The Story Book: Mji wa Tanzania Uliokuwa Mji Mzuri Zaidi Duniani (Historia ya KILWA)
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 642
Jaman naombeni bax hata like 5 tu
Sababu ya mji wa kilwa kupotea ni kwamba walipokuja wareno kutaka kutawala waliwaamrisha wenyeji. wa kilwa kubatizwa kwa nguvu walipokataa ndipo kwa wivu wao wakaamua kuupiga makombora mji huo na kuuharibu na wakawachukua utumwani wenyeji.Ukitaka kuijua historia ya kilwa kiundani waulize waislamu wanaijua vizuri
@magigesabai8674
6 күн бұрын
kwani wareno walitawala Tanganyika ?
Maaana halisi ya kwamba hakuna kinachodumu duniani😢😢 kila kitapita tu na kitabaki kua historia ee mwenyezi Mungu tujalie mwisho mwema
@perujumah1422
2 жыл бұрын
Ameen thuma ameen
@allahisone6386
2 жыл бұрын
@@perujumah1422 Allahumma Aaaameen
@SamirBSam
Жыл бұрын
Watu tunapita. KILWA YA SASA NI KIJIJI CHA OVIO SANA. IMEBAKI KIJIJI CHA HISTORIA. SEHEMU WANAO PIKISHA KILA CHAKULA KWA MAFUTA YANAZI.
Huwez kutengenisha historia y mji wa kilwa na ukuaji wa uislam afrika. Historia ya kilwa ilipotezwa ili kuficha historia ya uislam Afrika Mashariki na MCHANGO wa uislam katika maendeleo ya dunia. Ahsante sana Jamal Hashim kwa documentary hii.
@SilaMinanda
4 ай бұрын
Ni kweli kaka, historia ya kweli inafichwa ambayo ni kubwa kuliko ata nyerere wanaomuabudu na kumuita baba wa taifa, wakati huo waislam ndio walianza kupgania uhuru maana ata ukoloni ulianzia pwani na sio bara.
@sarastephano3409
2 күн бұрын
@@SilaMinandaHata uislam pia uliletwa na waarabu ko wenyeji hawakuwa waislam Ila waliletewa hiyo dini na waarabu
Nimefurahi Sana prof Jamal kwa kuitangaza nchi yetu wengi wetu hatujui mambo mengi ya nchi kwa kuwa hatuna utaratibu wa kutembelea vivutio vyetu vya kale
@saidibinur9743
2 жыл бұрын
Kwl kpnd hik kinakuwa siku gan na saa ngap
@neemamwita9733
Жыл бұрын
Kilwa jamani ipo kama unaenda wap
kusini kumesahaulika sana na leo nimeamini kwamba Jamal ndio mtu pekee mzalendo wa nchi hii mwenye kujua thamani ya historia yetu
@adolphchilumba7999
Жыл бұрын
Kabisa😭
There is no permanent situation,Allah atujalie mwisho mwema😢😢🤲🤲
Hakika professor Jamal , nimeweza kujua kikamilifu staarabu za kilwa ya kale... Naitazama kutoka nchi Jirani ya Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Asante sana
Ahsante Sana Prof. Marekani Kasikazini nawapata mbashara mpaka maeneo ya Kisii Kenya sitakosa kufuatilia
@susanbeadskenya7009
2 жыл бұрын
God not god
Professor your are my model especial in knowledge,learning,innovation and other aspect Allah bless you my brother
PROFESSOR ...!! MTAALAMU KABISA.!! 🙏🙏🙏
M/mungu akinijaalia uhai nitaitembelea kilwa insha'Allah
🙌🙌👏👏 you are inspiring me to seek more knowledge
Jamal wewe. Ni kipenzi changu katika utafiti na kutuletea mambo mazuri kama haya you are my favorite documentary artist be blessed
Nafatilia sana kaka simulizi zako, big-up sana kwa kutufunulia yaliyokuwa nje ya ufahamu wetu. Naomba pia siku moja utuletee simulizi ya JACK THE RIPPER.
umenielimisha sana kakangu.Serikali za africa zafaa kuikuza zaidi kwa manufaa ya wananchi
I really like your storytelling
Blo nazani allah amekushusha iwe msaada kwetu blo nakubalisana nakuombea kwamungu uwe namalifazaid utufunulie zaidi ishallah
Professor you are the best historian I never had,ila uwe unawasiliza hao sources alafu unasimulia mwenyew ,maana wakiongea wanapunguza ladha ya story book, we need your real voice only✊
@savaynerjuma3934
2 жыл бұрын
Absolutely yes 👍
The great professor of all time
Kilwa ya Tz na Fort Jesus ya Kenya zote ni almost the same, Long live east africa.
