ARAFA NI LINI//MZIWANDA AMALIZA MJADALA NA SUFI WENZAKE.

Пікірлер: 184

  • @kitosio
    @kitosioАй бұрын

    Sh. Mziwanda ALLAH AKUPE REHMA NYINGI SANA SANA KWA KUTUELIMISHA

  • @abdulbandari1551

    @abdulbandari1551

    Ай бұрын

    Mashallah

  • @hansimassirhassan8154
    @hansimassirhassan8154Ай бұрын

    Maasha Allah sheikh muharam mziwanda umefafanua vizuri kabisa Allah ukuzidishie kheiri

  • @kijazkijaz8781
    @kijazkijaz8781Ай бұрын

    Mashaallah...al akhy mziwanda allah amuongoze aingie kwenye sunna AMIIN

  • @tbm7tv257

    @tbm7tv257

    Ай бұрын

    Amin

  • @AbuuMussa-pd1xo
    @AbuuMussa-pd1xoАй бұрын

    Allah azidi kukuonngoza akutoe Hadi kwenye maulid in shaa allah naomba sote tuitikie dua kwa ndugu yetu atoke kwenye Uzushi

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    Ай бұрын

    Amiin

  • @kijazkijaz8781

    @kijazkijaz8781

    Ай бұрын

    Ameen

  • @mupenzikassim127

    @mupenzikassim127

    Ай бұрын

    Ameen

  • @AshrafBunu

    @AshrafBunu

    Ай бұрын

    Ameen

  • @omaryissa2562

    @omaryissa2562

    Ай бұрын

    amiiin

  • @kitosio
    @kitosioАй бұрын

    Sh. Mziwanda Tunakuomba uitowe Kwa lugha ya kiarabu ili waelimike wingi. Sisi A. Mashariki Tayari ishatosha sanaaaaa. Na Mufti WA Misri pia yupo hapo2 ulipopagusa. ALLAH AKUJAALIE ELIMU YA JUU ZAIDI.

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380Ай бұрын

    Sheikh Mziwanda ndio Sheikh wa Sufi ambae huwa namkubali ntamuombea dua In Sha ALLAH atoke kwenye mambo ya Bid'a Mimi nampenda kwajili ya ALLAH

  • @mohammedsaid3045

    @mohammedsaid3045

    Ай бұрын

    Km yy sheikh wa sufi ww sheikh wa pamba?

  • @user-sk7im6yz3u
    @user-sk7im6yz3uАй бұрын

    Hongera sana shehe mziwanda kwa kuwa mkweli

  • @yusufmwinjuma5425
    @yusufmwinjuma5425Ай бұрын

    Dah kwahili sh mziwanda umenena vizuri mno allah akulipe kheri

  • @HusseinMohammed-kk9ts
    @HusseinMohammed-kk9tsАй бұрын

    Mashallah sheikh Allah akupe kila la kheri inshallah

  • @abdulhamidhaji5056
    @abdulhamidhaji5056Ай бұрын

    Dah ! Leo sheikh mziwanda umeniosha Allah akuzidishie na wasioitaka siku hiyo waitake inshaallah

  • @mkude
    @mkudeАй бұрын

    Maashaallah ALAAH AKUHIFADHI sheikh mziwanda

  • @MikidadiMchawi
    @MikidadiMchawiАй бұрын

    Shehe vizuri Ila swali langu kwako ni kwamba arafa ilikuwepo ksbla ya mtume

  • @abdallahassan2080
    @abdallahassan2080Ай бұрын

    😂 anachemsha mpaka mtangazaji haelewi

  • @bakaribakari6444

    @bakaribakari6444

    Ай бұрын

    Kwa mwenye kusikiliza kuelewa ...anajua kabisa sheikh kavuruga

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214Ай бұрын

    Masufi wamebadilisha "siyamu yaumul tisia" 😂😂😂

  • @Until835

    @Until835

    Ай бұрын

    Na iyo ndio sifa kubwa za masufi kubadilisha maana .. 😢

  • @ramadhanichampunga9304

    @ramadhanichampunga9304

    Ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/aa6JpLezYtWyZKw.htmlsi=UuDDT4yRJblDgHFK

