KAMATI YA MARIDHIANO SIX JUSSA JUSSA JUSSA 14 APRIL 2014

Пікірлер: 73

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800Ай бұрын

    Kumbe muungano ni mzuri unahitaji tu marekebisho. Hongera Jusa.

  • @yunussabdall7234
    @yunussabdall7234 Жыл бұрын

    ismail Jussa ladu next president of Zanzibar 2025 Inshaalaah

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    11 ай бұрын

    Inshalla mungu amhufathi

  • @bilalikaoneka5080
    @bilalikaoneka50802 жыл бұрын

    Ismail juma... Mswahili halisi... mwenye damu ya kuswali..nakukubali...from Tanga

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid514015 күн бұрын

    Kichwa hiko makamu wa pili wa Rais wa zanzibar 2025 inshallah

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n28 күн бұрын

    Tunakupenda sana ndugu ismail jusa ❤❤❤❤

  • @tecnof1232
    @tecnof12325 жыл бұрын

    Ni ukweli mtupu, na huwezi kuukimbia ukweli, unaweza kuuchukia lakini ukweli wenyewe utabaki kuwa ni ukweli tu, Ahsante Mr Jussa! Mambo kwa ujanja ujanja hayaendi!

  • @MartinAloisMosha-ff8rb
    @MartinAloisMosha-ff8rb11 күн бұрын

    Hongereni sana LISU NA JUSA KUTUPA UKWELI .SERIKALI TATU NI SASA ACHENI DHAMBI NI HAKI YA WANANCHI WALIKWISHA AMUA.

  • @suleimansuleiman6522
    @suleimansuleiman652228 күн бұрын

    Hongera Maalim Jussa

  • @fathiyaally8631
    @fathiyaally86312 жыл бұрын

    Jussa kweli mzalendo wa zanzibar nimekukubali uko sawa uchafu wote wa madhalim umeuweka hazarani duuuu

  • @gangmore9091
    @gangmore90914 жыл бұрын

    Wasio tetea wazanzibar wanafkii mungu atakulipa kwa kutetea haki z wazanzibar waliokua hawatetei wataulizwa n mungu

  • @amrubinannasannas9185
    @amrubinannasannas91853 жыл бұрын

    Talent from zanzibar

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын

    HEKO! HEKO KIDUME JUSA TUKO PAMOJA NA WEWEEE, WANAJIFANYA WANA HOJA .ZINAWARUDI WENNYEWE. MUNGU AKUWEKE

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын

    Jussa ana akili za watanganyika 1000

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr11 ай бұрын

    Jussa ooooooooyeyyyyyyyyyyyyyye ww ndio umeva kiatu cha maalim Seffu

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja883710 ай бұрын

    Jusa anaakili nyingi sanaa

  • @mtunesalumu8359
    @mtunesalumu83594 жыл бұрын

    safi jussa kwa kumpuuza mpuuzi wa ccm

  • @abdulmubason7542
    @abdulmubason75429 жыл бұрын

    Jusa mwanaume I salute u

  • @sultansallah8772
    @sultansallah87728 ай бұрын

    Uyo ndo jusa. Sheria inelala na vijembe vimelala

  • @salhiaseifmohammed8670
    @salhiaseifmohammed86708 жыл бұрын

    Asante jussa waambie waelewe

  • @cassidycarter3635
    @cassidycarter36358 жыл бұрын

    Big up jussa 👍

  • @johnthobius4499
    @johnthobius44998 жыл бұрын

    I real appreciate in u, u did well

  • @mussagweje8731
    @mussagweje87314 жыл бұрын

    Safi sana jussa Uhuru kwanza ukoloni baadae

  • @heritungaraza270
    @heritungaraza27010 жыл бұрын

    Jusaaaaaaaaaaa

  • @feiz3180
    @feiz318010 жыл бұрын

    Ilifanywa kwa siri kwa kuwa hawakutaka wazanzibari waone kiini macho cha Nyerere.

  • @siefkalfan8549
    @siefkalfan85498 жыл бұрын

    pasua jusa pasua jusa

  • @abdisalamimasoud3872
    @abdisalamimasoud387210 жыл бұрын

    Wakati umefike wazanzibar tusiwabinye tena wamekwisha shtuka

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    11 ай бұрын

    Karume hataki muongano alidanganywa kuja kushtuka nchi imetekwa nchi tajiri duniani zanzibari ilikuwa dolah halali ilichaguliwa NA wazanzibari wenyewe

  • @feiz3180
    @feiz318010 жыл бұрын

    Jussa jussa jussa

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja883710 ай бұрын

    Jusa nisawa nawabunge 100 was ccm

  • @hajijumaa362
    @hajijumaa3626 жыл бұрын

    wapeni wazanzibari nchi yao aaa kelele kila siku jamani wazanzibari wanaumia

  • @pettermasika9120

    @pettermasika9120

    5 жыл бұрын

    Maisha Zanzibar itabaki salama na Tanganyika itakuwasalama Kabisa" kwamwe watanganyika hawawezi kuiwacha Zanzibar"

  • @fahmyatrash7877

    @fahmyatrash7877

    5 жыл бұрын

    hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho bro kama hii nchi inajitnata kwa amani basi belive one day damu itamwagika kuliko alivo imwaga nyerere na kundilake hapa zanzibar mwaka 1964 docomentary zipo

