini na Eritrea (DNA inathibitisha ukaribu wao na Wairaqw). Makabila hayo hayakutokea Iraq, ila maeneo ya Afrika Kaskazini na Syria. Kutoka enzi Ibrahimu na kabla, watu walioishi Iraq ya sasa wanajulikana na hakukuwa na watu kama Wairaqw!
@mtambileenglishmediumschoo1549 күн бұрын
Mashallah uwape hongereni sana
@HarounAnnabhany11 күн бұрын
MashaAllah shairi zuri kweli
@a.85611 күн бұрын
Jazakallah khayran
@mohamedsaid331313 күн бұрын
Amiiin yarabbi
@mohamedsaid331313 күн бұрын
Mashalah hahaa jamaani uwape
@mrafm728514 күн бұрын
60% ya kiswahili ni kiarabu sio 40%
@aladinynur791514 күн бұрын
From Iraq to Ethiopia before Suez canal built following great rift wall to South Africa
@smallscaleminingsupplies967014 күн бұрын
We badala ya kusema waarabu wana asili ya waairaq we unasema waairaq ndio wana asili ya waarabu
@veronicasafari60014 күн бұрын
Hatimaye wairaqw tumefka Majuu
@samwelpanga240414 күн бұрын
Wairaqw wenzangu weka like hapa tu enjoy
@bajagihaji892314 күн бұрын
Asante dada historia nzuri kujua❤
@arafaamour795214 күн бұрын
MashaAllah MashaAllah 😘
@lumage14 күн бұрын
Desi Laway
@ZubeirJuma-up7kb15 күн бұрын
Mungu wao juwa hatr xnaa
@zaneco15 күн бұрын
Interesting, endelea kuwahoji watu kama hawa wanaoelezea history bila ya kuingiza siasa
@saidkhamis615715 күн бұрын
Mimi na Salma Yahya na Fatma Makame hadi Uzeeni 💚💚💚
@arafaamour795214 күн бұрын
Kwa kawaida mtu hula chakula akipendacho😅, jaribu na chakula hicho pia hwenda ukakipenda😘
@saidnoumani724415 күн бұрын
Dada mnafanana na sura za kiarabu you look beautiful
@alialamoudi972915 күн бұрын
Usisahau kwamba zanzibari ili pata uhuru kamili salama salimin hata karume alisherekea uhuru NA elikua serekali ya halali ilichaguliwa NA wazanzibari wenyewe sasa yeye alishiriki katika mauaji zaidi ya waaslaam elfu ishirini bila ya hatia ni raia tu hawana silaha yeye NA nyerere NA jhon okeli NA mjeshi ya tanganika NA ungereza NA kuiteka nchi NA hayo ni kupiga uslaam tu
@Abdullatifkilupy-tn6ii15 күн бұрын
Hahaha nimefurahi sana. Ila nilikua nacheka sheikh Mohammed ulivokua unashangaaa. 😂😂 Hongereni sana. Kiswahili ni urithi unaopaswa kudumishwa kwa hali na mali.
@kassimabdullah637215 күн бұрын
Ukiachilia mbali usafi wa lafdhi yake, Kiswahili cha Prof. Laura ni cha hali ya juu sana na naweza kusema kuwa anawashinda wengi wa wanaojinasibu na Uswahili hasahasa vijana wanaoondokea. Si siri hata kidogo kuwa vijana wa siku huzi wana upungufu mkubwa sana wa uwezo wa kujielezea kwa lugha ya Kiswahili. Imekuwa kama ni kilema, vijana wengi siku hizi hawawezi kuzunmza sentensi chache bila ya kuchanganya na Kiingereza. Huyu bibi kwa kiasi fulani amejaribu sana kujiepisha na hali kama hivo.