  • @ramadhanichampunga9304

    @ramadhanichampunga9304

    Ай бұрын

    Haya mambo yana khilafu sio usalafi wala ubidaa vijana chipukizi kwenye dini msishike misimamo bila elimu

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    Ай бұрын

    @@ramadhanichampunga9304 hakuna ikhtilaf wowote, mtume amesema tufunge yaumul arafa ni nini huelewi

  • @user-ps7kv7lp4m
    @user-ps7kv7lp4mАй бұрын

    Mashaalah, Allah akulipe ishaalah ,wewe ni chuma

  • @salimtz6
    @salimtz6Ай бұрын

    Mungu ampe Kheir atoke kwenye chaka la ahlu bida'a na masufi wenzake

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    Ай бұрын

    Amiin

  • @kijazkijaz8781

    @kijazkijaz8781

    Ай бұрын

    Ameen

  • @ramadhanichampunga9304

    @ramadhanichampunga9304

    Ай бұрын

    Hmmmm

  • @user-vn3bd2pc8k
    @user-vn3bd2pc8kАй бұрын

    Allah akuongezee shekhe mziwanda

  • @jafarbalagha441
    @jafarbalagha441Ай бұрын

    Mziwanda anaiona Nuru sasa mashaAllah

  • @rajabumuyumbu4586
    @rajabumuyumbu4586Ай бұрын

    Allah Akuhifadhi mziwanda

  • @Twalibmringo-tz3ed
    @Twalibmringo-tz3edАй бұрын

    Yes,the best explanations

  • @yahyadenny4368
    @yahyadenny4368Ай бұрын

    Mziwanda uko vizuri chapa mwendo

  • @Allybinamour
    @AllybinamourАй бұрын

    barakallah, allah akulipe kheri kwa kusimama katika haki.

  • @SalminiAmur
    @SalminiAmurАй бұрын

    MashaALLAH shekhe muharami mziwanda ALLAH akuifhathi kwa kutuwelewesha

  • @abdallahmkali3251
    @abdallahmkali3251Ай бұрын

    Sheikh Mziwanda Allah akuhifadhi hakika umetoa elimu nzito

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jdАй бұрын

    Mashallah Jazakallahu khaira

  • @aliissahaji33
    @aliissahaji33Ай бұрын

    Jee inakuwa mwezi ngapi hiyo siku, hakuna siku isiyokuwa na tareikh, jee ni tarehe ngapi..... Ahsante

  • @WakaliFashionTz

    @WakaliFashionTz

    Ай бұрын

    Tareh 9 dhul hijja

  • @swafiaismail-ji1op
    @swafiaismail-ji1opАй бұрын

    Mashallah ya sheykh wallai hpo hkna tena mjadala watakao kataa n kibri tu kukataa ukweli allah akuhifadhi sheykh

  • @MusaHaruni

    @MusaHaruni

    Ай бұрын

    Masha Allah si masha allah

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4plАй бұрын

    Maashaallah tabarakallah shehemxiwanda Mdogomdogo Allah akulete kwenye suna. Kwahurumawake nawengine maahehewabidaa Allah awaokoe...Amyn

  • @khamisswalehe

    @khamisswalehe

    Ай бұрын

    hivi nyie masalaf Allah ndio kawaongoa dunian kuliko watu wengine toeni jibu

  • @HanifaOman-oo4pl

    @HanifaOman-oo4pl

    Ай бұрын

    @@khamisswalehe jijazie ww kamaunalijuahilo jipange nawe uwache miuzusgi uwe salafi