@eliasaismail4657
2 жыл бұрын
Not the same
@mpendakiswahili3053
2 жыл бұрын
Kuna mji mwingine kule lamu, wa kitambo kuliko hata fort Jesus ...nimesahau jina lake....
@lucasmhagama8166
2 жыл бұрын
Ndio ni kweli
Nilikuwa nikiisikia historia ya Kilwa ila sikujua kiundani hivi kama ulivyonielimisha leo @Prof Jamal, umenifanya niendelee kutafuta makala mbali mbali kuhusu Kilwa ila zaidi nahitaji kuutembelea nikajionee kwa macho mji huo ambao ni hazina kubwa sana Tz na Africa, Hongera Wasafi Media, Hongera Professor Jamal kwa kazi nzuri, "The Story Book" forever 💥
Kilwa is an avenu in DRC of cause mwami m'siri aliye talawa jimbo la katanga enzi izo alikuwa munya mwezi na aka dumu Katanga adi Leo.... I love my King.
Kazi zako zote huwaga ni nzuri mno!👌 Kusema kweli, hongera sana ndugu yangu, wewe pamoja na team yako nzima. 💪 Ila, nina ka advice kadogo. Nadhani ingekuwa vema unge jitahidi kuweka "english subtitles" ili ku wa accommodate wenzetu wasio sikia lugha yetu hii ya Kiswahili. Maana darsa zako zote huwaga ni kubwa sana, na za kimataifa zaidi. Fikiria hili Bro, na ikikupendeza wewe, pamoja na team yako, basi implement hio strategy. Ila kama nilivo tanguliza kusema hapo hawali, ni wazo langu tuu, na wala si lazima kufanya hivo. Asante sana ndugu zangu, na m'barikiwe!! Congrats guys!💪💪💪 MAY GOD BLESS AFRIKA!!!🙏🙌💪❤
@philipbonhour4987
2 жыл бұрын
Wajifunze kiswahili
@muxxerju7532
2 жыл бұрын
my brother me naona ibaki ivyo ivyo tuu hakuna haja ya subtitles wasiojua kiswahili wakajfunze then warud tuelewane kwa kiswahil. mbona wao kwenye makala zao hawatuwekei kwa njia ya kiswahil mpka tunajifunza lugha zao kwaiv na wao acha wakajfunze na ss lugha ytu ikuwe now ishakuwa lugha rasmi mpka kwnye jumuiya ya africa mashariki inatumika
@mpendakiswahili3053
2 жыл бұрын
@@philipbonhour4987 "wajifunze kiswahili," fullstop....
@sadanahimana7193
Жыл бұрын
wajifunze kiswahili na sisi lugha zao tunajitahidi kuziiga hadi tunaweza mimi huwa na komenti kwa kiswahili chochote nikiona kinanifurahisha na watu wananiuliza hiyo lugha niyipi nina wajibu vizuri sana
@mpendakiswahili3053
Жыл бұрын
@@sadanahimana7193 Hahaha umenifurahisha walai, kwanzia Leo nafwata nyayo zako.....kwani sisi miaka na Mikaka ndio tutakua tunajifunza za wenyewe...
Dah...Jiwe la jahaz sio mchezo! Prof Jamal na mm Naenda kilwa kupaona. 🙏
Ibn Battuta was a moroccan traveller the great city at the most powerful. writing in 1332 Battuta note that the city of kilwa is among the most beautiful cities and elegantly built
@duncannjuguna2691
2 жыл бұрын
T
from Philadelphia watching storybook 👏
Big up xaaana professor Jamal unaendelea kutuonyesha ubora na thamani Yako katika Kazi yako
Wa KILWA 🛶🌴 Kam mim, kilwa masoko tujuane 👍
@RobbyDejan1234
2 жыл бұрын
Tupo pamoja bro.
