Mada Moto na Ismail Jussa Vs Pole Pole : Uchaguzi na Hali ya Kisiasa Z'bar - 06.11.2015

WASHIRIKI, ISMAIL JUSSA CUF ZANZIBAR NA HUMPHREY POLEPOLE CCM BARA

Пікірлер: 20

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 Жыл бұрын

    Big up Sana jussa tunaona hasa kuwa mnaitetea zanzibar mungu atawalipa

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma761610 ай бұрын

    Ismael jussa Allah amhifadhi

  • @abasamo
    @abasamo8 жыл бұрын

    Nionavyo mimi, hii debate ilikuwa baina ya Profesa na mwanafunzi wa kitano cha 4. kwa kweli Polepole ni mchanga mno kuzungumzia siasa ya Zanzibar, hususan mbele ya Jussa. 1. Ameshindwa kujenga na kujibu hoja na masuali aliyoulizwa 2. Hakua na data (amekurupuka) 3. Amekariri hoja pasina kufanya research. 4. Amejikanyaga mno, bora angeingia mitini. du! aibu.

  • @mcorama
    @mcorama8 жыл бұрын

    @abbas you are very right my brother..!

  • @kassim1262
    @kassim12623 ай бұрын

    Hao jamaa damu zawatu zishawavaa kwenye nyoyo zao namikono kwaujumla acha mungu awape nguvu zaidi ili akawaadhibu zadi pia

  • @chekajumasebunga8358
    @chekajumasebunga83588 жыл бұрын

    Vituo vyote uchaguzi ulikoleta utata kura zimearibika zihesabiwe kura ktk vituo vyingine atangazwe mshindi to move on na maisha yetu, Amani kwanza sio madaraka ya mtu.

  • @mwanaz3110
    @mwanaz31108 жыл бұрын

    Big up kwa JUSA

  • @yusufahmef8500
    @yusufahmef85008 жыл бұрын

    Inashangaza sana ni aibu kuona mtu kama Pole pole alishiriki kutetea katiba ya wananchi leo anakuwa wa mwanzo kukandamiza maamuzi ya mananchi yaliyomo ndani ya katiba.Naona amejiondoshea hadhi ya kuaminika mbela wananchi.Mimi nafkiri amesha athirika na yale maradhi ambayo yaitwayo BORA TUMBO kama walivyoathirika miongoni viongozi au watala CCM.some advice for Pole pole "STAND FOR JUSTICE EVEN IF IT IS AGAINST YOUR SELF"

  • @nathankabugo8783
    @nathankabugo87838 жыл бұрын

    Nathan Augustine. Kiukweli kwa nimjuavyo H. polepole mteteaji wa katiba ya wananchi leo anakandamiza haki ya watanzania visiwani ni kituko na aibu kwa utu wake.pili leo anaukana pia uchaji Mungu wake anatetea uongo.Haingii kwenye akili za mtu yeyote kuwa polepole amebadilika hivihivi tu lazima kuna kitu au kuna makubaliano fulani na ccm.Ninachomuomba polepole amuombe Mungu msamaha kwa yeye kuhusika kuwakansamiza wazanzibari.

  • @awadhsaidkarama9806
    @awadhsaidkarama98068 жыл бұрын

    polepole unatetea chama chako sio haki kuwa mkweli ili uweze ku maintain reputation yako if you really care about hiyo reputation

  • @abdulhalim3840
    @abdulhalim38402 жыл бұрын

    Atakae mshinda shujaa jusa mkono juu subutu hakun hakumshinda jusa kwa siasa jussa yupo juu popote

  • @ngumbosanga5359
    @ngumbosanga53593 жыл бұрын

    Polepole hapo umekwama

  • @sumalago864
    @sumalago8648 жыл бұрын

    Polepole Umefeli...hilo suala la kisheria....Asiseme kilichotokea ZNZ hakiwezi kumalizwa na katiba au sheria....M/kiti wa tume hakulalamika kabla kwa Mujibu wa Sheria....hakujadiliana kivikao na wajumbe wake wa tume kuhusu tofauti alizosema na kupata uhalali wa kufuta uchaguzi....Sema kweli pole pole hata kama una Maslahi...!!...umeonyesha Upeo wako wa kishabiki kuliko kiuhalisia na kisheria....XIV.XXVI Over Mizinga brigade 💣 💥

  • @rashidkihiyo5932
    @rashidkihiyo59323 жыл бұрын

    Hapa kwenye mjadala huu ndio nimemuelewa polepole kinagaubaga Ni mtu wa namba gani?

  • @wasafitelevision7619
    @wasafitelevision76198 жыл бұрын

    mmmmm hpa kazi tyuu

  • @sulaymuallyuthumaniy3061
    @sulaymuallyuthumaniy30618 жыл бұрын

    Humphrey umejipotezea sifa ya kuwa msomi mwenye uwezo wa kuchambua mambo ya kisiasa kitaalaam . umekuwa ni sawa na mtoto wa darasa la nne anayesikia habari bila ya kuzifanyia research. TUONGOZWE NA UKWELI NA SI UTASHI WA KISIASA

  • @finiasfidelis1475
    @finiasfidelis14757 жыл бұрын

    Polepole mamaa umebadilika lini jamani. Umeniboaje...

  • @masanjantobolo8630

    @masanjantobolo8630

    6 жыл бұрын

    achaa