  • @khamisswalehe

    @khamisswalehe

    Ай бұрын

    @@HanifaOman-oo4pl wala tuzaakiu anfusakum

  • @ramadhanichampunga9304

    @ramadhanichampunga9304

    Ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/aa6JpLezYtWyZKw.htmlsi=UuDDT4yRJblDgHFK

  • @ramadhanichampunga9304

    @ramadhanichampunga9304

    Ай бұрын

    Hili jambo lina khilafu ,sio usalafi wala ubidaa ,vijana chipukizi kwenye dini msishike misimamo bila elimu tosha

  • @Allyjumaally-ex9vg
    @Allyjumaally-ex9vg28 күн бұрын

    Allah akuzidishie shekheletu

  • @HusseinOmary-xx6rx
    @HusseinOmary-xx6rxАй бұрын

    Amakwli mawahabi wanaufaham mdogo yani anavyozungumz shekh nitofauti n wanavyoelewa

  • @AlIrshaad-j
    @AlIrshaad-jАй бұрын

    Maa shaa Allah hayyaakallah

  • @TwalibHaji-nd7gd
    @TwalibHaji-nd7gdАй бұрын

    بارك الله فيك

  • @khalidally3588
    @khalidally3588Ай бұрын

    Mashaallah tabarakallah

  • @jumaothman4411
    @jumaothman4411Ай бұрын

    Mashallah haki umeisema mwalimu

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Jibu la mziwanda sahihhi kabisa. Jibu la. Mttume lipo wazi waislmu leoo hawataki ukwellii tunfta matamannio. Ya naffsi ttuu.

  • @ramadhanichampunga9304

    @ramadhanichampunga9304

    Ай бұрын

    Haya mambo yana khilafu

  • @JUMAKANYEBWE-hy7ge
    @JUMAKANYEBWE-hy7geАй бұрын

    Mwisho watajuwa Laila tul kadir ni moja tofauti masaa

  • @nassorsuleiman451

    @nassorsuleiman451

    Ай бұрын

    Ikiyondok alfajir ya nchi husik wengine hawatoipata

  • @jamilabadru8087
    @jamilabadru8087Ай бұрын

    Maa sha Allah

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gxАй бұрын

    Ma shaa Allaah

  • @hassankichondo7718
    @hassankichondo7718Ай бұрын

    Manshaallah naomba na mufiti aisikie huyo kripu jaman ili waislam wa tanzania tuwe kitu kimoja inshaallah

  • @geofreyidebe1216
    @geofreyidebe1216Ай бұрын

    Allaah, akubarik na akulpe kher, wewe n mwalim fasaha, umeeleweka vyema kabsaa!!!

  • @abdullahyahaya7092
    @abdullahyahaya7092Ай бұрын

    Mashaallah

  • @hamsohamso9634
    @hamsohamso9634Ай бұрын

    Well explained

  • @JUMAKANYEBWE-hy7ge
    @JUMAKANYEBWE-hy7geАй бұрын

    Ata mwezi nihivyo nisikumoja tu tofauti masaa

  • @mustafahkapopwa-bi7yb

    @mustafahkapopwa-bi7yb

    Ай бұрын

    sasa kama mwezi ni umoja kwa nini tufuate mpaka uyo wa Makkah ? imeisha tokea Yemen wame uona qabla ya hao ma wahabi wa makkah hawa kufunga ,

  • @yahyadenny4368
    @yahyadenny4368Ай бұрын

    Ulimwengu wote siku ni moja yaani masaa 24

  • @yahyadenny4368
    @yahyadenny4368Ай бұрын

    Mziwanda nakukubali lkn siyo swaum ya rmdhn, hiyo ina hukumu yake tofauti na hiyo ya arafa.ahsanta.

  • @sophiamtego7887
    @sophiamtego7887Ай бұрын

    Mashallah

  • @mohamedamour4050
    @mohamedamour4050Ай бұрын

    Wewe shekh mziwanda nijibu mtume aliifunga arafa kabla ya hija ufarazishwa je aliifungaje na hakukua na mahujaji katika viwanja vya arafa niweke sawa.