@faisaloaljabry640015 күн бұрын
Nimependa sana kumsikia Muirak akijibu na kujielezea kwa ufasaha lakini pia nimestuka kusikia wairak wana misamiati ambayo haiko katika kiswahili lakini iko katika misamiati ya kiarabu. Hii inaisharia pia kua kulikua na mahusiano halisi baina ya waarabu na wairak au ni watu wa asili moja
@elimukwanza465715 күн бұрын
Kwanini anasema Luga na anaweza kusema Lugha
@d1535515 күн бұрын
Hawa wairaq kwa ufahamu wangu na jinsi nilivyokaa nao asli yao ni ethiopia na wanafanana na wale Amhara wa wa kule, ila sio waarabu wa iraq ni neno tu linafanana nalo, ila sio, bali ni jami ya semitic kama wale amhara na waeritrea ndio jamii yao,ila eleweni kuwa maeneo yoote ya centra Tz kwenda juu asli yake ni maeneo ya makabila ya kiethiopia na yale yenye asli ya kisomali na yale ya kinilotics na bushmen wabantu waishio sasa wameamia miaka ya karibuni tu kama 300-350 nyuma, hao ndio wenyeji asli wa maeneo hayo
@sulebaajun601515 күн бұрын
Unajua wa Amhara na waarabu ni walewale?
@d1535514 күн бұрын
@@sulebaajun6015 ni race moja hiyo tunakubali ila ishu hapa ni je walitoka iraq kama wanavyodai? jibu hapana hili ni muendelezo wa makabila ya kiethiopia sio waarabu wa iraq,sababu semitic people hawapo waarabu peke yao kuna waarabu,wayahudi,amhara,copts,tigrinya,wasyria wa kale etc hivyo point itabaki palepale kuwa hawa wana relate more na waethiopia.
@sulebaajun601514 күн бұрын
@@d15355 If you look at the map, it is a stretch if they claim they came from Iraq. Kama unavyosema, Ethiopia itakuwa ni sehemu ya karibu zaidi.
@mohamedsaid331315 күн бұрын
Uwape munaupiga mwingi sana watunzi na waghani .. lakini Mghani kwa hapa umeonesha kipaji kikubwa sana ktk kucheza na sauti Mashalah Mungu akizidishie na aikuze kazi yenu UWAPE
@DAMIANOPETRO-n8l15 күн бұрын
Loa a amen aga akhasika
@kassimabdullah637215 күн бұрын
Wow! Pongezi kwa watunzi wote na pongezi nyingi zaidi kwa mghani ambaye ameonesha ustadi mkubwa wa kuogelea katika bahari za mahadhi tofauti ya kuvutia na kuliwaza nyozo za wasikilizaji. Kwa kweli nimefurahi sana kupata fursa ya kusikiliza video hii.
@mohamedsaid331315 күн бұрын
Mghani kaonesha ukomaavu mkubwa ktk sauti
@abuualiyuu243515 күн бұрын
Assalamu aleyku, Sheikh Mohammed hiyo ni Lugha inayoshabihiyana sana na Lugha za kiarabu. na kama Taasisi ya lugha za kigeni Zanzibar inaweza kuunganisha Lahaja kaama hizi kwa kweli Lugha ya kiswahili ingeweza kuongeza Msaamiati wake kwa kiasi kikubwa
@DAMIANOPETRO-n8l15 күн бұрын
Loa a amen Bara khuaka
@azizamri152215 күн бұрын
Interesting! Ideology is still holding Zanzibar behind.
@yohanayusuf471315 күн бұрын
Duh! mungu mke Jua
@salyali780715 күн бұрын
Subhanallah
@DAMIANOPETRO-n8l14 күн бұрын
Kuna nn
@theteacherchance675015 күн бұрын
Mzungu akiongea Kiswahili hata kama cha "kuunga-unga" anaambiwa yupo "fasaha", mswahili kuongea Lugha ya Kigeni anaambiwa "na Kiingereza chake kibovu", jamani!
@kassimabdullah637215 күн бұрын
Inategemea yule anayetoa maoni. Kwa mfano Mswahili atamsifu Mzungu na Mzungu atamsifu Mswahili. Lakini Mswahili atamdharau Mswahili mwenziwe kuhusiana na Kiingereza; na hivyo hivyo kwa Mzungu na Mzungu mwenziwe.
@a.85617 күн бұрын
Jazakallah khayran
@aaahadventures421418 күн бұрын
😂
@theteacherchance675018 күн бұрын
... Al hamdu lillah ...
@saidhamad750418 күн бұрын
Tumefaidika vya kutosha, nafikiri mngetuekea link tuione documentary yenyewe, shukran
@bindawood97818 күн бұрын
Mamaake Aida na Adila
@user-iw2kk4mw5m18 күн бұрын
Lazindua
@ecologicaltourskenya44619 күн бұрын
Mashallah sxeikh mutta, you have open my eyes, thanks to ghassani to !