@adamliyoka7345
2 жыл бұрын
Nipo apa
@muryd6999
Жыл бұрын
Pamoja kaka
Kwa kweli istoria nzuri inatungumbusha tuiwekee maanani sana.ikarabatiwe
Respect prof Jamal April.......wewe ni icon ya marifa
Waziri wa Mali Asili na Utalii , akae na wataalam wake wa utalii wafanye kitu hapa Kilwa ..hiki ni kivutio kikubwa cha utalii na kinaweza kusaidia sana sana Tz
@bonita329
2 жыл бұрын
yaani sijui ujumbe wanaupataje hii sehemu Watanzania pamoja na Viongozi wanaichukulia powa lakini ni sehemu muhimu sana kuliko hata zanzibar... hapa maarifa yanaitajika hapa dah 🤦🏽♀️
@richardlucas2275
2 жыл бұрын
Si ndioviongoz wakianza kupambana kuitangaza nchi tunaanza kubeza mambo ya royal tour
@ismailel-mazrui6983
2 жыл бұрын
Kabisa ndugu shm km hz ndo katalunya ya madrid
Asante kwa Historia ya Kilwa Nchni Tansania
Upo vzr Sanaa!! Kilwa Ina historian kubwa Sanaa. Ingawa serikali Ina inaacha historian ya mji uwo inazidi kupotea. Inashindikana nn kutengeneza mjii una unaofanana na historian unayo silmuliaa?! Ili tuweze Linda historia ya mjii wa Kilwa.
our country to be greatly blessed by god congratulations brother for declaring our country 🙏
@susanbeadskenya7009
2 жыл бұрын
God not god
U always inspire me prof.
Mtangazaji you are doing a wonderful job. I learned alot about Kilwa which i have not leaned anywhere.
Love it kikwa boy
Dah! Bonge moja la mji wa kihistoria ila nashangaa promo kubwa inapigwa Bagamoyo
Jamaa yetu jamali ni Professor Aisee, Big Up bro
You make Swahili sound elegant. Kazi safi Prof. Much love from 254.
@mpendakiswahili3053
2 жыл бұрын
Hakuna lugha tamu kuliko kiswahili, kote duniani....
@masupildula
Жыл бұрын
@@mpendakiswahili3053 kila lugha Ina uzuriwake na ubayawake kwa watu mbalimbali Mzanzibari anayosoma UChinani, na ndiyo najua kuzungumza kichina, usalama ukupate.
@mpendakiswahili3053
Жыл бұрын
@@masupildula Kiswahili hakina ubaya....utamu mtupu....
Asante sanaaa umetuelemishaaa
Nimejaribu kutembelea majengo ya zamani barani ulaya hasa katika nchi ya uswiss na Italy, kuna utofauti mkubwa sana majengo yao pamoja na kwamba yameishi miaka zaidi ya elfu bado yapo vizuri japo si kwa mwonekano ule wa awali lakn wanajitahidi sana kuyatunza.Nchi yetu imeyatelekeza hayo majengo wangeweza kuyafanyia ukarabati kama wanavyofanya wenzetu ili angalau majengo yetu yaweze kuendelea kuonekana kama majengo kwa watalii na vizazi vijavyo.
@leith87seif55
Жыл бұрын
Ile ni miji ta kiislamu na historia ni yabkiislamu hawawezi kufanya hivo katikabseheku ambayo serikali wamekusahau kwa Tanzania ni upande wa kusini mwa Tanzania kila kitu kibovu wewe angalia barabara ya kule tu utajua
Fantastic Professor J.April keep it up 💪🇹🇿
Historia inatafakarisha sana hasa sisi wa AFRIKA.
Nice story big up prof. Jamali April
Unatisha sana my Brother
Uongozi bora ndio chanzo cha maendeleo, kwa kifupi Wa Africa kwa ujumla hatujali yaliyopita wala yajayo. Ndio maana hatuendelei sana kama wenzetu.