  • @BakariBinuri
    @BakariBinuriАй бұрын

    Shekhe Allah akulipe

  • @makinibwika1427
    @makinibwika1427Ай бұрын

    Sheikh Mziwanda ushamaliza utata na ambaye bado analeta ubishi kwahili tujue alishika namba ngapi shule na madrasa

  • @mandanokibwana6897
    @mandanokibwana6897Ай бұрын

    Maa shaa Allah, maelezo mazuri Sanaa,, jazaakallahu kheiran

  • @amazoneissa9940
    @amazoneissa9940Ай бұрын

    mashallah

  • @HakimRamadan-kl1hx
    @HakimRamadan-kl1hxАй бұрын

    Maansha Allah

  • @HamzaShomari-cs7cj
    @HamzaShomari-cs7cjАй бұрын

    Allah akulipe sheikh

  • @NuurulHudaa
    @NuurulHudaaАй бұрын

    We umekosa kuelewa Arafah ni sehemu na wakati Sehemu ndo ni moja peke yake ama wakati ndo funga yatekelezwa.....na kila mmoja atafunga na wakati wake

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9wАй бұрын

    Hii Dini Tunako Elekea Naona Wazi Kabsa Wazungu Wanakaribia kuitoa Mikononi Mwao Wallah Tena Tusipokua Makini Tayari Mbengele mbengele!!😢😢😢

  • @khamisswalehe

    @khamisswalehe

    Ай бұрын

    we dini ya Allah ina answari wake acha kelele wajua nini kuhus siri za Allah ww ...

  • @Allyjumaally-ex9vg
    @Allyjumaally-ex9vg28 күн бұрын

    Umemalinza utata shekhe anayebisha aendelee naubishiwake lakini ukweli upo waz alhamdulillah

  • @LuqmanAndrew-nu9rx
    @LuqmanAndrew-nu9rxАй бұрын

    Kwaio Arafa watu wafunge kwakuangalia mahujajj kisha warud kwenye tarehe zao, hii haipo sawa

  • @KassimMohamedMussa
    @KassimMohamedMussaАй бұрын

    assalamu alaykum shekh Allah akubari tumekuelewa vizuri

  • @husseinshamte7129
    @husseinshamte7129Ай бұрын

    Hio يوم yenyewe ni تاسع ذى الحجة mbona jambo lipo wazi hilo 😂😂😂

  • @user-zf2zg2ps5j
    @user-zf2zg2ps5jАй бұрын

    ALLAH akuongoze uache bida'a

  • @AbuuwoozaAbbakar-ru8tg
    @AbuuwoozaAbbakar-ru8tgАй бұрын

    ألله أكبر.....جاء الحق وزحق البطل....

  • @elallymoussa2980
    @elallymoussa2980Ай бұрын

    Aliekuwa hakufaham hapa atakuwa ni mbishani tu

  • @MwamvuaMwamvua
    @MwamvuaMwamvua26 күн бұрын

    Australia wanatanguli masaa kama manane wao vipi.

  • @hamedomar2401
    @hamedomar2401Ай бұрын

    Siku moja haiwezi kuwa na Tarehe 2

  • @user-sv3yx6ne2x
    @user-sv3yx6ne2xАй бұрын

    Hii video niyazamani na ishajibiwa kitambo

  • @IsmailiIdarusi

    @IsmailiIdarusi

    Ай бұрын

    Nani kaijibu ndugu

  • @aliissahaji33
    @aliissahaji33Ай бұрын

    Hiyo siku ni mwezi/tarehe ngapi?

