Swaumu Ya ARAFA Siyo Ya Tukio Ni Ya Tarehe /Swaumu Hii Haiusiani Na Mahujaji/ Sheikh Muhammady Iddi

Ойын-сауық

Swaumu Ya ARAFA Siyo Ya Tukio Ni Ya Tarehe /Swaumu Hii Haiusiani Na Mahujaji/ Sheikh Muhammady Iddi
Mashaa Allah Sheikh Muhammady Iddi akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Swaumu Ya ARAFA Siyo Ya Tukio Ni Ya Tarehe /Swaumu Hii Haiusiani Na Mahujaji/ Sheikh Muhammady Iddi
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tV

Пікірлер: 40

  • @salhakhalfan6513
    @salhakhalfan6513Ай бұрын

    ALLAH akupe umri mrefu tuendelee kustafid mazuri kutoka kwako sheikh letu

  • @user-sm7wj8bm4x
    @user-sm7wj8bm4xАй бұрын

    Maa Shaa Allah,shukran sana kwa elimu hii binafsi nimeelimika Allah akuhifadhi na akulinde na kila Shari za waja wake shekhe Wetu

  • @rukiayasuleyman2900
    @rukiayasuleyman2900Ай бұрын

    Jazaqallahu khair Shekhe wetu wallah tumepata ilimu.

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanziАй бұрын

    Alhamdullllah shekh umeeleweka umekubalika (kiviwango).

  • @khalidmziwanda9024
    @khalidmziwanda9024Ай бұрын

    Mashallah elimu kubwa umetoa mwalimu atakayetaka ushabiki mwache afuate ushabiki Kwasababu kufaham nako ni rızkı

  • @omanoman-ir1ez
    @omanoman-ir1ezАй бұрын

    shekh mimi huwa nakuelewa sana mungu akufanyie wepesi katika mambo yako

  • @carolinemrinji9605
    @carolinemrinji9605Ай бұрын

    Masha Allah mie nashukru sana kwakutuelimisha

  • @HusseinSalum-il6bz
    @HusseinSalum-il6bzАй бұрын

    Allah akulipe pepo sheikh Mohammed idd

  • @ballpoint0340
    @ballpoint0340Ай бұрын

    Sina elimu lakini sheikh Mohammed idd, unazungumza maneno muhimu sana.

  • @subiraukindo954
    @subiraukindo954Ай бұрын

    Allah akulipe zaidi shekh kwa kutupa elimu nzuri sana

  • @adamcity9441
    @adamcity9441Ай бұрын

    ما شاء الله تبارك الرحمن

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233Ай бұрын

    Shekhe abuu idi ana patikana dar sehemu gani?

  • @w4058
    @w4058Ай бұрын

    Sheikh naam kweli kabisa unayo yasema ila hao wanaotumia ujuwaji wao kwa ukaidi wao wa kukubali kutumiwa na Wazayuni wao hawaukubali Subhanallah ndio maana Mtume SAW nawanukuu Masheikh walosema kuwa mwisho wa dunia kutakuwa na Masheikh wengi vijana na watakuwa hawana hekima hawana busara hawana akhlaq na waso juwa maskini hawajijui hawajitambui Allah awaongoze wao na sie

  • @salhakhalfan6513
    @salhakhalfan6513Ай бұрын

    Kwa atakaekuwa hajakuelewa Ana tatizo tuwaombee Allah Awape fahamu za wanazuoni

  • @MusabMusab-jb8my
    @MusabMusab-jb8myАй бұрын

    Shkh hiv mwezi tisa wa tz unatofautiana na meka?

  • @alisalum8908
    @alisalum890828 күн бұрын

    Sheikh Gonga hapo hapo

  • @khamismaulid-zh4xk
    @khamismaulid-zh4xkАй бұрын

    Hatari hii ufaham kitu kingine shehe hapafungwi kusimamo shehewangu panafungwa siku Kama watu hawakusimama ilesikuipo pale pale. panafungwa

  • @alisalum8908
    @alisalum890827 күн бұрын

    😂😂 Yaani hadi raha jinsi ambavyo nnamuelewa huyu Shekhe

  • @w4058
    @w4058Ай бұрын

    Hiyo khiyari yake wacha ubabaifu

  • @yuslule9221
    @yuslule9221Ай бұрын

    Upotoshaji Mkubwa

  • @hasinaalrahbi6681

    @hasinaalrahbi6681

    Ай бұрын

    Vipi upotoshaji jaribu kusoma dini na uielewe.kama hujamfaham huyu inatakiwa uongeze kuitafuta elimu.hajji ingine kwa waliopo makka. N aambao hapo huko juu yao ni funga tu.