@theteacherchance675019 күн бұрын
Yananitoka machozi nishavyopotezwa mimi Wameshanifanya chizi wamenikata ulimi Sie mimi wa hirizi si wa teke si wa ngumi N'shazubazwa
@King_Of_Everything20 күн бұрын
👊✌️👍.
@user-bl6xy3cy9w21 күн бұрын
O matamu
@user-bl6xy3cy9w21 күн бұрын
Shukran
@MohdRashid-qq6js22 күн бұрын
Alikuwa humble, wengi tunakosea tuangalie mwisho wake
Пікірлер
Kifo huna huruma
Allah akulipe maalim kw jihaad ulioifanya
Kuna ubaguzi uliojificha.
Karume alikuwa chenga hamna kitu kazidiwa kete na Nyerere na mwenyewe anathibitisha hayo na zanzibar kaipeleka Tanganyika kwa nyerere kiuzembeuzembe tu mpaka leo tunapata shida
Ni "Wairaqw" na siyo Wairaq au Wairaki. Wairaqw kutokea Iraq ni propaganda za kina Mwalimu Mzee na walimu wenzake wa shule ya kati, Endagikot walipoandika kitabu cha kwanza cha historia ya Wairaqw. Ukitakaka kufahamu aslli hasa ya Wairaqw pengine ni vema kujaribu kufahamu asili ya makabila ya Ethiopia ya Kaskazini na Eritrea (DNA inathibitisha ukaribu wao na Wairaqw). Makabila hayo hayakutokea Iraq, ila maeneo ya Afrika Kaskazini na Syria. Kutoka enzi Ibrahimu na kabla, watu walioishi Iraq ya sasa wanajulikana na hakukuwa na watu kama Wairaqw!
Mashallah uwape hongereni sana
MashaAllah shairi zuri kweli
Jazakallah khayran
Amiiin yarabbi
Mashalah hahaa jamaani uwape
60% ya kiswahili ni kiarabu sio 40%
From Iraq to Ethiopia before Suez canal built following great rift wall to South Africa
We badala ya kusema waarabu wana asili ya waairaq we unasema waairaq ndio wana asili ya waarabu
Hatimaye wairaqw tumefka Majuu
Wairaqw wenzangu weka like hapa tu enjoy
Asante dada historia nzuri kujua❤
MashaAllah MashaAllah 😘
Desi Laway
Mungu wao juwa hatr xnaa
Interesting, endelea kuwahoji watu kama hawa wanaoelezea history bila ya kuingiza siasa
Mimi na Salma Yahya na Fatma Makame hadi Uzeeni 💚💚💚
Kwa kawaida mtu hula chakula akipendacho😅, jaribu na chakula hicho pia hwenda ukakipenda😘
Dada mnafanana na sura za kiarabu you look beautiful
Usisahau kwamba zanzibari ili pata uhuru kamili salama salimin hata karume alisherekea uhuru NA elikua serekali ya halali ilichaguliwa NA wazanzibari wenyewe sasa yeye alishiriki katika mauaji zaidi ya waaslaam elfu ishirini bila ya hatia ni raia tu hawana silaha yeye NA nyerere NA jhon okeli NA mjeshi ya tanganika NA ungereza NA kuiteka nchi NA hayo ni kupiga uslaam tu
Hahaha nimefurahi sana. Ila nilikua nacheka sheikh Mohammed ulivokua unashangaaa. 😂😂 Hongereni sana. Kiswahili ni urithi unaopaswa kudumishwa kwa hali na mali.
Ukiachilia mbali usafi wa lafdhi yake, Kiswahili cha Prof. Laura ni cha hali ya juu sana na naweza kusema kuwa anawashinda wengi wa wanaojinasibu na Uswahili hasahasa vijana wanaoondokea. Si siri hata kidogo kuwa vijana wa siku huzi wana upungufu mkubwa sana wa uwezo wa kujielezea kwa lugha ya Kiswahili. Imekuwa kama ni kilema, vijana wengi siku hizi hawawezi kuzunmza sentensi chache bila ya kuchanganya na Kiingereza. Huyu bibi kwa kiasi fulani amejaribu sana kujiepisha na hali kama hivo.
