YUSUF DIWANI ACHA UBARAMAKI USIKIMBIE MADA

#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo

Пікірлер: 12

  • @yangayanga1553
    @yangayanga1553Ай бұрын

    Yusufu Balozi sio Diwani Mganga wa tunguli hana Hoja maana wala sio msomi

  • @user-od1xx3tk9y
    @user-od1xx3tk9yАй бұрын

    Tatizo masufi Hawasomi tawhid wala hawasomesh tawhid ndio maana wanakua watu wafelek sana waganga watupu na kuvaa mapete

  • @hassanrangambo8007
    @hassanrangambo8007Ай бұрын

    Kumbe bado mungu wala mtume au maswahaba hawakuelekeza hivyo ni fasri za watu (jitihada tu za wasomi)

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3uАй бұрын

    MAWAHABI CHECHEIIII.......!!?

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Shekhe muhammadi allah akujaalie kumuelimishe yule mganga diwani hana hojja anachuki na ahlsuna tuu, ndomana anajibu matusi ndo walivyo watu wa batwili diniani wakishindwa hojjja huja na matusi lakini sisi allah anatutia nguvu tunalingania kwa dalili

  • @SeifSalim-qm5bo
    @SeifSalim-qm5boАй бұрын

    Tunakupenda kwa ajili ya Allah na zaid una hekima Allah akubariki sheikh

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5kАй бұрын

    Uyu Yusuf diwani mganga wa kienyeji mpiga vipande amefunga comment Kwasababu ulimwengu wote umemuwelewa kama yeye Yusuf diwani ni mshirikina

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8otАй бұрын

    Huyu diwani nilimshangaa sana pamoja na yule jaahil mwenzie, yani mnakuja kumtukana Mtu mzima na kumdharau eti ndio da'wa hio, badala ya kujibu hoja, wakaja na matusi, mpaka nilihisi kuchefukwa na moyo, na nikasema wanaokubali kuibiwa Dini yao, wanaibiwa kweli, yani kama hii ndio da'wa kuwatukana watu wazima wenye maarifa zaidi yako, na kumtupia mtu aibu asio husika nayo!!! Lakin nashkuru sana Shekh Muhammad Is-haqa hakuja na matusi, na matusi ni dira ya wazushi wote duniani, nasio ahlissunnati wal-athar. Allaah akulipe kheri Shekh Muhammad

  • @MashangoHamissi

    @MashangoHamissi

    Ай бұрын

    Wew nawe umzuka ivyoo uwoni kama uyu mzee nimtupu ajuwi ata kusoma matin ayo hajui kukaa kwenye mada

  • @jumamussantuiche

    @jumamussantuiche

    Ай бұрын

    ​@@MashangoHamissisimama kwenye haki.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377Ай бұрын

    Siso tumeshamuona Diwan mdaaa sana Hana elimu alicheleqa kusoma dini kwa kupoteza mda kusoma uganga! Hi madaa hajaijbu hajakusa kitabu hata kimoja kuhusu Tawheed Shekh Is'haka umesoma vitabu aya na maneno tafsir zinazoenesha watafsir wanavyoxigawa tawheed tatu zaid y vitabu sita vinavyoonesha tawheed 3 Yy amekomaa na kitab cha Kishiaa! na biblia 😮😮 Kwa elim yake yy alijua kuwa ndiokitab hiko hiko hakuna vingnebe , kumbe Kuna vitab toka yy aanze elim yake ya dini hakuviona !! sasa shekh unampa somo tena unamtajia mpaka ukurusa .. hatarii sana! Sasa anabikia kuhanyahanya , Kama diwan ww unaelim toavitabu zaid ya 2 tu vinavyosema kama usemavyo Au Rudi uje kupinga vitabu na tafsir ya Aya ulizopewa na Shekh is'haka , useme hivyo vitabu hakuna na tafsir hiyo hakuna , Hapo ndipo tuseme kweli elimu ipo. mbona mwenzako aanaaoma vitabuuu ving tu na Aya zilivyotafsiriwa kwa kutaja na kuonesha tawheed 3???? kwann wewe video zako zote mwanzo mwisho husomi hata Aya inayopinga Tawheed au tafsir usema hakuna Tawheed 3!!!??? Jua kuwa watu wanazidi kukujua kuwa elimu ubongo wa mengi maneno mengiii tu!!! Mwenzako Mbogo kashindwa hata kuisoma dua ya kuingia choooni! Halafu anajiita shekhh 😂😂😂😂😂 watu wa kigoma mnachekesha sana! Sabas Alkubra naye kashndwa kutetea Barzanji wakat anasoma kila siku!! Acheni kupoteza mda kusoma ugangu , uislam cio uganga uislam ni TAWHEED .

  • @iddimutua420
    @iddimutua420Ай бұрын

    YUSUF DIWANI NA SHAFFII BASALIIM NDUGU MOJA MGAGANGA NA MSHIA ALAFU WOTE WAOGA WA KUUKABILI UKWELI NDIO MAANA WANAFUNGA COMMENTS SECTION.

Келесі