  • @ahmadiomari6913
    @ahmadiomari6913Ай бұрын

    Sufi leo umenena sana Hahahahhaha. Masufi tatizo ucha Mungu umewatoka sana masilahi mbele

  • @khamisswalehe

    @khamisswalehe

    Ай бұрын

    Masalaf wanajidai watu wa Allah tutawaona nyie siku ya kiama mimi wala sina lakusema tutawaona masalafi wote siku hyo watakavyoingia pepon bila ya hesabu

  • @khamisswalehe

    @khamisswalehe

    Ай бұрын

    masalaf tutawaona siku ya kiama mkiingia pepon bila ya hesabu

  • @asiabaruani280
    @asiabaruani280Ай бұрын

    Umechemsha Sheikh mziwandaa

  • @muhammadal-bimani8120
    @muhammadal-bimani8120Ай бұрын

    Shekhe sasa watu hao waliofunga miaka mia mbili nyuma walijuaje kuwa mwezi umeandama huko Makkah? Jibu suali kabla kupoteza watu

  • @khamisswalehe

    @khamisswalehe

    Ай бұрын

    mwalimu hawa mashekh wanapuyanga sana ila mim nasubir siku ya qiama ndio nitWajua washekh na wanafiq na mayahud wala sina haraka

  • @Atw0ka735g
    @Atw0ka735gАй бұрын

    Kila Elmu ina mjuzi wake. Sheikh ww huo ndio uwezo wake wa kielmu kutokana na uelewa wake na mafundisho yake. Maswala ya kielmu yajibiwe kielmu si kibubusa na mchezo mchezo, na kuona ikhtilafu zilizoko hazina mashiko.

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    Ай бұрын

    Shehe anajibu kielem lkn nyie masufi ni majitu wa bidaa

  • @babuallyabdallah2964

    @babuallyabdallah2964

    Ай бұрын

    Hata wewe ni bida'aa kwa sababu wakati wa mtume hukuwepo. ​@@awadhally1052

  • @answaryhussein256
    @answaryhussein256Ай бұрын

    Funga ya arafa inahusiana na mwezi Tisa wa mwandamo wa mwezi wa nchi Gani?

  • @abasimwinyibovu3090
    @abasimwinyibovu3090Ай бұрын

    Shekh mziwanda mimi hujanishawishi naona kama unalazimisha kila miji ina miandamo yao

  • @SofySJalina
    @SofySJalinaАй бұрын

    Shekhe vip kuusu suna ya ndevu

  • @fatumasaidimmependezamjeng8994
    @fatumasaidimmependezamjeng899427 күн бұрын

  • @zaichande3412
    @zaichande3412Ай бұрын

    Ok

  • @user-hr9kb7ev1i
    @user-hr9kb7ev1iАй бұрын

    Aslm Alykm, nyinyi munao comment hamuja muelewa Sheikh mziwanda yupo sawa na masufi C na mawahabi

  • @husseinshamte7129
    @husseinshamte7129Ай бұрын

    Hapa hakuna majibu kuna ujanja ujanja mwingi tu wa Lugha ya Kiarabu ila Fat'wa hakuna

  • @AhmadSalim-dm4uk

    @AhmadSalim-dm4uk

    Ай бұрын

    Tupe fat'wa yko shekhe

  • @answaryhussein256
    @answaryhussein256Ай бұрын

    Huyu ni mlenda huwa unavutika popote alipo mvutaji

  • @hajikaoneka2827
    @hajikaoneka2827Ай бұрын

    Shekh mziwanda Allah akilipe umewafahamisha wenzako wa bidaaa

  • @AshirafuKashoga-ly9fk
    @AshirafuKashoga-ly9fkАй бұрын

    Shekhe nimekuelewa munyezimungu Azidi kukupa uelewa

  • @AhmadSalim-dm4uk
    @AhmadSalim-dm4ukАй бұрын

    Hizi ndio elimu sasa sio ubabaishaji anae pinga akapimwe akili

  • @OmmyMabele
    @OmmyMabeleАй бұрын

    Allah akulipe shehe nyookeni hivyo hivyo maana dini ya Allah haitaki konakona

  • @AishaMsumi-ft1yf
    @AishaMsumi-ft1yfАй бұрын

    Ukop sana

  • @mustafapandu5189
    @mustafapandu5189Ай бұрын

    Mziwanda hapa unesema kweli umeamua kutoendekeza ushabiki wa makundi hapa umeamuwa kuwa mkweli na muwazi japo wenzako wa kundi lako watakutukana.