Professor uandae na story inayokuhusu ww maake naww ni miongon mwa watu wakipekee sana kweny sanaa
@luckysonmiani553
2 жыл бұрын
Kwel KABC
Historia ya vasko da gamma nimesoma shule yaani viongozi wameshindwa kabisa kujenga upya kisiwa cha historia cha kilwa ambacho ni muhimu sana wale wageni waliojenga magorofa kilwa wasingefukuzwa leo hii kilwa ingekuwa juu sana wageni walifukuzwa na kilwa ikafa moja kwa moja
@zamzamabdi5279
2 жыл бұрын
Kweli kabisa.mchaganyiko ya watu ni maendeleo kubwa.wageni hawana hasara
Kwanza kabisa napenda kukupongeza sana kwa maelezo yako mazuri yanayoeleweka kirasi. Nchi hii yetu ina mengi yaliyofichika kwasababu mbalimbali. Nakuomba tukiwa hukohuko wilayani Kilwa tupo historia ya miji kama kilwa kivinje na songa mnara na kwingine. Kwa mara nyingine nakupongeza sana.
Nimefurahi sana kusikia simulizi hii sababu inatuhusu Moja Kwa Moja wa Tanzania nimejifunza mambo mengi ila kikubwa ni kwamba hakuna Cha kudumu Duniani Kila kitu kitapita.
"tulivyofukuza walowezi tukawacha waende na maarifa yao " it so pain brother
@ahmedzahor2975
2 жыл бұрын
Muongo pashia si warabu ni Wairani na Wairani hata kiarabu hawajui
@mpendakiswahili3053
2 жыл бұрын
@@ahmedzahor2975 Dah, hilo sio hoja.... mbona tunatilia maanani yasio muhimu
@mpendakiswahili3053
2 жыл бұрын
Aiii, huwa najiuliza, kwani sisi waafrica tulilaaniwa au nini...mbona tunafaili kwa kila jambo ...
@saidkaim768
2 жыл бұрын
@@mpendakiswahili3053 mpango tu
@shaujimpota7202
2 жыл бұрын
@@ahmedzahor2975 pashia ndo nini? Halafu pia toa tafsiri yako ya waarabu tuiskie. Na mwisho kabisa, hilo neno waarabu linatumika na wengi na inakubalika kuziita jamii zilizo nyingi za mashariki ya kati ikiwemo Oman, Saudi Arabia, Yemen, Iraq, Iran, n.k
Kazi nzuri sana Professor. Utafika mbali sana kwenye upande wa kuandaa Documentary hapa Tanzania.
@veronicaromwald8311
Жыл бұрын
Kama Peter wa Royal Tour 🇹🇿
Wenye Kilwa yetu tumefarijika sana kwa simulizi hii
Good upo vizuri Mkuu umenipa raha sana
Hicho kichemba ndani ya mskiti wa watu malindi kinaitwa 'kibla' na sio mimbar....Mimbar ni kama jukwaa analotengezewa mhatibu ili apande juu yake aweze kuhutubia waumini kwa mfano kama kutoa hotuba siku ya ijumaa...ila 'imaam' au kiongozi anaposwalisha au kuongoza ibada ya swala anaongiza akiwa ndni ya hicho kichba kitaitwa kibla
@mpendakiswahili3053
2 жыл бұрын
Very nice...
@chuserkibavu
2 жыл бұрын
Hakika✊
@siasia5469
Жыл бұрын
Ndio kunavyoitwa atakua amechapia Jamal
Nimefurahi sana na nimejifunza mengi kuhusu mji wa kulwa
Kwamakala hii unstable kuponfezwaa na mama samia umetisha sana duh gonga. Like kam unakubalia na mim yakwambaa jama. Kaamzima Ananias edigr mtiga Abdallah yeye pekee ndiye ame baki aakiskika kwasimulizi tofauti tofauti
Kwetu wasini pia Kuna Historia YA jahazi lililo jeuka kuwa jiwe Na watu kujeuka kuwa njiwa wenye lemba
@khaijakadija2082
Жыл бұрын
Wapi uko dear hadi raha wallah
Mashallah wangewacha warabu jaman
Nafurahi ninapoona nko na dakika 44.nasikia the story book 😋😋😋😋
Hakika Tanzania tuna history kubwa sana Big up sna Bro kwa kuona mbali
@irenewile
Жыл бұрын
Hapo ndio maneno ya Kiswahili yapogundulika mwaka 17....