  • @bilalikaoneka5080

    @bilalikaoneka5080

    2 жыл бұрын

    @@pettermasika9120 .. Sasa kama wenyewe hawataki..???..kwan mnaumia muungano kuvunjika 😁😁

  • @fatmahamed3285
    @fatmahamed32855 жыл бұрын

    Zanzibar kwanza

  • @daudhenry8909
    @daudhenry89094 жыл бұрын

    Jussa

  • @saidahmed9688
    @saidahmed96882 жыл бұрын

    ismail jussa

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal007654 жыл бұрын

    Mh jussa huna mpinzani baba Wasiokuelewa wana yao hao

  • @bukhariabdullah4949
    @bukhariabdullah49497 жыл бұрын

    tumechokaaaaaaaa na muuungano usiyo kuwa na mashiko

  • @nassorkhalfan-cl6pm
    @nassorkhalfan-cl6pm11 ай бұрын

    Nakukubak jemb jusa upo sw tn cn

  • @elastokaminyoge6512
    @elastokaminyoge65126 жыл бұрын

    muungano kwa wazanzibari na yanafanyika ni kitu cha msingi sana lakini kama kuna mapungufu ni vyema yalekebishwe lakini sio kuvunja ib

  • @zungubakathir1761
    @zungubakathir17616 жыл бұрын

    Kweli wanajitia muungano kitu chochote ukitoka nacho zanzibar ukienda bara unalipa tena ushuru hii ni kwann inamana ukitoka mtwara na gari kuja dar unalipia tena ushuru yani ilimrani tumechoka kweli tuamue tu lolote liwe munatunyanyasa tu muungano au mumetutawala tu kiujanja

  • @hudaasaalim1333
    @hudaasaalim13332 жыл бұрын

    Wambileeeeeee wasikileeeeeeee😇

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr11 ай бұрын

    😅😅😅😅😅Tanganyika itawaliwe na Zanzibar 😅😅😅😅😅

  • @abdulkhamis815
    @abdulkhamis8152 жыл бұрын

    Hongera mh jussa

  • @zenj1986
    @zenj19863 жыл бұрын

    Kichwa hicho

  • @kapilimajuma6558
    @kapilimajuma65586 жыл бұрын

    mmeona sultan kaja kutembelea sasa ngoja muungano uvunjike,,,,,,

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын

    HATUUTAKI MUUNGANOOO!!!!

  • @ibrahimconte601
    @ibrahimconte601Ай бұрын

    Mbona makelele matupu

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын

    misisiemu y zanzibar minafiki,mijinga kweli! hayana akili hat moja kazi yanatutia matatizini tu

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    27 күн бұрын

    Miccm inakera hasa na ndio inayosababisha Zanzibar kuwa nyuma kimaendeleo.

  • @Dawood96-mct
    @Dawood96-mct Жыл бұрын

    CCM ni wahaini kwa zanzibar

  • @giztony2009
    @giztony20092 жыл бұрын

    Aise Ismail Jusa ni hatari sana

  • @RidhwanAmar
    @RidhwanAmar10 жыл бұрын

    ZANZIBAR KWANZA SHENGESHA BAADAE

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1kuАй бұрын

    Pasua hizo mbwa za Dodoma Hadi mpate haki yenu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything3 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌

  • @omarkanout8684
    @omarkanout86845 жыл бұрын

    Wambie hao wapumbavu wa CCM manake wote ni kambare

  • @salehsuleiman8519
    @salehsuleiman85192 жыл бұрын

    Jusa kama jusa na ubora wake

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor30813 жыл бұрын

    Jussa naumia sana kukosa nafasi serikalini huyu mtu mpambanaji sio mchezo lakini one day yess 🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @moodyman7588
    @moodyman75884 жыл бұрын

    Better says Zanzibar must be independient. Think before you done

  • @siefkalfan8549
    @siefkalfan85498 жыл бұрын

    leo tunalipa ushuru magari na macontena na tulipishwa tena bara huu ni muungano na hizo pesa ifika jioni bara wanazichukua huu ni muungano sasa munaongea watu au vipofu

  • @gangmore9091

    @gangmore9091

    4 жыл бұрын

    Kweli bro kwa macho yngu naziona pesa kwenda dar

  • @khamisali5978
    @khamisali59786 ай бұрын

    Hii ndo athari ya kuchukua watu mitaani kuja kutoa michango kwa jambo linalohitaji elimu,fujo zaidi ya sokoni😂

  • @erickrichard3077
    @erickrichard30773 жыл бұрын

    Uyu sikuizi yuko wapi?? Jamani

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56742 жыл бұрын

    Jussa hamna kitu!!

  • @destiny4life439
    @destiny4life4395 жыл бұрын

    hawa watu wazima lakin hawajielewi hata kidogo kam kuku

  • @gangmore9091
    @gangmore90914 жыл бұрын

    Kila jambo lina mwisho wake yataisha yote

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800Ай бұрын

    Wanasheria nchi hii kupitia TLS hebu mtujie Watanzania na majibu kamili ya haya mambo ya kisheria mnayobishania juu ya Muungano wetu. Taaluma itoe majibu sahihi ili Watanzania tuwe na utulivu.

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын

    wanatoa vichwa tu! waeleze wajinga

Келесі