  • @elallymoussa2980
    @elallymoussa2980Ай бұрын

    100%

  • @masudiabdallah264
    @masudiabdallah264Ай бұрын

    Mziwanda hajui kama siku ya Arafa ilikuweko kabla ya watu kusimama viwanja vya arafa

  • @yahyarashid8038
    @yahyarashid8038Ай бұрын

    Sh ww ni mzur ila umezungukwa na masufi na hao ndio marafiki zako na mtu huuliziwa rafiki yake ndio jibu hupatikana kuhusu yeye wallahu aghalamu

  • @jumafaki2891
    @jumafaki2891Ай бұрын

    ni kweli funga inafuatana na siku sehemu za china huko ndio siku zinatangulia je tufuate huko au tusubiri saudia

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971Ай бұрын

    Watu wanaofuata Saudia imekula kwao... Fuateni muandamo ktk nchi ZENU na sio nchi zingine. Halafu Kila nchi Ina mufti. Ni kwa nini tunakuwa na wasi wasi?

  • @JUMAKANYEBWE-hy7ge
    @JUMAKANYEBWE-hy7geАй бұрын

    Hivyo hivyo pia ramadhan

  • @Yahya-rb5pi
    @Yahya-rb5piАй бұрын

    Shekhe apo umeishwa maneno sio taaluma yako

  • @husseinshamte7129
    @husseinshamte7129Ай бұрын

    Funga ni siku 😂😂😂 Je haina fungamano na tukio?

  • @husseinomary2768
    @husseinomary2768Ай бұрын

    Sheikh huo ndio ukweli umemaliza

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Naam. Shekhhe mziwanda. Jibbu lakko llipo wazi. Kuutegemeea. Adithi. Yaa mtume ila waislamu leo atuutakii ukkweli tunafata matamanio ya nafssi ttunacha dalil za mtume tunaa kaamata maaneno ya mashhe wakati kauli ya shekhe ffuulani itafanyiwa kazi ikienda sambamba na haddithi za mtume ikihalifu hadithi ya mtume tunaiwaacha sabu ni binadamu nao wanapatia na kukosea

  • @masoud7486
    @masoud7486Ай бұрын

    Mimi naona hawa washke wote taka kupoteza watu elimu ya dini hamna na ya duniya je Fiji wata funa arafa nadu duwa cama muna fuata siku za ukimwi ao xm basi siku yenu ya arafa yenu ime wekwa na pope.

  • @AlkadoNkundwe-wb3of
    @AlkadoNkundwe-wb3ofАй бұрын

    Madhehebu ni ukafir,, watu wa madhehebu ni makafiri

  • @user-qy9qx5hd2u
    @user-qy9qx5hd2uАй бұрын

    Sasa sheikh unajijibu kuwa hatuendi nao sambamba mahujaji kama mnavyolazimisha hivyo hatufuati neno kuwa sambamba nao

  • @awadhjamal3430
    @awadhjamal3430Ай бұрын

    100% arafa ni siku siyo trh

  • @salumrashidabdullashmely2558
    @salumrashidabdullashmely2558Ай бұрын

    Sasa siku yenyewe ya Arafa ndio ile wanayosimama makkah??? Waliuona mwezi au waliutangaza tu

  • @aminaaidarus2387
    @aminaaidarus2387Ай бұрын

    Shekhe suali langu ni. Kuna nchi saudia iko nyuma wao wako mbele watafuata vipi. Wao ndio wametangulia tarehe 9 na saudia watafuata sasa wafanyeje

  • @aminaaidarus2387

    @aminaaidarus2387

    Ай бұрын

    Saudia kutangulia ni suala lengine lakini nchi ambazo ziko mbele wafanyeje