  • @alhajnur1612
    @alhajnur1612Ай бұрын

    Sheikh bado nasema angekua na wenzako wa 3 kama wewe hapa Tanzania hawa wapotoshaji wote wangenyooka Mwenyezi Mungu akuongezee umri wenye manufaa makubwa

  • @sama-_8368

    @sama-_8368

    26 күн бұрын

    Sanaaa

  • @mwanasitimpole8746
    @mwanasitimpole8746Ай бұрын

    Fuga ndevu kwanza ndio utoe fatwa.

  • @franciscomauriciofrancisco1155

    @franciscomauriciofrancisco1155

    Ай бұрын

    Wewe auna akili timamu

  • @sama-_8368

    @sama-_8368

    26 күн бұрын

    Hayo maneno yanapatikana kitabu gani?

  • @Chilangala-wt3kw
    @Chilangala-wt3kwАй бұрын

    Kama hawkuelewi haha bwana Mtume angekuwa hai wasingemuelewa katu

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641Ай бұрын

    Asalam Alaykum. Arafat moja sio mbili. Allah Anapowasamehe waja wake ni siku ile ya Arafa wanapokuwa kiwanjani sio siku ya pili ya arafa unayosema. Kama kuna Arafa nyingine bila Mahujaji basi Allah Atakuawa yuwaambia Malaika wake tena Yuwa Wasamehe Mahujaji wapi.

  • @ballpoint0340

    @ballpoint0340

    Ай бұрын

    Sikiliza maneno alafu ukaulize kwa masheikh wako wachambue maneno haya, utapata faida. Mungu akupe wepesi.

  • @BofuMlanzi

    @BofuMlanzi

    Ай бұрын

    Walioswali jumamosi wameswali na kundi miongoni mwa waislam Idi mosi na waliyoswali jumapili pia ni Iddi pili hawamo nje ya Iddi wameswali swala halali kabisa kwa kuwa Iddi ni siku mbili hakuna mgogoro .

  • @Sharrif456
    @Sharrif456Ай бұрын

    Sheikh bon kanyoa devu kafunga masharubu

  • @sama-_8368

    @sama-_8368

    26 күн бұрын

    Ndio nini?

  • @hasinaalrahbi6681
    @hasinaalrahbi6681Ай бұрын

    UPO VIZURI SHEKHE AMBAE HAJAKUFAHAM AENDELEE KUTAFUTA ELIMU. WALIOPO ARAFA WENYEWE HAWAFUNGI IBADA ZAO TOFAUTI NA SISI

  • @w4058

    @w4058

    Ай бұрын

    Naam kabisa Allah awatanabahishe hao wanaothubutu kumwita sheikh msema kweli mpenzi wa Allah

  • @w4058

    @w4058

    Ай бұрын

    Cha ajabu Oman Alhamdulilah Rabilaalamin Allaah awazidishie

  • @saidisaidi4502
    @saidisaidi4502Ай бұрын

    Ukimaliza kupotosha Sasa zungumzia hiyo mipete yenu na majini mnayofuga

  • @ballpoint0340

    @ballpoint0340

    Ай бұрын

    Sikiliza maneno alafu ukaulize, hio itakuwa vizuri. Allah akupe wepesi

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7siАй бұрын

    Katika watu ninso waonaga wa hivyo ni pamoja na huyu jamaa hanaga hoja

  • @w4058
    @w4058Ай бұрын

    Mpotishaji wewe

  • @JumaHaji-zz8xk
    @JumaHaji-zz8xkАй бұрын

    Shehe unachemka huna elimu kasome unapata tabu

Келесі