@ahmadsaid4878
Жыл бұрын
@@irenewile 👩🏿💻Jambo zuri kuijua Tanzania yetu
Upo vizuri broo na kwaa picha iliyojijeenga kwetu ww n kama kioo lakini vp hzooo tattoo mkononi yan zinanisumbua japo kua n maisha yako binafsi
Wareno ni washenzi sana waliuharibu huo mji kwa maksudi
Welcome home KILWA
Asante Jamal...this is among the best video you have produced
Prof Allah aibariki kazi yako kwa sasa yafaa uwekee subtitles in english ipate kutembea duniani
PWANI YETU🌴❤❤
Nakubali prof...
We babaa wee hiv umesoma course gan mbon genius san
Asante sana akika wewe n professor
Much Love from 🇰🇪 Kenya💖
Sehemu nzuri sana kutembelea 👏 👏 👏
Mashaallah. Kilwa yetu. Iyoo lindi moja iyoo
Asante sana professor
Kwanza niseme chini wameenda watu wenye akili na maarifa mengi sana na wajuzi kizazi chasasa mtu anakaa shule miaka zaidi ya minne kusoma engineer na unampa kazi anakujengea jengo hata miezi sita haijafika ikija upepo kidogo tu chalii sijui tunakwama wapi mana haya tunayofanya sasa yote ni marudio mana yote yalishafanyika tunajiita wabunifu kumbe vyote tunacopy na kupaste yakale mana walishafanya kila kitu. Hii ni zaidi ya royal tour nimevutiwa sana kutembelea hii sehem kujifunza mengi hakika nikirudi bongo ntafanya kila namna kutaka kufaham zaidi
UTAMU WA HISTORIA.KONGOLE MWANAHISTORIA MSHUPAVU.FROM +254
🔥❤️🔥
Shukran kwa historia ya kilwa
Uje na huku mbeya uielezee kaporogwe, daraja la Mungu, ziwa ngosi n.k maana tunavivutio Ving Sana Ila havtambuliki
This is the best educational channel walahi
Home 🏠 sweet home Asante pr.april Kwa kuheshimusha kilwa
Serikali iendeleze huu mji wa kilwa kisiwani iwe sehemu ya utalii inavutia sana vinginevyo history itapotea
Jamaal your so intelligent blessed
Kumefanana na pemba🥺🥰
Sofala ni mji uliopo Msumbiji na Monamutapa ndio Zimbabwe. Tukumbuke tulikotoka. Kazi nzuri.
Endelea kutupa historia hizi na ikiwezekana wafunsihe watu wengi wawe Kama wewe maana katika vitu tunavyokosea Ni kutoacha wafanani
Asante Sana Proffer J . Kwa simulizi ya kilwa. Nimefurahi sn! Mimi naomba uje utuelezee kwanini mji wa kilwa ulikufa? WHY KILWA ISLAND FALL? BY R . JAPHET
ningependa uendelee kuichambua nchi yetu
ubarikiwe ndugu kwakazi unayoifanya
Naipenda Kilwa yangu
@salumundimba4534
9 ай бұрын
One blood
Mr.Jamal is deserve much love ✌
@josephlorri431
3 ай бұрын
Tumia kiswahili ndugu
Naipenda sana brother 🇨🇩
Tanzania zindabadi 🇹🇿 🥰👌👌
Narudi kuandika tena WEWE NDIE PROFESSOR PEKEE UNAYE UTUMIA UPROFESSOR WAKA KWA MANUFAA YA JAMII YAKO sio wale wanao subili kutolewa majalalani wakina nanilii,
@Mwamba67
2 жыл бұрын
😂 Wakikusikiaa hee shaur yako,,,,!!
Nimeipenda hii😃
My home KILWA
@valentinernestkavishe7297
2 жыл бұрын
Mkoa gani
@mustaphasayyid6740
2 жыл бұрын
@@valentinernestkavishe7297 lindi
Big up nakubali sana the story book
Najifunza vitu vingi kutoka kwako Mungu ukujalie