Swaumu Ya ARAFA Siyo Ya Tukio Ni Ya Tarehe /Swaumu Hii Haiusiani Na Mahujaji/ Sheikh Muhammady Iddi
Ойын-сауық
Swaumu Ya ARAFA Siyo Ya Tukio Ni Ya Tarehe /Swaumu Hii Haiusiani Na Mahujaji/ Sheikh Muhammady Iddi
Mashaa Allah Sheikh Muhammady Iddi akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Swaumu Ya ARAFA Siyo Ya Tukio Ni Ya Tarehe /Swaumu Hii Haiusiani Na Mahujaji/ Sheikh Muhammady Iddi
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tV
Пікірлер: 40
ALLAH akupe umri mrefu tuendelee kustafid mazuri kutoka kwako sheikh letu
Maa Shaa Allah,shukran sana kwa elimu hii binafsi nimeelimika Allah akuhifadhi na akulinde na kila Shari za waja wake shekhe Wetu
Jazaqallahu khair Shekhe wetu wallah tumepata ilimu.
Alhamdullllah shekh umeeleweka umekubalika (kiviwango).
Mashallah elimu kubwa umetoa mwalimu atakayetaka ushabiki mwache afuate ushabiki Kwasababu kufaham nako ni rızkı
shekh mimi huwa nakuelewa sana mungu akufanyie wepesi katika mambo yako
Masha Allah mie nashukru sana kwakutuelimisha
Allah akulipe pepo sheikh Mohammed idd
Sina elimu lakini sheikh Mohammed idd, unazungumza maneno muhimu sana.
Allah akulipe zaidi shekh kwa kutupa elimu nzuri sana
ما شاء الله تبارك الرحمن
Shekhe abuu idi ana patikana dar sehemu gani?
Sheikh naam kweli kabisa unayo yasema ila hao wanaotumia ujuwaji wao kwa ukaidi wao wa kukubali kutumiwa na Wazayuni wao hawaukubali Subhanallah ndio maana Mtume SAW nawanukuu Masheikh walosema kuwa mwisho wa dunia kutakuwa na Masheikh wengi vijana na watakuwa hawana hekima hawana busara hawana akhlaq na waso juwa maskini hawajijui hawajitambui Allah awaongoze wao na sie
Kwa atakaekuwa hajakuelewa Ana tatizo tuwaombee Allah Awape fahamu za wanazuoni
Shkh hiv mwezi tisa wa tz unatofautiana na meka?
Sheikh Gonga hapo hapo
Hatari hii ufaham kitu kingine shehe hapafungwi kusimamo shehewangu panafungwa siku Kama watu hawakusimama ilesikuipo pale pale. panafungwa
😂😂 Yaani hadi raha jinsi ambavyo nnamuelewa huyu Shekhe
Hiyo khiyari yake wacha ubabaifu
Upotoshaji Mkubwa
@hasinaalrahbi6681
Ай бұрын
Vipi upotoshaji jaribu kusoma dini na uielewe.kama hujamfaham huyu inatakiwa uongeze kuitafuta elimu.hajji ingine kwa waliopo makka. N aambao hapo huko juu yao ni funga tu.
Sheikh bado nasema angekua na wenzako wa 3 kama wewe hapa Tanzania hawa wapotoshaji wote wangenyooka Mwenyezi Mungu akuongezee umri wenye manufaa makubwa
@sama-_8368
26 күн бұрын
Sanaaa
Fuga ndevu kwanza ndio utoe fatwa.
@franciscomauriciofrancisco1155
Ай бұрын
Wewe auna akili timamu
@sama-_8368
26 күн бұрын
Hayo maneno yanapatikana kitabu gani?
Kama hawkuelewi haha bwana Mtume angekuwa hai wasingemuelewa katu
Asalam Alaykum. Arafat moja sio mbili. Allah Anapowasamehe waja wake ni siku ile ya Arafa wanapokuwa kiwanjani sio siku ya pili ya arafa unayosema. Kama kuna Arafa nyingine bila Mahujaji basi Allah Atakuawa yuwaambia Malaika wake tena Yuwa Wasamehe Mahujaji wapi.
@ballpoint0340
Ай бұрын
Sikiliza maneno alafu ukaulize kwa masheikh wako wachambue maneno haya, utapata faida. Mungu akupe wepesi.
@BofuMlanzi
Ай бұрын
Walioswali jumamosi wameswali na kundi miongoni mwa waislam Idi mosi na waliyoswali jumapili pia ni Iddi pili hawamo nje ya Iddi wameswali swala halali kabisa kwa kuwa Iddi ni siku mbili hakuna mgogoro .
Sheikh bon kanyoa devu kafunga masharubu
@sama-_8368
26 күн бұрын
Ndio nini?
UPO VIZURI SHEKHE AMBAE HAJAKUFAHAM AENDELEE KUTAFUTA ELIMU. WALIOPO ARAFA WENYEWE HAWAFUNGI IBADA ZAO TOFAUTI NA SISI
@w4058
Ай бұрын
Naam kabisa Allah awatanabahishe hao wanaothubutu kumwita sheikh msema kweli mpenzi wa Allah
@w4058
Ай бұрын
Cha ajabu Oman Alhamdulilah Rabilaalamin Allaah awazidishie
Ukimaliza kupotosha Sasa zungumzia hiyo mipete yenu na majini mnayofuga
@ballpoint0340
Ай бұрын
Sikiliza maneno alafu ukaulize, hio itakuwa vizuri. Allah akupe wepesi
Katika watu ninso waonaga wa hivyo ni pamoja na huyu jamaa hanaga hoja
Mpotishaji wewe
Shehe unachemka huna elimu kasome unapata tabu