Nimependa sana kumsikia Muirak akijibu na kujielezea kwa ufasaha lakini pia nimestuka kusikia wairak wana misamiati ambayo haiko katika kiswahili lakini iko katika misamiati ya kiarabu. Hii inaisharia pia kua kulikua na mahusiano halisi baina ya waarabu na wairak au ni watu wa asili moja
Kwanini anasema Luga na anaweza kusema Lugha
Hawa wairaq kwa ufahamu wangu na jinsi nilivyokaa nao asli yao ni ethiopia na wanafanana na wale Amhara wa wa kule, ila sio waarabu wa iraq ni neno tu linafanana nalo, ila sio, bali ni jami ya semitic kama wale amhara na waeritrea ndio jamii yao,ila eleweni kuwa maeneo yoote ya centra Tz kwenda juu asli yake ni maeneo ya makabila ya kiethiopia na yale yenye asli ya kisomali na yale ya kinilotics na bushmen wabantu waishio sasa wameamia miaka ya karibuni tu kama 300-350 nyuma, hao ndio wenyeji asli wa maeneo hayo
Unajua wa Amhara na waarabu ni walewale?
@@sulebaajun6015 ni race moja hiyo tunakubali ila ishu hapa ni je walitoka iraq kama wanavyodai? jibu hapana hili ni muendelezo wa makabila ya kiethiopia sio waarabu wa iraq,sababu semitic people hawapo waarabu peke yao kuna waarabu,wayahudi,amhara,copts,tigrinya,wasyria wa kale etc hivyo point itabaki palepale kuwa hawa wana relate more na waethiopia.
@@d15355 If you look at the map, it is a stretch if they claim they came from Iraq. Kama unavyosema, Ethiopia itakuwa ni sehemu ya karibu zaidi.
Uwape munaupiga mwingi sana watunzi na waghani .. lakini Mghani kwa hapa umeonesha kipaji kikubwa sana ktk kucheza na sauti Mashalah Mungu akizidishie na aikuze kazi yenu UWAPE
Loa a amen aga akhasika
Wow! Pongezi kwa watunzi wote na pongezi nyingi zaidi kwa mghani ambaye ameonesha ustadi mkubwa wa kuogelea katika bahari za mahadhi tofauti ya kuvutia na kuliwaza nyozo za wasikilizaji. Kwa kweli nimefurahi sana kupata fursa ya kusikiliza video hii.
Mghani kaonesha ukomaavu mkubwa ktk sauti
Assalamu aleyku, Sheikh Mohammed hiyo ni Lugha inayoshabihiyana sana na Lugha za kiarabu. na kama Taasisi ya lugha za kigeni Zanzibar inaweza kuunganisha Lahaja kaama hizi kwa kweli Lugha ya kiswahili ingeweza kuongeza Msaamiati wake kwa kiasi kikubwa
Loa a amen Bara khuaka
Interesting! Ideology is still holding Zanzibar behind.
Duh! mungu mke Jua
Subhanallah
Kuna nn
Mzungu akiongea Kiswahili hata kama cha "kuunga-unga" anaambiwa yupo "fasaha", mswahili kuongea Lugha ya Kigeni anaambiwa "na Kiingereza chake kibovu", jamani!
Inategemea yule anayetoa maoni. Kwa mfano Mswahili atamsifu Mzungu na Mzungu atamsifu Mswahili. Lakini Mswahili atamdharau Mswahili mwenziwe kuhusiana na Kiingereza; na hivyo hivyo kwa Mzungu na Mzungu mwenziwe.
Jazakallah khayran
😂
... Al hamdu lillah ...
Tumefaidika vya kutosha, nafikiri mngetuekea link tuione documentary yenyewe, shukran
Mamaake Aida na Adila
Lazindua
Mashallah sxeikh mutta, you have open my eyes, thanks to ghassani to !
Yananitoka machozi nishavyopotezwa mimi Wameshanifanya chizi wamenikata ulimi Sie mimi wa hirizi si wa teke si wa ngumi N'shazubazwa
👊✌️👍.
O matamu
Shukran
Alikuwa humble, wengi tunakosea tuangalie mwisho wake
MashaAllah ndugu yangu
Jazakallah khayran